image

PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

KUFICHA NA KUFICHUWA TAARIFA (ENCRYPTION AND DECRYPTION)

 

  1. KUFANYA ENCRYPTION

Matumizi ya msingi ya encryption ni kwenye password,hata hivyo inaweza kutumika kwenye maeneo mengi. Changamoto ya hashing ni kuwa huwezi kurudisha katika hali ya asili. Hivyo sio vyema kufanya hashing email za watu ambazo utazihitaji kwa matumizi mengine. Hivyo basi ili kuficha email na taarifa zingine ambazo unahitaji kusisoma ni kwa kutumia encryption.

 

Kwa mfano email mafunzo@bongoclass.com inaweza kuwa hivi c/tsSBSi703k1jy2SGDNSy5zHYZBiw== uzuri wa encryption unaweza kurudisha hizo encription kuwa katika hali ya kwaida. Kitendo hiki kinaitwa decryption. Katika somo hili tutatumia open ssl kufanya encryption na decryption.

 

  1. Kufanya encryption:

Kanuni ya ku encrypt taarifa. Kwa ufupi tunafanya encryption kwa kutumia function inayoitwa openssl_encrypt() hata hivyo zipo nyingi. Tunatumia hii kwa kuwa ni free.

openssl_encrypt($data, $cipher,$key, $options, $encryption_iv)

 

Saa hapo wacha nikueleze kwanza kila kimoja kazi yake:

  1. $data hii ndio hubeba hiyo taarifa ambayo ndio tunakwedna kui encrypt

  2. $cipher hii ni nia ambayo hutumika ili kmu encrypt taarifa. Kwa kuwa tunatumia openssl hapa njia tutakayotumia ni AES-128-CTR  

  3.  $key Hii ni sawa na kusema neno la siri ambalo litatumika wakati wa kuzifichuwa taarifa yaani ku decrypt. Hii key ni hatari sana kwa kuwa mtu akiipata anaweza kufichuwa taarifa ulizoficha.hivyo inatakiwa ufiche na uweke strong kama vile ni password yako.

  4. $option hapa kunakaa namba kulingana na method itakayotumiaka tutaacha 0 kwa kuwa tunatumia openssl.

  5. $iv hii ndio encryption method. Hapa tutatumia funvtion inayoitwa openssl_cipher_iv_length()ambapo ndi yake tutaweka cipher kama parameta yake.

  6. $encryption_iv  hii ndio ambayo huanza kubeba hizo taarifa na kuzichakata kulingana na ">...



    Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





               

    Je! umeipenda hii post?
    Ndio            Hapana            Save post

    Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 219


    Sponsored links
    👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

    Post zifazofanana:-

    PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog
    Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog. Soma Zaidi...

    PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database
    Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database Soma Zaidi...

    PHP BLOG - somo la 8: Jinsi ya kufuta post kwenye database
    katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server Soma Zaidi...

    PHP somo la 90: Jinsi ya kutumia json data kama blog post
    Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json Soma Zaidi...

    Jinsi ya kutuma Email kwa kutumia PHP
    Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email() Soma Zaidi...

    PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja. Soma Zaidi...

    PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php
    Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php Soma Zaidi...

    PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost. Soma Zaidi...

    PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP Soma Zaidi...

    PHP somo la 57: class traits kwenye PHP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance Soma Zaidi...

    PHP somo la 75: Content-Type Header
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header. Soma Zaidi...

    Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address
    Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake. Soma Zaidi...