Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
JSON kwenye PHP
Ili iweze kutengeneza data za json kwenye php tutatumia function ya json_encode() na mara nyingi data ambazo hutengenezewa json file kwenye php ni object na array. Ijapokuwa unaweza kutengeneza kwa data nyinginezo kama variable za kawaida.
Kwa kutumia variable za kawaida
Mfano nna varable hiizi
$jian = 'juma';
$umr = 30;
$ndoa = true;
Kama unataka kutengeneza json kwa varable mojawapo hapo unaweza ufanya hivi
Mfano:
<?php
$jiana = 'juma';
//encode variable
$ecoded_jina = json_encode($jiana);
//output
echo $ecoded_jina;
?>
Hii utatuletea
"juma"
Ama unaweza pia kutengeneza data za json moja kwa moja kwenye code zako za php kisha uta zi encode.
Mfano
<?php
$jian = 'juma';
$umr = 30;
$ndoa = true;
// Manually create a JSON string
$jsonData = '{' .
'"jian": "' . $jian . '",' .
'}';
echo $jsonData;
?>
Hapo {"jian": "juma",}
Sasa utaona hapo kazi imekuwa ngumu ya kutengeneza json file. Kurahisisha kazi hiyo tunakwenda kuweka data zetu kwenye array ikli iwe rahisi kutengeneza json data.
<?php
$jian = 'juma';
$umr = 30;
$ndoa = true;
$data = array(
"jian" => $jian,
"umr" => $umr,
"ndoa" => $ndoa
);
$jsonData = json_encode($data);
echo $jsonData;
?>
Kwa kutumia object:
Kama tulivyoona kwenye mfano wa kwanza basi tunaweza kutengeneza json data kwa kutumia OOP. Hapa tutatumia Object
<?php
// Create a simple class
class Person {
public $name;
public $age;
public $isStudent;
public function __construct($name, $age, $isStudent) {
$this->name = $name;
$this->age = $age;
$this->isStudent = $isStudent;
&n">
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Soma Zaidi...katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password
Soma Zaidi...Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form
Soma Zaidi...Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.
Soma Zaidi...