PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

CORSE header:

CORS ni kifupisho cha maneno (Cross - Orgn Resource Sharing) hii ni miongoni mwa header ambazo zina nafasi kubwa sana katika usalama wa API. yenyewe ina kazi ya kuthibiti ni nani ana haki ya kupata response kutoka kwenye server. Kwa ufupi ni kuwa CORS inweza kuangalia origini ama asili ya request. Sasa kama hiyo request imefanywa nje ya website husika CORSE header inaweza kuzuia response ama kuruusu kulingana na condition ziizowekwa.

 

Mfano mzuri nina App ambayo inatumia data kutoka kwenye website yangu. Sasa kwanza nnaweza kucheki je hiyo request imetoka kwenlikwenye hiyo app. Kama haijatokka huk basi CORS itawez akuzuia.

 

Aina za CORS header:

  1. Access-Control-Allow-Origin

Hii inatumia value ya (*) na kazi yake ni kuruhusu request kutoka popote pale.ata programmng alama hii huitwa wildcard endapo itatumika kuruhusu kila kitu bila ya kubaguwa. Hata hivyo jina lake hiyo nyota huitwa asteric kwa matumizi ya kawaid.. Ina maana request hapa haiangaliwi imetoka wapi, bila ya kujali response itapatikana.

Mfano:

header('Access-Control-Allow-Origin: *');

Na ama unataa uruhusu utoa wneye source maalumu mfano webste bas taubd utuma server variable l upata hyo doman.

Mfano:

header("Access-Control-Allow-Origin: {$_SERVER['HTTP_ORIGIN']}");

 

  1. Access-Control-Allow-Methods

Hii yenyewe inakwenda kuangalia kama method ndio inayotakiwa. Mfano kama request inatakiwa iwe kwa GET na ikaja kwa Post hivyo hapa itakataliwa.

Mfano:

Access-Control-Allow-Methods: GET, POST, PUT, DELETE

Hapo juu request taruhusu method zote hzo. Ama unataa mojawapo utawea hyo tu.

header("Access-Control-Allow-Methods: GET"); 

 

  1. Access-Control-Allow-Headers

H yenyewe nawenda uzua header flan ama uruhusu. Mfanounaweza uzua ama request hana authorzaton header ama tulvyojfunzasomo lllopta. Kama zikiwa nyingi utazitenganisha kwa alama ya koma (,)

Mfano:

header("Access-Control-Allow-Headers: Content-Type, Authorization, X-Requested-With"); 

Ama kama unataka kuruhusu zote utatumia alama ya nyota (*) yaani wildcard ili kuruhusu header zite

Mfano:

header("Access-Control-Allow-Headers: *"); 

 

  1. ">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 588

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 web hosting    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 98: Library za PHP ambazo unaweza kutumia ORM

    Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 99: Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

    Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 100: Jinsi ya kutumia sql moja kwa moja kwenye ORM ya RedBeanPHP

    Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kuandika query ndani ya ORM. Hii inakupa uhuru wa kufanya kileunachotaka bila ya kuathiri usalama wa project

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 95: Jinsi ya kutengeneza customer ORM

    Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog

    Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 87: Jinsi ya kuangalia error wakati wa ku decode na ku encode json data

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 54: PHP OOP class constant

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

    Soma Zaidi...