PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

KUFICHA NA KUFICHUWA TAARIFA (ENCRYPTION AND DECRYPTION)

 

  1. KUFANYA ENCRYPTION

Matumizi ya msingi ya encryption ni kwenye password,hata hivyo inaweza kutumika kwenye maeneo mengi. Changamoto ya hashing ni kuwa huwezi kurudisha katika hali ya asili. Hivyo sio vyema kufanya hashing email za watu ambazo utazihitaji kwa matumizi mengine. Hivyo basi ili kuficha email na taarifa zingine ambazo unahitaji kusisoma ni kwa kutumia encryption.

 

Kwa mfano email mafunzo@bongoclass.com inaweza kuwa hivi c/tsSBSi703k1jy2SGDNSy5zHYZBiw== uzuri wa encryption unaweza kurudisha hizo encription kuwa katika hali ya kwaida. Kitendo hiki kinaitwa decryption. Katika somo hili tutatumia open ssl kufanya encryption na decryption.

 

  1. Kufanya encryption:

Kanuni ya ku encrypt taarifa. Kwa ufupi tunafanya encryption kwa kutumia function inayoitwa openssl_encrypt() hata hivyo zipo nyingi. Tunatumia hii kwa kuwa ni free.

openssl_encrypt($data, $cipher,$key, $options, $encryption_iv)

 

Saa hapo wacha nikueleze kwanza kila kimoja kazi yake:

  1. $data hii ndio hubeba hiyo taarifa ambayo ndio tunakwedna kui encrypt

  2. $cipher hii ni nia ambayo hutumika ili kmu encrypt taarifa. Kwa kuwa tunatumia openssl hapa njia tutakayotumia ni AES-128-CTR  

  3.  $key Hii ni sawa na kusema neno la siri ambalo litatumika wakati wa kuzifichuwa taarifa yaani ku decrypt. Hii key ni hatari sana kwa kuwa mtu akiipata anaweza kufichuwa taarifa ulizoficha.hivyo inatakiwa ufiche na uweke strong kama vile ni password yako.

  4. $option hapa kunakaa namba kulingana na method itakayotumiaka tutaacha 0 kwa kuwa tunatumia openssl.

  5. $iv hii ndio encryption method. Hapa tutatumia funvtion inayoitwa openssl_cipher_iv_length()ambapo ndi yake tutaweka cipher kama parameta yake.

  6. $encryption_iv  hii ndio ambayo huanza kubeba hiz">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 389

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

    Post zinazofanana:

    PHP somola 78: Cookie Headers

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog

    Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu

    Soma Zaidi...
    PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog

    Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 5: Maana ya function na jinsi inavyotengenezwa kwa ktumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM

    Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

    Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

    Soma Zaidi...