image

Kurudisha data zilizo potea

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Kurudisha data zilizo potea

UWANJA WA TEKNOLOJIA

Sehemu ya nane

.

                            jifunze kurudisha data zako zlizpotea


 Hutokea wakati mtumiaji wa simu au kompyuta akapoteza data zake lamfa kwa jizifuta au kwa kufomat. pia inaweza kuwa zimefutwa kwenye menori ya nje yaan external memory au kwenye flash.Hivyo katika makala hii tutakuonesha jinsi ya kuzirudisha data hizo. Kwa kawaida kurudisha data hizi sio kazi ndogo hatakidogo kwani kadri muda wa ulipozifuta uanpoendelea kwenda ndo ugumu wa kuzirudisha unawezekana. Au kwa mtumiaji wa kompyuta kama atabadilisha windiw ugumu wa kurudisha data hizi huzidi halikadhalika mtumiaji wa simu kama atarestore simu yake itakuwa viguu data hizi kupatikana kwa usahihi wake. na mtumiaji wa flash kama ataifomat pia itatwia vigumu kuzirudisha data hizo. H ebu sasa tuone jinsi ya kurudisha data zako zilizopotea.

             1.    vipi utarudisha data ulizozipoteza kwa simu?
1. kurudisha contact na data zingine kwa kutumia internet
umepoteza laini usipatetabu ukiwa na simu nyingine ya smart phone nenda SETTING,kisha nenda ACCOUNT&SYNC menu hii inategemea na simu kisha washa on ACCOUNT&SYNC hakikisha email umeweka ileile ambayo ulikuwa ukiitumia katika simu ilopotea au laini ilopotes.huduma hii ni ya bure kwa watumiaji wa email za google yaan @gmail.com. Contact zitakazorudi ni zole ambazo ulizihifadha save kwenye email yako ya google tu. kwa kuwa google haina limit ya kuhifadhi contact zako ningeshauri ukusave contact utumie google email ili iwe rahisi kurudisha data hizo. Pia huduma hii unaweza ukaipata katika website bofya HAPA kwa maelezo zaidi juu ya kuipata huduma hii kwa kutumia website.
pia kwa watumiaji wa mtandao wa TIGO kuna application yao ya tigobackup ambayo itakuwezesha kurudisha data zako zilizopotea ziwikwa ni contact, picha, SMA,video au audio kuipata application hiyo nenda playstore andika TIGOBACKUP au bofya hapa kupata apllication hiyo. Zipo application zingine nyingi tuu zinazoweza kufanya huduma hii ila nyingi katika hizo zinahitaji ulipia bofya hapa upate list ya application hizo. Pia ikumbukwe kuwa application zote nilizotaja hapo juu zinatumia internet kuweza kufanya kazi yake ya kuweka na kurudisha data hizo. pia unaweza kutumia google drive bofya hapa kupata drive playstore au unaweza kutumia drop box bofya hapa kupata drop box play store. hizi mbili ni za free. ni rahisi kutumia nenda playstoe kwa linki za juu haopo kisha download kisha logni kisha anza kuaplod data zako. unaweza kuzifikia data zako hata kama uko bali na simu yako yaani hata kama upo internet cafe unaweza kuzifunguwa data hizo. Hivyo ikipotea umepoteza simu yako data zile zitaendelea kuwepo online, kuzipata LOGIN kisha zidaunlod.
2.kurudisha data bila ya internet
Hapa itahitajika utumie software au application. pia ni vizuri simu yako uweke RECYCLE BIN ili kurahisisha huduma hii. Pia ijulikane kuwa huduma hii inafanya kazi kwa ufasaha katika simu iliyofanyiwa ROOTING. Hivyo root simu yako bofya hapa kupata application za kuroot simu au bofya hapa kujuwa namna ya kuroot bila ya kutumia kompyuta. Post zijazo tutazungumzia jambo hili nini maana ya kuroot na kuna faida gani kufanya hivyo.
kama simu yako imeshafanyiwa reeting nenda playstore ukadaunload application za kurudisha data zilizopotea kwa kufutwa kutoka kwenye simu yako bofya hapa kupata application hizo au bofya hapa kupata recycle bin.
pia unaweza kutumia kompyuta kurudisha data zilizopotea kwa kutumia computer data recovery software kama tutakavyo zungumza tutapoangalia kurudisha dta kwenye flash au external meory.
                  2. kurudisha data zilizopotea kwenye kompyuta
Data za kwenye kompyuta zimaweza kupotea pale zinapofutwa katika recycle bin, au kufomat disk au pindi unapofanya disk partition.Kwa upande wa kompyuta unaweza kurudisha data hizi kwa kutumia internet yaan online au bila ya kutumia internet.
1. Kurudisha kwa kutumia internet
Hapa tunatumia software ambazo zinafanya backup ya data zako kwenye hifadhi inayofanyakazi online. Hapa nitazungumzia software 2 ambazo ni google drive na drop box bofya katika maneno hayo kwa maelezo zaidi.
Google driver" hii inakupa 15 GB za free kuapload data zako. Kwa kutumia hifadhi hii unaweza kuhifadhi data zenye ukubwa wa  GB 15 na unaweza kuongeza GB nyingi zaidi kama ukilipia. H ivyo kama utakuwa umehifadhi data zako hapa pindi ikipotea simu au kopyta au iwa upo mbali na kompyuta yako au simu yako umnaweza kuingia https://www.google.com/drive/  kwa kupata data zako zilizopo google drive au https://www.dropbox.com/?landing=cntl kupata data ulizozihifadhi drop box. Kitu cha msingi ni kuhakiisha kuwa data zako umeziaplod kwenye mitandao husika hivyo ukizitaka utalogin kisha utaanza kuzidownlod au kuzifunguwa bila ya kuzidaunlod. Zipo software zingine ziingi tu kwa kufnya kazi hii ila itahitajika kuzilipia kwa mfano bofya hapa uone software inayoweza kubackup data kuanzia 16 GB, 500 GB mpaka 1000 GB yaan 1TB.
Tokeo la picha la GOOGLE DRIVE
google drive                                drop box                      

