PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html

Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako

Jinsi ya kutumia data za json kwenye program

Kwa kuwa sasa tunaweza kutengeneza data za json kwa database ama kwa njia za kawaida. Sasa ni wakati wa kujifunza kuhusu matumizi ya hizi data. Hapa turtakwenda kujifunza katika namna kuu 2 ambazo ni

  1. Kwa kutumia json faili moja kwa moja

  2. Kwa kutumia link ambayo ina data za json.

 

Katika somo hili tutatumia database ambayo tyumeitengeneza kutoka somo lililopita. Pia tutatu8mia json faili ambalo tutalitengeneza kutoka kwenye data za somo lililopita.

 

Kwa kutumia faili la json

Sasa katyika somo lililopita tulipata data hizui

[

 {

   "id": "1",

   "name": "John Doe",

   "position": "Software Engineer",

   "salary": "75000.00"

 },

 {

   "id": "2",

   "name": "Jane Smith",

   "position": "Project Manager",

   "salary": "85000.00"

 },

 {

   "id": "3",

   "name": "Alice Johnson",

   "position": "UX Designer",

   "salary": "70000.00"

 },

 {

   "id": "4",

   "name": "Bob Brown",

   "position": "DevOps Engineer",

   "salary": "80000.00"

 }

]

 

Unachotakiwa kufanya nji kutengeneza faili kisha liite data.json kisha ndani ya faili hilo weka data hizo kisha save. Hivyo tunaweza kuzipata data zetu mojja kwa moja kwenye faili letu la php.

 

Ili kusoma data za json kutoka kwenye faili kuna functuion nyingi utaweza kutumia hata hivyo hapa nitakutajia 3 ambazo ufanyaji8 kazi weke nji mmoja. Kwa kutumia mfano mmoja unaweza kuzitumia zote. Function hizo ni:-

  1. File_get_contents()

  2. Fopen()

  3. file()

Hapa chini nitakuletea mfano kwa kutumia file_get_contents() kisha kwa mfano huo utawezaa kutumia hoozo function nyingine.

Hapa tutakwqenda katika hatuwa kuu 3

Kusoma data za json kutoka kwenye faili

Mfano

$jsonData = file_get_contents('data.json');

 

Hapo tumetengeneza variable ambayo moja kwa moja inawakilisha data za json zote ambazo zipo kwenye hilo faili la data.json

 

Ku decode data 

Mfano:

$employees = json_decode($jsonData, true);

 

Mpajka kufikia hapo tayari kazi kubwa tumesha ifanya. Ni vyema kucheck error kama tulivyojifunza masomo yaliyopita

if (json_last_error() !== JSON_ERROR_NONE) {

   die('JSON Decoding error: ' . json_last_error_msg());

}

 

Kusoma hizo data

Data zetu sasa tunaweza kuzisoma kwenye html. Tunaweza kutumia foreach loop ama kwa kawaida. Hapo chini nitakuletea mifano yote.

 

Kwa kutumia foreach loop

echo "<table border='1'>";

echo "<tr><th>ID</th><th>Name</th><th>Position</th><th>Salary</th></tr>";

 

foreach ($employees as $employee) {

   echo "<tr>";

   echo "<td>" . $employee['id'] . "</td>";

   echo "<td>" . $employee['name'] . "</td>";

   echo "<td>" . $employee['position'] . "</td>";

   echo "<td>$" . $employee['salary'] . "</td>";

   echo "</tr>";

}

 

echo "</table>";

 

Bila ya kutumia foreach loop

<?php

// Read the JSON file

$jsonData = file_get_contents('data.json');

 

// Decode the JSON data into a PHP array

$employees = json_decode($jsonData, true);...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 568

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.

Soma Zaidi...
PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Soma Zaidi...
PHP somo la 75: Content-Type Header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.

Soma Zaidi...
PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form

Soma Zaidi...
PHP somo la 58: static method kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP somo la 79: Custom header

Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake

Soma Zaidi...
PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 59: static property kwenye PHP

Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika

Soma Zaidi...
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

Soma Zaidi...