Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP
Hapa tutakweda kujifunza jinsi ya kutumia condition sentence zile za if else if else. Kwenye mafunzo ya PHP level 1 somo la 10 tulishajifunza kutumia condition sentence. Sasa hapa tutakwenda kuona jinsi ambavyo tunaweza kuzitumia kwenye database. hapa nitakwenda kukufundisha kwa mifano:
Ni kuwa una Tsh 1300 na unataka kujuwa kwa pesa hiyo ni chakula gani utapata kwa hiyo menu. Kufanya hivi tutatengeneza html table yenye column 4 ya kwanza ni kwa ajili ya id, ya pili ni kwa ajili ya majina ya menu, ya tatu ni kwa ajili ya ststus, kuonyesha ambayo unapata itaandika YES na ambayo hupatu itaandika NO.
<html>
<body>
<style>
table, th, td {
border: 1px solid black;
}
</style>
<table style="width:100%">
<th>Id</th>
<th>Menu zote</th>
<th>Price</th>
<th>Status</th>
Kisha kila kitu ni kama tulivyofanya huko mwanzo kwenye ku connect na ku select data ili uweze kuzisoma kwenye ukurasa wa wavuti. Tutatumie
$sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `menu` ");
while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){
?>
<tr>
<td><?php echo $fetch['id']; ?></td>
<td><?php echo $fetch['name']; ?></td>
<td><?php echo $fetch['price']; ?></td>
Sasa katika <td> za status ndipo tutakwenda kutumia if else. Kusema kuwa kama price ni ndogo kuliko 1300 echo isome YES na vinginevyo isome NO
<td>
<?php
if ($fetch['price'] <1300){
echo "<b>YES</b>";
}else echo "NO";
?>
</td>
Code zote zinaweza kuwa hivi
<?php
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
$dbname = "hotel";
$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbn">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.
Soma Zaidi...Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php
Soma Zaidi...