PHP somo la 98: Library za PHP ambazo unaweza kutumia ORM

Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM

Kuna library kadhaa za PHP ambazo unaweza kutumia kwa ORM (Object-Relational Mapping) bila kuhitaji kutumia framework kama Laravel au Symfony. Hapa kuna baadhi ya bora zaidi:


1. Eloquent (Standalone)


2. Doctrine ORM


3. RedBeanPHP


4. Medoo


5. Paris + Idiorm


Nini Unapaswa Kuchagua?

Library Faida Hasara
Eloquent (Standalone) Ina nguvu na ni rahisi kama unajua Laravel Inaleta dependencies nyingi
Doctrine ORM Ina nguvu sana na inafuata OOP kwa kina Inahitaji kujifunza configuration
RedBeanPHP Haihitaji configuration, ni rahisi sana Inaweza kuwa nzito kwenye projects kubwa
Medoo Nyepesi, rahisi kutumia Haina feature nyingi za ORM halisi
Paris + Idiorm Rahisi kwa matumizi ya SQL-style ORM Ina community ndogo

 

Ikiwa unataka ORM rahisi bila kuingia kwenye configuration nyingi, RedBeanPHP au Medoo ni chaguo zuri.
Ikiwa unataka ORM yenye nguvu zaidi, Eloquent au Doctrine ni bora.


 

CHAGUO LETU KATIKA LIBRARY HIZO

RedBeanPHP ni chaguo bora kwa miradi midogo na ya kati kwa sababu ni rahisi kutumia, haina configuration nyingi, na inaweza kujenga database yenyewe bila migrations.

Kwa mujibu wa mafunzo haya tutatumia library ya ReadBeanPHP ili kuonyesha uhalisia wa jinsi ORM zinavyoweza kufanya kazi katika uhalisia wake.


1. Install RedBeanPHP

Kama unatumia Composer, ingiza amri hii kwenye terminal yako:

composer require gabordemooij/redbean

Hata hivyo njia ya composer haipendekezwi kutumiwa. Wenyewe waliotengeneza library hiyo wanapendekeza u download faili moja kw amoja kwenye website yao. Tembelea link hii unaweza kupakua rb.php kutoka 👉 RedBeanPHP Official


2. Unganisha na Database

Katika faili lako la PHP, ongeza RedBean">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 451

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 web hosting    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function

Soma Zaidi...
PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

Soma Zaidi...
PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.

Soma Zaidi...
PHP somo la 99: Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 16: Jinsi ya kufuta tabale na database kwa kutumia php

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto

Soma Zaidi...
PHP somo la 72: Jinsi ya kuandaa PDF kutoana na data zilizopo kwenye database

hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.

Soma Zaidi...
PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table

Soma Zaidi...
PHP somo la 93: Jinsi ya kutumia faili la env

Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri

Soma Zaidi...