PHP somo la 98: Library za PHP ambazo unaweza kutumia ORM

Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM

Kuna library kadhaa za PHP ambazo unaweza kutumia kwa ORM (Object-Relational Mapping) bila kuhitaji kutumia framework kama Laravel au Symfony. Hapa kuna baadhi ya bora zaidi:


1. Eloquent (Standalone)


2. Doctrine ORM


3. RedBeanPHP


4. Medoo


5. Paris + Idiorm


Nini Unapaswa Kuchagua?

Library Faida Hasara
Eloquent (Standalone) Ina nguvu na ni rahisi kama unajua Laravel Inaleta dependencies nyingi
Doctrine ORM Ina nguvu sana na inafuata OOP kwa kina Inahitaji kujifunza configuration
RedBeanPHP Haihitaji configuration, ni rahisi sana Inaweza kuwa nzito kwenye projects kubwa
Medoo Nyepesi, rahisi kutumia Haina feature nyingi za ORM halisi
Paris + Idiorm Rahisi kwa matumizi ya SQL-style ORM Ina community ndogo

 

Ikiwa unataka ORM rahisi bila kuingia kwenye configuration nyingi, RedBeanPHP au Medoo ni chaguo zuri.
Ikiwa unataka ORM yenye nguvu zaidi, Eloquent au Doctrine ni bora.


 

CHAGUO LETU KATIKA LIBRARY HIZO

RedBeanPHP ni chaguo bora kwa miradi midogo na ya kati kwa sababu ni rahisi kutumia, haina configuration nyingi, na inaweza kujenga database yenyewe bila migrations.

Kwa mujibu wa mafunzo haya tutatumia library ya ReadBeanPHP ili kuonyesha uhalisia wa jinsi ORM zinavyoweza kufanya kazi katika uhalisia wake.


1. Install RedBeanPHP

Kama unatumia Composer, ingiza amri hii kwenye terminal yako:

composer require gabordemooij/redbean

Hata hivyo njia ya composer haipendekezwi kutumiwa. Wenyewe waliotengeneza library hiyo wanapendekeza u download faili moja kw amoja kwenye website yao. Tembelea link hii unaweza kupakua rb.php kutoka 👉 RedBeanPHP Official


2. Unganisha na Database

Katika faili lako la PHP, ongeza RedBean">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 364

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

Soma Zaidi...
PHP somo la 93: Jinsi ya kutumia faili la env

Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri

Soma Zaidi...
PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

Soma Zaidi...
PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP

katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database

Soma Zaidi...
PHP - somo la 23: Jinsi ya kutumia condition statement kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

Soma Zaidi...
PHP somola 78: Cookie Headers

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

Soma Zaidi...
PHP somo la 58: static method kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php

Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php

Soma Zaidi...
PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.

Soma Zaidi...