katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP
Katika somo lililotangulia tuliona jinsi ya ku futa data kwenye database na kwenye folda. Sasa katika somo hili tunakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili mengi yaani ku upload mafaili zaidi ya moja. Pia utajifunza ku upload taarifa hizi kwenye database. Tutakwenda kutumia table yetu ile ile ya blog.
Kipengele muhimu cha kwanza ni kwenye html. Kwanza kabisa ni kuiruhusu html form iweze kuchaguwa mafaili zaidi ya moja. Kufanya hivi utatakiwa kuongeza attribute ingine ya form. Attrib ute hii inaitwa multiple ambayo itakuwa na value multiple. Mfano multiple="multiple" pia kwenye name ya value yake utaiongezea mabano yale ya array [] mfano name="file[] hivyo basi html form itaonekana kama hivi:-
html>
<html lang="en">
<head>
<meta charset="utf-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1, shrink-to-fit=no">
<title>Uploadstitle>
head>
<body>
<div class="container mt-5">
<form action="upload.php" method="post" enctype="multipart/form-data" >
<input type="file" name="file[]" multiple="multiple">
<button type="submit" name="submit">Upload Filesbutton>
form>
div>
body>
html>
Sasa sehemu ya msingi zaidi ni faili la PHP ambalo linakwenda ku process data zetu. Kwanza tunatakiwa tupate orodha ya mafaili am bayo mtumiaji ameselect. Hapa mafaili tutayapata kwa njia ya array.
Hivyo basi kuna njii kuu 2 ambazo tunaweza kuzitumia ili kupata mafaili hayo. Kwanza ni kwa kutumia for loop. Tulishajifunza kuhusu for loop. Tutatumia mfano kama ule am bao tulitumia. Njia ya pili ni kwa kutumoia froeach loop. Piua tyutatumia mfano kama ule.
Kwa kutumia for loop:
Kwanza tutahitajika kujuwa idadi ya mafaili ambayo tayari yapo. Kama unakumbuka kwenye somo la for loop nilikwambia kuwa utatumia hii kama unajuwa kuwa code zako ziutatakiwa ku run mara ngapi. Hivyo ni lazima tujuwe kuna mafaili mangapi kwenye array.
Kufanya hivi tutatumia count() function. Tutaweka parameta iliyo na majina ya mafaili kutoka kwenye POST method. Mfano count($_FILES['file']['tmp_name'])
Hapo tutahitajika kuwa na variable maalimu ambayo ina hiyo idadi ya mafaili. Hivyo tutafanya $num_files = count($_FILES['file']['tmp_name']);Hatuwa inayofuata ni ku loop hiyo idadi ya mafaili kwenye for mfano for($i=0; $i < $num_files;$i++)Hivyo code zetu zitaendelea ku run maadamu idadi ya mafaili haijafikiwa. Ila ikifikiwa itastop.
Katiika mfano wa hapo juu utaona kuwa variable ambayo ndio ita run autoincrement ni $i, hivyo ili kupata majina ya mafaili yote tutahitajika ku loop na $i . hivyo itaonekana kama hivi $_FILES['file']['name'][$i])Hapo utaweza kupata majina ya mafaili yote. Na kama utahitaji taarifa ingine kwa mfano $_FILES['file']['tmp_name'][$i]au $_FILES['file']['size'][$i]Na kadhalika.
Baada ya kumaliza ku upload tutahitajika kuingiza taarifa hizo kwenye database. Hii tutafanya kama tulivyofanya kwenye somo lililopita. Mfano $sql="INSERT INTO blog(image) VALUES ('$fn')";
if (mysqli_query($conn, $sql)) {
header("location: index.php");
} else {
echo "failed";
}
Hivyo basi code za ku upload mafaili zitaonekana hivi:-
include 'config.php';
if(isset($_FILES['file']['tmp_name']))
{
//set upload directory
$target_dir = &">...
Je! umeipenda hii post?
Rajabu
Sponsored links
PHP somo la 79: Custom header
PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blo post kwa kutumia PHP
PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP
Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address
PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP
PHP - somo la 11: Jinsi ya kutuma tarifa zilizojazwa kwenye form
PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?
PHP - somo la 30: Baadhi function za PHP
PHP - somo la 46: Nini maana ya cronjob na matumizi yake
PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case
PHP somo la 73: Maana ya http header
PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Ndio Hapana Save post
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 151
👉1 Kitabu cha Afya
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 kitabu cha Simulizi
👉4 Kitau cha Fiqh
Post zifazofanana:-
Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake Soma Zaidi...
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP Soma Zaidi...
Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake. Soma Zaidi...
katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form. Soma Zaidi...
Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php Soma Zaidi...
Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header. Soma Zaidi...
Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php Soma Zaidi...