Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
JSON kwenye PHP
Ili iweze kutengeneza data za json kwenye php tutatumia function ya json_encode() na mara nyingi data ambazo hutengenezewa json file kwenye php ni object na array. Ijapokuwa unaweza kutengeneza kwa data nyinginezo kama variable za kawaida.
Kwa kutumia variable za kawaida
Mfano nna varable hiizi
$jian = 'juma';
$umr = 30;
$ndoa = true;
Kama unataka kutengeneza json kwa varable mojawapo hapo unaweza ufanya hivi
Mfano:
<?php
$jiana = 'juma';
//encode variable
$ecoded_jina = json_encode($jiana);
//output
echo $ecoded_jina;
?>
Hii utatuletea
"juma"
Ama unaweza pia kutengeneza data za json moja kwa moja kwenye code zako za php kisha uta zi encode.
Mfano
<?php
$jian = 'juma';
$umr = 30;
$ndoa = true;
// Manually create a JSON string
$jsonData = '{' .
'"jian": "' . $jian . '",' .
'}';
echo $jsonData;
?>
Hapo {"jian": "juma",}
Sasa utaona hapo kazi imekuwa ngumu ya kutengeneza json file. Kurahisisha kazi hiyo tunakwenda kuweka data zetu kwenye array ikli iwe rahisi kutengeneza json data.
<?php
$jian = 'juma';
$umr = 30;
$ndoa = true;
$data = array(
"jian" => $jian,
"umr" => $umr,
"ndoa" => $ndoa
);
$jsonData = json_encode($data);
echo $jsonData;
?>
Kwa kutumia object:
Kama tulivyoona kwenye mfano wa kwanza basi tunaweza kutengeneza json data kwa kutumia OOP. Hapa tutatumia Object
<?php
// Create a simple class
class Person {
public $name;
public $age;
public $isStudent;
public function __construct($name, $age, $isStudent) {
$this->name = $name;
$this->age = $age;
$this->isStudent = $isStudent;
&n">
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJaza maswali yote ama baadhi kisha bofya kitufe za kutuma majibu hapo chini.
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP
Soma Zaidi...katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database
Soma Zaidi...Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake
Soma Zaidi...