PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html
Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako
Jinsi ya kutumia data za json kwenye program
Kwa kuwa sasa tunaweza kutengeneza data za json kwa database ama kwa njia za kawaida. Sasa ni wakati wa kujifunza kuhusu matumizi ya hizi data. Hapa turtakwenda kujifunza katika namna kuu 2 ambazo ni
-
Kwa kutumia json faili moja kwa moja
-
Kwa kutumia link ambayo ina data za json.
Katika somo hili tutatumia database ambayo tyumeitengeneza kutoka somo lililopita. Pia tutatu8mia json faili ambalo tutalitengeneza kutoka kwenye data za somo lililopita.
Kwa kutumia faili la json
Sasa katyika somo lililopita tulipata data hizui
[
{
"id": "1",
"name": "John Doe",
"position": "Software Engineer",
"salary": "75000.00"
},
{
"id": "2",
"name": "Jane Smith",
"position": "Project Manager",
"salary": "85000.00"
},
{
"id": "3",
"name": "Alice Johnson",
"position": "UX Designer",
"salary": "70000.00"
},
{
"id": "4",
"name": "Bob Brown",
"position": "DevOps Engineer",
"salary": "80000.00"
}
]
Unachotakiwa kufanya nji kutengeneza faili kisha liite data.json kisha ndani ya faili hilo weka data hizo kisha save. Hivyo tunaweza kuzipata data zetu mojja kwa moja kwenye faili letu la php.
Ili kusoma data za json kutoka kwenye faili kuna functuion nyingi utaweza kutumia hata hivyo hapa nitakutajia 3 ambazo ufanyaji8 kazi weke nji mmoja. Kwa kutumia mfano mmoja unaweza kuzitumia zote. Function hizo ni:-
-
File_get_contents()
-
Fopen()
-
file()
Hapa chini nitakuletea mfano kwa kutumia file_get_contents() kisha kwa mfano huo utawezaa kutumia hoozo function nyingine.
Hapa tutakwqenda katika hatuwa kuu 3
Kusoma data za json kutoka kwenye faili
Mfano
$jsonData = file_get_contents('data.json');
Hapo tumetengeneza variable ambayo moja kwa moja inawakilisha data za json zote ambazo zipo kwenye hilo faili la data.json
Ku decode data
Mfano:
$employees = json_decode($jsonData, true);
Mpajka kufikia hapo tayari kazi kubwa tumesha ifanya. Ni vyema kucheck error kama tulivyojifunza masomo yaliyopita
if (json_last_error() !== JSON_ERROR_NONE) {
die('JSON Decoding error: ' . json_last_error_msg());
}
Kusoma hizo data
Data zetu sasa tunaweza kuzisoma kwenye html. Tunaweza kutumia foreach loop ama kwa kawaida. Hapo chini nitakuletea mifano yote.
Kwa kutumia foreach loop
echo "<table border='1'>";
echo "<tr><th>ID</th><th>Name</th><th>Position</th><th>Salary</th></tr>";
foreach ($employees as $employee) {
echo "<tr>";
echo "<td>" . $employee['id'] . "</td>";
echo "<td>" . $employee['name'] . "</td>";
echo "<td>" . $employee['position'] . "</td>";
echo "<td>$" . $employee['salary'] . "</td>";
echo "</tr>";
}
echo "</table>";
Bila ya kutumia foreach loop
<?php
// Read the JSON file
$jsonData = file_get_contents('data.json');
// Decode the JSON data into a PHP array
$employees = json_decode($jsonData, true);
// Check for JSON decoding errors
if (json_last_error() !== JSON_ERROR_NONE) {
die('JSON Decoding error: ' . json_last_error_msg());
}
?>
<table border="1">
<tr>
<th>Name</th>
<th>Position</th>
<th>Salary</th>
&l...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 web hosting 👉5 ai web app 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
PHP somo la 93: Jinsi ya kutumia faili la env
Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri
Soma Zaidi...PHP BLOG - somo la 2: Jinsi ya kutengeneza database na kuiunganisha kwenye blog
Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.
Soma Zaidi...PHP somo la 59: static property kwenye PHP
Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika
Soma Zaidi...PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Soma Zaidi...PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Soma Zaidi...PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php
Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function
Soma Zaidi...