PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable

NAMNA YA KUWEKA VARIABLE
Variable ni nini?
Ni ngumu kutoa maana ya hili neno likafahamika bila maswali, ila niseme tu kwa ufupi variable unaweza kuwema ni chombo cha kuhifadhia data kwenye program. Unaweza kuzikusanya data nyingi zinazofanana kwa kutumia variable moja.

Kwa mfano unaweza kusema neno gari likawa na mgawanyiko kama toyota, benzi, basi na pikap. Sasa badala ya kuyaida majina yao unaweza tu kuweka variable ya gari hala fu compyuta ikadisplay magariyote. Badala ya kuanza tena kutaja, majina ya magari unaweka variable gari yanakuja yote.

Cheki mfano huu:
$gari = array("basi", "benzi", "toyota","tractor", "isuzu");
echo "tunauza magari aina ya ". $gari[2].",". $gari[1].".";?>
Kwa kutumia variable gari naweza kutaja vina la gari lolote kati ya hayo bila ya kuandika jina lake halisi. Hii inasaidia kusave time.

Kanuni za kuweka variable
1.Kwanz aunatakiwa uanze na alama ya dola ambayo ni $
2.Kisha utaandika jina la variable usianze na namba
3.Kisha ruka nafasi kisha weka alama ya =
4.Kisha weka alama za kunukuu “ ”
5.Ndani ya alama za kunukuu andiak thamani ya variable yako, yaani unataka variable hiyo iwakilishe nini?
6.Weka alama ya semi colon ambayo ni ;
7.Baada ya hapo ni kuitumia variable yako.

Mafano 1
$chakula = "ugali wa sembe iliyonyeupe na samaki wa bwawani pamoja na kachumbari yenye ndimu nyingi";
echo " napenda kula $chakula";
?>

Kw akutumia mfano huu, baada ya kuyaudia maneno yaliyopo kwenye variable ambayo ni “ugali wa sembe iliyonyeupe na samaki wa bwawani pamoja na kachumbari yenye ndimu nyingi” sasa badala ya kuyaridia rudia nitatumia neno chakula kisha maneno hayo yatatolea. Haijalshi nimeyarudia mara ngapi.">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 619

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 web hosting    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

PHP somo la 57: class traits kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance

Soma Zaidi...
PHP somo la 54: class constant kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop

Soma Zaidi...
PHP somo la 91: Mambo ya kuzingatia unapokuwa unashughulika na data za json

Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json

Soma Zaidi...
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.

Soma Zaidi...
PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

Soma Zaidi...
PHP somo la 75: Content-Type Header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.

Soma Zaidi...
PHP somo la 96: Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation

Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 34: Jinsi ya kutumia do loop, while loop na foreach kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP

Soma Zaidi...