Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu
KUFICHA NA KUFICHUWA TAARIFA (ENCRYPTION AND DECRYPTION)
KUFANYA ENCRYPTION
Matumizi ya msingi ya encryption ni kwenye password,hata hivyo inaweza kutumika kwenye maeneo mengi. Changamoto ya hashing ni kuwa huwezi kurudisha katika hali ya asili. Hivyo sio vyema kufanya hashing email za watu ambazo utazihitaji kwa matumizi mengine. Hivyo basi ili kuficha email na taarifa zingine ambazo unahitaji kusisoma ni kwa kutumia encryption.
Kwa mfano email mafunzo@bongoclass.com inaweza kuwa hivi c/tsSBSi703k1jy2SGDNSy5zHYZBiw== uzuri wa encryption unaweza kurudisha hizo encription kuwa katika hali ya kwaida. Kitendo hiki kinaitwa decryption. Katika somo hili tutatumia open ssl kufanya encryption na decryption.
Kufanya encryption:
Kanuni ya ku encrypt taarifa. Kwa ufupi tunafanya encryption kwa kutumia function inayoitwa openssl_encrypt() hata hivyo zipo nyingi. Tunatumia hii kwa kuwa ni free.
openssl_encrypt($data, $cipher,$key, $options, $encryption_iv)
Saa hapo wacha nikueleze kwanza kila kimoja kazi yake:
$data hii ndio hubeba hiyo taarifa ambayo ndio tunakwedna kui encrypt
$cipher hii ni nia ambayo hutumika ili kmu encrypt taarifa. Kwa kuwa tunatumia openssl hapa njia tutakayotumia ni AES-128-CTR
$key Hii ni sawa na kusema neno la siri ambalo litatumika wakati wa kuzifichuwa taarifa yaani ku decrypt. Hii key ni hatari sana kwa kuwa mtu akiipata anaweza kufichuwa taarifa ulizoficha.hivyo inatakiwa ufiche na uweke strong kama vile ni password yako.
$option hapa kunakaa namba kulingana na method itakayotumiaka tutaacha 0 kwa kuwa tunatumia openssl.
$iv hii ndio encryption method. Hapa tutatumia funvtion inayoitwa openssl_cipher_iv_length()ambapo ndi yake tutaweka cipher kama parameta yake.
$encryption_iv hii ndio ambayo huanza kubeba hizo taarifa na kuzichakata kulingana na cipher iliyotumiaka.
Encryption:
<?...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako
Soma Zaidi...Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.
Soma Zaidi...Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file
Soma Zaidi...