Vinywaji salama kwa mwenye kisukari
Vijuwe vinywaji salama kwa mgonjwa wa kisukari
Vjinywaji salama kwa mwenye kisukari ni kama:-

- Maji
- Chai isiyo na sukari
- Kahawa isiyowekewa sukari ama kunywewa na vitu vitamu kama kashata
- Juisi ya tomato (nyanya) ama tango, pia isiwe kwa wingi
- Vinywaji vya wanamichezo ambavyo havikuwekewa sukari
- Baadhi ya vinywaji vingine visivyo na wanga
- Juisi ya mbogamboga
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 ai web app 👉6 Dua za Mitume na Manabii
👉1 web hosting 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 ai web app 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Faida za kula fyulisi/peach
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/ peach
Soma Zaidi...Faida za kiafya za nyanya
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya
Soma Zaidi...Faida za kiafya za topetope (accustard apple/sweetsop)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula tunda pera
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tunda pera
Soma Zaidi...