Zifahamu sofa za seli

Zifahamu sofa za seli

Seli ni chembechembe hai ambazo zimo ndani ya mwili wa binadamu na hufanya kazi mbalimbali kwenye mwili, binadamu hawezi kuishi bila seli.

Download Post hii hapa

Sifa za seli

_seli zina Tabia ya kuzaliana,seli zinapokuwa zinazalia na kutengeneza umuhimu kwenye mwili

_seli zina Tabia ya kujongea kutoka kwenye sehemu Moja kwenda nyingine kwa ajili ya kazi mbalimbali

_ seli zina Tabia ya kutoa uchafu mwilini,uchafu hutokea mwilini kupitia seli membrane

_seli zina Tabia ya kuzaliana, seli zinazaliana na zinakua na kutoa kitu kingine

_seli zina Tabia ya kupumua

Seli nazo zinahitaji hewa ya oxgeni na hutoa carbon dioxide gasi

_seli zina Tabia ya kuupokea hisia na kuitikia hisia

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1605

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

 NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO
NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO

NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO Ili kugundua vidonda, daktari wako anaweza kwanza kuchukua historia ya matibabu na kufanya uchunguzi wa mwili.

Soma Zaidi...
KAMA UNASUMBULIWA NA FANGASI
KAMA UNASUMBULIWA NA FANGASI

Post hii fupi inakwenda kukujuza juu ya tatizo la fangasi na nini ufanye.

Soma Zaidi...
MATIBABU YA FANGASI
MATIBABU YA FANGASI

Karibia fangasi wote hawa wanatibika bila ya ugumu wowote maka mgonjwa atakamilisha dozi.

Soma Zaidi...
Dalilili za polio
Dalilili za polio

Polio ni ugonjwa wa virusi unaoambukiza ambao katika hali mbaya zaidi husababisha kupooza, kupumua kwa shida na wakati mwingine kifo.

Soma Zaidi...
Homa ya manjano, dalili za homa ya manjano na namna ya kujikinga na homa ya manjano
Homa ya manjano, dalili za homa ya manjano na namna ya kujikinga na homa ya manjano

HOMA YA MANJANO (yellow fever)Homa ya manjano ni maradhi yanayosababishwa na virusi na husambazwa na mbu.

Soma Zaidi...
Maradhi ya macho
Maradhi ya macho

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya macho,dalili na matibabu yake

Soma Zaidi...
Dalili za saratani ya tishu (leukemia)
Dalili za saratani ya tishu (leukemia)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na saratani za tishu ambazo kitaalamu hujulikana Kama Leukemia kawaida huhusisha seli nyeupe za damu. Seli zako nyeupe za damu ni wapiganaji hodari wa maambukizo - kwa kawaida hukua na kugawanyika kwa utaratibu, kadri mwi

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kiseyeye upoje na ni zipi dalili zake
Ugonjwa wa kiseyeye upoje na ni zipi dalili zake

ugonjwa wa kiseyeye, chanzo chake vipi unatokea na ni zipi dalili zake. Yote haya utayapata hapa

Soma Zaidi...