Posti hii inahusu zaidi Dalili zinazoweza kujitokeza baada ya sehemu ya kupeleka taarifa kwenye ubongo imearibika, kwa hiyo mambo yafuatayo yakijitokeza utajua wazi kuwa kuna matatizo kwenye mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo.
Dalili ambazo ujitokeza kama kuna uharibifu kwenye mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa ili mtu kuona kitu ni lazima kupitia kwenye retina na baadae kwenda kwenye mfumo wa kupeleka taarifa na baadae kwenye ubongo kwa hiyo kuna wakati mfumo huu uharibika kwa hiyo mtu anaweza kuwa na dalili zifuatazo.
2. Maumivu ya macho.
Kuna wakati mwingine mtu anaweza kuhisi kubwa na maumivu ya kawaida ya macho inawezekana kuwa kwa ndani au kwa nje na maumivu hayo udumu kwa mda na mgonjwa akipatwa na hali kama hizi anapaswa kuwahi hospitali ili kuweza kupata matibabu mapema.
3. Mshutuko wa mwanga hasa pale mwanga ukiwa mkali.
Kuna wakati mwingine Mgonjwa anashutuka akiona mwanga ni mkali na pengine utaona anafunika macho kabisa pale mwanga ukija kwenye macho kwa hiyo Mgonjwa akiona dalili hizi anapaswa kuwahi hospitali ili kutibu tatizo hili mapema.
4. Pengine Mgonjwa anaweza kuona rangi rangi.
Hali hii utokea kwa mgonjwa pale tatizo likiwa kubwa anaanza kuona rangi rangi kwa sababu ya mfumo kushindwa kusafilisha ujumbe kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwahi matibabu.
5. Ikiwa tatizo halikutibiwa kwa mda mgonjwa anaweza kushindwa kuona na hivyo akawa kipofu kwa hiyo tunapaswa kuwahi huduma hizi mapema ili tuweze kuepuka kuendelea kuleta matatizo mbalimbali na yaliyo makubwa.
6.Na pia mgonjwa akiwa kwenye tatizo hili la kushindwa kwa mishipa ya kupeleka taarifa kwenye ubongo anaweza pia kuhisi kichefuchefu na kutapika kwa hiyo hali hii ikitokea hasiogope na kuanza kujadili kuwa macho yanaingilia aje na kutapika na kichefuchefu ni kawaida na tunapaswa kujua hilo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO Ili kugundua vidonda, daktari wako anaweza kwanza kuchukua historia ya matibabu na kufanya uchunguzi wa mwili.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ngozi kuwa kavu si mbaya, lakini inaweza kusumbua na isipendeze, ikitengeneza mistari laini na Mikunjo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa uti wa mgongo, ni ugonjwa unaoshambulia sehemu inayofunika ubongo na pia sehemu ya spinal cord
Soma Zaidi...Homa ni moka ya dalili inayohusiana na maradhi mengi sana. Unaweza kuwa na homa ikawa pia si maradhi kumbe ni stress tu. Je unasumbuliwa na homa za mara kwamara, Makala hii ni kwa ajili yako
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa pre- eclampsia ni Ugonjwa ambao uwapata wanawake wajawazito uwapata pale mimba inapofikisha umri wa wiki ishilini, utokea pale ambapo Mama mjamzito huwa na kiwango kikubwa cha shinikizo la damu na pia kuwepo kwa protini
Soma Zaidi...Pisti hii inahusu zaidi dalili za mtoto mwenye Maambukizi ya ugonjwa wa Dondakoo, tunajua wazi kuwa ugonjwa huu uwashambulia hasa watoto wadogo ambao wako chini ya miaka mitano, kwa hiyo zifuatazo ni baadhi ya Dalili zinazoweza kujitokeza kwa watoto hawa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za jeraha kali kwenye ubongo, ni majeraha ambayo utokea kwenye ubongo pale ambapo mtu anapata ajali au amepigwa na kitu chochote kigumu kichwni, zifuatazo ni dalili za jeraha kali kwenye ubongo
Soma Zaidi...Posti hii inshusiana na dalili za anemia ya minyoo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa tauni ambao kwa kitaalamu huitwa plague ni Ugonjwa unaosababishwa na wadudu ambao huitwa kitaalamu huitwa yersinia pestis ambao ukaa ndani ya panya.
Soma Zaidi...