Post yetu imebeba mada inayohusiana na wanaume wanaowashwa Uume embu tuone dalili zinazopelekea kuwashwa kwa penis. Uume(penis) ni party ya mwanaume ya sehemu za siri.pia wanaume ambao hawajatahiriwa(unsircumside) kwasababu Ile ngozi ya juu husababishwa k
Zifuatazo no dalili ambazo husababisha uume kuwashwa;
1.uume kutodinda wakati wa asubuhi yaani mwanaume hasimamishi kabisa kwasababu ya muwasho uliopo kwenye penis.
2.ukifika kileleni mbegu za kiume hazitoki(sparms) mwanaume anashindwa kufika kileleni lakini Muda huo simen huweza kutoka Ila sparm hazitoki na mwanaume anaweza kukojoa mkojo mzito .
3.maumivu makali uume unaposimama pale ambapo mwanaume anasimamisha alafu mida huo Ana muwasho kwenye penis hupelekea maumivu makali Sana
4.usaha kutoka kwenye mirija ya mkojo pamoja na maumivu hii nayo ni dalili mbaya ambapo hutokea pale ambapo mwanaume amepata maambukizi ya dalili za kisonono
5.kuwashwa Sana katika bomba au njia ya mkojo hii ni dalili za UTI au fangasi
6.uchafu wa kawaida kutoka kwenye uume na hii hupelekea saratani
7.kufika kileleni mapema
8.penis kupata kidonda na hii ni mojawapo ya dalili za kaswende ambapo huchelewa kuonekana
9.uume unaweza kupinda.
10.vinyamanyama hutokea kwenye uume
Mwisho; wanaume au watoto ambao bado hawajatahiriwa Wana risk kubwa Sana ya kuwashwa penis hivyo ni vyema wanaume mjitahidi kutahiriwa na Kama umetahiriwa ukapata dalili kama hizi mnashwauriwa kwenda hospital kwaajili ya vipimo na matibabu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume kushiriki, ni njia ambayo umfanye mwanaume awe mhusika hasa wakati wa kujamiiana.
Soma Zaidi...Uzazi wa Mpango hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa. Uzazi wa mpango una faida kadhaa kwa mama wa mtoto, wanandoa na jamii Ujuzi wa mzunguko wa hedhi humwezesha mtoa huduma kumshaur
Soma Zaidi...KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kazi za homoni katika Mzunguko wa hedhi, katika kipindi hiki kuna homoni mbalimbali ambazo ufanya kazi kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Ni mida gani njamzito ananza kuhisi kuwa tumboni anebeba mtoto.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa maji yaliyomo kwenye mfuko wa mtoto akiwa tumboni. Ni maji ambayo kwa kitaalamu huitwa (Amniotic fluid)
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kutafuta ujauzito
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dalili za mimba kutoka, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mimba zote ambazo utaka kutoka kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Kipimo cha mimba kwa mkojo kimekuwa kikitumika sana kuangalia ujauzito. Kipimo hiki kinapotumika vibaya kinaweza kukupa majibu ya uongo. Kuwa makini na ujue muda sahihi.
Soma Zaidi...