picha

PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP

Ili ku update data tunatumia UDATE na kufuta tunatumia DELETE. Ni muhimu sana kujuwa kufuta na ku update taarifa kwa sababu mbalimbali. Hatahivyo unatakiwa pia uwe makini wakati wa kufuta taarifa, kwani usipoangalia makini command zako unaweza kujikuta unafuta data zote ama table ama database, ama ukafuta row tofauti na uliokusudia.

 

  1. ku update taarifa kwenye database.

Mfano tunataka kubadili price kwenye ugali kutoka 1500 kuwa 1000. hivyo hapa tutatakiwa ku update taarifa hizi. Kitu cha kwanza unachotakiwa kujuwa ni id ya ugali ni ngapi kwenye table yako. Kulingana na table yetu ya menu ad ya ugali ni 1.

 

Jinsi yakuandaa SQL ya kuweza ku update taarifa

Utaandika UPTADE kisha ikifuatiwa na jina la table mfano UPDATE menu kisha utaandika SET ili kuweza kuset hizo data mpya. mfano UPDATE menu SET itafuatiwa na column unayotaka kui update ikifuatiwa na alama ya =, kwakuwa sisi tunataka ku update column ya price itakuwa hivi UPDATE menu SET price baada ya hapo ni kuweka VALUE au thamani ya hizo data unazotaka ziwe, hakikisha ziwe ndani ya ‘’ kama string (rejea mafunzo ya php kuhusu string). hivyo itakuwa UPDATE menu SET price = ‘1000’ hapa itafuatiwa na WHERE kisha utaweka id ya hiyo row yako. hiyo itakuwa hivi UPDATE menu SET price = ‘1000’ WHERE id = 1

 

kinachofuata ni kuandaa variable zako kwa ajili ya ku connect na database kama tulivyoona katika masomo yaliopita. Variable ya ku update sasa itasomeka hivi 

$sql = "UPDATE menu SET price='1000' WHERE id=1";

 

Sehemu zilizobakia kila kitu hakuna mabadiliko mengi. Hivyo code nzima za ku update ugali zitasomeka kama hivi

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

// Create connection

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

// Check connection

if (!$conn) {

   die("Connection failed: " . mysqli_connect_error());

}

 

$sql = "UPDAT...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 851

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 ai web app     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 web hosting     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

PHP somo la 82: Content-Disposition

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition

Soma Zaidi...
PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table

Soma Zaidi...
PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.

Soma Zaidi...
PHP somo la 94: Maana ya ORM na kazi zake

Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database

Soma Zaidi...
PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.

Soma Zaidi...