PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html

Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako

Jinsi ya kutumia data za json kwenye program

Kwa kuwa sasa tunaweza kutengeneza data za json kwa database ama kwa njia za kawaida. Sasa ni wakati wa kujifunza kuhusu matumizi ya hizi data. Hapa turtakwenda kujifunza katika namna kuu 2 ambazo ni

  1. Kwa kutumia json faili moja kwa moja

  2. Kwa kutumia link ambayo ina data za json.

 

Katika somo hili tutatumia database ambayo tyumeitengeneza kutoka somo lililopita. Pia tutatu8mia json faili ambalo tutalitengeneza kutoka kwenye data za somo lililopita.

 

Kwa kutumia faili la json

Sasa katyika somo lililopita tulipata data hizui

[

 {

   "id": "1",

   "name": "John Doe",

   "position": "Software Engineer",

   "salary": "75000.00"

 },

 {

   "id": "2",

   "name": "Jane Smith",

   "position": "Project Manager",

   "salary": "85000.00"

 },

 {

   "id": "3",

   "name": "Alice Johnson",

   "position": "UX Designer",

   "salary": "70000.00"

 },

 {

   "id": "4",

   "name": "Bob Brown",

   "position": "DevOps Engineer",

   "salary": "80000.00"

 }

]

 

Unachotakiwa kufanya nji kutengeneza faili kisha liite data.json kisha ndani ya faili hilo weka data hizo kisha save. Hivyo tunaweza kuzipata data zetu mojja kwa moja kwenye faili letu la php.

 

Ili kusoma data za json kutoka kwenye faili kuna functuion nyingi utaweza kutumia hata hivyo hapa nitakutajia 3 ambazo ufanyaji8 kazi weke nji mmoja. Kwa kutumia mfano mmoja unaweza kuzitumia zote. Function hizo ni:-

  1. File_get_contents()

  2. Fopen()

  3. file()

Hapa chini nitakuletea mfano kwa kutumia file_get_contents() kisha kwa mfano huo utawezaa kutumia hoozo function nyingine.

Hapa tutakwqenda katika hatuwa kuu 3

Kusoma data za json kutoka kwenye faili

Mfano

$jsonData = file_get_contents('data.json');

 

Hapo tumetengeneza variable ambayo moja kwa moja inawakilisha data za json zote ambazo zipo kwenye hilo faili la data.json

 

Ku decode data 

Mfano:

$employees = json_decode($jsonData, true);

 

Mpajka kufikia hapo tayari kazi kubwa tumesha ifanya. Ni vyema kucheck error kama tulivyojifunza masomo yaliyopita

if (json_last_error() !== JSON_ERROR_NONE) {

   die('JSON Decoding error: ' . json_last_error_msg());

}

 

Kusoma hizo data

Data zetu sasa tunaweza kuzisoma kwenye html. Tunaweza kutumia foreach loop ama kwa kawaida. Hapo chini nitakuletea mifano yote.

 

Kwa kutumia foreach loop

echo "<table border='1'>";

echo "<tr><th>ID</th><th>Name</th><th>Position</th><th>Salary</th></tr>";

 

foreach ($employees as $employee) {

   echo "<tr>";

   echo "<td>" . $employee['id'] . "</td>";

   echo "<td>" . $employee['name'] . "</td>";

   echo "<td>" . $employee['position'] . "</td>";

   echo "<td>$" . $employee['salary'] . "</td>";

   echo "</tr>";

}

 

echo "</table>";

 

Bila ya kutumia foreach loop

<?php

// Read the JSON file

$jsonData = file_get_contents('data.json');

 

// Decode the JSON data into a PHP array

$employees = json_decode($jsonData, true);...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 253

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function

Soma Zaidi...
PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 38: Jinsi ya ku upload mafaili zaidi ya moja kwa kutumia PHP

katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop

Soma Zaidi...
PHP - somo la 27: aina za variable kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function

Soma Zaidi...
PHP somo la 90: Jinsi ya kutumia json data kama blog post

Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json

Soma Zaidi...