TATIZO LA UVIMBE KWENYE MATITI (MAZIWA)
Katika hali ya kawaida vimbe nyingi kwenye matiti hazina athari kubwa za kiafya na huondoka zenyewe. Hata hivyo zipo ambazo zinachelewa kuondoka ama haziondoki kabisa. Vimbe hiz huweza kusababishwa na mabo mengi. Lakini zipo chache husababishwa na saratani. Vimbe kwenye matiti mara nyingi si zenye kusababisha maumivu ama kutokwa na majimaji ama maziwa ama damu kwenye chuchu. Je unasumbuliwa na uvimbe wa kwenye matiti, makala hii ni kwa ajili yako.
Sababu za uvimbe kwenye matiti
1.Matiti kujaa majimaji kwenye vijishimo vidigovidogo vilivyomo ndani ya titi
2.Vijitundu vidogovidogo ndani ya titi kujaa maziwa (hutokea wakati wa kunyonyesha)
3.Tishu za kwenye ziwa kuwa kama linyama
4.Majeraha
5.Kuwa na infection (mashambulizi ya bakteria) kwenye titi
6.Saratani ya ziwa
7.Kuota kwa vijinyama kama chunjuwa kwenye mrija wa maziwa
Muda wa kumuona Daktari
Kama ulivyosoma hapo juu kuwa uvimbe wa titi unaweza kuondoka wenyewe bila hata ya kuhitaji dawa. Lakini hutokea ikahitaji kumuona daktari endapo:-
1.Umeingezeka mwingine
2.Uvimbe haukuondoka hata baada ya kupata hedhi
3.Uvimbe unazidi kuwa mkubwa
4.Ziwa limeanza kuonyesha michubuko
5.Ngozi ya ziwa kubadilika rangi
6.Maumbile ya chuchu kubadilika
7.Chuchu kuanza kutoa damu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi sababu za kifafa cha mimba, kwa kawaida mpaka sasa hakuna taarifa zozote kuhusu sababu za kuwepo kwa kifafa cha mimba ila kuna visababishi vinavyofikiliwa kama ni Dalili za kifafa cha mimba kama ifuatavyo
Soma Zaidi...Post yetu imebeba mada inayohusiana na wanaume wanaowashwa Uume embu tuone dalili zinazopelekea kuwashwa kwa penis. Uume(penis) ni party ya mwanaume ya sehemu za siri.pia wanaume ambao hawajatahiriwa(unsircumside) kwasababu Ile ngozi ya juu husababishwa k
Soma Zaidi...dalili za ugonjwa wa tezi dume, na sababu za kutokea kwa tezi dume, maana ya tezi dume na athari zake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu msaada kwa mwenye maumivu ya tumbo la hedhi, hizi ni huduma ambazo utolewa kwa wale wenye maumivu ya tumbo la hedhi.
Soma Zaidi...KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito.
Soma Zaidi...Je kichwa cha uume wako kinawasha, na je kinatoa majimaji kwenye njia ya mkojo, una muda ganinavtatizo hili. Na je ulishiriki ngono zembe siku za hivi karibuni?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba kuanzia siku ya 7 Hadi ya 14
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uchafu unaotoka ukeni na rangi zake, kwa kawaida ukeni utolewa uchafu, uchafu huo unaweza kuwa kawaida na unaweza kuwa na rangi mbalimbali kutokana na kuwepo kwa Maambukizi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito, ni mojawapo ya njia ambazo utumiwa na wahudumu wa afya ili kuweza kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama ambaye anakuwa amepasuka mfuko wa kizazi.
Soma Zaidi...