picha

PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.

KUINGIZA DATA KWENYE DATABSE

Kwa kuwa katika somo lililotangulia tmezifuta databse ze ztu sasa nitakuba code hapa za SQL ili uweze kutengeneza database na table kisha tutaendelea somo kwa kuingiza data kwenye hiyo databse yako.

 

tengeneza databse iite hotel kisha itengenezee table kwa kupest code hizi hapo chini kwenye uwanja wa SQL. (Rejea mafunzo ya database jinsi ya kutengeneza table)

 

CREATE TABLE IF NOT EXISTS `menu` (

  `id` int(100) NOT NULL,

  `name` varchar(255) NOT NULL,

  `description` varchar(255) NOT NULL,

  `price` int(100) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4;

 

MAANDALIZI:

kama tulivyoona hapo mwanzoni kwanza unatakiwa u connect database. Na kuandaa variable zote pamoja na SQL kwa ajili ya kuingiza data. Kama tulivyojifunza katika mafunzo ya databse. tunatumia INSERT INTO ili kuingiza taarifa kwenye databse. (tafadhali rejea mafunzo ya database namna ya kuingiza data kwenye dable). Hivyo $sql variable itakwenda kuwakilisaha SQL statemen t ya kuingiza datada. Hakikisha unahusisha na jina la databse. mfano INSERT INTO menu.

 

jambo linguine unatakiwa ukumbuke majina ya column za table yako. kwani hizo data unazokwenda kuziweka zinaingia kwenye column. table yetu ya menu kama inavyoonekana hapo juu, ina column 4 ambazo ni, id, name, description na price. Yaani ni kuwa tnanakwenda kuweka values kwenye hizo column 4. VALUE ni kile unachokwenda kuweka. Mfano name ukiweka ugali, inamaana value hapo ni ugali. (tafadhali rejea mafunzo ya database jinsi ya kuingiza data). 

 

Kwa mfano tunataka kuweka menu yenye id 1, name Ugali, description iwe karibu ugali mtamu, na price iwe 1500  hivyo SQL variable itakuwa hivi   

$sql = "INSERT INTO menu (id, name, description, price)

VALUES ('1', 'ugali', 'pata ugali mtamu', 1500)";

 

Baada ya hapo utaandaa alert message ili kukujulisha kuwa kazi imefanyika. Kama kawaida tutatumia if else ili kutuambia kuwa kama data imeingizwa itupe meseji “taarifa zimeingizwa kikamilifu” vingineyo ituambie “kuna tatizo” kufanya hivi tutatumia  mysqli_query($conn, $sql)

 

CODE NZIMA ZA KUINGINZA DATA KWENYE TABLE ZITAONEKANA HIVI:

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

// Create connection

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

// Check connection

if (!$conn) {

   die("Connection failed: " . mysqli_connect_error());

}

 

// delete database

$sql = "INSERT INTO menu (id, name, description, price)

VALUES ('1', 'ugali', 'pata ugali mtamu', 1500)

";

if (mysqli_query($conn, $sql)) {

   echo "Taarifa zimeingingwa kikamilifu";

} else {

   echo "Kuna tatizo: " . mysqli_error($conn);

}

 

mysqli_close($conn);

?>

   

Hakikisha umeshatengeneza table ya menu kwa kutumia SQL code nilizozitoa hapo mwanzoni mwa somo hili. Kama utakuwa ...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 925

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 web hosting     👉5 ai web app     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable

Soma Zaidi...
PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia

Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako

Soma Zaidi...
PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutuma Email kwa kutumia PHP

Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()

Soma Zaidi...
PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

Soma Zaidi...