 2.Kurudisha data zilizopotea bila ya internet
Hapa tunatumia software za kurudisha data maarufu kama data recovery software click hapa kuziona 19 free data recovery software. kupata zaidi sofwaware hizi kwa free tumia torrentz au bofya hapa
kupata za free. Unachohitajika kufanya hapa ni kudounlod software hizi isha unaziinstall katika kopyuta yako. kisha funguwa software hiyi na menu itayofunguka itakupa maelekezo
  3. Kurudisha data zilizopotea katika memori au flash
kitu cha kufanya chomeka flash au memori yako kwenye kompyuta yako kisha kwa kutumia adapter.
hapa unachotakiwa ni kuwa na software hizi tulizotaja juu hapa kisha unapochaguwa disk ya kuiricover chaguwa extanal hard disk. Kupata software hizi unaweza kutumia link nyingine ya torrentz hii hapa. Ila lazima itambulike kuwa link za torrentz lazima uwe na software ya torrentz ambayo itakufanya udaunlod magnet link, bofya hapa kupata torrentz software. Baada ya kuinstall software hizo ingiza flash au memori yako kisha chaguwa faili unalotaka kulirudisha, kisha chaguwa external disk kisha anza mchakato wako.
Huundo mwisho wa makala hii niliyoikusudia kuelza namna ya kurudisha data zilizopotea katiaka simu, memori au flash.



         › WhatsApp ‹ Whatsapp





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 375


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Je nitumie simu yangu wakati inachaji?
Somo hili linakwenda kujibu swali la je nitumie simu yangu wakati inachaji Soma Zaidi...

Simu au Kompyuta inastak? (inasumbua)
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta.. Soma Zaidi...

Kutuma sms ndefu
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta.. Soma Zaidi...

Kufungua program nyingi kwa wakati mmoja
Posti hii inakwenda kukuelekeza njia za kufungua program nyingi kwa wakati mmoja Soma Zaidi...

Nini chanzo cha tatizo la computer au simu yako
Posti hii inakwenda kukupa elimu kuhusu chanzo cha tatizo la computer au simu yako Soma Zaidi...

Kurudisha data zilizo potea
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta.. Soma Zaidi...

Nini Chanzo
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta.. Soma Zaidi...

UTUNZAJI WA BETRY YA KIFAA CHAKO
Namna ya kutunza betri yako iweze kudumu kwa muda mrefu Soma Zaidi...

Utajuaje Kama simu au kompyuta yako Ina virus
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kujua Kama simu yako ina virus Soma Zaidi...

Epuka malware (virus,work)ukiwa mtandaoni
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuepuka malware ukiwa mtandaoni Soma Zaidi...

Muda wa kuchaji simu yako
Posti hii itakwenda kukujuza juu ya kuda mzuri wa kuchaji simu yako Soma Zaidi...

Nini maana na Trojan na ni zipi athari zake kwenye kompyuta ama simu
Soma Zaidi...