Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json
Jinsi ya kusoma data kama kwenye blog
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data maalumu kwa mtindo ule ambao blog xzinafanya kazi. Kwanza tutatengeneza list ya data kisha tutaweka link. Pindi mtumiaji akibonyeza hiyo link basi taartifa zinafunguka kwenye ukurasa mwingine.
Katika somo hili tutatumia data kutoka kwenye somo lililopita. Tutadisplay majina ya waajiriwa kisha tutaweka link endapo mtu atabofya jina husika basi taarifa zake zitafgunguka kwa ujumla wake kwenye ukurasa mwingine.
Hivyo basi tutatengeneza ukurasa mwingine na tutauita details.php kisha kwenye ukurasa wa index.php tutaweka code kutoka kwenye somo lililopita. Pia kumbuka data zetu za json zinapatikana kwenye faili la json_data.php
Hizo index.php code zake zitakuwa hivi:-
<?php
// Read the JSON file
$jsonData = file_get_contents('http://localhost/testing/json_data.php');
// Decode the JSON data into a PHP array
$employees = json_decode($jsonData, true);
// Check for JSON decoding errors
if (json_last_error() !== JSON_ERROR_NONE) {
die('JSON Decoding error: ' . json_last_error_msg());
}
?>
<ol>
<?php foreach ($employees as $employee): ?>
<li>
<a href="details.php?id=<?php echo $employee['id']; ?>">
<?php echo $employee['name']; ?>
</a>
</li>
<?php endforeach; ?>
</ol>
Utaona hgapo link ya kwenda kusoma taaruifa za mtumiaji tumeiwekea parameta ya id. Ina maana kule kwenye details.php tunakwenda kuangalia muajiriwa mwenye id hiyom
Kitu ambacho hasa tunakwenda kukifanya ni nkutumia break kwenye foreach loop. Tunakwenda kuangalia kama id ya muajiriwa ni sawa na id ambayo imekuja kama nparameter kweenye linik basi hapo tuta break loop na ku display data.
foreach ($employees as $employee) {
if ($employee['id'] == $employeeId) {
$employeeDetails = $employee;
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header
Soma Zaidi...Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.
Soma Zaidi...Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog
Soma Zaidi...