PHP - somo la 23: Jinsi ya kutumia condition statement kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP

Hapa tutakweda kujifunza jinsi ya kutumia condition sentence zile za if else if else. Kwenye mafunzo ya PHP level 1 somo la 10 tulishajifunza kutumia condition sentence. Sasa hapa tutakwenda kuona jinsi ambavyo tunaweza kuzitumia kwenye database. hapa nitakwenda kukufundisha kwa mifano:

 

 

Ni kuwa una Tsh 1300 na unataka kujuwa kwa pesa hiyo ni chakula gani utapata kwa hiyo menu. Kufanya hivi tutatengeneza html table yenye column 4 ya kwanza ni kwa ajili ya id, ya pili ni kwa ajili ya majina ya menu, ya tatu ni kwa ajili ya ststus, kuonyesha ambayo unapata itaandika YES na ambayo hupatu itaandika NO.

<html>

<body>

<style>

   table, th, td {

       border: 1px solid black;

   }

</style>

<table style="width:100%">

   <th>Id</th>

   <th>Menu zote</th>

   <th>Price</th>

   <th>Status</th>

 

Kisha kila kitu ni kama tulivyofanya huko mwanzo kwenye ku connect na ku select data ili uweze kuzisoma kwenye ukurasa wa wavuti. Tutatumie 

$sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `menu` ");

while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){

   ?>

   <tr>

 

       <td><?php echo $fetch['id']; ?></td>

       <td><?php echo $fetch['name']; ?></td>

       <td><?php echo $fetch['price']; ?></td>

 

Sasa katika <td> za status ndipo tutakwenda kutumia if else. Kusema kuwa kama price ni ndogo kuliko 1300 echo isome YES na vinginevyo isome NO

<td>

<?php

if ($fetch['price'] <1300){

   echo "<b>YES</b>";

}else echo "NO";

?>

</td>

 

Code zote zinaweza kuwa hivi

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbn">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 421

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog

Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 54: PHP OOP class constant

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi

Soma Zaidi...
PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?

Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake

Soma Zaidi...
PHP somo la 58: static method kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP somola 78: Cookie Headers

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

Soma Zaidi...
PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form

Soma Zaidi...
PHP somo la 57: class traits kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance

Soma Zaidi...
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...