Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json
Jinsi ya kusoma data kama kwenye blog
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data maalumu kwa mtindo ule ambao blog xzinafanya kazi. Kwanza tutatengeneza list ya data kisha tutaweka link. Pindi mtumiaji akibonyeza hiyo link basi taartifa zinafunguka kwenye ukurasa mwingine.
Katika somo hili tutatumia data kutoka kwenye somo lililopita. Tutadisplay majina ya waajiriwa kisha tutaweka link endapo mtu atabofya jina husika basi taarifa zake zitafgunguka kwa ujumla wake kwenye ukurasa mwingine.
Hivyo basi tutatengeneza ukurasa mwingine na tutauita details.php kisha kwenye ukurasa wa index.php tutaweka code kutoka kwenye somo lililopita. Pia kumbuka data zetu za json zinapatikana kwenye faili la json_data.php
Hizo index.php code zake zitakuwa hivi:-
<?php
// Read the JSON file
$jsonData = file_get_contents('http://localhost/testing/json_data.php');
// Decode the JSON data into a PHP array
$employees = json_decode($jsonData, true);
// Check for JSON decoding errors
if (json_last_error() !== JSON_ERROR_NONE) {
die('JSON Decoding error: ' . json_last_error_msg());
}
?>
<ol>
<?php foreach ($employees as $employee): ?>
<li>
<a href="details.php?id=<?php echo $employee['id']; ?>">
<?php echo $employee['name']; ?>
</a>
</li>
<?php endforeach; ?>
</ol>
Utaona hgapo link ya kwenda kusoma taaruifa za mtumiaji tumeiwekea parameta ya id. Ina maana kule kwenye details.php tunakwenda kuangalia muajiriwa mwenye id hiyom
Kitu ambacho hasa tunakwenda kukifanya ni nkutumia break kwenye foreach loop. Tunakwenda kuangalia kama id ya muajiriwa ni sawa na id ambayo imekuja kama nparameter kweenye linik basi hapo tuta break loop na ku display data.
foreach ($employees as $employee) {
if ($employee['id'] == $employeeId) {
$employeeDetails = $employee;
&">
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika
Soma Zaidi...Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation.
Soma Zaidi...