Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
JSON kwenye PHP
Ili iweze kutengeneza data za json kwenye php tutatumia function ya json_encode() na mara nyingi data ambazo hutengenezewa json file kwenye php ni object na array. Ijapokuwa unaweza kutengeneza kwa data nyinginezo kama variable za kawaida.
Kwa kutumia variable za kawaida
Mfano nna varable hiizi
$jian = 'juma';
$umr = 30;
$ndoa = true;
Kama unataka kutengeneza json kwa varable mojawapo hapo unaweza ufanya hivi
Mfano:
<?php
$jiana = 'juma';
//encode variable
$ecoded_jina = json_encode($jiana);
//output
echo $ecoded_jina;
?>
Hii utatuletea
"juma"
Ama unaweza pia kutengeneza data za json moja kwa moja kwenye code zako za php kisha uta zi encode.
Mfano
<?php
$jian = 'juma';
$umr = 30;
$ndoa = true;
// Manually create a JSON string
$jsonData = '{' .
'"jian": "' . $jian . '",' .
'}';
echo $jsonData;
?>
Hapo {"jian": "juma",}
Sasa utaona hapo kazi imekuwa ngumu ya kutengeneza json file. Kurahisisha kazi hiyo tunakwenda kuweka data zetu kwenye array ikli iwe rahisi kutengeneza json data.
<?php
$jian = 'juma';
$umr = 30;
$ndoa = true;
$data = array(
"jian" => $jian,
"umr" => $umr,
"ndoa" => $ndoa
);
$jsonData = json_encode($data);
echo $jsonData;
?>
Kwa kutumia object:
Kama tulivyoona kwenye mfano wa kwanza basi tunaweza kutengeneza json data kwa kutumia OOP. Hapa tutatumia Object
<?php
// Create a simple class
class Person {
public $name;
public $age;
public $isStudent;
public function __construct($name, $age, $isStudent) {
$this->name = $name;
$this->age = $age;
$this->isStudent = $isStudent;
&n">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data
Soma Zaidi...Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()
Soma Zaidi...Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe
Soma Zaidi...Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.
Soma Zaidi...