Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako
Jinsi ya kutumia data za json kwenye program
Kwa kuwa sasa tunaweza kutengeneza data za json kwa database ama kwa njia za kawaida. Sasa ni wakati wa kujifunza kuhusu matumizi ya hizi data. Hapa turtakwenda kujifunza katika namna kuu 2 ambazo ni
Kwa kutumia json faili moja kwa moja
Kwa kutumia link ambayo ina data za json.
Katika somo hili tutatumia database ambayo tyumeitengeneza kutoka somo lililopita. Pia tutatu8mia json faili ambalo tutalitengeneza kutoka kwenye data za somo lililopita.
Kwa kutumia faili la json
Sasa katyika somo lililopita tulipata data hizui
[
{
"id": "1",
"name": "John Doe",
"position": "Software Engineer",
"salary": "75000.00"
},
{
"id": "2",
"name": "Jane Smith",
"position": "Project Manager",
"salary": "85000.00"
},
{
"id": "3",
"name": "Alice Johnson",
"position": "UX Designer",
"salary": "70000.00"
},
{
"id": "4",
"name": "Bob Brown",
"position": "DevOps Engineer",
"salary": "80000.00"
}
]
Unachotakiwa kufanya nji kutengeneza faili kisha liite data.json kisha ndani ya faili hilo weka data hizo kisha save. Hivyo tunaweza kuzipata data zetu mojja kwa moja kwenye faili letu la php.
Ili kusoma data za json kutoka kwenye faili kuna functuion nyingi utaweza kutumia hata hivyo hapa nitakutajia 3 ambazo ufanyaji8 kazi weke nji mmoja. Kwa kutumia mfano mmoja unaweza kuzitumia zote. Function hizo ni:-
File_get_contents()
Fopen()
file()
Hapa chini nitakuletea mfano kwa kutumia file_get_contents() kisha kwa mfano huo utawezaa kutumia hoozo function nyingine.
Hapa tutakwqenda katika hatuwa kuu 3
Kusoma data za json kutoka kwenye faili
Mfano
$jsonData = file_get_contents('data.json');
Hapo tumetengeneza variable ambayo moja kwa moja inawakilisha data za json zote ambazo zipo kwenye hilo faili la data.json
Ku decode data
Mfano:
$employees = json_decode($jsonData, true);
Mpajka kufikia hapo tayari kazi kubwa tumesha ifanya. Ni vyema kucheck error kama tulivyojifunza masomo yaliyopita
if (json_last_error() !== JSON_ERROR_NONE) {
die('JSON Decoding error: ' . json_last_error_msg());
}
Kusoma hizo data
Data zetu sasa tunaweza kuzisoma kwenye html. Tunaweza kutumia foreach loop ama kwa kawaida. Hapo chini nitakuletea mifano yote.
Kwa kutumia foreach loop
echo "<table border='1'>";
echo "<tr><th>ID</th><th>Name</th><th>Position</th><th>Salary</th></tr>";
foreach ($employees as $employee) {
echo "<tr>";
echo "<td>" . $employee['id'] . "</td>";
echo "<td>" . $employee['name'] . "</td>";
echo "<td>" . $employee['position'] . "</td>";
echo "<td>$" . $employee['salary'] . "</td>";
echo "</tr>";
}
echo "</table>";
Bila ya kutumia foreach loop
<?php
// Read the JSON file
$jsonData = file_get_contents('data.json');
// Decode the JSON data into a PHP array
$employees = json_decode($jsonData, true);">
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.
Soma Zaidi...Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto
Soma Zaidi...katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.
Soma Zaidi...katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika
Soma Zaidi...