PHP somo la 98: Library za PHP ambazo unaweza kutumia ORM

Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM

Kuna library kadhaa za PHP ambazo unaweza kutumia kwa ORM (Object-Relational Mapping) bila kuhitaji kutumia framework kama Laravel au Symfony. Hapa kuna baadhi ya bora zaidi:


1. Eloquent (Standalone)


2. Doctrine ORM


3. RedBeanPHP


4. Medoo


5. Paris + Idiorm


Nini Unapaswa Kuchagua?

Library Faida Hasara
Eloquent (Standalone) Ina nguvu na ni rahisi kama unajua Laravel Inaleta dependencies nyingi
Doctrine ORM Ina nguvu sana na inafuata OOP kwa kina Inahitaji kujifunza configuration
RedBeanPHP Haihitaji configuration, ni rahisi sana Inaweza kuwa nzito kwenye projects kubwa
Medoo Nyepesi, rahisi kutumia Haina feature nyingi za ORM halisi
Paris + Idiorm Rahisi kwa matumizi ya SQL-style ORM Ina community ndogo

 

Ikiwa unataka ORM rahisi bila kuingia kwenye configuration nyingi, RedBeanPHP au Medoo ni chaguo zuri.
Ikiwa unataka ORM yenye nguvu zaidi, Eloquent au Doctrine ni bora.


 

CHAGUO LETU KATIKA LIBRARY HIZO

RedBeanPHP ni chaguo bora kwa miradi midogo na ya kati kwa sababu ni rahisi kutumia, haina configuration nyingi, na inaweza kujenga database yenyewe bila migrations.

Kwa mujibu wa mafunzo haya tutatumia library ya ReadBeanPHP ili kuonyesha uhalisia wa jinsi ORM zinavyoweza kufanya kazi katika uhalisia wake.


1. Install RedBeanPHP

Kama unatumia Composer, ingiza amri hii kwenye terminal yako:

composer require gabordemooij/redbean

Hata hivyo njia ya composer haipendekezwi kutumiwa. Wenyewe waliotengeneza library hiyo wanapendekeza u download faili moja kw amoja kwenye website yao. Tembelea link hii unaweza kupakua rb.php kutoka 👉 RedBeanPHP Official


2. Unganisha na Database

Katika faili lako la PHP, ongeza RedBean">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 398

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 web hosting    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 5: Maana ya function na jinsi inavyotengenezwa kwa ktumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia

Soma Zaidi...
PHP somo la 74: aina za http headerna server variable

Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.

Soma Zaidi...
PHP -somo la 31: Matumizi ya include() na require() function kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()

Soma Zaidi...
PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP

Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 11: Jinsi ya kutuma tarifa zilizojazwa kwenye form

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.

Soma Zaidi...
PHP somo la 75: Content-Type Header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link

Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.

Soma Zaidi...
PHP somo la 58: static method kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Soma Zaidi...