PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

KUFICHA NA KUFICHUWA TAARIFA (ENCRYPTION AND DECRYPTION)

 

  1. KUFANYA ENCRYPTION

Matumizi ya msingi ya encryption ni kwenye password,hata hivyo inaweza kutumika kwenye maeneo mengi. Changamoto ya hashing ni kuwa huwezi kurudisha katika hali ya asili. Hivyo sio vyema kufanya hashing email za watu ambazo utazihitaji kwa matumizi mengine. Hivyo basi ili kuficha email na taarifa zingine ambazo unahitaji kusisoma ni kwa kutumia encryption.

 

Kwa mfano email mafunzo@bongoclass.com inaweza kuwa hivi c/tsSBSi703k1jy2SGDNSy5zHYZBiw== uzuri wa encryption unaweza kurudisha hizo encription kuwa katika hali ya kwaida. Kitendo hiki kinaitwa decryption. Katika somo hili tutatumia open ssl kufanya encryption na decryption.

 

  1. Kufanya encryption:

Kanuni ya ku encrypt taarifa. Kwa ufupi tunafanya encryption kwa kutumia function inayoitwa openssl_encrypt() hata hivyo zipo nyingi. Tunatumia hii kwa kuwa ni free.

openssl_encrypt($data, $cipher,$key, $options, $encryption_iv)

 

Saa hapo wacha nikueleze kwanza kila kimoja kazi yake:

  1. $data hii ndio hubeba hiyo taarifa ambayo ndio tunakwedna kui encrypt

  2. $cipher hii ni nia ambayo hutumika ili kmu encrypt taarifa. Kwa kuwa tunatumia openssl hapa njia tutakayotumia ni AES-128-CTR  

  3.  $key Hii ni sawa na kusema neno la siri ambalo litatumika wakati wa kuzifichuwa taarifa yaani ku decrypt. Hii key ni hatari sana kwa kuwa mtu akiipata anaweza kufichuwa taarifa ulizoficha.hivyo inatakiwa ufiche na uweke strong kama vile ni password yako.

  4. $option hapa kunakaa namba kulingana na method itakayotumiaka tutaacha 0 kwa kuwa tunatumia openssl.

  5. $iv hii ndio encryption method. Hapa tutatumia funvtion inayoitwa openssl_cipher_iv_length()ambapo ndi yake tutaweka cipher kama parameta yake.

  6. $encryption_iv  hii ndio ambayo huanza kubeba hiz">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 622

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 web hosting    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

    Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php

    Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function

    Soma Zaidi...
    PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

    Soma Zaidi...
    PHP somola 78: Cookie Headers

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 49: utangulizi wa Object Oriented Programming katika PHP

    Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM

    Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 30: Baadhi function za PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php

    Soma Zaidi...