PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP

PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .

Katika somo lililotangulia tumejifunza namna ya kutengeneza database kwa kutumia PHP. Hivyo umejifunza pia namna ya kuandaa variable kwa ajili ya kutumia SQL. Hivyo katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table. Tafadhali rejea mafunzo ya database  kujikumbusha naman ya kutengeneza table.

 

Maandalizi

Maandalizi ni yale yale tuliokwisha kuyaona. kwanza ni kuandaa variable zinazohusu database, server na password, kisha ijuwe SQL ststement za kutengeneza table, kisha ujuwe ku connect database. Hivyo nitakuorodheshea haya yote ili iwe rahisi kwako.

 

  1. Variable zinazohusu database:

Hapa kuna variable nyingine tutaiongeza nayo ni variable ya kuwakilisha jina la database. Yaani kwa kuwa tunataka kutengeneza table, lazima sasa tuseme table hiyo tunakwenda kuitengenezea kwenye database ipi?. Hivy hapa nitatumia $dbname kunaanisha database name, hivyo kuwakilisha jina la database.

 

katika somo lililopita tulitengeneza databse iliyoitwa hoteli. Hivyo katika somo hili tutakwenda kutengeneza table yenye jina menu katika hiyo database yetu ya hotel. kumbuka jina la server ni localhost, na username ni root. password hakuna, hivyo patakuwa kama palivyo.

 

//kuandaa variable

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";


 

  1. SQL statement za kutengeneza table

CREATE TABLE IF NOT EXISTS `menu` (

  `id` int(100) NOT NULL,

  `name` varchar(255) NOT NULL,

  `description` varchar(255) NOT NULL,

  `price` int(100) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4;

Hii ni table tulioitengeneza katika somo la 9 mafunzo ya database bofya hapa kurejea somo

 

  1. variable za ku connect database

/ Create connection

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password);

 

  1. function kwa ajili ya kuangalia kama kuna tatizo ama umefanikiwa. apa ndipo tunatumia if else statement, kwa ajili ya kueleza kama table imefanikiwa itatuambia “table menu imetengeneza” Ving">...

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 439

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Madrasa kiganjani    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO
    PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 49: utangulizi wa Object Oriented Programming katika PHP
    PHP somo la 49: utangulizi wa Object Oriented Programming katika PHP

    Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 80: Authentication header
    PHP somo la 80: Authentication header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 77: aina za http redirect
    PHP somo la 77: aina za http redirect

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

    Soma Zaidi...
    Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address
    Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address

    Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog
    PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog

    HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog

    Soma Zaidi...
    PHP somol  la 55: PHP Abstract Class na abstract method
    PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

    Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 82: Content-Disposition
    PHP somo la 82: Content-Disposition

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP
    PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP
    PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

    Soma Zaidi...