PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

CORSE header:

CORS ni kifupisho cha maneno (Cross - Orgn Resource Sharing) hii ni miongoni mwa header ambazo zina nafasi kubwa sana katika usalama wa API. yenyewe ina kazi ya kuthibiti ni nani ana haki ya kupata response kutoka kwenye server. Kwa ufupi ni kuwa CORS inweza kuangalia origini ama asili ya request. Sasa kama hiyo request imefanywa nje ya website husika CORSE header inaweza kuzuia response ama kuruusu kulingana na condition ziizowekwa.

 

Mfano mzuri nina App ambayo inatumia data kutoka kwenye website yangu. Sasa kwanza nnaweza kucheki je hiyo request imetoka kwenlikwenye hiyo app. Kama haijatokka huk basi CORS itawez akuzuia.

 

Aina za CORS header:

  1. Access-Control-Allow-Origin

Hii inatumia value ya (*) na kazi yake ni kuruhusu request kutoka popote pale.ata programmng alama hii huitwa wildcard endapo itatumika kuruhusu kila kitu bila ya kubaguwa. Hata hivyo jina lake hiyo nyota huitwa asteric kwa matumizi ya kawaid.. Ina maana request hapa haiangaliwi imetoka wapi, bila ya kujali response itapatikana.

Mfano:

header('Access-Control-Allow-Origin: *');

Na ama unataa uruhusu utoa wneye source maalumu mfano webste bas taubd utuma server variable l upata hyo doman.

Mfano:

header("Access-Control-Allow-Origin: {$_SERVER['HTTP_ORIGIN']}");

 

  1. Access-Control-Allow-Methods

Hii yenyewe inakwenda kuangalia kama method ndio inayotakiwa. Mfano kama request inatakiwa iwe kwa GET na ikaja kwa Post hivyo hapa itakataliwa.

Mfano:

Access-Control-Allow-Methods: GET, POST, PUT, DELETE

Hapo juu request taruhusu method zote hzo. Ama unataa mojawapo utawea hyo tu.

header("Access-Control-Allow-Methods: GET"); 

 

  1. Access-Control-Allow-Headers

H yenyewe nawenda uzua header flan ama uruhusu. Mfanounaweza uzua ama request hana authorzaton header ama tulvyojfunzasomo lllopta. Kama zikiwa nyingi utazitenganisha kwa alama ya koma (,)

Mfano:

header("Access-Control-Allow-Headers: Content-Type, Authorization, X-Requested-With"); 

Ama kama unataka kuruhusu zote utatumia alama ya nyota (*) yaani wildcard ili kuruhusu header zite

Mfano:

header("Access-Control-Allow-Headers: *"); 

 

  1. ">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 586

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 web hosting    👉6 kitabu cha Simulizi   

    Post zinazofanana:

    PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

    Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 82: Content-Disposition

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 18: Jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 76: Aina za cache header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 73: Maana ya http header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.

    Soma Zaidi...