PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php

PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php

Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php

Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload faili lolote kwenye database. Katika mafunzo ya database tulijifunza kuwa media fail zote zinakuwa katika BLOB. Hivyo itabidi tuongeze column nyingine kwenye table yetu. column hiyo tutaiita file. Ingia kwenye databse yako hotel kisha ingia kwenye uwanja wa SQL kisha pest code hizi ALTER TABLE `menu` ADD `file` BLOB NOT NULL AFTER `price`;     Kufanya hivyo utakuwa umeongeza column mpya inayoitwa file.

 

Kuna namna mbili tunawea kuzitumia ili ku upload file kupitia ukurasa wa wavuti. Njiaya kwanza ni kutumia blob ambapo fili lenyewe linakwenda kukaa kwenye database. Njia hii sio nzuri kama database yako ni ndogo, kwani itaweza kujaa kwa haraka. Kwa kupitia niia hii file litakaa kmoja kwa moja kwenye database. 

 

Njia ya piili ni ku upload taarifa za faili tu ila faili lenyewe linabakia kwenye mafolder ya website tyako. Kwa kutumia njia hii storage pekee ndio hutumika ila database itabakia kuwa na taarifa kuhusu hilo faili kama jina, path, aina, ukubwa wake, limewekwa limni n.k. Hivyo ukitaka kuliona file hilo lazima uangalie taarifa kwenye database. lakini pia utaweza kulikuda kwenye ma folder ya website yake.

 

katika somo hili tutatumia nia ya kwanza. Nia ya pili tutaijuwa katika muendelezo wa course hizi. Ili ku upload file kwa kutumia njia ya kwanza yaani kwenye blob, ingia kwenye table ya menu. Kisha chaguwa menu unayotaka kuiwekea picha, kisha bofya edit kisha sehemu ya file utaona pana Choose File

Ukibofya hapo utapelekwa kwenye storage ya kifaa chako ili kuchaguwa file. Baada ya kucaguwa file bofya Go. hakikisha faile lako hallizidi KB 64. Baada ya hapo utakuwa umesha upload file lako. File hilo l...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu Rajabu
Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views: 1403

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 ai web app     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma

Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 54: class constant kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 23: Jinsi ya kutumia condition statement kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link

Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 2: Jinsi ya kutengeneza database na kuiunganisha kwenye blog

Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.

Soma Zaidi...
PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi

Soma Zaidi...