Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP
Hapa tutakweda kujifunza jinsi ya kutumia condition sentence zile za if else if else. Kwenye mafunzo ya PHP level 1 somo la 10 tulishajifunza kutumia condition sentence. Sasa hapa tutakwenda kuona jinsi ambavyo tunaweza kuzitumia kwenye database. hapa nitakwenda kukufundisha kwa mifano:
Ni kuwa una Tsh 1300 na unataka kujuwa kwa pesa hiyo ni chakula gani utapata kwa hiyo menu. Kufanya hivi tutatengeneza html table yenye column 4 ya kwanza ni kwa ajili ya id, ya pili ni kwa ajili ya majina ya menu, ya tatu ni kwa ajili ya ststus, kuonyesha ambayo unapata itaandika YES na ambayo hupatu itaandika NO.
<html>
<body>
<style>
table, th, td {
border: 1px solid black;
}
</style>
<table style="width:100%">
<th>Id</th>
<th>Menu zote</th>
<th>Price</th>
<th>Status</th>
Kisha kila kitu ni kama tulivyofanya huko mwanzo kwenye ku connect na ku select data ili uweze kuzisoma kwenye ukurasa wa wavuti. Tutatumie
$sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `menu` ");
while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){
?>
<tr>
<td><?php echo $fetch['id']; ?></td>
<td><?php echo $fetch['name']; ?></td>
<td><?php echo $fetch['price']; ?></td>
Sasa katika <td> za status ndipo tutakwenda kutumia if else. Kusema kuwa kama price ni ndogo kuliko 1300 echo isome YES na vinginevyo isome NO
<td>
<?php
if ($fetch['price'] <1300){
echo "<b>YES</b>";
}else echo "NO";
?>
</td>
Code zote zinaweza kuwa hivi
<?php
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
$dbname = "hotel";
$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbn">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php
Soma Zaidi...Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
Soma Zaidi...Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json
Soma Zaidi...Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP
Soma Zaidi...