PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

JSON kwenye PHP

Ili iweze kutengeneza data za json kwenye php tutatumia function ya json_encode() na mara nyingi data ambazo hutengenezewa json file kwenye php ni object na array. Ijapokuwa unaweza kutengeneza kwa data nyinginezo kama variable za kawaida.

 

  1. Kwa kutumia variable za kawaida

Mfano nna varable hiizi

$jian = 'juma';

$umr = 30;

$ndoa = true;





Kama unataka kutengeneza json kwa varable mojawapo hapo unaweza ufanya hivi

Mfano:

<?php

$jiana = 'juma';

//encode variable

$ecoded_jina = json_encode($jiana);

//output

echo $ecoded_jina;

 

?>

 

Hii utatuletea 

"juma"

 

Ama unaweza pia kutengeneza data za json moja kwa moja kwenye code zako za php kisha uta zi encode.

Mfano

<?php

$jian = 'juma';

$umr = 30;

$ndoa = true;

 

// Manually create a JSON string

$jsonData = '{' .

   '"jian": "' . $jian . '",' .

   '}';

 

echo $jsonData;

?>



Hapo {"jian": "juma",}

 

Sasa utaona hapo kazi imekuwa ngumu ya kutengeneza json file. Kurahisisha kazi hiyo tunakwenda kuweka data zetu kwenye array ikli iwe rahisi kutengeneza json data.

<?php

$jian = 'juma';

$umr = 30;

$ndoa = true;

 

$data = array(

   "jian" => $jian,

   "umr" => $umr,

   "ndoa" => $ndoa

);

 

$jsonData = json_encode($data);

 

echo $jsonData;

?>



Kwa kutumia object:

Kama tulivyoona kwenye mfano wa kwanza basi tunaweza kutengeneza json data kwa kutumia OOP. Hapa tutatumia Object

<?php

// Create a simple class

class Person {

   public $name;

   public $age;

   public $isStudent;

 

   public function __construct($name, $age, $isStudent) {

       $this->name = $name;

       $this->age = $age;

       $this->isStudent = $isStudent;

&n">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

help_outlineZoezi la Maswali

info Jaza maswali yote au baadhi kisha bofya kitufe cha kutuma majibu hapo chini.
1 Ni function gani hutumika ku encode data kuwa json_______?

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 339

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

PHP somo la 93: Jinsi ya kutumia faili la env

Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri

Soma Zaidi...
PHP somola 69: jinsi ya kutuma email kwa watu zaidi ya mmoja kwa kutumia PHPMailer

Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy

Soma Zaidi...
PHP somo la 75: Content-Type Header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.

Soma Zaidi...
PHP somola 78: Cookie Headers

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

Soma Zaidi...
PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?

Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake

Soma Zaidi...
PHP - somo la 27: aina za variable kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable.

Soma Zaidi...
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...
PHP somo la 54: class constant kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop

Soma Zaidi...
PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

Soma Zaidi...