Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
JSON kwenye PHP
Ili iweze kutengeneza data za json kwenye php tutatumia function ya json_encode() na mara nyingi data ambazo hutengenezewa json file kwenye php ni object na array. Ijapokuwa unaweza kutengeneza kwa data nyinginezo kama variable za kawaida.
Kwa kutumia variable za kawaida
Mfano nna varable hiizi
$jian = 'juma';
$umr = 30;
$ndoa = true;
Kama unataka kutengeneza json kwa varable mojawapo hapo unaweza ufanya hivi
Mfano:
<?php
$jiana = 'juma';
//encode variable
$ecoded_jina = json_encode($jiana);
//output
echo $ecoded_jina;
?>
Hii utatuletea
"juma"
Ama unaweza pia kutengeneza data za json moja kwa moja kwenye code zako za php kisha uta zi encode.
Mfano
<?php
$jian = 'juma';
$umr = 30;
$ndoa = true;
// Manually create a JSON string
$jsonData = '{' .
'"jian": "' . $jian . '",' .
'}';
echo $jsonData;
?>
Hapo {"jian": "juma",}
Sasa utaona hapo kazi imekuwa ngumu ya kutengeneza json file. Kurahisisha kazi hiyo tunakwenda kuweka data zetu kwenye array ikli iwe rahisi kutengeneza json data.
<?php
$jian = 'juma';
$umr = 30;
$ndoa = true;
$data = array(
"jian" => $jian,
"umr" => $umr,
"ndoa" => $ndoa
);
$jsonData = json_encode($data);
echo $jsonData;
?>
Kwa kutumia object:
Kama tulivyoona kwenye mfano wa kwanza basi tunaweza kutengeneza json data kwa kutumia OOP. Hapa tutatumia Object
<?php
// Create a simple class
class Person {
public $name;
public $age;
public $isStudent;
public function __construct($name, $age, $isStudent) {
$this->name = $name;
$this->age = $age;
$this->isStudent = $isStudent;
&n">
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJaza maswali yote ama baadhi kisha bofya kitufe za kutuma majibu hapo chini.
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
Soma Zaidi...Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.
Soma Zaidi...Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri
Soma Zaidi...HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP
Soma Zaidi...