picha

PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php

Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php

Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload faili lolote kwenye database. Katika mafunzo ya database tulijifunza kuwa media fail zote zinakuwa katika BLOB. Hivyo itabidi tuongeze column nyingine kwenye table yetu. column hiyo tutaiita file. Ingia kwenye databse yako hotel kisha ingia kwenye uwanja wa SQL kisha pest code hizi ALTER TABLE `menu` ADD `file` BLOB NOT NULL AFTER `price`;     Kufanya hivyo utakuwa umeongeza column mpya inayoitwa file.

 

Kuna namna mbili tunawea kuzitumia ili ku upload file kupitia ukurasa wa wavuti. Njiaya kwanza ni kutumia blob ambapo fili lenyewe linakwenda kukaa kwenye database. Njia hii sio nzuri kama database yako ni ndogo, kwani itaweza kujaa kwa haraka. Kwa kupitia niia hii file litakaa kmoja kwa moja kwenye database. 

 

Njia ya piili ni ku upload taarifa za faili tu ila faili lenyewe linabakia kwenye mafolder ya website tyako. Kwa kutumia njia hii storage pekee ndio hutumika ila database itabakia kuwa na taarifa kuhusu hilo faili kama jina, path, aina, ukubwa wake, limewekwa limni n.k. Hivyo ukitaka kuliona file hilo lazima uangalie taarifa kwenye database. lakini pia utaweza kulikuda kwenye ma folder ya website yake.

 

katika somo hili tutatumia nia ya kwanza. Nia ya pili tutaijuwa katika muendelezo wa course hizi. Ili ku upload file kwa kutumia njia ya kwanza yaani kwenye blob, ingia kwenye table ya menu. Kisha chaguwa menu unayotaka kuiwekea picha, kisha bofya edit kisha sehemu ya file utaona pana Choose File...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 964

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form

Soma Zaidi...
PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 39: Jinsi ya kutengeneza mafaili na mafolda kwenye server kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia

Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako

Soma Zaidi...
PHP - somo la 11: Jinsi ya kutuma tarifa zilizojazwa kwenye form

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.

Soma Zaidi...
PHP somola 78: Cookie Headers

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

Soma Zaidi...
PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP

katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database

Soma Zaidi...
PHP - somo la 46: Nini maana ya cronjob na matumizi yake

Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma

Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 75: Content-Type Header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.

Soma Zaidi...