picha

PHP - somo la 38: Jinsi ya ku upload mafaili zaidi ya moja kwa kutumia PHP

katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP

Katika somo lililotangulia tuliona jinsi ya ku futa data kwenye database na kwenye folda. Sasa katika somo hili tunakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili mengi yaani ku upload mafaili zaidi ya moja. Pia utajifunza ku upload taarifa hizi kwenye database. Tutakwenda kutumia table yetu ile ile ya blog.

 

Kipengele muhimu cha kwanza ni kwenye html. Kwanza kabisa ni kuiruhusu html form iweze kuchaguwa mafaili zaidi ya moja. Kufanya hivi utatakiwa kuongeza attribute ingine ya form. Attrib ute hii inaitwa multiple ambayo itakuwa na value multiple. Mfano multiple="multiple" pia kwenye name ya value yake utaiongezea mabano yale ya array [] mfano name="file[] hivyo basi html form itaonekana kama hivi:-

html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="utf-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1, shrink-to-fit=no">

   <title>Uploadstitle>

head>

<body>

<div class="container mt-5">

   <form action="upload.php" method="post" enctype="multipart/form-data" >

    <input type="file" name="file[]" multiple="multiple">

     <button type="submit" name="submit">Upload Filesbutton>

   form>

div>

body>

html>

 

Sasa sehemu ya msingi zaidi ni faili la PHP ambalo linakwenda ku process data zetu. Kwanza tunatakiwa tupate orodha ya mafaili am bayo mtumiaji ameselect. Hapa mafaili tutayapata kwa njia ya array.

 

Hivyo basi kuna njii kuu 2 ambazo tunaweza kuzitumia ili kupata mafaili hayo. Kwanza ni kwa kutumia for loop. Tulishajifunza kuhusu for loop. Tutatumia mfano kama ule am bao tulitumia. Njia ya pili ni kwa kutumoia froeach loop. Piua tyutatumia mfano kama ule. 

 

  1. Kwa kutumia for loop:

Kwanza tutahitajika kujuwa idadi ya mafaili ambayo tayari yapo. Kama unakumbuka kwenye somo la for loop nilikwambia kuwa utatumia hii kama unajuwa kuwa code zako ziutatakiwa ku run mara ngapi. Hivyo ni lazima tujuwe kuna mafaili mangapi kwenye array.

 

Kufanya hivi tutatumia count() function. Tutaweka parameta iliyo na majina ya mafaili kutoka kwenye POST method. Mfano count($_FILES['file']['tmp_name'])

Hapo tutahitajika kuwa na variable maalimu ambayo ina hiyo idadi ya mafaili. Hivyo tutafanya $num_files = count($_FILES['file']['tmp_name']);Hatuwa inayofuata ni ku loop hiyo idadi ya mafaili kwenye for mfano for($i=0; $i < $num_files;$i++)Hivyo code zetu zitaendelea ku run maadamu idadi ya mafaili haijafikiwa. Ila ikifikiwa itastop.

 

Katiika mfano wa hapo juu utaona kuwa variable ambayo ndio ita run autoincrement ni $i, hivyo ili kupata majina ya mafaili yote tutahitajika ku loop na $i . hivyo itaonekana kama hivi $_FILES['file']['name'][$i])Hapo utaweza kupata majina ya mafaili yote. Na kama utahitaji taarifa ingine kwa mfano $_FILES['file']['tmp_name'][$i]au $_FILES['file']['size'][$i]Na kadhalika. 

 

Baada ya kumaliza ku upload tutahitajika kuingiza taarifa hizo kwenye database. Hii tutafanya kama tulivyofanya kwenye somo lililopita. Mfano $sql="INSERT INTO blog(image) VALUES ('$fn')";

 

if (mysqli_query($conn, $sql)) {

   header("location: index.php");

else {

   echo "failed";

}

 

Hivyo basi code za ku upload mafaili zitaonekana hivi:-

 

include 'config.php';

if(isset($_FILES['fil...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 975

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 ai web app     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php

Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php

Soma Zaidi...
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP somo la 99: Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link

Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.

Soma Zaidi...
PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.

Soma Zaidi...
PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma

Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP

Soma Zaidi...