Posti hii inahusu zaidi namna ya kutibu tatizo la ugumba kwa Mwanaume, ni njia ambazo utumiwa na wataalam mbalimbali Ili kuweza kutibu tatizo la ugumba kwa wanaume.
Namna ya kutibu tatizo la ugumba kwa wanaume
1. Kuepuka kufanya ngono na wapenzi wengi (michepuko)
kila washiriki wako wa ngono wanapoongezeka ndipo unapozidi kujiweka kaika hatari ya kupata magonjwa ya ngono. katika magonjwa haya yapo ambayo yanaweza kuathiri mfumo wa uzazi na kukufanya upoteze uwezo wa kusababisha mimba kwa mpenzi wako.
2. Kufanyiwa upasuaji.
Upasuaji pengine ni wa lazima katika via vya uzazi vya wanaume kwa Sababu pengine mbegu za kiume uzalishwa na kutunzwa Ili ziweze kukomaa lakini pengine zinashindwa kupanda au upanda kidogo kwa sababu ya mrija unaopandisha mbegu uwa na Maambukizi ambayo ubana sehemu ambazo mbegu zinaweza kupitia na kutungisha mimba, kwa kufanya upasuaji sehemu ya kupitia mbegu inaweza kutosha na baadae mwanaume anaweza kutungisha mimba.
3. Kutumia dawa na Vitamini .
Kwa kutumia dawa na Vitamini mbalimbali vinaweza kufanya mwanaume anaweza kutungisha mimba, kwa sababu Kuna dawa ambazo usaidia mbegu za kiume ziweze kukomaa na dawa nyingine usababisha kiasi Cha shahawa kuongezeka na kuweza kutungisha mimba, kwa hiyo wanaume wakigundua tatizo hili wanapaswa kwenda kuwaona wataalamu wa afya kwani dawa zipo na wengi wamepona.
4. Kutumia njia za kisasa za kuvuna manii ya mwanaume na kuyapandikiza kwa mwanamke.
Kuna njia nyingine bambayi utumiwa na wataalam ambapo mbegu za mwanaume uchunjwa na kubaki zile mbegu zenye nguvu ya kutungisha mimba na kuziweka karibu na mwanamke na Mimba inatungwa vizuri na mfumo huu kwa kitaalamu huitwa intrauterine insemination hii njia umetumiwa na wengi na wamefaulu kupata watoto.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba , tunapaswa kujua hivi Ili kuweza kupanga uzazi na kuepuka njia ambazo ni hatarishi kwa afya zetu.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kujiepusha na maradhi ya ini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sifa ambazo mtoto mchanga anapaswa kuwa Nazo,ni sifa ambazo lazima zionekane kwa mtoto mchanga pale anapozaliwa na zikikosa ni lazima kuja kuwa mtoto ana matatizo mbalimbali kwa hiyo zifuatazo ni sifa za mtoto mchanga kama ifuatavy
Soma Zaidi...Kamaumeshawahi kujiuliza kuhusu kutokwaba damu tofautivna siku za hedhi, base mwaka hii ni kwaajiki yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mwanamke kukosa tendo la ndoa, ni sababu ambazo uwakuta wanawake wengi unakuta mama yuko kwenye ndoa ila hana hata hamu ya lile tendo la ndoa hali ambayo umfanya mwanamke kuona kitendo cha tendo la ndoa ni unyanyasaji au
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha i
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za kujifungua hatua kwa hatua
Soma Zaidi...Majimaji msule sehemu za siriyanaweza kuashiria mambo mengi ka mwanamke. Ikiwemo ujauzitina maradhi. Pia yanaweza kuashiria kuwa mwanamke unaweza kuoatavujauzito amalaa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za uvimbe kwenye kizazi, uvimbe unatokea kwenye kizazi ila utofautiana kulingana na sehemu ambazo uvimbe huo umepata.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa maji yaliyomo kwenye mfuko wa mtoto akiwa tumboni. Ni maji ambayo kwa kitaalamu huitwa (Amniotic fluid)
Soma Zaidi...