picha

PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php

Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php

Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload faili lolote kwenye database. Katika mafunzo ya database tulijifunza kuwa media fail zote zinakuwa katika BLOB. Hivyo itabidi tuongeze column nyingine kwenye table yetu. column hiyo tutaiita file. Ingia kwenye databse yako hotel kisha ingia kwenye uwanja wa SQL kisha pest code hizi ALTER TABLE `menu` ADD `file` BLOB NOT NULL AFTER `price`;     Kufanya hivyo utakuwa umeongeza column mpya inayoitwa file.

 

Kuna namna mbili tunawea kuzitumia ili ku upload file kupitia ukurasa wa wavuti. Njiaya kwanza ni kutumia blob ambapo fili lenyewe linakwenda kukaa kwenye database. Njia hii sio nzuri kama database yako ni ndogo, kwani itaweza kujaa kwa haraka. Kwa kupitia niia hii file litakaa kmoja kwa moja kwenye database. 

 

Njia ya piili ni ku upload taarifa za faili tu ila faili lenyewe linabakia kwenye mafolder ya website tyako. Kwa kutumia njia hii storage pekee ndio hutumika ila database itabakia kuwa na taarifa kuhusu hilo faili kama jina, path, aina, ukubwa wake, limewekwa limni n.k. Hivyo ukitaka kuliona file hilo lazima uangalie taarifa kwenye database. lakini pia utaweza kulikuda kwenye ma folder ya website yake.

 

katika somo hili tutatumia nia ya kwanza. Nia ya pili tutaijuwa katika muendelezo wa course hizi. Ili ku upload file kwa kutumia njia ya kwanza yaani kwenye blob, ingia kwenye table ya menu. Kisha chaguwa menu unayotaka kuiwekea picha, kisha bofya edit kisha sehemu ya file utaona pana Choose File...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-18 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 1085

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 ai web app    👉4 web hosting    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database

Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

Soma Zaidi...
PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

Soma Zaidi...
PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table

Soma Zaidi...
PHP somo la 59: static property kwenye PHP

Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika

Soma Zaidi...
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Viazi mbatata

Viazi mbatata ni katika vyakula ambavyo hupatikana karibia dunia yote. Viazi hivi vimekuwa ni lishe kubwa sana. Ila je unajuwa hasa ni faida gani za kiafya hupatikana kwenye viazi hivi?

Soma Zaidi...