image

Dalili za kuaribika kwa mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo

Posti hii inahusu zaidi Dalili zinazoweza kujitokeza baada ya sehemu ya kupeleka taarifa kwenye ubongo imearibika, kwa hiyo mambo yafuatayo yakijitokeza utajua wazi kuwa kuna matatizo kwenye mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo.

Dalili ambazo ujitokeza kama kuna uharibifu kwenye mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa ili mtu kuona kitu ni lazima kupitia kwenye retina na baadae kwenda kwenye mfumo wa kupeleka taarifa na baadae kwenye ubongo kwa hiyo kuna wakati mfumo huu uharibika kwa hiyo mtu anaweza kuwa na dalili zifuatazo.

 

2. Maumivu ya macho.

Kuna wakati mwingine mtu anaweza kuhisi kubwa na maumivu ya kawaida ya macho inawezekana kuwa kwa ndani au kwa nje na maumivu hayo udumu kwa mda na mgonjwa akipatwa na hali kama hizi anapaswa kuwahi hospitali ili kuweza kupata matibabu mapema.

 

3. Mshutuko wa mwanga hasa pale mwanga ukiwa mkali.

Kuna wakati mwingine Mgonjwa anashutuka akiona mwanga ni mkali na pengine utaona anafunika macho kabisa pale mwanga ukija kwenye macho kwa hiyo Mgonjwa akiona dalili hizi anapaswa kuwahi hospitali ili kutibu tatizo hili mapema.

 

4. Pengine Mgonjwa anaweza kuona rangi rangi.

Hali hii utokea kwa mgonjwa pale tatizo likiwa kubwa anaanza kuona rangi rangi kwa sababu ya mfumo kushindwa kusafilisha ujumbe kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwahi matibabu.

 

5. Ikiwa tatizo halikutibiwa kwa mda mgonjwa anaweza kushindwa kuona na hivyo akawa kipofu kwa hiyo tunapaswa kuwahi huduma hizi mapema ili tuweze kuepuka kuendelea kuleta matatizo mbalimbali na yaliyo makubwa.

 

6.Na pia mgonjwa akiwa kwenye tatizo hili la kushindwa kwa mishipa ya kupeleka taarifa kwenye ubongo anaweza pia kuhisi kichefuchefu na kutapika kwa hiyo hali hii ikitokea hasiogope na kuanza kujadili kuwa macho yanaingilia aje na kutapika na kichefuchefu ni kawaida na tunapaswa kujua hilo.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1020


Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 kitabu cha Simulizi     ๐Ÿ‘‰2 Kitau cha Fiqh     ๐Ÿ‘‰3 Madrasa kiganjani     ๐Ÿ‘‰4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Sababu za Uvimbe wa tishu za Matiti kwa wavulana au wanaume
posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wa tishu za matiti kwa wavulana au wanaume, unaosababishwa na kutofautiana kwa homoni za estrojeni na testosterone. Pia unaweza kuathiri matiti moja au zote mbili, wakati mwingine bila usawa. Watoto wachanga, Soma Zaidi...

Ugonjwa wa Malengelenge sehemu za siri
Malengelenge sehemu za siri ni maambukizi ya kawaida ya zinaa ambayo huathiri wanaume na wanawake. Makala ya malengelenge sehemu za siri ni pamoja na maumivu, kuwasha na vidonda katika sehemu yako ya uzazi. Lakini huenda usiwe na dalili au ishara za mal Soma Zaidi...

Dalili zake mtoto mwenye Ugonjwa wa Maambukizi kwenye koo
Pisti hii inahusu zaidi dalili za mtoto mwenye Maambukizi ya ugonjwa wa Dondakoo, tunajua wazi kuwa ugonjwa huu uwashambulia hasa watoto wadogo ambao wako chini ya miaka mitano, kwa hiyo zifuatazo ni baadhi ya Dalili zinazoweza kujitokeza kwa watoto hawa. Soma Zaidi...

MTAMBUE MDUDU MBU ILI UWEZE KUJIKINGA NA UGONJWA WA MALARIA (yajuwe maajabu makubwa ya mdudu mbu)
Mbu ni katika wadudu wanaopatikana maeneo yenye joto hususan maeneo ynye hali ya hewa ya kitropik. Soma Zaidi...

NJIA ZA KUKABILIANA NA PRESHA YA KUSHUKA
1. Soma Zaidi...

Dalili za kisukari na njia za kuzuia kisukari
Posti hii inaelezea ugonjwa wa kisakari, dalili zake,na namna ya kujikinga usipate kisukari au Kama tayari unakisukari ukijikinga madhara yanapungua au kupona kabisa.Kisukari au bolisukari (jina la kitaalamu: diabetes mellitus) ni ugonjwa unaoonyesha viwa Soma Zaidi...

Virusi vinavyopelekea Kuharisha Sana na Kutapika Sana(norovirus)
Maambukizi ya Norovirus yanaweza kusababisha kutapika sana naร‚ย Kuhara. Virusi huambukiza sana na kwa kawaida huenea kupitia chakula au maji ambayo yamechafuliwa na kinyesi wakati wa kutayarisha. Unaweza pia kuambukizwa kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu Soma Zaidi...

Naomb niulize ukiingiliana na mwanmke mweny ukimwi unaweza kuambikizwa na kusaambaaa kwa mda gan ndan ya mwil
Muda gani ukimwi huweza kuonekana mwilini ama kugundulika kama umeathirika, ni dalili zipo hujitokeza punde tu utakapoathirika Soma Zaidi...

Fangasi aina ya Candida
Huu ni ugonjwa wa fangasi wanaosababishwa na mashambulizi ya fangani aia ya yeast waitwao candida. Soma Zaidi...

Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kushoto
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kushoto Soma Zaidi...

Dalili za maumivu ya uti wa Mgongo
Posti hii inahusu zaidi dalili za uti wa mgongo ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la uti wa Mgongo. Soma Zaidi...

AINA ZA MINYOO: tapeworm, livefluke, roundworm, hookworm, flatworm
AINA ZA MINYOO Minyoo ambao wanaweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu wapo aina nying, lakini hapa nitakueleza aina kuu tatu za minyoo hawa. Soma Zaidi...