picha

PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

KUFICHA NA KUFICHUWA TAARIFA (ENCRYPTION AND DECRYPTION)

 

  1. KUFANYA ENCRYPTION

Matumizi ya msingi ya encryption ni kwenye password,hata hivyo inaweza kutumika kwenye maeneo mengi. Changamoto ya hashing ni kuwa huwezi kurudisha katika hali ya asili. Hivyo sio vyema kufanya hashing email za watu ambazo utazihitaji kwa matumizi mengine. Hivyo basi ili kuficha email na taarifa zingine ambazo unahitaji kusisoma ni kwa kutumia encryption.

 

Kwa mfano email mafunzo@bongoclass.com inaweza kuwa hivi c/tsSBSi703k1jy2SGDNSy5zHYZBiw== uzuri wa encryption unaweza kurudisha hizo encription kuwa katika hali ya kwaida. Kitendo hiki kinaitwa decryption. Katika somo hili tutatumia open ssl kufanya encryption na decryption.

 

  1. Kufanya encryption:

Kanuni ya ku encrypt taarifa. Kwa ufupi tunafanya encryption kwa kutumia function inayoitwa openssl_encrypt() hata hivyo zipo nyingi. Tunatumia hii kwa kuwa ni free.

openssl_encrypt($data, $cipher,$key, $options, $encryption_iv)

 

Saa hapo wacha nikueleze kwanza kila kimoja kazi yake:

  1. $data hii ndio hubeba hiyo taarifa ambayo ndio tunakwedna kui encrypt

  2. $cipher hii ni nia ambayo hutumika ili kmu encrypt taarifa. Kwa kuwa tunatumia openssl hapa njia tutakayotumia ni AES-128-CTR  

  3.  $key Hii ni sawa na kusema neno la siri ambalo litatumika wakati wa kuzifichuwa taarifa yaani ku decrypt. Hii key ni hatari sana kwa kuwa mtu akiipata anaweza kufichuwa taarifa ulizoficha.hivyo inatakiwa ufiche na uweke strong kama vile ni password yako.

  4. $option hapa kunakaa namba kulingana na method itakayotumiaka tutaacha 0 kwa kuwa tunatumia openssl.

  5. $iv hii ndio encryption method. Hapa tutatumia funvtion inayoitwa openssl_cipher_iv_length()ambapo ndi yake tutaweka cipher kama parameta yake.

  6. $encryption_iv  hii ndio ambayo huanza kubeba hiz">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-19 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 906

    Share On:

    Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
    Sponsored links
    👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 ai web app    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog

    Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 102: Cron job

    atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog

    HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

    Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

    Soma Zaidi...