FUNGA YA RAMADHAN
Ni wajibu kwa kila `muislamu aliye balehe na kuwa na akili timamu, na awe mkazi wa mji (asiwe msafiri). Funga pia ni nguzo katika uislamu. Na funga ya ramadhani imethibiti katika qurani na katika sunnah. Amesema Allah: enyi mlioamini kumefaradhishwa kwenu kufunga.…..” Amesema Mtume kuwa: umejengwa uislamu juu ya nguzo tano: kutoa shahada kuwa hakuna Mola apasaye kuabudiwa ila Allah na kuwa Muhammad ni mtume wake, na kusimamisha swala, na kutoa zaka na kuhiji na kufunga mwezi wa ramadhani. (Bukhari na Muslim)
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika kipengele hiki tutajifunza nguzo za uislamu.aina tano za nguzo za uislamu,dhana ya nguzo za uislamu,lengo na umuhimu wa nguzo za uislamu
Soma Zaidi...(b) WarumiJamii ya Warumi nayo ni miongoni mwa jamii zinazohesabika kuwa zilianza kustaarabika mapema katika historia ya ulimwengu.
Soma Zaidi...Posti hii itakwenda kukufunza utofauti kati ya uadilifu na usawa
Soma Zaidi...Nguzo za Imani, tofauti kati ya sadaqat na zakat (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu lengo la kusimamisha swala.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha jinsi ya kuoga josho kisheria.
Soma Zaidi...عَنْ أَبِي يَعْلَى شَدَّادِ بْنِ أَوْسٍ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ عَنْ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم قَالَ: "إنَّ اللَّهَ كَتَبَ الْإِح...
Soma Zaidi...