PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

JSON kwenye PHP

Ili iweze kutengeneza data za json kwenye php tutatumia function ya json_encode() na mara nyingi data ambazo hutengenezewa json file kwenye php ni object na array. Ijapokuwa unaweza kutengeneza kwa data nyinginezo kama variable za kawaida.

 

  1. Kwa kutumia variable za kawaida

Mfano nna varable hiizi

$jian = 'juma';

$umr = 30;

$ndoa = true;





Kama unataka kutengeneza json kwa varable mojawapo hapo unaweza ufanya hivi

Mfano:

<?php

$jiana = 'juma';

//encode variable

$ecoded_jina = json_encode($jiana);

//output

echo $ecoded_jina;

 

?>

 

Hii utatuletea 

"juma"

 

Ama unaweza pia kutengeneza data za json moja kwa moja kwenye code zako za php kisha uta zi encode.

Mfano

<?php

$jian = 'juma';

$umr = 30;

$ndoa = true;

 

// Manually create a JSON string

$jsonData = '{' .

   '"jian": "' . $jian . '",' .

   '}';

 

echo $jsonData;

?>



Hapo {"jian": "juma",}

 

Sasa utaona hapo kazi imekuwa ngumu ya kutengeneza json file. Kurahisisha kazi hiyo tunakwenda kuweka data zetu kwenye array ikli iwe rahisi kutengeneza json data.

<?php

$jian = 'juma';

$umr = 30;

$ndoa = true;

 

$data = array(

   "jian" => $jian,

   "umr" => $umr,

   "ndoa" => $ndoa

);

 

$jsonData = json_encode($data);

 

echo $jsonData;

?>



Kwa kutumia object:

Kama tulivyoona kwenye mfano wa kwanza basi tunaweza kutengeneza json data kwa kutumia OOP. Hapa tutatumia Object

<?php

// Create a simple class

class Person {

   public $name;

   public $age;

   public $isStudent;

 

   public function __construct($name, $age, $isStudent) {

       $this->name = $name;

       $this->age = $age;

       $this->isStudent = $isStudent;

&n">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

help_outlineZoezi la Maswali

info Jaza maswali yote au baadhi kisha bofya kitufe cha kutuma majibu hapo chini.
1 Ni function gani hutumika ku encode data kuwa json_______?

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 601

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

PHP somo la 87: Jinsi ya kuangalia error wakati wa ku decode na ku encode json data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data

Soma Zaidi...
PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog

Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu

Soma Zaidi...
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...
PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 12: Jinsi ya kufanyia kazi taarifa zilizokusanywa kutoka kwa mtumiaji

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali

Soma Zaidi...
PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop

Soma Zaidi...
PHP -somo la 31: Matumizi ya include() na require() function kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()

Soma Zaidi...
PHP somo la 95: Jinsi ya kutengeneza customer ORM

Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe

Soma Zaidi...
PHP somo la 49: utangulizi wa Object Oriented Programming katika PHP

Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.

Soma Zaidi...