Simu au Kompyuta inastak? (inasumbua)

Simu au Kompyuta inastak? (inasumbua)

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Simu au Kompyuta inastak? (inasumbua)

UWANJA WA TEKNOLOJIA

Sehemu ya Saba

.

KAMA SIMU YAKO AU KOMPYUTA INASTAK (UNRESONDING):
Simu za smart phone ni simu ambazo hutumia fumo wa kikompyuta hivyo kuifanya iwe na uwezo wa kufanya baadhi ya kazi sawa na KOMPYUTA zingine. Kitendo hiki kinafanya ishirikiane na kompyuta zingine katika matatizo kwa mfano hili tatizo la "application is not responding" yaani kustak Tatizo hili hutokewa wakati simu yako inaposhindwa kufanya ulichoiagiza kama unapofunguwa baadhi ya application nzito kama GAMES.

Kuna sababu kadhaa zinadaiwa kuwa ndio chanzo cha tatizo hili ila nitataja moja katika zile alizozitaja Mr. Mehul Rajput ambayoni INCORRECT MEMORY & CPU USAGE.Kwa ujumla hapa kinachozungumziwa ni matatizo katika storage au memory ya simu yako pamoja na matatizo katika utendaji wa CPU ya simu yako. Hivy pindi simu yako ikianza tatizo hili huenda miongoni mwa sababu hizi zikawa ni moja wapo.

Jinsi ya kutatuwa tatizo hili:
zipo njia kadhaa abazo kitaalamu zinashauriwa kutuia kwa ajili ya kukabiliana na ratizo hili kama vile:-

1.Hakikisha memory yako katika simu ina nafasi ya kutosha. Ikumbukwe kuwa hapa tunazungumzia zaidi memory ya ndani ya simu INTERNAL MEMORY.unaweza ukafuta baadhi ya data au kuclean simu yako

2.Futa data katika application yako. Kama umefunguwa application kisha simu ikakuandikia epllication is not responding nenda kwenye setting za simu yako kisha storage kisha application kisha chaguwa applicatuin hiyo kisha itach kwa muda kisha katika menyu itayokuja chaguwa "CLEAN DATA" kisha maliza na ok.

3.Uninstall application zote ambazo hauzitumii hususan zile ambazo zinachukuwa nafasi kubwa katika memori yako. kwa maelezo namna ya ku uninstall

4.UPDATE application zako unaweza ukatumia playstore na kuapdate application zako.hili litasaidia kupunguza tatizo kani pindi application utakapoziapdate zitakuwa kama zimeingizwa upya.

5. Restart simu yako. Kurestart simu yako kutakufanya uendelee kuitumia simu yako kwa uzuri, kwani itakuwa imejirifresh.

6.RESTORE au fanya FACTORY RESET: kitendo hiki kinaweza kuifanya simu yako isirudie kukuletea tatizo hili kwa muda mrefu kidogo. Lakini kama tatizo ni sirias sana huenda isichukuwe muda kurejea.

7.Nenda ukaiflash simu yako kwenye kopyuter.Kama tatizo limeendelea jambo la mwisho la kukusaidia ni kuiflash simu yako kwa kutumia kompyuta. Sikuhisi wapo wanaodai wanaflash lakini wanatumia batan za simu yenyewe kwa kuirestore, japo kitendo hiki kinapunguza tatizo lakini sio sawa na kuiflash.



        

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Teknolojia Main: Jifunze File: Download PDF Views 1120

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Nini Chanzo
Nini Chanzo

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
SIMU KUSUMBUWA MTANDAO NINI SABABU
SIMU KUSUMBUWA MTANDAO NINI SABABU

Kuna mambo mengi sana ambayo yanachangia simu yako kutokuwa na mtandao mzuri yaani network kuwa ndogo.

Soma Zaidi...
Kipi kingine utafanya ukiwa Facebook
Kipi kingine utafanya ukiwa Facebook

Somo hili linakwenda kukueleza Mambo mengne unayoweza kuyafanya ukiwa Facebook

Soma Zaidi...
 JINSI YA KUDOWNLOAD VIDEO YOUTUBE
JINSI YA KUDOWNLOAD VIDEO YOUTUBE

NJIA RAHISI YA KUDOWNLOAD VIDEO YOUTUBE Teknolojia ya mawasiliano ni muhimu katika kuhakikisha kuwa ulimwengu unafikika kama kijiji kimoja na hapa ndipo unapata maana halisi ya neno UTANDAWAZA yaani kwa lugha ya kimombo ni globalization.

Soma Zaidi...
NINI HATMA YA FACEBOOK BAADA YA KUFA KWAKO? nini kitatokea kwenye akaunti yako ya fesibuku (facebook)
NINI HATMA YA FACEBOOK BAADA YA KUFA KWAKO? nini kitatokea kwenye akaunti yako ya fesibuku (facebook)

Facebook hawana mpango wa kufunga akaunti ambazo hazijatumiwa kwa muda mrefu, haijalishi akaunti ni ya marehemu ama yupo hai.

Soma Zaidi...
Kufungua program nyingi kwa wakati mmoja
Kufungua program nyingi kwa wakati mmoja

Posti hii inakwenda kukuelekeza njia za kufungua program nyingi kwa wakati mmoja

Soma Zaidi...
teknolojia
teknolojia

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
MUDA WA KUCHAJI SIMU YAKO AMA MUDA WA KUCHAJI BETRI YAKO
MUDA WA KUCHAJI SIMU YAKO AMA MUDA WA KUCHAJI BETRI YAKO

Wwatu wengi wamekuwa wakijiuliza ni muda gani hasa inapasa kuchaji simu, je nisubiri mpaka chaji iishe kabisa, ama nichaji ikiwa na asilimia ngap?

Soma Zaidi...