Dalili za kuaribika kwa mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo

Dalili za kuaribika kwa mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo

Posti hii inahusu zaidi Dalili zinazoweza kujitokeza baada ya sehemu ya kupeleka taarifa kwenye ubongo imearibika, kwa hiyo mambo yafuatayo yakijitokeza utajua wazi kuwa kuna matatizo kwenye mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Dalili ambazo ujitokeza kama kuna uharibifu kwenye mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa ili mtu kuona kitu ni lazima kupitia kwenye retina na baadae kwenda kwenye mfumo wa kupeleka taarifa na baadae kwenye ubongo kwa hiyo kuna wakati mfumo huu uharibika kwa hiyo mtu anaweza kuwa na dalili zifuatazo.

 

2. Maumivu ya macho.

Kuna wakati mwingine mtu anaweza kuhisi kubwa na maumivu ya kawaida ya macho inawezekana kuwa kwa ndani au kwa nje na maumivu hayo udumu kwa mda na mgonjwa akipatwa na hali kama hizi anapaswa kuwahi hospitali ili kuweza kupata matibabu mapema.

 

3. Mshutuko wa mwanga hasa pale mwanga ukiwa mkali.

Kuna wakati mwingine Mgonjwa anashutuka akiona mwanga ni mkali na pengine utaona anafunika macho kabisa pale mwanga ukija kwenye macho kwa hiyo Mgonjwa akiona dalili hizi anapaswa kuwahi hospitali ili kutibu tatizo hili mapema.

 

4. Pengine Mgonjwa anaweza kuona rangi rangi.

Hali hii utokea kwa mgonjwa pale tatizo likiwa kubwa anaanza kuona rangi rangi kwa sababu ya mfumo kushindwa kusafilisha ujumbe kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwahi matibabu.

 

5. Ikiwa tatizo halikutibiwa kwa mda mgonjwa anaweza kushindwa kuona na hivyo akawa kipofu kwa hiyo tunapaswa kuwahi huduma hizi mapema ili tuweze kuepuka kuendelea kuleta matatizo mbalimbali na yaliyo makubwa.

 

6.Na pia mgonjwa akiwa kwenye tatizo hili la kushindwa kwa mishipa ya kupeleka taarifa kwenye ubongo anaweza pia kuhisi kichefuchefu na kutapika kwa hiyo hali hii ikitokea hasiogope na kuanza kujadili kuwa macho yanaingilia aje na kutapika na kichefuchefu ni kawaida na tunapaswa kujua hilo.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1344

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Ugonjwa wa kiseyeye upoje na ni zipi dalili zake
Ugonjwa wa kiseyeye upoje na ni zipi dalili zake

ugonjwa wa kiseyeye, chanzo chake vipi unatokea na ni zipi dalili zake. Yote haya utayapata hapa

Soma Zaidi...
Uchunguzi wa kuharisha damu na tiba yake
Uchunguzi wa kuharisha damu na tiba yake

Posti hii inahusu zaidi uchunguzi wa kuharisha damu na Tiba yake, ni Ugonjwa ambao unaowashambulia sana watoto hasa wenye chini ya umri wa miaka mitano, kwa hiyo huoaugonjwa tunaweza kuutambua na kutibu kwa njia zifuatazo.

Soma Zaidi...
Mtoto Kutokwa na matongo tongo tiba ake nin sababu
Mtoto Kutokwa na matongo tongo tiba ake nin sababu

Hili ni swali lililowahi kuulizwa na moja ya wasomaji wetu

Soma Zaidi...
Dalili za mnungu'nguniko wa moyo
Dalili za mnungu'nguniko wa moyo

Manung'uniko ya moyo ni sauti wakati wa mzunguko wa mapigo ya moyo wako kama vile kutetemeka inayotolewa na damu yenye msukosuko ndani au karibu na moyo wako.

Soma Zaidi...
Tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nina minyoo
Tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nina minyoo

Mie ni kijana wa kiume umri 33, nna tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nna minyoo lakini hata nikinywa dawa sioni afadhali, niliona labda ni pombe nikapumzika kunywa tatizo lipo pale pale japo nisipokunywa haliwi kwa ukubwa ule ila lipo.

Soma Zaidi...
 Ufahamu Ugonjwa wa hepatitis B
Ufahamu Ugonjwa wa hepatitis B

Hepatitis B Ni maambukizi ya ini ambayo yamekuwa sugu kuanzia mwezi na kuendelea.

Soma Zaidi...
Mate yanaweza kuambukiza ukimwi
Mate yanaweza kuambukiza ukimwi

Jibu ni hapana, matehayawezi kuambukiza HIV. Lakini swali unalotakiwa kulijibu je ni kwa nini mate hayaambukizi. Makala hii itakwend akukupa majibu haya

Soma Zaidi...
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.

Soma Zaidi...
 Dalili za tonsillitis (mafindo mafindo)
Dalili za tonsillitis (mafindo mafindo)

Tonsillitis kwa kiswahili hujulikana kama mafundomafundo ambayo hutokea pande mbili karibu na Koo na huwa na uvimbe na zikikaa kwa muda bila matibabu hutoa usaha.Dalili na dalili za ugonjwa wa tonsillitis ni pamoja na

Soma Zaidi...
 Dalili za fangasi wa kucha.
Dalili za fangasi wa kucha.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili,sababu za Hatari,na namna ya kujizuia na fangasi wa kucha.

Soma Zaidi...