Dalili za mimba changa

Dalili za mimba changa

Zijuwe dalili 17 za mimba na mimba changa, kuanzia siku ya kwanza mpaka mwezi mmoja

Dalili za mimba changa

DALILI ZA MIMBA CHANGA
Hapo zamani watu walikuwa wakisubiri kuona tumbo linakuwa ama kuona mwanamke hedhi imekata ndipo waseme kuwa huyu sasa ama mimba. Lakini leo tunaweza kugunduwa mimba mapema sana. Makala hii inakwenda kukujuza dalili za mimba. Dalili hizi zimegawanyika katika makundi kakuu mawili. Kama utakuwa na maoni usiwache kuwasiliana nasi hapo chini.



Dalili za mimba za mwanza toka siku ya 1 mpaka wiki
Hizi ni dalilio ambazo zinaweza kuonekana mapema sana kuliko dalili zingine. Unaweza kuziona dalili hizi siku chache toka kubeba mimba. Wengine huchelewa mapaka wiki inapita na wengine mpaka wiki kadhaa. Dalili hizi ni pamoja na:-




1.Maumivu ya kichwa
2.Kizunguzungu
3.Kichwa kuwa chepesi
4.Maumivu ya tumbo
5.Kutokwa na matone ya damu
6.Moyo kwenda mbio
7.Uchovu.



Si lazima mwanamke azione dalili zote hizo anaweza kuona kadhaa, ama akaona moja tu. Hata hivyo tofauti na kuona matone ya damu kwenye nguo yake ya ndani, dalili zilizobaki sio rahisi kuionz kwa mwanamke ambaye mwili wake umezoea mikikimikiki.



Dalili za mimba changa kuanza wiki ya mbili mapak mwezi
Dalili hizi zinaweza kuendelea miezi kadhaa mpaka pale tumbo litakapoanza kuonekana. Zinaweza kuendelea mapka kukaribia kujifunguwa ama zikakata ila si zote. Dalili hizi ni kama:-




1.Kichefuchefu
2.Kutopata hedhi,
3.Kutokwa na matone ya damu ukeni
4.Maumivu ya tumbo kuongezeka
5.Maumivu ya mgongo na nyonga
6.Uchovu
7.Moyo kwenda mbio
8.Tumbo kukuwa
9.Hasira za papo kwa papo
10.Kukojoa mara kwa mara



Katika kipindi hiki mjamzito anatakiwa awe makini sana kuepuka kula dawa bila ya kushauriana na daktari. Anatakiwa apime vipimo vyote na achukuwe mazoezi ya hapa na pale. Awe karibu sana na watu waliokwisha beba ujauzito wapate kumfundisha baadhi ya yapasayo. Hapa mjamzito anaweza kuwa na hasira, kupenda baadhi ya vitu na kuchukia baadhi ya vitu tofauti na kawaida yake.





                   



Bongoclass
Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2354

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama ananyonyesha
Mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama ananyonyesha

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha

Soma Zaidi...
Njia za kupunguza tatizo la kutanuka kwa tezi dume.
Njia za kupunguza tatizo la kutanuka kwa tezi dume.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo tunaweza kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili la kutanuka kwa tezi dume, kwa hiyo tunaweza kutumia njia zifuatazo ili kuweza kupunguza tatizo hili kwenye jamii kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Nini kinasababisha uume kutoa maji meupe bila muwasho,na tiba yake ni ipi
Nini kinasababisha uume kutoa maji meupe bila muwasho,na tiba yake ni ipi

Je unasumbuliwa na Majimaji kwenye uume. Je unapata miwasho, ama maumivu wakati wakukojoa.

Soma Zaidi...
Dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza
Dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza

Soma Zaidi...
Njia za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha.
Njia za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha.

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha kwa sababu kuna familia nyingi zinakosa watoto sio kwa sababu ni tasa ila kuna njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Faida za uzazi wa mpango kwa jamii
Faida za uzazi wa mpango kwa jamii

Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa jamii, tunapaswa kujua kuwa uzazi wa mpango ukitumiwa vizuri na jamii nayo inapata faida kwa hiyo zifuatazo ni faida za uzazi wa mpango kwa jamii.

Soma Zaidi...
Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume
Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume

Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake

Soma Zaidi...
Huduma kwa wasioona hedhi
Huduma kwa wasioona hedhi

Posti hii inahusu zaidi msaada au namna ya kuwahudumia wale wasioona hedhi na wamefikiwa kwenye umri wa kuweza kuona hedhi.

Soma Zaidi...
DARASA LA AFYA NA AFYA YA UZAZI
DARASA LA AFYA NA AFYA YA UZAZI

Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.

Soma Zaidi...
Mimi ni mama ninaye nyonyesha toka nimejefunguwa sijawai kuziona siku zangu lakini nilipo choma sindano za yutiai  nikaaza kutokwa na tamu kama siku tano na mwanangu ana mwaka moja je ninahatali ya kubeba mimba
Mimi ni mama ninaye nyonyesha toka nimejefunguwa sijawai kuziona siku zangu lakini nilipo choma sindano za yutiai nikaaza kutokwa na tamu kama siku tano na mwanangu ana mwaka moja je ninahatali ya kubeba mimba

Kunyonyesha ni moja katika njia za asili za kuzuia upatikanaji wa miba nyingine. Hata hivyo hii haimaanishi kuwa huwezi kupata mimba ukiwa unavyonyesha.

Soma Zaidi...