UUME KUWASHA
Post yetu imebeba mada inayohusiana na wanaume wanaowashwa Uume embu tuone dalili zinazopelekea kuwashwa kwa penis. Uume(penis) ni party ya mwanaume ya sehemu za siri.pia wanaume ambao hawajatahiriwa(unsircumside) kwasababu Ile ngozi ya juu husababishwa k
Zifuatazo no dalili ambazo husababisha uume kuwashwa;
1.uume kutodinda wakati wa asubuhi yaani mwanaume hasimamishi kabisa kwasababu ya muwasho uliopo kwenye penis.
2.ukifika kileleni mbegu za kiume hazitoki(sparms) mwanaume anashindwa kufika kileleni lakini Muda huo simen huweza kutoka Ila sparm hazitoki na mwanaume anaweza kukojoa mkojo mzito .
3.maumivu makali uume unaposimama pale ambapo mwanaume anasimamisha alafu mida huo Ana muwasho kwenye penis hupelekea maumivu makali Sana
4.usaha kutoka kwenye mirija ya mkojo pamoja na maumivu hii nayo ni dalili mbaya ambapo hutokea pale ambapo mwanaume amepata maambukizi ya dalili za kisonono
5.kuwashwa Sana katika bomba au njia ya mkojo hii ni dalili za UTI au fangasi
6.uchafu wa kawaida kutoka kwenye uume na hii hupelekea saratani
7.kufika kileleni mapema
8.penis kupata kidonda na hii ni mojawapo ya dalili za kaswende ambapo huchelewa kuonekana
9.uume unaweza kupinda.
10.vinyamanyama hutokea kwenye uume
Mwisho; wanaume au watoto ambao bado hawajatahiriwa Wana risk kubwa Sana ya kuwashwa penis hivyo ni vyema wanaume mjitahidi kutahiriwa na Kama umetahiriwa ukapata dalili kama hizi mnashwauriwa kwenda hospital kwaajili ya vipimo na matibabu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 ai web app 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Je bado unasumbuliwa na nguvu za kiume?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuondoa tatizo la nguvu za kiume
Soma Zaidi...Njia za kutibu mbegu dhaifu.
Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia.
Soma Zaidi...Huduma kwa mwenye maumivu ya tumbo la hedhi
Posti hii inahusu msaada kwa mwenye maumivu ya tumbo la hedhi, hizi ni huduma ambazo utolewa kwa wale wenye maumivu ya tumbo la hedhi.
Soma Zaidi...Tiba mbadala ya fangasi wa uumeni
Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala ya fangasi wa uumeni
Soma Zaidi...