Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.
KUSOMA DATA KUTOKA KWENYE DATABSE KWA KUTUMIA PHP
katika somo liliopita umejifunza jinsi ya kuingiza data kwenye databse. Sasa somo hili nitakujuza namna ya kuzisoma data hizo kwnye ukurasa wa php. hii ni hatuwa muhimu, kwani huwezi ktengeneza blog kama hujui jinsi ya kusoma database kwenye ukurasa wa wavuti.
Maandalizi:
Kma kawaida kwanza tunandaa variable muhimu kwa ajili ya ku connect databse. variable hizo ni servername, database name, username na password. Hivyo variable hizo zitakuwa hizi:
<?php
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
$dbname = "hotel";
$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);
?>
Hapo nimekukusanyia variable sa database, server, user na password, pia kuna variable $conn kwa ajili ya ku connect database. Kwa ufupi hapo umesha connect kilichobakia ni kuzisoma data.
Kumbuka tumejifunza SQL ya kusoma daata ni SELECT FROM kisha utaweka jina la table. Mfano wa SQL hii itakuwa ‘SELECT * FROM menu’. kumbuka hiyo * inamaanisha All, yaani data zote.
Hatuwa inayofata ni kutengeneza $sql variable ambayo itahisika kuwakilisha SQL statement ya ku select data (kuzisoa data) kutoka kwenye table menu. hivyo variable hiyo ni kama tulivyotangulia kuiona inaweza kuwa hivi:-
$sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `menu` ");
Kinacchofuwata ni kuzinyakuwa hizo data zilizosomwa na php yaani fetching data. Hapa tutatumia method inayoitwa $fetch kwa pamoja hii inakuwa hivi while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){ Tutakuja jifunza zaidi kuhusu while inavyotumika ila kwa ufupi ni kuwa while ni ndugu na if statement. Hapo imetumika kuselect row zote zilizopo kwenye hiyo table. Hii ya mysqli_fetch_array($sql) Hii function hapa imetumika ili kuunganisha $sql variable iliyosoma data na kuzileta kwenye php. Kwa pamoja hapa inatengeneza code hii
<?php
$sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `menu` ");
while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){
?>
Hii ndio sasa hutumika kuzisoma data zote za kwenyetable yako. Hiyo SELECT FROM menu unaweza kuibadilisha kadiri unavyohitaji, unaweza kutumia WHER, ORDER BY, LIMIT na kadhalika. (rejea somo la 8,9, na 10 m">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.
Soma Zaidi...katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php
Soma Zaidi...Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database
Soma Zaidi...