Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition
Hii header hutumika kueleza kwa namna gani browser inatakiwa itumie maudhui yanayotumwa kama response kutoka kwa server. Hii mara nyingi inatumikakwenye ku access mafaili yanayihitaji ku download ama inline content. Hapa header inaweza kutoa taarifa maalumu ili kuweesha browser kudownload faili mfano jina la faili.
Content-Disposition nafanya ata nja uu mbl ambazo nmetangula uztaja:-
Inline:
Endapo header itaambiwa ni online basi browser tafunguwa fal hlo na kulsoma. Kama vle html pdf na mafal mengne bla ya u download.
Mafano:
<?php
header('Content-Type: application/pdf');
header('Content-Disposition: inline; filename="document.pdf"');
readfile('path/to/document.pdf');
?>
Hapo kama ni PDF bas browser tafunguwa fal hilo
">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php
Soma Zaidi...