PHP - somo la 18: Jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.

KUSOMA DATA KUTOKA KWENYE DATABSE KWA KUTUMIA PHP

katika somo liliopita umejifunza jinsi ya kuingiza data kwenye databse. Sasa somo hili nitakujuza namna ya kuzisoma data hizo kwnye ukurasa wa php. hii ni hatuwa muhimu, kwani huwezi ktengeneza blog kama hujui jinsi ya kusoma database kwenye ukurasa wa wavuti.

 

Maandalizi:

Kma kawaida kwanza tunandaa variable muhimu kwa ajili ya ku connect databse. variable hizo ni servername, database name, username na password. Hivyo variable hizo zitakuwa hizi:

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

 

?>

 

Hapo nimekukusanyia variable sa database, server, user na password, pia kuna variable $conn kwa ajili ya ku connect database. Kwa ufupi hapo umesha connect kilichobakia ni kuzisoma data.

 

Kumbuka tumejifunza SQL ya kusoma daata ni SELECT FROM kisha utaweka jina la table. Mfano wa SQL hii itakuwa ‘SELECT * FROM menu’. kumbuka hiyo * inamaanisha All, yaani data zote.

 

Hatuwa inayofata ni kutengeneza $sql variable ambayo itahisika kuwakilisha SQL statement ya ku select data (kuzisoa data) kutoka kwenye table menu. hivyo variable hiyo ni kama tulivyotangulia kuiona inaweza kuwa hivi:-

$sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `menu` ");

 

Kinacchofuwata ni kuzinyakuwa hizo data zilizosomwa na php yaani fetching data. Hapa tutatumia method inayoitwa $fetch  kwa pamoja hii inakuwa hivi while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){ Tutakuja jifunza zaidi kuhusu while inavyotumika ila kwa ufupi ni kuwa while ni ndugu na if statement. Hapo imetumika kuselect row zote zilizopo kwenye hiyo table.  Hii ya mysqli_fetch_array($sql) Hii function hapa imetumika ili kuunganisha $sql variable iliyosoma data na kuzileta kwenye php. Kwa pamoja hapa inatengeneza code hii

<?php

 

       $sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `menu` ");

       while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){

 

       ?>

 

Hii ndio sasa hutumika kuzisoma data zote za kwenyetable yako. Hiyo SELECT FROM menu unaweza kuibadilisha kadiri unavyohitaji, unaweza kutumia WHER, ORDER BY, LIMIT na kadhalika. (rejea somo la 8,9, na 10 m">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 368

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

PHP somo la 96: Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation

Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation.

Soma Zaidi...
PHP somo la 93: Jinsi ya kutumia faili la env

Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri

Soma Zaidi...
PHP - somo la 26: Jinsi ya kutengeneza system ya ku chat kw akutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine

Soma Zaidi...
PHP somo la 99: Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf

Soma Zaidi...
PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link

Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.

Soma Zaidi...
PHP somo la 90: Jinsi ya kutumia json data kama blog post

Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json

Soma Zaidi...
PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP

Soma Zaidi...