PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

KUFICHA NA KUFICHUWA TAARIFA (ENCRYPTION AND DECRYPTION)

 

  1. KUFANYA ENCRYPTION

Matumizi ya msingi ya encryption ni kwenye password,hata hivyo inaweza kutumika kwenye maeneo mengi. Changamoto ya hashing ni kuwa huwezi kurudisha katika hali ya asili. Hivyo sio vyema kufanya hashing email za watu ambazo utazihitaji kwa matumizi mengine. Hivyo basi ili kuficha email na taarifa zingine ambazo unahitaji kusisoma ni kwa kutumia encryption.

 

Kwa mfano email mafunzo@bongoclass.com inaweza kuwa hivi c/tsSBSi703k1jy2SGDNSy5zHYZBiw== uzuri wa encryption unaweza kurudisha hizo encription kuwa katika hali ya kwaida. Kitendo hiki kinaitwa decryption. Katika somo hili tutatumia open ssl kufanya encryption na decryption.

 

  1. Kufanya encryption:

Kanuni ya ku encrypt taarifa. Kwa ufupi tunafanya encryption kwa kutumia function inayoitwa openssl_encrypt() hata hivyo zipo nyingi. Tunatumia hii kwa kuwa ni free.

openssl_encrypt($data, $cipher,$key, $options, $encryption_iv)

 

Saa hapo wacha nikueleze kwanza kila kimoja kazi yake:

  1. $data hii ndio hubeba hiyo taarifa ambayo ndio tunakwedna kui encrypt

  2. $cipher hii ni nia ambayo hutumika ili kmu encrypt taarifa. Kwa kuwa tunatumia openssl hapa njia tutakayotumia ni AES-128-CTR  

  3.  $key Hii ni sawa na kusema neno la siri ambalo litatumika wakati wa kuzifichuwa taarifa yaani ku decrypt. Hii key ni hatari sana kwa kuwa mtu akiipata anaweza kufichuwa taarifa ulizoficha.hivyo inatakiwa ufiche na uweke strong kama vile ni password yako.

  4. $option hapa kunakaa namba kulingana na method itakayotumiaka tutaacha 0 kwa kuwa tunatumia openssl.

  5. $iv hii ndio encryption method. Hapa tutatumia funvtion inayoitwa openssl_cipher_iv_length()ambapo ndi yake tutaweka cipher kama parameta yake.

  6. $encryption_iv  hii ndio ambayo huanza kubeba hiz">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 465

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 79: Custom header

    Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

    Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 73: Maana ya http header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html

    Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 12: Jinsi ya kufanyia kazi taarifa zilizokusanywa kutoka kwa mtumiaji

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia

    Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 8: Jinsi ya kufuta post kwenye database

    katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 102: Cron job

    atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic

    Soma Zaidi...
    Jinsi ya kutuma Email kwa kutumia PHP

    Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()

    Soma Zaidi...