Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wale ambao tayari wameshakuwa na tatizo la asidi mwilini, ni njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza tatizo hili au Mgonjwa anapoendelea kupata matibabu.
1. Daima kula chakula kisichokuwa na ubaridi au na moto mwingi kwa hiyo kiwe cha kati na wakati wa kula chakula daima kula chakula kwa utaratibu na meza chakula kidogo kidogo hasa kwa wale wenye matatizo ya vidonda kooni.
2. Siku zote usitumie chakula kingi baada ya saa kumi na moja jioni na pia usile chakula na kulala mara tu baada ya kula daima subiri kidogo kabla ya kulala na kula vyakulal laini sana na mlo kidogo baada ya saa kumi na moja jioni.
3. Husilale chako baada ya kula,
Kwa kawaida ukimaliza kula Subiri kidogo na ndipo ulale na pia wakati wa kulala daima lala kwa upande usilale chali , ukilala chali unasababisha kiwango cha asidi kupanda juu na kuingia kooni hali inayoongeza kuwepo kwa tatizo.
4. Wakati wa kula kula kiasi kidogo na mara nyingi uwezavyo.
Hii ina maana kwamba siku zota kama umegundua una tatizo hili kula chakula kidogo kidogo na unaweza kutumia mda mwingi yaani kwa siku unaweza kula mala tano ila una kula chakula kidogo kidogo .
5. Jaribu kupunguza mfumo wa ulaji.
Hii ina maana kuepuka vyakula vya kukaanga, vyakula vyenye kemikali nyingi na vyakula ambavyo huwa na utamu kinywani ila havina faida yoyote mwilini daima siku zote kama una tatizo hili chemsha chakula chako kwa sababu vyakula vyenye kemikali nyingi na mafuta vina asidi nyingi.
6. Epuka nguo za kubana,
Kwa kawa watu wenye matatizo ya kuwepo na asidi mwilini wanapaswa kuepuka nguo za kubana na kuvaa nguo zilizo wazi ili kuweza kuwa huru na kuruhusu mzunguko wa damu mwilini juwa kawaida
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inaenda kuzungumzia zaidi kuhusiana na mimba zinazoharibika . mimba huweza kuaribika au kutoka anzia miezi 3 na kuendelea .
Soma Zaidi...Hepatitis B Ni maambukizi ya ini ambayo yamekuwa sugu kuanzia mwezi na kuendelea.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye milija (follapian tube) kwa kitaalamu huitwa salpingitis, ni maambukizi kwenye milija ambayo husababishwa na bakteria.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu presha ya kushuka/ hypotension
Soma Zaidi...Jifunze dalili za gonorrhea na namna inavyoambukiza, zipi athari za gonori kwa wanawae na wanaume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hatua mbalimbali za Ugonjwa wa Ukimwi, kawaida Ugonjwa huu huwa na hatua kuu nne ila kila hatua huwa na sifa zake kwa hiyo tunapaswa kujua hatua za Ugonjwa huu na kujaribu kuzuia maambukizi yasisambae kabisa.
Soma Zaidi...Weupe kwenye ulimi unaweza kuwa ni hali ya kawaida. Weupe huu ukichanganyika na utandu huwenda ikaashiria uwepo wa hali fulani za kiafya.
Soma Zaidi...Kuna ukimwi na HIV na kila kimoja kina dalili zake na muda wa kuonyesha hizo dalili.
Soma Zaidi...Mngurumo wa moyo ni sauti wakati wa mzunguko wa mapigo ya moyo wako kama vile kutetemeka inayotolewa na damu yenye msukosuko ndani au karibu na moyo wako. Sauti hizi zinaweza kusikika na kifaa kinachojulikana kama stethoscope. Mapigo ya moyo ya kawaida
Soma Zaidi...