PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

CORSE header:

CORS ni kifupisho cha maneno (Cross - Orgn Resource Sharing) hii ni miongoni mwa header ambazo zina nafasi kubwa sana katika usalama wa API. yenyewe ina kazi ya kuthibiti ni nani ana haki ya kupata response kutoka kwenye server. Kwa ufupi ni kuwa CORS inweza kuangalia origini ama asili ya request. Sasa kama hiyo request imefanywa nje ya website husika CORSE header inaweza kuzuia response ama kuruusu kulingana na condition ziizowekwa.

 

Mfano mzuri nina App ambayo inatumia data kutoka kwenye website yangu. Sasa kwanza nnaweza kucheki je hiyo request imetoka kwenlikwenye hiyo app. Kama haijatokka huk basi CORS itawez akuzuia.

 

Aina za CORS header:

  1. Access-Control-Allow-Origin

Hii inatumia value ya (*) na kazi yake ni kuruhusu request kutoka popote pale.ata programmng alama hii huitwa wildcard endapo itatumika kuruhusu kila kitu bila ya kubaguwa. Hata hivyo jina lake hiyo nyota huitwa asteric kwa matumizi ya kawaid.. Ina maana request hapa haiangaliwi imetoka wapi, bila ya kujali response itapatikana.

Mfano:

header('Access-Control-Allow-Origin: *');

Na ama unataa uruhusu utoa wneye source maalumu mfano webste bas taubd utuma server variable l upata hyo doman.

Mfano:

header("Access-Control-Allow-Origin: {$_SERVER['HTTP_ORIGIN']}");

 

  1. Access-Control-Allow-Methods

Hii yenyewe inakwenda kuangalia kama method ndio inayotakiwa. Mfano kama request inatakiwa iwe kwa GET na ikaja kwa Post hivyo hapa itakataliwa.

Mfano:

Access-Control-Allow-Methods: GET, POST, PUT, DELETE

Hapo juu request taruhusu method zote hzo. Ama unataa mojawapo utawea hyo tu.

header("Access-Control-Allow-Methods: GET"); 

 

  1. Access-Control-Allow-Headers

H yenyewe nawenda uzua header flan ama uruhusu. Mfanounaweza uzua ama request hana authorzaton header ama tulvyojfunzasomo lllopta. Kama zikiwa nyingi utazitenganisha kwa alama ya koma (,)

Mfano:

header("Access-Control-Allow-Headers: Content-Type, Authorization, X-Requested-With"); 

Ama kama unataka kuruhusu zote utatumia alama ya nyota (*) yaani wildcard ili kuruhusu header zite

Mfano:

header("Access-Control-Allow-Headers: *"); 

 

  1. ">...

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 316

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 75: Content-Type Header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable

    Soma Zaidi...
    PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 23: Jinsi ya kutumia condition statement kwenye database kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog

    Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database

    Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 99: Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

    Soma Zaidi...