PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html

Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako

Jinsi ya kutumia data za json kwenye program

Kwa kuwa sasa tunaweza kutengeneza data za json kwa database ama kwa njia za kawaida. Sasa ni wakati wa kujifunza kuhusu matumizi ya hizi data. Hapa turtakwenda kujifunza katika namna kuu 2 ambazo ni

  1. Kwa kutumia json faili moja kwa moja

  2. Kwa kutumia link ambayo ina data za json.

 

Katika somo hili tutatumia database ambayo tyumeitengeneza kutoka somo lililopita. Pia tutatu8mia json faili ambalo tutalitengeneza kutoka kwenye data za somo lililopita.

 

Kwa kutumia faili la json

Sasa katyika somo lililopita tulipata data hizui

[

 {

   "id": "1",

   "name": "John Doe",

   "position": "Software Engineer",

   "salary": "75000.00"

 },

 {

   "id": "2",

   "name": "Jane Smith",

   "position": "Project Manager",

   "salary": "85000.00"

 },

 {

   "id": "3",

   "name": "Alice Johnson",

   "position": "UX Designer",

   "salary": "70000.00"

 },

 {

   "id": "4",

   "name": "Bob Brown",

   "position": "DevOps Engineer",

   "salary": "80000.00"

 }

]

 

Unachotakiwa kufanya nji kutengeneza faili kisha liite data.json kisha ndani ya faili hilo weka data hizo kisha save. Hivyo tunaweza kuzipata data zetu mojja kwa moja kwenye faili letu la php.

 

Ili kusoma data za json kutoka kwenye faili kuna functuion nyingi utaweza kutumia hata hivyo hapa nitakutajia 3 ambazo ufanyaji8 kazi weke nji mmoja. Kwa kutumia mfano mmoja unaweza kuzitumia zote. Function hizo ni:-

  1. File_get_contents()

  2. Fopen()

  3. file()

Hapa chini nitakuletea mfano kwa kutumia file_get_contents() kisha kwa mfano huo utawezaa kutumia hoozo function nyingine.

Hapa tutakwqenda katika hatuwa kuu 3

Kusoma data za json kutoka kwenye faili

Mfano

$jsonData = file_get_contents('data.json');

 

Hapo tumetengeneza variable ambayo moja kwa moja inawakilisha data za json zote ambazo zipo kwenye hilo faili la data.json

 

Ku decode data 

Mfano:

$employees = json_decode($jsonData, true);

 

Mpajka kufikia hapo tayari kazi kubwa tumesha ifanya. Ni vyema kucheck error kama tulivyojifunza masomo yaliyopita

if (json_last_error() !== JSON_ERROR_NONE) {

   die('JSON Decoding error: ' . json_last_error_msg());

}

 

Kusoma hizo data

Data zetu sasa tunaweza kuzisoma kwenye html. Tunaweza kutumia foreach loop ama kwa kawaida. Hapo chini nitakuletea mifano yote.

 

Kwa kutumia foreach loop

echo "<table border='1'>";

echo "<tr><th>ID</th><th>Name</th><th>Position</th><th>Salary</th></tr>";

 

foreach ($employees as $employee) {

   echo "<tr>";

   echo "<td>" . $employee['id'] . "</td>";

   echo "<td>" . $employee['name'] . "</td>";

   echo "<td>" . $employee['position'] . "</td>";

   echo "<td>$" . $employee['salary'] . "</td>";

   echo "</tr>";

}

 

echo "</table>";

 

Bila ya kutumia foreach loop

<?php

// Read the JSON file

$jsonData = file_get_contents('data.json');

 

// Decode the JSON data into a PHP array

$employees = json_decode($jsonData, true);...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 283

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable

Soma Zaidi...
PHP somo la 94: Maana ya ORM na kazi zake

Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database

Soma Zaidi...
PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutuma Email kwa kutumia PHP

Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()

Soma Zaidi...
PHP - somo la 30: Baadhi function za PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 54: PHP OOP class constant

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .

Soma Zaidi...
PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table

Soma Zaidi...
PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP

Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.

Soma Zaidi...