image

PHP somo la 73: Maana ya http header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.

Karibu kwenye course mpya ya PHP mabayo itakwenda kuzungumzia kuhusu HTTP header na jinsiambavyo inavyofanya kazi. Course hii ni moja ya misingi ya course zinazofuata.

 

Nini utakwenda kujifunza?

  1. Maana ya http header

  2. Jinsi ya kupata header information

  3. Jinsi ya kuweka header information Yako mwenyewe.

  4. Jinsi ya kulinda usalama wa header information

  5. Matumizi ya header information



  1. Http header ni Nini?

Haoa tunazungumzia zile taarifa ambazo zinahusu request inayotokea kwneye server na inayoingia.

 

Request ni like ombi linalofanywa browser ya mtumiaji hii tunaita client request. Mfano wewe umeandika link https://bongoclass.com. Sasa browser Yako itaomba server ambayo inamaudhui yaink husika kuletabmaudhui hayo. Kisha server itajibu kwa kukupa maudhui hayo kama ni habari, hadithi, audio n k. Haya majibu ambayo server inatia yanaitwa server response.

 

Sasa wakati wewe unatumia client request kwa kuandika hiyo link Yako, hiyo link inapokwenda kuomba maudhui kwenye server husika, inakwenda na baadhi ya taarifa maalumu zinazohusu hiyo link.

 

Mfano link hiyo itabeba taarifa inayoonyesha kabla ya kubofya link hiyo unetojea kwenye link Gani, pia taarifa nyingine kama IP address, jina la domain, n k

 

Taarifa hizi huwezi kuziona kwenye link yenyewe mpaka uziombe kwenye server. Sasa njia ambazo taarifa hizi hulitishwa ni kwa kupitia http header.



Http header ni sehemu muhimu ya data ambayo inatumiwa katika mawasiliano ya mtandao kati ya mtandao wa mteja na mtandao wa seva. Ina maelezo yanayoelezea ombi la HTTP au jibu, kama vile aina ya data inayotumwa au kupokelewa, lugha inayotumiwa, kuki za mtumiaji, na maelezo mengineyo muhimu.

 

Baadhi ya yaarifa kwenye httpheader::

Hapa nakuletea tu orodha ya taarifa zinazoweza kupatikana kwenye http header. Katika somo linalofuata tutakwenda kuziangalia taarifa hizi kwa undani zaidi.:-

 

1.Host: Jina la seva inayotakiwa kushughulikia ombi.

 

2.User-Agent: Maelezo kuhusu programu ya mteja inayofanya ombi.

 

3.Accept: Aina za media zinazotakiwa kukubaliwa na mteja.

 

4.Content-Type: Aina ya data inayotumwa kwa seva au inayopokelewa kutoka kwa seva.

 

5.Content-Length: Urefu wa data inayotumwa kwa seva au inayopokelewa kutoka kwa seva.

 

6.Authorization: Msimbo wa uthibitishaji wa mteja.

 

7.Cookie: Habari za kuki za mtumiaji zinazotumwa kwenye seva.

 

8.Location: Anwani ya URL ya kuelekeza kwa mteja (hasa katika majibu ya kuelekeza).

 

9.Cache-Control: Maelezo kuhusu jinsi ya kushughulikia caching ya data.

 

10.Server: Maelezo kuhusu seva inayojibu ombi.

 

11.Date: Tarehe na saa ambayo ombi au jibu lilifanyika.Connection: Hali ya uhusiano wa mtandao, kama vile "close" au "keep-alive".

 

12.Content-Encoding: Aina ya kubadilisha iliyoitumika kwa data iliyotumwa au kupokelewa.

 

13.Referer: URL ya rasilimali iliyosababisha ombi la sasa.

 

14.Accept-Language: Lugha za makala zinazopendelewa na mteja.

 

14.ETag: Alama ya utambulisho wa kipekee kwa rasilimali, kutumika kwa udhibiti wa caching.

 

15.If-Modified-Since: Tarehe ya mwisho ya mabadiliko ya rasilimali, kutumiwa katika udhibiti wa caching.

 

Zipo tarifa nyinginezo ambazo tutaziona huko mbeleni kadiri somo linavyoendelea. Kwa sasa unachotakiw akujuwa ni kuwa ndani ya http header kuna taarifa nyingi sana.



Jinsi ya kusoma taarifa za http header:

Kuna njia kadhaa ambazo tutakwenda kuzitumia ili kusoma data kwenye http header. Njia hizo ni kama:-

  1. Kwa kutumia global variable $_SERVER   

<?php

echo $_SERVER['REQUEST_METHOD']; // Outputs the request method (GET, POST, etc.)

echo "<br>";

 

echo $_SERVER['REMOTE_ADDR']; // Outputs the IP address of the client

echo "<br>";

 

echo $_SERVER['HTTP_USER_AGENT']; // Outputs the user agent string of the client's browser

echo "<br>";

 

echo $_SERVER['SCRIPT_FILENAME']; // Outputs the absolute pathname of the currently executing script

echo "<br>";

 

echo $_SERVER['SERVER_ADDR']; // Outputs the IP address of the server

echo "<br>";

 

echo $_SERVER['SERVER_PORT']; // Outputs the port number to which the request was sent

echo "<br>";

 

echo $_SERVER['DOCUMENT_ROOT']; // Outputs the document root directory under which the current script is executing

echo "<br>";

 

echo $_SERVER['HTTP_ACCEPT_LANGUAGE']; // Outputs the languages the client can accept, based on the Accept-Language HTTP header

echo "<br>";

echo $_SERVER['PHP_SELF'];

echo "<br>";

echo $_SERVER['SERVER_NAME'];

echo "<br>";

echo $_SERVER['HTTP_HOST'];

echo "<br>";

echo $_SERVER['HTTP_REFERER'];

 

...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-07-08 10:18:14 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 171


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

PHP - somo la 30: Baadhi function za PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php Soma Zaidi...

PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma
Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP Soma Zaidi...

PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog
Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog. Soma Zaidi...

PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer
Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost. Soma Zaidi...

PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 8: Jinsi ya kufuta post kwenye database
katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server Soma Zaidi...

PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO. Soma Zaidi...

PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog
HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog Soma Zaidi...

PHP - somo la 12: Jinsi ya kufanyia kazi taarifa zilizokusanywa kutoka kwa mtumiaji
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost
Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse Soma Zaidi...