PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html
Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako
Jinsi ya kutumia data za json kwenye program
Kwa kuwa sasa tunaweza kutengeneza data za json kwa database ama kwa njia za kawaida. Sasa ni wakati wa kujifunza kuhusu matumizi ya hizi data. Hapa turtakwenda kujifunza katika namna kuu 2 ambazo ni
-
Kwa kutumia json faili moja kwa moja
-
Kwa kutumia link ambayo ina data za json.
Katika somo hili tutatumia database ambayo tyumeitengeneza kutoka somo lililopita. Pia tutatu8mia json faili ambalo tutalitengeneza kutoka kwenye data za somo lililopita.
Kwa kutumia faili la json
Sasa katyika somo lililopita tulipata data hizui
[
{
"id": "1",
"name": "John Doe",
"position": "Software Engineer",
"salary": "75000.00"
},
{
"id": "2",
"name": "Jane Smith",
"position": "Project Manager",
"salary": "85000.00"
},
{
"id": "3",
"name": "Alice Johnson",
"position": "UX Designer",
"salary": "70000.00"
},
{
"id": "4",
"name": "Bob Brown",
"position": "DevOps Engineer",
"salary": "80000.00"
}
]
Unachotakiwa kufanya nji kutengeneza faili kisha liite data.json kisha ndani ya faili hilo weka data hizo kisha save. Hivyo tunaweza kuzipata data zetu mojja kwa moja kwenye faili letu la php.
Ili kusoma data za json kutoka kwenye faili kuna functuion nyingi utaweza kutumia hata hivyo hapa nitakutajia 3 ambazo ufanyaji8 kazi weke nji mmoja. Kwa kutumia mfano mmoja unaweza kuzitumia zote. Function hizo ni:-
-
File_get_contents()
-
Fopen()
-
file()
Hapa chini nitakuletea mfano kwa kutumia file_get_contents() kisha kwa mfano huo utawezaa kutumia hoozo function nyingine.
Hapa tutakwqenda katika hatuwa kuu 3
Kusoma data za json kutoka kwenye faili
Mfano
$jsonData = file_get_contents('data.json');
Hapo tumetengeneza variable ambayo moja kwa moja inawakilisha data za json zote ambazo zipo kwenye hilo faili la data.json
Ku decode data
Mfano:
$employees = json_decode($jsonData, true);
Mpajka kufikia hapo tayari kazi kubwa tumesha ifanya. Ni vyema kucheck error kama tulivyojifunza masomo yaliyopita
if (json_last_error() !== JSON_ERROR_NONE) {
die('JSON Decoding error: ' . json_last_error_msg());
}
Kusoma hizo data
Data zetu sasa tunaweza kuzisoma kwenye html. Tunaweza kutumia foreach loop ama kwa kawaida. Hapo chini nitakuletea mifano yote.
Kwa kutumia foreach loop
echo "<table border='1'>";
echo "<tr><th>ID</th><th>Name</th><th>Position</th><th>Salary</th></tr>";
foreach ($employees as $employee) {
echo "<tr>";
echo "<td>" . $employee['id'] . "</td>";
echo "<td>" . $employee['name'] . "</td>";
echo "<td>" . $employee['position'] . "</td>";
echo "<td>$" . $employee['salary'] . "</td>";
echo "</tr>";
}
echo "</table>";
Bila ya kutumia foreach loop
<?php
// Read the JSON file
$jsonData = file_get_contents('data.json');
// Decode the JSON data into a PHP array
$employees = json_decode($jsonData, true);
// Check for JSON decoding errors
if (json_last_error() !== JSON_ERROR_NONE) {
die('JSON Decoding error: ' . json_last_error_msg());
}
?>
<table border="1">
<tr>
<th>Name</th>
<th>Position</th>
<th>Salary</th>
&l...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer
Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.
Soma Zaidi...PHP somo la 93: Jinsi ya kutumia faili la env
Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri
Soma Zaidi...PHP somo la 54: PHP OOP class constant
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Soma Zaidi...PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu
Soma Zaidi...PHP somo la 59: static property kwenye PHP
Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika
Soma Zaidi...