Sababu za kunyonyoka kwa nywele

Sababu za kunyonyoka kwa nywele

TATIZO LA KUNYONYOKA KWA NYWELE


Tatizo la kunyonyoka ama kupotea kwa nywele linaweza kuwa sio shida sana ya kiafya. Ila hutokea ikawa ni ishara mbaya kulingana na hali ambazo nywele zitakuwa zinanyonyoka. Je na wewe ni mmoja ya katika ambao nywele zao zinanyonyoka? Makala hii ni kwa ajili yako. Hapa tutaangalia kwa ufupi tu sababu ambazo hupelekea nywele kunyonyoka.



Sababu za kutoka nyeleni nyingi Hi vyema ukafika hospiali kwa uchunguzi. Miongoni mwa sababu zake ni kama:-



1.Unaweza kurithi tatizo hili kutoka kwnye ukoo wako
2. Hutokea mfumo wa kinga wenyewe ukaanza kushambulia mfumo wa nywele. Mpaka sasa haijulikani nini hasa kinasababisha hali hii.
3. Pia stress huchangi
4. Namna mtu anavyotunza nywele, hasa kama unazitia rangi ama kuzibadili uhalisia, hii inaweza kupeleke kutoka nywele baadaye
5. Mvurugiko wa himoni (hormone imbalance)
6. Infection kwenye ngozi ya kichwa yaani kuwa na mashambulizi ya bakteria kwenye ngozi ya kichwa.
7. Aleji unaweza kuwa na aleji ya dawa ama vitu flani ambavyo ukitumia nywele hunyonyoka
8. umri, kwa kuwa uotaji wa nyele hupunguwa kadiri umri unayokwenda hinyo hutokea baadhi ya watu kila uzee unapokweda na nywele hupunguwa.
9. Majeraha kwenye ngozi ya kichwa. Hutokea mtu mwenye makovu na majeraha nywele zikashindwa kuota maeneo yake.



                   

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1629

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

je Kama utaonekana kupatwa na homa,kichwa,tumbo, kiharisha kwa siku moja( ya kwanza) na vyote kupona siku nyingine (ya pili kupona) pasipo kutumia dawa inaweza kuwa Ni dalili ya ugonjwa wa zinaa ?

Homa ni moka ya dalili inayohusiana na maradhi mengi sana. Unaweza kuwa na homa ikawa pia si maradhi kumbe ni stress tu. Je unasumbuliwa na homa za mara kwamara, Makala hii ni kwa ajili yako

Soma Zaidi...
Kumsaidia sliyepungukiwa na damu kwa sababu ya minyoo

Posti hii inahusu namna ya kumsaidia mgonjwa aliyepungukiwa na damu kwa sababu ya minyoo.

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

Soma Zaidi...
YAJUE MARADHI YA KISUKARI

Posti hii itakwenda kuelezea mambo machache kuhusu ugonjwa wa kisukari

Soma Zaidi...
Njia za kujilinda na kujikinga na UTI

Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujilinda na kujikinga na UTI

Soma Zaidi...
fangasi, aina zao, dalili zao na matibabu yao

Fangasi na Aina zao Fangasi wa kwenye kucha Fangasi wa Mapunye Fangasi aina ya candida Fangasi wa Mdomoni na kooni Fangasi wa kwenye uke Fangasi wanaoshambulia mfumo wa damu na ogran kama moyo, figo n.

Soma Zaidi...
Njia za kutibu saratani

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za matibabu ya ugonjwa wa saratani,ni ugonjwa ambao unaweza kupona ikiwa umegundulika mapema katika hatua za mwanzo na kama ugonjwa huu umefikia hatua za mwisho Tiba yake huwa ni kupunguza makali ya ugonjwa.

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu kiungulia

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dawa za kutibu kiungulia

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia ugonjwa wa kisonono

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo utumiwa Ili kuweza kuzuia kuwepo ugonjwa wa kisonono, kwa kufuata njia hizi ugonjwa huu wa kisonono unaweza kupungua kwa kiasi au kuisha kabisa.

Soma Zaidi...