Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.
KUINGIZA DATA KWENYE DATABSE
Kwa kuwa katika somo lililotangulia tmezifuta databse ze ztu sasa nitakuba code hapa za SQL ili uweze kutengeneza database na table kisha tutaendelea somo kwa kuingiza data kwenye hiyo databse yako.
tengeneza databse iite hotel kisha itengenezee table kwa kupest code hizi hapo chini kwenye uwanja wa SQL. (Rejea mafunzo ya database jinsi ya kutengeneza table)
CREATE TABLE IF NOT EXISTS `menu` (
`id` int(100) NOT NULL,
`name` varchar(255) NOT NULL,
`description` varchar(255) NOT NULL,
`price` int(100) NOT NULL
) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4;
MAANDALIZI:
kama tulivyoona hapo mwanzoni kwanza unatakiwa u connect database. Na kuandaa variable zote pamoja na SQL kwa ajili ya kuingiza data. Kama tulivyojifunza katika mafunzo ya databse. tunatumia INSERT INTO ili kuingiza taarifa kwenye databse. (tafadhali rejea mafunzo ya database namna ya kuingiza data kwenye dable). Hivyo $sql variable itakwenda kuwakilisaha SQL statemen t ya kuingiza datada. Hakikisha unahusisha na jina la databse. mfano INSERT INTO menu.
jambo linguine unatakiwa ukumbuke majina ya column za table yako. kwani hizo data unazokwenda kuziweka zinaingia kwenye column. table yetu ya menu kama inavyoonekana hapo juu, ina column 4 ambazo ni, id, name, description na price. Yaani ni kuwa tnanakwenda kuweka values kwenye hizo column 4. VALUE ni kile unachokwenda kuweka. Mfano name ukiweka ugali, inamaana value hapo ni ugali. (tafadhali rejea mafunzo ya database jinsi ya kuingiza data).
Kwa mfano tunataka kuweka menu yenye id 1, name Ugali, description iwe karibu ugali mtamu, na price iwe 1500 hivyo SQL variable itakuwa hivi
$sql = "INSERT INTO menu (id, name, description, price)
VALUES ('1', 'ugali', 'pata ugali mtamu', 1500)";
Baada ya hapo utaandaa alert message ili kukujulisha kuwa kazi imefanyika. Kama kawaida tutatumia if else ili kutuambia kuwa kama data imeingizwa itupe meseji “taarifa zimeingizwa kikamilifu” vingineyo ituambie “kuna tatizo” kufanya hivi tutatumia mysqli_query($conn, $sql)
CODE NZIMA ZA KUINGINZA DATA KWENYE TABLE ZITAONEKANA HIVI:
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
$dbname = "hotel";
// Create connection
$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);
// Check connection
if (!$conn) {
die("Connection failed: " . mysqli_connect_error());
}
// delete database
$sql = "INSERT INTO menu (id, name, description, price)
VALUES ('1', 'ugali', 'pata ugali mtamu', 1500)
";
if (mysqli_query($conn, $sql)) {
echo "Taarifa zimeingingwa kikamilifu";
} else {
echo "Kuna tatizo: " . mysqli_error($conn);
}
mysqli_close($conn);
?>
Hakikisha umeshatengeneza table ya menu kwa kutumia SQL code nilizozitoa hapo mwanzoni mwa somo hili. Kama utakuwa umefanya kila kitu sawa, pest code hizo hao juu kwenye faili la php kisha lifunguwe kwa prowser ya">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP
Soma Zaidi...katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table
Soma Zaidi...hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...