Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition
Hii header hutumika kueleza kwa namna gani browser inatakiwa itumie maudhui yanayotumwa kama response kutoka kwa server. Hii mara nyingi inatumikakwenye ku access mafaili yanayihitaji ku download ama inline content. Hapa header inaweza kutoa taarifa maalumu ili kuweesha browser kudownload faili mfano jina la faili.
Content-Disposition nafanya ata nja uu mbl ambazo nmetangula uztaja:-
Inline:
Endapo header itaambiwa ni online basi browser tafunguwa fal hlo na kulsoma. Kama vle html pdf na mafal mengne bla ya u download.
Mafano:
<?php
header('Content-Type: application/pdf');
header('Content-Disposition: inline; filename="document.pdf"');
readfile('path/to/document.pdf');
?>
Hapo kama ni PDF bas browser tafunguwa fal hilo
">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.
Soma Zaidi...hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.
Soma Zaidi...Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json
Soma Zaidi...