picha

PHP - somo la 18: Jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.

KUSOMA DATA KUTOKA KWENYE DATABSE KWA KUTUMIA PHP

katika somo liliopita umejifunza jinsi ya kuingiza data kwenye databse. Sasa somo hili nitakujuza namna ya kuzisoma data hizo kwnye ukurasa wa php. hii ni hatuwa muhimu, kwani huwezi ktengeneza blog kama hujui jinsi ya kusoma database kwenye ukurasa wa wavuti.

 

Maandalizi:

Kma kawaida kwanza tunandaa variable muhimu kwa ajili ya ku connect databse. variable hizo ni servername, database name, username na password. Hivyo variable hizo zitakuwa hizi:

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

 

?>

 

Hapo nimekukusanyia variable sa database, server, user na password, pia kuna variable $conn kwa ajili ya ku connect database. Kwa ufupi hapo umesha connect kilichobakia ni kuzisoma data.

 

Kumbuka tumejifunza SQL ya kusoma daata ni SELECT FROM kisha utaweka jina la table. Mfano wa SQL hii itakuwa ‘SELECT * FROM menu’. kumbuka hiyo * inamaanisha All, yaani data zote.

 

Hatuwa inayofata ni kutengeneza $sql variable ambayo itahisika kuwakilisha SQL statement ya ku select data (kuzisoa data) kutoka kwenye table menu. hivyo variable hiyo ni kama tulivyotangulia kuiona inaweza kuwa hivi:-

$sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `menu` ");

 

Kinacchofuwata ni kuzinyakuwa hizo data zilizosomwa na php yaani fetching data. Hapa tutatumia method inayoitwa $fetch  kwa pamoja hii inakuwa hivi while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){ Tutakuja jifunza zaidi kuhusu while inavyotumika ila kwa ufupi ni kuwa while ni ndugu na if statement. Hapo imetumika kuselect row zote zilizopo kwenye hiyo table.  Hii ya mysqli_fetch_array($sql) Hii function hapa imetumika ili kuunganisha $sql variable iliyosoma data na kuzileta kwenye php. Kwa pamoja hapa inatengeneza code hii

<?php

 

       $sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `menu` ");

       while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){

 

       ?>

 

Hii ndio sasa hutumika kuzisoma data zote za kwenyetable yako. Hiyo SELECT FROM menu unaweza kuibadilisha kadiri unavyohitaji, unaweza kutumia WHER, ORDER BY, LIMIT na kadhalika. (rejea somo la 8,9, na 10 m">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-18 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 737

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 web hosting    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

PHP BLOG - somo la 8: Jinsi ya kufuta post kwenye database

katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server

Soma Zaidi...
PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP

Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Viazi mbatata

Viazi mbatata ni katika vyakula ambavyo hupatikana karibia dunia yote. Viazi hivi vimekuwa ni lishe kubwa sana. Ila je unajuwa hasa ni faida gani za kiafya hupatikana kwenye viazi hivi?

Soma Zaidi...
PHP somo la 58: static method kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP somo la 96: Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation

Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP

katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database

Soma Zaidi...
PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?

Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake

Soma Zaidi...
PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

Soma Zaidi...
PHP somo la 73: Maana ya http header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.

Soma Zaidi...