Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP
PHP FUNCTIONS KUONYESHA TAREHE NA SAA:
Kwa kutumia php unaweza kuonyesha saa muda wowote kwa kutumia mistari michache ya code.
Katika php function inayotumika kwa ajili yakuonyesha tarehe na saa ni date(). kwa kutumia function hii una hiyari uonyesha tarehetu, ama siku tu, ama saa tu …. Katika php function inakupasa utambuwe haya:-
1.Y humaanisha mwaka yaani Year
2.m humaanisha mwezi yaani Month
3.d humaanisha siku yaani date
4.l humaanisha siku katka wiki
5.h humaanisha saa yaani hour
6.m humaanisha dakika yaani minute
7.S humaanisha sekunde yaani second
8.a humaanisha Ante meridiem (Am) na Post meridiem (Pm)
wacha tuone mifano hapo chini:-
1.Mfano wa kwanza
<?php
echo "today is", "<br><br>",
date("Y/m/d/l");
?>
Hii itakupa mwaka, mwezi, tarehe na siku katika wiki.
Kama unataka kuonyesha mwaka pekee, utaweka Y tu kwenye function
2.Mfano 2
<?php
echo "today is", "<br><br>",
date("Y");
?>
Hii itakupa mwaka tu
3.Mfano
<?php
echo "today is", "<br><br>",
date("m");
?>
Hii itakupa mwez tu
4.Mfano
<?php
echo "today is", "<br><br>",
date("d");
?>
Hii itakupa tarehe ya leo
5.Mfano
<?php
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.
Soma Zaidi...katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi
Soma Zaidi...Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.
Soma Zaidi...Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe
Soma Zaidi...katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database
Soma Zaidi...