Faida za kiafya za spinachi

Faida za kiafya za spinachi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach

Faida za spinach

1. Spinach Lina virutubisho Kama vitamin C, A, K, fati na wanga pia madini ya chuma, sodium, calcium na magnesium

2. Husaidia katika kupunguza uzito

3. HuborrHub afya ya mifupa

4. Huboresha afya ya macho

5. Hushusha presha ya damu (hypertension)

6. Husaidia mwili kurelax

7. Ni nzuri kwa afya ya ngozi

8. Husaidia katika mapambano dhidu ya saratani

9. Huboresha mfumo wa kinga

10. Hulinda mwili dhidi ya anemia

Bongoclass
Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2433

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula pera
Faida za kiafya za kula pera

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pera

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye madini kwa wingi
Vyakula vyenye madini kwa wingi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye madini kwa wingi

Soma Zaidi...
Faida za kula mayai
Faida za kula mayai

Posti hii inahusu zaidi faida anazozipata mtu anayekula mayai hasa wakati wa kifua kinywa, tunajua wazi kuwa mayai yana kiwango kikubwa cha protini pamoja na hayo kuna faida nyingi za kutumia mayai hasa wakati wa asubuhi kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Zijuwe kazi  na faida za Vitamini C mwilini
Zijuwe kazi na faida za Vitamini C mwilini

Vitamini C ni moja kati ya vitamini muhimu sana katika kuboresha ufanyaji kazi wa mfumowa kinga mwilini yaani immune system. Katika post hii utakwenda kujifunza kazi za vitamini C mwilini

Soma Zaidi...
Faida za kula Faida za kula Boga
Faida za kula Faida za kula Boga

Makala hii inakwenda kukueleza faida za kula maboga, na mbegu zake kwa afya yako

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula biringanya (eggplant)
Faida za kiafya za kula biringanya (eggplant)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant)

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kungumanga/nutmeg
Faida za kiafya za kula kungumanga/nutmeg

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kungumanga/nutmeg

Soma Zaidi...