PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .

Katika somo lililotangulia tumejifunza namna ya kutengeneza database kwa kutumia PHP. Hivyo umejifunza pia namna ya kuandaa variable kwa ajili ya kutumia SQL. Hivyo katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table. Tafadhali rejea mafunzo ya database  kujikumbusha naman ya kutengeneza table.

 

Maandalizi

Maandalizi ni yale yale tuliokwisha kuyaona. kwanza ni kuandaa variable zinazohusu database, server na password, kisha ijuwe SQL ststement za kutengeneza table, kisha ujuwe ku connect database. Hivyo nitakuorodheshea haya yote ili iwe rahisi kwako.

 

  1. Variable zinazohusu database:

Hapa kuna variable nyingine tutaiongeza nayo ni variable ya kuwakilisha jina la database. Yaani kwa kuwa tunataka kutengeneza table, lazima sasa tuseme table hiyo tunakwenda kuitengenezea kwenye database ipi?. Hivy hapa nitatumia $dbname kunaanisha database name, hivyo kuwakilisha jina la database.

 

katika somo lililopita tulitengeneza databse iliyoitwa hoteli. Hivyo katika somo hili tutakwenda kutengeneza table yenye jina menu katika hiyo database yetu ya hotel. kumbuka jina la server ni localhost, na username ni root. password hakuna, hivyo patakuwa kama palivyo.

 

//kuandaa variable

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";


 

  1. SQL statement za kutengeneza table

CREATE TABLE IF NOT EXISTS `menu` (

  `id` int(100) NOT NULL,

  `name` varchar(255) NOT NULL,

  `description` varchar(255) NOT NULL,

  `price` int(100) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4;

Hii ni table tulioitengeneza katika somo la 9 mafunzo ya database bofya hapa kurejea somo

 

  1. variable za ku connect database

/ Create connection

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password);

 

  1. function kwa ajili ya kuangalia kama kuna tatizo ama umefanikiwa. apa ndipo tunatumia if else statement, kwa ajili ya kueleza kama table imefanikiwa itatuambia “table menu imetengeneza” Ving">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 522

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

    Post zinazofanana:

    PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog

    Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login

    Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 91: Mambo ya kuzingatia unapokuwa unashughulika na data za json

    Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object

    Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html

    Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 1: Utangulizi na jinsi ya kuandaa kwa ajili ya somo

    Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP

    Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 80: Authentication header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

    Soma Zaidi...