image

PHP - somo la 38: Jinsi ya ku upload mafaili zaidi ya moja kwa kutumia PHP

katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP

Katika somo lililotangulia tuliona jinsi ya ku futa data kwenye database na kwenye folda. Sasa katika somo hili tunakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili mengi yaani ku upload mafaili zaidi ya moja. Pia utajifunza ku upload taarifa hizi kwenye database. Tutakwenda kutumia table yetu ile ile ya blog.

 

Kipengele muhimu cha kwanza ni kwenye html. Kwanza kabisa ni kuiruhusu html form iweze kuchaguwa mafaili zaidi ya moja. Kufanya hivi utatakiwa kuongeza attribute ingine ya form. Attrib ute hii inaitwa multiple ambayo itakuwa na value multiple. Mfano multiple="multiple" pia kwenye name ya value yake utaiongezea mabano yale ya array [] mfano name="file[] hivyo basi html form itaonekana kama hivi:-

html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="utf-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1, shrink-to-fit=no">

   <title>Uploadstitle>

head>

<body>

<div class="container mt-5">

   <form action="upload.php" method="post" enctype="multipart/form-data" >

    <input type="file" name="file[]" multiple="multiple">

     <button type="submit" name="submit">Upload Filesbutton>

   form>

div>

body>

html>

 

Sasa sehemu ya msingi zaidi ni faili la PHP ambalo linakwenda ku process data zetu. Kwanza tunatakiwa tupate orodha ya mafaili am bayo mtumiaji ameselect. Hapa mafaili tutayapata kwa njia ya array.

 

Hivyo basi kuna njii kuu 2 ambazo tunaweza kuzitumia ili kupata mafaili hayo. Kwanza ni kwa kutumia for loop. Tulishajifunza kuhusu for loop. Tutatumia mfano kama ule am bao tulitumia. Njia ya pili ni kwa kutumoia froeach loop. Piua tyutatumia mfano kama ule. 

 

  1. Kwa kutumia for loop:

Kwanza tutahitajika kujuwa idadi ya mafaili ambayo tayari yapo. Kama unakumbuka kwenye somo la for loop nilikwambia kuwa utatumia hii kama unajuwa kuwa code zako ziutatakiwa ku run mara ngapi. Hivyo ni lazima tujuwe kuna mafaili mangapi kwenye array.

 

Kufanya hivi tutatumia count() function. Tutaweka parameta iliyo na majina ya mafaili kutoka kwenye POST method. Mfano count($_FILES['file']['tmp_name'])

Hapo tutahitajika kuwa na variable maalimu ambayo ina hiyo idadi ya mafaili. Hivyo tutafanya $num_files = count($_FILES['file']['tmp_name']);Hatuwa inayofuata ni ku loop hiyo idadi ya mafaili kwenye for mfano for($i=0; $i < $num_files;$i++)Hivyo code zetu zitaendelea ku run maadamu idadi ya mafaili haijafikiwa. Ila ikifikiwa itastop.

 

Katiika mfano wa hapo juu utaona kuwa variable ambayo ndio ita run autoincrement ni $i, hivyo ili kupata majina ya mafaili yote tutahitajika ku loop na $i . hivyo itaonekana kama hivi $_FILES['file']['name'][$i])Hapo utaweza kupata majina ya mafaili yote. Na kama utahitaji taarifa ingine kwa mfano $_FILES['file']['tmp_name'][$i]au $_FILES['file']['size'][$i]Na kadhalika. 

 

Baada ya kumaliza ku upload tutahitajika kuingiza taarifa hizo kwenye database. Hii tutafanya kama tulivyofanya kwenye somo lililopita. Mfano $sql="INSERT INTO blog(image) VALUES ('$fn')";

 

if (mysqli_query($conn, $sql)) {

   header("location: index.php");

else {

   echo "failed";

}

 

Hivyo basi code za ku upload mafaili zitaonekana hivi:-

 

include 'config.php';

if(isset($_FILES['file']['tmp_name']))

{

//set upload directory

   $target_dir = &">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 170


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO
Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete. Soma Zaidi...

PHP somo la 57: class traits kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance Soma Zaidi...

PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa. Soma Zaidi...

PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP. Soma Zaidi...

PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja. Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement
Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog Soma Zaidi...

PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili. Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 1: Utangulizi na jinsi ya kuandaa kwa ajili ya somo
Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho. Soma Zaidi...

PHP - somo la 18: Jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP. Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog
HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog Soma Zaidi...

PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting. Soma Zaidi...

PHP somo la 54: class constant kwenye php
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class. Soma Zaidi...