Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json
Jinsi ya kusoma data kama kwenye blog
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data maalumu kwa mtindo ule ambao blog xzinafanya kazi. Kwanza tutatengeneza list ya data kisha tutaweka link. Pindi mtumiaji akibonyeza hiyo link basi taartifa zinafunguka kwenye ukurasa mwingine.
Katika somo hili tutatumia data kutoka kwenye somo lililopita. Tutadisplay majina ya waajiriwa kisha tutaweka link endapo mtu atabofya jina husika basi taarifa zake zitafgunguka kwa ujumla wake kwenye ukurasa mwingine.
Hivyo basi tutatengeneza ukurasa mwingine na tutauita details.php kisha kwenye ukurasa wa index.php tutaweka code kutoka kwenye somo lililopita. Pia kumbuka data zetu za json zinapatikana kwenye faili la json_data.php
Hizo index.php code zake zitakuwa hivi:-
<?php
// Read the JSON file
$jsonData = file_get_contents('http://localhost/testing/json_data.php');
// Decode the JSON data into a PHP array
$employees = json_decode($jsonData, true);
// Check for JSON decoding errors
if (json_last_error() !== JSON_ERROR_NONE) {
die('JSON Decoding error: ' . json_last_error_msg());
}
?>
<ol>
<?php foreach ($employees as $employee): ?>
<li>
<a href="details.php?id=<?php echo $employee['id']; ?>">
<?php echo $employee['name']; ?>
</a>
</li>
<?php endforeach; ?>
</ol>
Utaona hgapo link ya kwenda kusoma taaruifa za mtumiaji tumeiwekea parameta ya id. Ina maana kule kwenye details.php tunakwenda kuangalia muajiriwa mwenye id hiyom
Kitu ambacho hasa tunakwenda kukifanya ni nkutumia break kwenye foreach loop. Tunakwenda kuangalia kama id ya muajiriwa ni sawa na id ambayo imekuja kama nparameter kweenye linik basi hapo tuta break loop na ku display data.
foreach ($employees as $employee) {
if ($employee['id'] == $employeeId) {
$employeeDetails = $employee;
&">
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php
Soma Zaidi...Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM
Soma Zaidi...