Posti hii inahusu zaidi namna ya kutibu tatizo la ugumba kwa Mwanaume, ni njia ambazo utumiwa na wataalam mbalimbali Ili kuweza kutibu tatizo la ugumba kwa wanaume.
Namna ya kutibu tatizo la ugumba kwa wanaume
1. Kuepuka kufanya ngono na wapenzi wengi (michepuko)
kila washiriki wako wa ngono wanapoongezeka ndipo unapozidi kujiweka kaika hatari ya kupata magonjwa ya ngono. katika magonjwa haya yapo ambayo yanaweza kuathiri mfumo wa uzazi na kukufanya upoteze uwezo wa kusababisha mimba kwa mpenzi wako.
2. Kufanyiwa upasuaji.
Upasuaji pengine ni wa lazima katika via vya uzazi vya wanaume kwa Sababu pengine mbegu za kiume uzalishwa na kutunzwa Ili ziweze kukomaa lakini pengine zinashindwa kupanda au upanda kidogo kwa sababu ya mrija unaopandisha mbegu uwa na Maambukizi ambayo ubana sehemu ambazo mbegu zinaweza kupitia na kutungisha mimba, kwa kufanya upasuaji sehemu ya kupitia mbegu inaweza kutosha na baadae mwanaume anaweza kutungisha mimba.
3. Kutumia dawa na Vitamini .
Kwa kutumia dawa na Vitamini mbalimbali vinaweza kufanya mwanaume anaweza kutungisha mimba, kwa sababu Kuna dawa ambazo usaidia mbegu za kiume ziweze kukomaa na dawa nyingine usababisha kiasi Cha shahawa kuongezeka na kuweza kutungisha mimba, kwa hiyo wanaume wakigundua tatizo hili wanapaswa kwenda kuwaona wataalamu wa afya kwani dawa zipo na wengi wamepona.
4. Kutumia njia za kisasa za kuvuna manii ya mwanaume na kuyapandikiza kwa mwanamke.
Kuna njia nyingine bambayi utumiwa na wataalam ambapo mbegu za mwanaume uchunjwa na kubaki zile mbegu zenye nguvu ya kutungisha mimba na kuziweka karibu na mwanamke na Mimba inatungwa vizuri na mfumo huu kwa kitaalamu huitwa intrauterine insemination hii njia umetumiwa na wengi na wamefaulu kupata watoto.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa.
Soma Zaidi...Hii ni hali inayompata mtu kukosa hamu kabisa ya kushiriki kitendo chochote kinachohusiana na kufanya tendo landoa au bunyeto.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba imetoka moja kwa moja, aina hiyo ya mimba kwa kitaalamu huitwa complete abortion.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sifa za Ute wa ovulation, ni Ute ambao utokea siku za ovulation yaani siku ambazo ni tayari kwa kubeba mimba, yaani siku za upevishaji wa yai.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuepuka fangasi za ukeni, ni njia ambazo usaidia kuepuka madhara ya fangasi za ukeni.
Soma Zaidi...Je unawaza nini endapo bikra itatolewa bila wewe kukusudia, je imetolewa kwa njia ya kawaida yaani uume ama ilikuwa ni ajali?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
Soma Zaidi...