PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header
CORSE header:
CORS ni kifupisho cha maneno (Cross - Orgn Resource Sharing) hii ni miongoni mwa header ambazo zina nafasi kubwa sana katika usalama wa API. yenyewe ina kazi ya kuthibiti ni nani ana haki ya kupata response kutoka kwenye server. Kwa ufupi ni kuwa CORS inweza kuangalia origini ama asili ya request. Sasa kama hiyo request imefanywa nje ya website husika CORSE header inaweza kuzuia response ama kuruusu kulingana na condition ziizowekwa.
Mfano mzuri nina App ambayo inatumia data kutoka kwenye website yangu. Sasa kwanza nnaweza kucheki je hiyo request imetoka kwenlikwenye hiyo app. Kama haijatokka huk basi CORS itawez akuzuia.
Aina za CORS header:
-
Access-Control-Allow-Origin
Hii inatumia value ya (*) na kazi yake ni kuruhusu request kutoka popote pale.ata programmng alama hii huitwa wildcard endapo itatumika kuruhusu kila kitu bila ya kubaguwa. Hata hivyo jina lake hiyo nyota huitwa asteric kwa matumizi ya kawaid.. Ina maana request hapa haiangaliwi imetoka wapi, bila ya kujali response itapatikana.
Mfano:
header('Access-Control-Allow-Origin: *');
Na ama unataa uruhusu utoa wneye source maalumu mfano webste bas taubd utuma server variable l upata hyo doman.
Mfano:
header("Access-Control-Allow-Origin: {$_SERVER['HTTP_ORIGIN']}");
-
Access-Control-Allow-Methods
Hii yenyewe inakwenda kuangalia kama method ndio inayotakiwa. Mfano kama request inatakiwa iwe kwa GET na ikaja kwa Post hivyo hapa itakataliwa.
Mfano:
Access-Control-Allow-Methods: GET, POST, PUT, DELETE
Hapo juu request taruhusu method zote hzo. Ama unataa mojawapo utawea hyo tu.
header("Access-Control-Allow-Methods: GET");
-
Access-Control-Allow-Headers
H yenyewe nawenda uzua header flan ama uruhusu. Mfanounaweza uzua ama request hana authorzaton header ama tulvyojfunzasomo lllopta. Kama zikiwa nyingi utazitenganisha kwa alama ya koma (,)
Mfano:
header("Access-Control-Allow-Headers: Content-Type, Authorization, X-Requested-With");
Ama kama unataka kuruhusu zote utatumia alama ya nyota (*) yaani wildcard ili kuruhusu header zite
Mfano:
header("Access-Con...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 web hosting 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
Soma Zaidi...PHP - somo la 5: Maana ya function na jinsi inavyotengenezwa kwa ktumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia
Soma Zaidi...PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP
Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP
Soma Zaidi...PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
Soma Zaidi...PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.
Soma Zaidi...PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP
Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP
Soma Zaidi...