picha

PHP - somo la 38: Jinsi ya ku upload mafaili zaidi ya moja kwa kutumia PHP

katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP

Katika somo lililotangulia tuliona jinsi ya ku futa data kwenye database na kwenye folda. Sasa katika somo hili tunakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili mengi yaani ku upload mafaili zaidi ya moja. Pia utajifunza ku upload taarifa hizi kwenye database. Tutakwenda kutumia table yetu ile ile ya blog.

 

Kipengele muhimu cha kwanza ni kwenye html. Kwanza kabisa ni kuiruhusu html form iweze kuchaguwa mafaili zaidi ya moja. Kufanya hivi utatakiwa kuongeza attribute ingine ya form. Attrib ute hii inaitwa multiple ambayo itakuwa na value multiple. Mfano multiple="multiple" pia kwenye name ya value yake utaiongezea mabano yale ya array [] mfano name="file[] hivyo basi html form itaonekana kama hivi:-

html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="utf-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1, shrink-to-fit=no">

   <title>Uploadstitle>

head>

<body>

<div class="container mt-5">

   <form action="upload.php" method="post" enctype="multipart/form-data" >

    <input type="file" name="file[]" multiple="multiple">

     <button type="submit" name="submit">Upload Filesbutton>

   form>

div>

body>

html>

 

Sasa sehemu ya msingi zaidi ni faili la PHP ambalo linakwenda ku process data zetu. Kwanza tunatakiwa tupate orodha ya mafaili am bayo mtumiaji ameselect. Hapa mafaili tutayapata kwa njia ya array.

 

Hivyo basi kuna njii kuu 2 ambazo tunaweza kuzitumia ili kupata mafaili hayo. Kwanza ni kwa kutumia for loop. Tulishajifunza kuhusu for loop. Tutatumia mfano kama ule am bao tulitumia. Njia ya pili ni kwa kutumoia froeach loop. Piua tyutatumia mfano kama ule. 

 

  1. Kwa kutumia for loop:

Kwanza tutahitajika kujuwa idadi ya mafaili ambayo tayari yapo. Kama unakumbuka kwenye somo la for loop nilikwambia kuwa utatumia hii kama unajuwa kuwa code zako ziutatakiwa ku run mara ngapi. Hivyo ni lazima tujuwe kuna mafaili mangapi kwenye array.

 

Kufanya hivi tutatumia count() function. Tutaweka parameta iliyo na majina ya mafaili kutoka kwenye POST method. Mfano count($_FILES['file']['tmp_name'])

Hapo tutahitajika kuwa na variable maalimu ambayo ina hiyo idadi ya mafaili. Hivyo tutafanya $num_files = count($_FILES['file']['tmp_name']);Hatuwa inayofuata ni ku loop hiyo idadi ya mafaili kwenye for mfano for($i=0; $i < $num_files;$i++)Hivyo code zetu zitaendelea ku run maadamu idadi ya mafaili haijafikiwa. Ila ikifikiwa itastop.

 

Katiika mfano wa hapo juu utaona kuwa variable ambayo ndio ita run autoincrement ni $i, hivyo ili kupata majina ya mafaili yote tutahitajika ku loop na $i . hivyo itaonekana kama hivi $_FILES['file']['name'][$i])Hapo utaweza kupata majina ya mafaili yote. Na kama utahitaji taarifa ingine kwa mfano $_FILES['file']['tmp_name'][$i]au $_FILES['file']['size'][$i]Na kadhalika. 

 

Baada ya kumaliza ku upload tutahitajika kuingiza taarifa hizo kwenye database. Hii tutafanya kama tulivyofanya kwenye somo lililopita. Mfano $sql="INSERT INTO blog(image) VALUES ('$fn')";

 

if (mysqli_query($conn, $sql)) {

   header("location: index.php");

else {

   echo "failed";

}

 

Hivyo basi code za ku upload mafaili zitaonekana hivi:-

 

include 'config.php';

if(isset($_FILES['fil...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 958

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 ai web app     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

PHP somo la 59: static property kwenye PHP

Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika

Soma Zaidi...
PHP somo la 77: aina za http redirect

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog

katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post

Soma Zaidi...
PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Soma Zaidi...
PHP somo la 98: Library za PHP ambazo unaweza kutumia ORM

Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM

Soma Zaidi...
PHP - somo la 23: Jinsi ya kutumia condition statement kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...