Posti hii inahusu dalili za figo.figo husawazisha maji mwilini pamoja na kuchuja mkojo.
Dalili
1.Kukojoa Mara kwa Mara asa wakati wa usiku ambapo Figo huchuja mkojo na ikipata madhara hushindwa kufanya kazi na kupelekea mkojo kuwa mwingin.
2.maumivu; kikawaida Figo husaidia mifupa sasa ukishindwa kufanya kazi mifupa huvunjika vunjika kwa watu wazima na kushindwa kukua kwa watoto kwa sababu ya upungufu wa vitamini D inayotengenezwa na figo .
3.shinikizo la Damu kuwa juu; kwa sababu ya sumu zinazobakia mwilini .
4.damu kupungua kutokana na Figo kishindwa kuchuja uchafu na kishindwa kutengeneza homoni inayosaidia kuchuja chembechembe za Damu.
5.kukosa hamu ya chakula;
6;kupata kichefuchefu na kutapika ; dalili hii huonekana mapema kabla Figo haijapata madhara zuru
7.kuvimba miguu,mikono na usoni pia (oedema)
8.kushindwa kukojoa; Figo ukishindwa kabisa kufanya kazi yaan kuchuja mkojo mkojo unashindwa kutoka.
8.tumbo kuuma na kuvimba kwa sababu ya mkojo kishindwa kutoka.
9.sumu kwenye mwili; Figo ukishindwa kuchuja mkojo sumu hubaki mwilini na kusambaa na kupelekea madhara mengine.
10.mwili kuchoka.
11.kushindwa kulala na kutokuwa makini.
12.kizuzunguzungu kinachotokana na mwili kukosa nguvu na upungufu wa damu
13.mwanamke anaweza kukosa hedhi.
14.mwanaume anaweza kukosa hamu ya kufanya mapenzi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 2480
Sponsored links
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
kitabu cha Simulizi
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5
Kitabu cha Afya
👉6
Kitau cha Fiqh
DAWA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO
DAWA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO Dawa za kukabiliana na zaidi ambazo zina calcium carbonate (Tums, Rolaids), zinaweza kusaidia kutibu vidonda vya tumbo lakini hazipaswi kutumiwa kama matibabu ya msingi. Soma Zaidi...
HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO
HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO Unaweza kupunguza hatari yako ya vidonda vya tumbo ikiwa unafuata mikakati sawa inayopendekezwa kama tiba ya nyumbani kutibu vidonda. Soma Zaidi...
Njia za kuzuia upele
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia upele, ni njia ambazo utumiwa Ili kupunguza tatizo la upele kwenye jamii, kwa hiyo jamii inapaswa kutumia njia hizi Ili kuweza kupambana na ugonjwa huu ambao unatibika. Soma Zaidi...
Je mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa?
Naomba kuuliza swaliJe mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa? Soma Zaidi...
Matatizo ya mapigo ya moyo
posti hii inazungumzia kuhusiana na matatizo ya mapigo ya moyo.Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, unaodunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza k Soma Zaidi...
Sababu za Maumivu ya shingo
Posti hii inazungumzia kuhusiana na maumivu ya shingo na ndani yake kunasababu zinazopelekea shingo kupata maumivu. Soma Zaidi...
Dalilili za kidole tumbo (appendicitis)
Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa wa Kidole ambao kitaalamu hujulikana Kama Appendicitis. Kidole tumbo husababisha maumivu kwenye tumbo la chini la kulia. Hata hivyo, kwa watu wengi, maumivu huanza karibu na kitovu na kisha kusonga. Kadiri uvi Soma Zaidi...
Kiungulia na tiba zake kwa wajawazito.
Posti hii inahusu kiungulia kwa wanawake wajawazito na tiba yake, ni ugonjwa au hali inayowapata wajawazito walio wengi kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya homoni wakati wa ujauzito. Soma Zaidi...
Yajue matatizo yanayosababisha Ugonjwa wa akili.
Madhara ya ugonjwa wa akili yanaweza kuwa ya muda au ya kudumu. Unaweza pia kuwa na zaidi ya ugonjwa mmoja wa afya ya akili kwa wakati mmoja. Kwa mfano, unaweza kuwa na ulegevu na ugonjwa wa matumizi ya madawa ya kulevya. Soma Zaidi...
Dalili za Kufunga kwa ulimi (tongue tie)
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za Kufunga kwa ulimi (Tongue-tie) kuanzia Mtoto anavyo zalia mpaka navyokua ni hali inayotokea wakati wa kuzaliwa ambayo kitaalamu hujulikana kama ankyloglossia. Soma Zaidi...