image

Namna ya kutibu ugumba kwa Mwanaume.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutibu tatizo la ugumba kwa Mwanaume, ni njia ambazo utumiwa na wataalam mbalimbali Ili kuweza kutibu tatizo la ugumba kwa wanaume.

Namna ya kutibu tatizo la ugumba kwa wanaume

1. Kuepuka kufanya ngono na wapenzi wengi (michepuko)

kila washiriki wako wa ngono wanapoongezeka ndipo unapozidi kujiweka kaika hatari ya kupata magonjwa ya ngono. katika magonjwa haya yapo ambayo yanaweza kuathiri mfumo wa uzazi na kukufanya upoteze uwezo wa kusababisha mimba kwa mpenzi wako.

 

2. Kufanyiwa upasuaji.

Upasuaji pengine ni wa lazima katika via vya uzazi vya wanaume kwa Sababu pengine mbegu za kiume uzalishwa na kutunzwa Ili ziweze kukomaa lakini pengine zinashindwa kupanda au upanda kidogo kwa sababu ya mrija unaopandisha mbegu uwa na Maambukizi ambayo ubana sehemu ambazo mbegu zinaweza kupitia na kutungisha mimba, kwa kufanya upasuaji sehemu ya kupitia mbegu inaweza kutosha na baadae mwanaume anaweza kutungisha mimba.

 

3. Kutumia dawa na Vitamini .

Kwa kutumia dawa na Vitamini mbalimbali vinaweza kufanya mwanaume anaweza kutungisha mimba, kwa sababu Kuna dawa ambazo usaidia mbegu za kiume ziweze kukomaa na dawa nyingine usababisha kiasi Cha shahawa kuongezeka na kuweza kutungisha mimba, kwa hiyo wanaume wakigundua tatizo hili wanapaswa kwenda kuwaona wataalamu wa afya kwani dawa zipo na wengi wamepona.

 

4. Kutumia njia za kisasa za kuvuna manii ya mwanaume na kuyapandikiza kwa mwanamke.

Kuna njia nyingine bambayi utumiwa na wataalam ambapo mbegu  za mwanaume uchunjwa na kubaki zile mbegu zenye nguvu ya kutungisha mimba na kuziweka  karibu na mwanamke na Mimba inatungwa vizuri na mfumo huu kwa kitaalamu huitwa intrauterine insemination hii njia umetumiwa na wengi na wamefaulu kupata watoto.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 4079


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Huduma za msingi kwa mama mjamzito na mtoto.
Posti hii inahusu zaidi huduma muhimu anazopaswa kupewa mama mjamzito wakati akiwa na mimba, wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua yaani ndani ya masaa ishirini na manne, tunajua wazi kuwa Mama akiwa mjamzito anaweza kupata matatizo mbalimbali kwa h Soma Zaidi...

Je siku ya kwanza kabisa ya ovulation mimba inakuwa ni uhakika kupata mimba?
Watu wengi wanadhania kuwa kufanya tendo la ndoa katika siku hatari ni lazima kuwa utapata ujauzito. Hili sio sahihi kabisa. Post hii itakwenda kuangalia jambo hili zaidi. Soma Zaidi...

Maumivu ya tumbo kabla ya kupata hedhi
Je unasumbuliwa na maumivu ya tumbo. Unadhani ni dalili za mimba na ukapima hakuna mimba. Soma Zaidi...

Samahani naomba kuhuliza je unaweza kutokwa na maji maji ambayoa ayana rangi Wala harufu Ni dalili gani kwa mimba ya mwezi mmoja
ukiwa na ujauzito unaweza kuona mabadiliko mengi katika mwili wako yakiwemo kutokwa na majimaji. je majimaji haya yana dalili gani kwenye ujauzito? Soma Zaidi...

Zifahamu sifa za mtoto mchanga.
Posti hii inahusu zaidi sifa ambazo mtoto mchanga anapaswa kuwa Nazo,ni sifa ambazo lazima zionekane kwa mtoto mchanga pale anapozaliwa na zikikosa ni lazima kuja kuwa mtoto ana matatizo mbalimbali kwa hiyo zifuatazo ni sifa za mtoto mchanga kama ifuatavy Soma Zaidi...

SABABU ZA KUKOSA HAMU YA TENDO LANDOA
Hii ni hali inayompata mtu kukosa hamu kabisa ya kushiriki kitendo chochote kinachohusiana na kufanya tendo landoa au bunyeto. Soma Zaidi...

Siku za kupata mimba
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba Soma Zaidi...

UTI na ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa UTI kwa wajawazito Soma Zaidi...

mpenzi wangu nimeshiriki nae tendo la ndoa akiwa siku zake za hatar kwa siku 3 lakin hajashika mimba tatizo linaweza kuwa ni nini?
Kupata ujauzito hufungamana na mambo mengi ikiwepo afya vya wawili yaani me na mume na mengineyo. Unaweza kushiriki sikuvhatari na usiupate mimba. Postivhii ibakwendavkukufahamisha undani wa jambo hili. Soma Zaidi...

Yajue mazoezi ya kegel
Posti inahusu zaidi mazoezi ya kegel, ni mazoezi ambayo ufanywa na watu wengi na sehemu yoyote yanaweza kufanywa kama vile chumbani, sebuleni, uwanjani na sehemu yoyote ile na kwa watu tofauti. Soma Zaidi...

Haya maji meupe hutokea wakat mimba ishatungwa au ukifanya tendo la ndoa lazima utokee?
Majimaji yanayitoka kwenye uke yanafungamana na taarifa nyingi kuhusu afya vya mwanamke. Ujauzito, maradhi, mabadiliko ya homoni na zaidi. Soma Zaidi...

Umuhimu wa kunyonyesha kwa Mama
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha kwa akina Mama, kunyonyesha ni kitendo ambacho Mama utumia maziwa yake na kumlisha mtoto pindi tu anapozaliwa mpaka wakati anapoachishwa titi, kunyonyesha huwa na faida kubwa kwa wote yaani Mama na mtoto, zif Soma Zaidi...