Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition
Hii header hutumika kueleza kwa namna gani browser inatakiwa itumie maudhui yanayotumwa kama response kutoka kwa server. Hii mara nyingi inatumikakwenye ku access mafaili yanayihitaji ku download ama inline content. Hapa header inaweza kutoa taarifa maalumu ili kuweesha browser kudownload faili mfano jina la faili.
Content-Disposition nafanya ata nja uu mbl ambazo nmetangula uztaja:-
Inline:
Endapo header itaambiwa ni online basi browser tafunguwa fal hlo na kulsoma. Kama vle html pdf na mafal mengne bla ya u download.
Mafano:
<?php
header('Content-Type: application/pdf');
header('Content-Disposition: inline; filename="document.pdf"');
readfile('path/to/document.pdf');
?>
Hapo kama ni PDF bas browser tafunguwa fal hilo
">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...