PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu
KUFICHA NA KUFICHUWA TAARIFA (ENCRYPTION AND DECRYPTION)
-
KUFANYA ENCRYPTION
Matumizi ya msingi ya encryption ni kwenye password,hata hivyo inaweza kutumika kwenye maeneo mengi. Changamoto ya hashing ni kuwa huwezi kurudisha katika hali ya asili. Hivyo sio vyema kufanya hashing email za watu ambazo utazihitaji kwa matumizi mengine. Hivyo basi ili kuficha email na taarifa zingine ambazo unahitaji kusisoma ni kwa kutumia encryption.
Kwa mfano email mafunzo@bongoclass.com inaweza kuwa hivi c/tsSBSi703k1jy2SGDNSy5zHYZBiw== uzuri wa encryption unaweza kurudisha hizo encription kuwa katika hali ya kwaida. Kitendo hiki kinaitwa decryption. Katika somo hili tutatumia open ssl kufanya encryption na decryption.
-
Kufanya encryption:
Kanuni ya ku encrypt taarifa. Kwa ufupi tunafanya encryption kwa kutumia function inayoitwa openssl_encrypt() hata hivyo zipo nyingi. Tunatumia hii kwa kuwa ni free.
openssl_encrypt($data, $cipher,$key, $options, $encryption_iv)
Saa hapo wacha nikueleze kwanza kila kimoja kazi yake:
-
$data hii ndio hubeba hiyo taarifa ambayo ndio tunakwedna kui encrypt
-
$cipher hii ni nia ambayo hutumika ili kmu encrypt taarifa. Kwa kuwa tunatumia openssl hapa njia tutakayotumia ni AES-128-CTR
-
$key Hii ni sawa na kusema neno la siri ambalo litatumika wakati wa kuzifichuwa taarifa yaani ku decrypt. Hii key ni hatari sana kwa kuwa mtu akiipata anaweza kufichuwa taarifa ulizoficha.hivyo inatakiwa ufiche na uweke strong kama vile ni password yako.
-
$option hapa kunakaa namba kulingana na method itakayotumiaka tutaacha 0 kwa kuwa tunatumia openssl.
-
$iv hii ndio encryption method. Hapa tutatumia funvtion inayoitwa openssl_cipher_iv_length()ambapo ndi yake tutaweka cipher kama parameta yake.
-
$encryption_iv hii ndio ambayo huanza kubeba hizo taarifa na kuzichakata kulingana na cipher iliyotumiaka.
Encryption:
<?...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop
Soma Zaidi...PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer
Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.
Soma Zaidi...PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.
Soma Zaidi...PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...PHP somo la 54: PHP OOP class constant
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...PHP somo la 75: Content-Type Header
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.
Soma Zaidi...