PHP somo la 98: Library za PHP ambazo unaweza kutumia ORM

Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM

Kuna library kadhaa za PHP ambazo unaweza kutumia kwa ORM (Object-Relational Mapping) bila kuhitaji kutumia framework kama Laravel au Symfony. Hapa kuna baadhi ya bora zaidi:


1. Eloquent (Standalone)


2. Doctrine ORM


3. RedBeanPHP


4. Medoo


5. Paris + Idiorm


Nini Unapaswa Kuchagua?

Library Faida Hasara
Eloquent (Standalone) Ina nguvu na ni rahisi kama unajua Laravel Inaleta dependencies nyingi
Doctrine ORM Ina nguvu sana na inafuata OOP kwa kina Inahitaji kujifunza configuration
RedBeanPHP Haihitaji configuration, ni rahisi sana Inaweza kuwa nzito kwenye projects kubwa
Medoo Nyepesi, rahisi kutumia Haina feature nyingi za ORM halisi
Paris + Idiorm Rahisi kwa matumizi ya SQL-style ORM Ina community ndogo

 

Ikiwa unataka ORM rahisi bila kuingia kwenye configuration nyingi, RedBeanPHP au Medoo ni chaguo zuri.
Ikiwa unataka ORM yenye nguvu zaidi, Eloquent au Doctrine ni bora.


 

CHAGUO LETU KATIKA LIBRARY HIZO

RedBeanPHP ni chaguo bora kwa miradi midogo na ya kati kwa sababu ni rahisi kutumia, haina configuration nyingi, na inaweza kujenga database yenyewe bila migrations.

Kwa mujibu wa mafunzo haya tutatumia library ya ReadBeanPHP ili kuonyesha uhalisia wa jinsi ORM zinavyoweza kufanya kazi katika uhalisia wake.


1. Install RedBeanPHP

Kama unatumia Composer, ingiza amri hii kwenye terminal yako:

composer require gabordemooij/redbean

Hata hivyo njia ya composer haipendekezwi kutumiwa. Wenyewe waliotengeneza library hiyo wanapendekeza u download faili moja kw amoja kwenye website yao. Tembelea link hii unaweza kupakua rb.php kutoka 👉 RedBeanPHP Official


2. Unganisha na Database

Katika faili lako la PHP, ongeza RedBean">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 229

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

PHP somola 78: Cookie Headers

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

Soma Zaidi...
PHP somo la 92: Jinsi ya kuunganisha php na database ya sqlite

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya sqlite kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP

Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO

Soma Zaidi...
PHP somo la 57: class traits kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance

Soma Zaidi...
PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database

Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog

katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post

Soma Zaidi...
PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 5: Maana ya function na jinsi inavyotengenezwa kwa ktumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia

Soma Zaidi...
PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Soma Zaidi...