picha

Uchafu unaotoka ukeni na rangi zake.

Posti hii inahusu zaidi uchafu unaotoka ukeni na rangi zake, kwa kawaida ukeni utolewa uchafu, uchafu huo unaweza kuwa kawaida na unaweza kuwa na rangi mbalimbali kutokana na kuwepo kwa Maambukizi.

Uchafu kutoka ukeni na rangi zake.

1. Kuna uchafu wenye rangi ya kahawia na uambatana na damu.

Uchafu huu unaweza kutoka kwa wale ambao wanaingia kwenye siku zao za mwezi na wale ambao wameshamaliza, kwa wale wanaoingia kwenye siku zao za mwezi inawezekana ni kubadilika kwa mzunguko ila kwa wale ambao washamaliza inawezekana ika ni kansa ya kizazi.

 

2.Angalizo kwa akina Mama ambao wameshamaliza taratibu za mzunguko wa damu na wakaona tena damu inatoka ni vizuri kuwahi mapema hospitali kwa uchunguzi zaidi ili kuangalia shida ni nini kwa sababu kuna akina Mama wengine wakiona mambo kama hayo wanaficha, sio vizuri kuficha ni lazima kuweka wazi ili kupata msaada zaidi.

 

3. Pia kuna uchafu wenye rangi ya njano ikiambatana na harufu mbaya.

Aina hii ya rangi ya njano na harufu mbaya utokana na kuwepo kwa Magonjwa ya zinaa kwa hiyo mtu akipata anapaswa kutibiwa Magonjwa haya.

 

4. Pengine kuna uchafu mweupe mzito kama jibini hii ni aina ya uchafu ambao hutokea kwa wanawake ambao una maana ya kuwepo kwa mashambulizi ya tangazo kwenye via vya uzazi.

 

5. Kuna na uchafu mwingine unakuwa mweupe  au wa kijivu wenye harufu ya samaki .

Pia uchafu wa aina hiyo unaonyesha juwa kuna Maambukizi ya kandaida kwenye via vya uzazi kwa hiyo ni lazima kupima na kutumia dawa.

 

6 . Kwa hiyo kama tulivyoona aina mbalimbali za uchafu na harufu zake tunapaswa kuziangalia kwa makini na kujua shida ni nini kama hujaelewa vizuri unaweza nkumwona mtaalamu yeyote wa afya ili kuweza kupata msaada zaidi kwa sababu Magonjwa yanayoshambulia sehemu za siri Usababisha madhara mengi ambayo ni kansa na ugumba.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/03/09/Wednesday - 12:25:40 pm Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 7640

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 web hosting    👉4 ai web app    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa.

Post hii inahusu zaidi kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, hali hii utokea kwa watoto wadogo wakati wa kuzaliwa kwa sababu maalum kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango.

Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango.

Soma Zaidi...
Kondo la nyuma kuwa mbele ya mlango wa kizazi

Posti hii inahusu zaidi sababu za kondo la nyuma kuwa mbele ya mlango wa kizazi, kwa kawaida kondo la nyuma huwa nyuma ya mlango wa kizazi ila Kuna wakati kondo la nyuma ujishikisha mbele ya mlango wa kizazi.

Soma Zaidi...
Mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito, ni mabadiliko ambayo utokea kwa wajawazito hasa kwenye mfumo wa chakula.

Soma Zaidi...
je mtu kam anaona dalili za mimb ila akapima nakipim hakijamuonyesha kam ana mimb am hana je kuna uwezekan wakuw anayo

Dalili za mimba pekee haziwezi kuthibitisha uwepo wa mimba. Bila vipimo kwa. Muda sahihi huwezi kuwa. Na uhakika. Je na wewe unasumbuliwa na dalili za mimba na ukapona hakuna mimba? Makala hii ni kwa ajili yako. Swali

Soma Zaidi...
Je, mwanamke anapataje Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi PID?

Posti hii inaelezea namna mwanamke anavyoweza kupata Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi.

Soma Zaidi...
Mwezi juzi niliingia tarhe 21 ila mwez uloisha nmeingia tarh 25 maana mzunguko wangu umekuwa mrefu nikahs naujauzito kumbe mzunguko umebadilika hapo tatz n nn

Posti hii utakwenda kutoa sababu kuu za kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi. Kama na wewe numiongini mwaka endelea kusoma

Soma Zaidi...
Zijue Athari za kuweka vitu ukeni.

Posti hii inahusu zaidi athari za kuweka vitu ukeni, tunajua kwa wakati huu kadri ya kukua kwa sayansi na teknolojia watu wanaendelea kugundua mbinu mbalimbali ili waweze kuwafurahisha wapenzi wao wakati wa kufanya tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Faida za kula yai lililopikwa kwa mama mjamzito

Yai lililopikwa ni chanzo kizuri cha protini, vitamini, na madini muhimu kwa mama mjamzito. Husaidia katika ukuaji wa mtoto tumboni, afya ya mama, na kuimarisha kinga ya mwili.

Soma Zaidi...
Chanzo cha tatizo la mvurugiko wa hedhi.

Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut

Soma Zaidi...