Posti hii inahusu dalili za figo.figo husawazisha maji mwilini pamoja na kuchuja mkojo.
Dalili
1.Kukojoa Mara kwa Mara asa wakati wa usiku ambapo Figo huchuja mkojo na ikipata madhara hushindwa kufanya kazi na kupelekea mkojo kuwa mwingin.
2.maumivu; kikawaida Figo husaidia mifupa sasa ukishindwa kufanya kazi mifupa huvunjika vunjika kwa watu wazima na kushindwa kukua kwa watoto kwa sababu ya upungufu wa vitamini D inayotengenezwa na figo .
3.shinikizo la Damu kuwa juu; kwa sababu ya sumu zinazobakia mwilini .
4.damu kupungua kutokana na Figo kishindwa kuchuja uchafu na kishindwa kutengeneza homoni inayosaidia kuchuja chembechembe za Damu.
5.kukosa hamu ya chakula;
6;kupata kichefuchefu na kutapika ; dalili hii huonekana mapema kabla Figo haijapata madhara zuru
7.kuvimba miguu,mikono na usoni pia (oedema)
8.kushindwa kukojoa; Figo ukishindwa kabisa kufanya kazi yaan kuchuja mkojo mkojo unashindwa kutoka.
8.tumbo kuuma na kuvimba kwa sababu ya mkojo kishindwa kutoka.
9.sumu kwenye mwili; Figo ukishindwa kuchuja mkojo sumu hubaki mwilini na kusambaa na kupelekea madhara mengine.
10.mwili kuchoka.
11.kushindwa kulala na kutokuwa makini.
12.kizuzunguzungu kinachotokana na mwili kukosa nguvu na upungufu wa damu
13.mwanamke anaweza kukosa hedhi.
14.mwanaume anaweza kukosa hamu ya kufanya mapenzi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somk hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo mbalimbali yahusuyo HIV na UKIMWI
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia dalili na namna ya kujikinga tusipate mafua .mafua kwa jina lingine hujulikana Kama baridi ya kawaida (common cold).baridi ya kawaida husababishwa na virusi kwenye pua na hutoa makamasi.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukupa majibu ya maswali mengi kuhusu VVU na UKIMWI. tutakwenda kuona kwa ufupi historian a chanzo cha VVU na UKIMWI. hatuwa za maambukizi ya VVU na ukimwi na dalili zake za kuonekana toka kupata maambukizi. Pia hapa utajifunza namna
Soma Zaidi...Kubana kwa kifuwa ni katika hali ambazo si naweza kuhatarisha maisha. Huwenda kuwa ni miongoni mwa dalili za magonjwa mengi. Je unadhani na HIv na UKIMWI ni moja ya magonjwa hayo?
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za maambukizi ya sikio kwa watoto.
Soma Zaidi...Wajawazito wanaposumbuliwa na ugonjwa wa UTI, dalili za UTI na namna ya Kujikinga na UTI
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea sababu zinazosababisha mkojo kuwa na damu.
Soma Zaidi...Manung'uniko ya moyo ni sauti wakati wa mzunguko wa mapigo ya moyo wako kama vile kutetemeka inayotolewa na damu yenye msukosuko ndani au karibu na moyo wako.
Soma Zaidi...Saratani ya kibofu cha nyongo ni Saratani inayoanzia kwenye kibofu cha nyongo. Nyongo yako ni kiungo kidogo, chenye umbo la peari upande wa kulia wa tumbo lako, chini ya ini lako. Kibofu cha nyongo huhifadhi nyongo, Kioevu cha usaga
Soma Zaidi...Saratani ya Mapafu ni aina ya Kansa inayoanzia kwenye mapafu. Mapafu yako ni viungo viwili vya sponji kwenye kifua chako ambavyo huchukua oksijeni unapovuta na kutoa kaboni dioksidi unapotoa nje.
Soma Zaidi...