PHP somo la 90: Jinsi ya kutumia json data kama blog post

Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json

Jinsi ya kusoma data kama kwenye blog

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data maalumu kwa mtindo ule ambao blog xzinafanya kazi. Kwanza tutatengeneza list ya data kisha tutaweka link. Pindi mtumiaji akibonyeza hiyo link basi taartifa zinafunguka kwenye ukurasa mwingine.

 

Katika somo hili tutatumia data kutoka kwenye somo lililopita. Tutadisplay majina ya waajiriwa kisha tutaweka link endapo mtu atabofya jina husika basi taarifa zake zitafgunguka kwa ujumla wake kwenye ukurasa mwingine.

 

Hivyo basi tutatengeneza ukurasa mwingine na tutauita details.php kisha kwenye ukurasa wa index.php tutaweka code kutoka kwenye somo lililopita. Pia kumbuka data zetu za json zinapatikana kwenye faili la json_data.php

 

Hizo index.php code zake zitakuwa hivi:-

<?php

// Read the JSON file

$jsonData = file_get_contents('http://localhost/testing/json_data.php');

 

// Decode the JSON data into a PHP array

$employees = json_decode($jsonData, true);

 

// Check for JSON decoding errors

if (json_last_error() !== JSON_ERROR_NONE) {

   die('JSON Decoding error: ' . json_last_error_msg());

}

?>

<ol>

   <?php foreach ($employees as $employee): ?>

       <li>

           <a href="details.php?id=<?php echo $employee['id']; ?>">

               <?php echo $employee['name']; ?>

           </a>

       </li>

   <?php endforeach; ?>

</ol>

 

Utaona hgapo link ya kwenda kusoma taaruifa za mtumiaji tumeiwekea parameta ya id. Ina maana kule kwenye details.php tunakwenda kuangalia muajiriwa mwenye id hiyom

 

Kitu ambacho hasa tunakwenda kukifanya ni nkutumia break kwenye foreach loop. Tunakwenda kuangalia kama id ya muajiriwa ni sawa na id ambayo imekuja kama nparameter kweenye linik basi hapo tuta break loop na ku display data.

foreach ($employees as $employee) {

   if ($employee['id'] == $employeeId) {

       $employeeDetails = $employee;

  &">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 686

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia

Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako

Soma Zaidi...
PHP somo la 54: PHP OOP class constant

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...
PHP somo la 93: Jinsi ya kutumia faili la env

Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri

Soma Zaidi...
PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.

Soma Zaidi...
PHP somola 78: Cookie Headers

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutuma Email kwa kutumia PHP

Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()

Soma Zaidi...
PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject

Soma Zaidi...
PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.

Soma Zaidi...