PHP somo la 73: Maana ya http header

PHP somo la 73: Maana ya http header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.

Download Post hii hapa

Karibu kwenye course mpya ya PHP mabayo itakwenda kuzungumzia kuhusu HTTP header na jinsiambavyo inavyofanya kazi. Course hii ni moja ya misingi ya course zinazofuata.

 

Nini utakwenda kujifunza?

  1. Maana ya http header

  2. Jinsi ya kupata header information

  3. Jinsi ya kuweka header information Yako mwenyewe.

  4. Jinsi ya kulinda usalama wa header information

  5. Matumizi ya header information



  1. Http header ni Nini?

Haoa tunazungumzia zile taarifa ambazo zinahusu request inayotokea kwneye server na inayoingia.

 

Request ni like ombi linalofanywa browser ya mtumiaji hii tunaita client request. Mfano wewe umeandika link https://bongoclass.com. Sasa browser Yako itaomba server ambayo inamaudhui yaink husika kuletabmaudhui hayo. Kisha server itajibu kwa kukupa maudhui hayo kama ni habari, hadithi, audio n k. Haya majibu ambayo server inatia yanaitwa server response.

 

Sasa wakati wewe unatumia client request kwa kuandika hiyo link Yako, hiyo link inapokwenda kuomba maudhui kwenye server husika, inakwenda na baadhi ya taarifa maalumu zinazohusu hiyo link.

 

Mfano link hiyo itabeba taarifa inayoonyesha kabla ya kubofya link hiyo unetojea kwenye link Gani, pia taarifa nyingine kama IP address, jina la domain, n k

 

Taarifa hizi huwezi kuziona kwenye link yenyewe mpaka uziombe kwenye server. Sasa njia ambazo taarifa hizi hulitishwa ni kwa kupitia http header.



Http header ni sehemu muhimu ya data ambayo inatumiwa katika mawasiliano ya mtandao kati ya mtandao wa mteja na mtandao wa seva. Ina maelezo yanayoelezea ombi la HTTP au jibu, kama vile aina ya data inayotumwa au kupokelewa, lugha inayotumiwa, kuki za mtumiaji, na maelezo mengineyo muhimu.

 

Baadhi ya yaarifa kwenye httpheader::

Hapa nakuletea tu orodha ya taarifa zinazoweza kupatikana kwenye http header. Katika somo linalofuata tutakwenda kuziangalia taarifa hizi kwa undani zaidi.:-

 

1.Host: Jina la seva inayotakiwa kushughulikia ombi.

 

2.User-Agent: Maelezo kuhusu programu ya mteja inayofanya ombi.

 

3.Accept: Aina za media zinazotakiwa kukubaliwa na mteja.

 

4.Content-Type: Aina ya data inayotumwa kwa seva au inayopokelewa kutoka kwa seva.

 

5.Content-Length: Urefu wa data inayotumwa kwa seva au inayopokelewa kutoka kwa seva.

 

6.Authorization: Msimbo wa uthibitishaji wa mteja.

 

7.Cookie: Habari za kuki za mtumiaji zinazotumwa kwenye seva.

 

8.Location: Anwani ya URL ya kuelekeza kwa mteja (hasa katika majibu ya kuelekeza).

 

9.Cache-Control: Maelezo kuhusu jinsi ya kushughulikia caching ya data.

 

10.Server: Maelezo kuhusu seva inayojibu ombi.

 

11.Date: Tarehe na saa ambayo ombi au jibu lilifanyika.Connection: Hali ya uhusiano wa mtandao, kama vile "close" au "keep-alive".

 

12.Content-Encoding: Aina ya kubadilisha iliyoitumika kwa data iliyotumwa au kupokelewa.

 

13.Referer: URL ya rasilimali iliyosababisha ombi la sasa.

 

14.Accept-Language: Lugha za makala zinazopendelewa na mteja.

 

14.ETag: Alama ya utambulisho wa kipekee kwa rasilimali, kutumika kwa udhibiti wa caching.

 

15.If-Modified-Since: Tarehe ya mwisho ya mabadiliko ya rasilimali, kutumiwa katika udhibiti wa caching.

 

Zipo tarifa nyinginezo ambazo tutaziona huko mbeleni kadiri somo linavyoendelea. Kwa sasa unachotakiw akujuwa ni kuwa ndani ya http header kuna taarifa nyingi sana.



Jinsi ya kusoma taarifa za http header:

Kuna njia kadhaa ambazo tutakwenda kuzitumia ili kusoma data kwenye http header. Njia hizo ni kama:-

  1. Kwa kutumia global variable $_SERVER   

<?php

echo $_SERVER['REQUEST_METHOD']; // Outputs the request method (GET, POST, etc.)

echo "<br>";

 

echo $_SERVER['REMOTE_ADDR']; // Outputs the IP address of the client

echo "<br>";

 

echo $_SERVER['HTTP_USER_AGENT']; // Outputs the user agent string of the client's browser

echo "<br>";

 

echo $_SERVER['SCRIPT_FILENAME']; // Outputs the absolute pathname of the currently executing script

echo "<br>";

 

echo $_SERVER['SERVER_ADDR']; // Outputs the IP address of the server

echo "<br>";

 

echo $_SERVER['SERVER_PORT']; // Outputs the port number to which the request was sent

echo "<br>";

 

echo $_SERVER['DOCUMENT_ROOT']; // Outputs the document root directory under which the current script is executing

echo "<br>";

 

echo $_SERVER['HTTP_ACCEPT_LANGUAGE']; // Outputs the languages the client can accept, based on the Accept-Language HTTP header

echo "<br>";

echo $_SERVER['PHP_SELF'];

echo "<br>";

echo $_SERVER['SERVER_NAME'];

echo "<br>";

echo $_SERVER['HTTP_HOST'];

echo "<br>";

echo $_SERVER['HTTP_REFERER'];

 

...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 343

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM
PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table

Soma Zaidi...
PHP somo la 77: aina za http redirect
PHP somo la 77: aina za http redirect

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

Soma Zaidi...
PHP - somo la 38: Jinsi ya ku upload mafaili zaidi ya moja kwa kutumia PHP
PHP - somo la 38: Jinsi ya ku upload mafaili zaidi ya moja kwa kutumia PHP

katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement
PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement

Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog
PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog

HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog

Soma Zaidi...
PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP
PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP
PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma
PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma

Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 80: Authentication header
PHP somo la 80: Authentication header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

Soma Zaidi...
PHP somo la 102: Cron job
PHP somo la 102: Cron job

atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic

Soma Zaidi...