picha

PHP somola 69: jinsi ya kutuma email kwa watu zaidi ya mmoja kwa kutumia PHPMailer

Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy

Kutuma emailkwa watu zaidi ya mmoja:

Kabla hatujatuma barua pepe kw amtu zaidi ya mmoja,ngooja kwanz atuone jinsi ya kuweka, reply,  CC na BCC. kama umeshatumia gmail ama email provider nyingine bila shakaumeshakutana na hizi terminologyCC na BCC.

 

CC ina maana ya Carbon Copy: hii hutumika kutuma copi ya barua pepe ulioituma kwa watuzaidiya mmoja,kwa mhusika. Huyo anayetumiwa hiyo kopi anaweza kuona watu wote ambao barua pepehiyo wanatumiwa. Kuweka CC tutatumia addCC. 

Mfano $mail->addCC('cc1@example.com', 'Elena'); pia unaweza kuweka CC zaidi ya mmoja.

$mail->addCC('cc1@example.com', 'Elena');

$mail->addCC('cc2@example.com', 'Elena');

$mail->addCC('cc3@example.com', 'Elena');

 

BCC ina maana Blind Carbon Copy hii ni kama hiyo hapojuu ilatofautii kuwa mhusika hatoweza kuona majinana email za watu ambao wametumiwa emailhiyo. Kwa hiyo hapa ni sawana kumtarifu kuwa ujumbe fulani umetumwa. Kuweka BCC ttatumia addBCC. Pia unaweza kuweka zaidi ya mmoja

Mfano:

$mail->addBCC('bcc2@example.com', 'Anna');

$mail->addBCC('bcc3@example.com', 'Mark');


 

Sasa pia unapotuma barua kwa watu wengi ni vyema pia kutoa maelekezo kwa server kuwa endapo mtu atahitaku ku reply hiyo email ata reply kwa kutumia email gani. Kufanya hivi tutatumia addRepyTo mfano

$mail->addReplyTo('info@mailtrap.io', 'Mailtrap');

 

Code zote zitakuw ahivi:

<?php

use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;

use PHPMailer\PHPMailer\Exception;

 

require 'vendor/autoload.php';

 

$mail = new PHPMailer(true);

 

try {

   $mail->isSMTP();

   $mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';

   $mail->SMTPAuth = true;

   $mail->Username = 'username';

   $mail->Password = 'password';

   $mail->SMTPSecure = 'tls';

   $mail->Port = 2525;

 

   // Sender and recipient settings

   $mail->setFrom('info@mailtrap.io', 'Mailtrap');

   $mail->addReplyTo('info@mailtrap.io', 'Mailtrap');

   $mail->addAddress('recipient1@mailtrap.io', 'Tim');

   // CC and BCC

   $mail->addCC('cc1@example.com', 'Elena');

   $mail->addBCC('bcc1@example.com', 'Alex');

   // Adding more BCC recipients

   $mail->addBCC('bcc2@example.com', 'Anna');

   $mail->addBCC('bcc3@example.com', 'Mark');

 

   // Email content

   $mail->isHTML(false);

   $mail->Subject = "PHPMailer SMTP test";

   $mail->Body = 'Karibu bongoclass kwenye jumuia yetu';

 

 

   if(!$mail->send()) {

       echo 'Message could not be sent.';

       echo 'Mailer Error: ' . $mail->ErrorInfo;

   } else {

       echo 'Message has been sent';

   }

} catch (Exception $e) {

   echo "Message could not be sent. Mailer Error: {$mail->ErrorInfo}";

}

?>


 

Sasa tuone jinsi ya kutuma kwa watu zaidi ya mmoja:

Hiki ni kipengelemuhimu sana hasa kwa ambao wanafanya email marketing. Unatakiw auwe na uwezo wakutuma maelfu ya email kwa siku. Hapa tutaweka emailkwneye array.

Mfano:

$users = [

  ['email' => 'max@gmail.com', 'name' => 'Max'],

  ['email' => 'box@example.com', 'name' => 'Bob']

];

 

Utaona hapo email zetu zipokwneye varible ambayo ji array. Kila email ina jina la mtumiaji. Sasa hapo unaweza kuitumia aray hiyo kutuma barua pepe. Hapo tutatumia foreach loop kwa ajili ya kuzitumia hizo email zilizopo kwenye array.

 

Sasa kwakuwa mchakato huu unafanyikakwenye loop, hivyoitabidi tuweze kuifanya connection yetuiwe live. $mail->SMTPKeepAlive = true; utaona hapa tumeweka true.kwahivyokila ukitumwa emailkw amtu mmoja connection hifungi mpaka wote wamalizike. Tutakapokuwa tumefika mwisho wa loop basi tutaclear meseji ilikuanza upya. $mail->clearAddresses();kisha tutafunga connection baad ya kumaliza kazi. $mail->smtpClose();

Mfano:

<?php

use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;

require 'vendor/autoload.php';

$mail = new PHPMailer;

$mail->isSMTP();

$mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';

$mail->SMTPAuth = true;

$mail->Username = '1a2b3c4d5e6f7g';

$mail->Password = '1a2b3c4d5e6f7g';

$mail->SMTPSecure = 'tls';

$mail->Port = 2525;

$mail->SMTPKeepAlive = true;

$mail->setFrom('list@example.com', 'List manager');

$mail->Subject = "my email list";

$users = [

   ['email' => 'max@gmail.com', 'name' => 'Max'],

   ['email' => 'box@example.com', 'name' => 'Bob']

];

foreach ($users as $user) {

   $mail->addAddress($user['email'], $user['name']);

   $mail->Body = "Hello, {$user['name']}! tunakukaribisha sana bongoclass";

   try {

       $mail->send();

       echo "Message sent to: ({$user['email']}) {$mail->ErrorInfo}\n";

   } catch (Exception $e) {

       echo "Mailer Error ({$user['email']}) {$mail->ErrorInfo}\n";

   }

   $mail->clearAddresses();

}

$mail->smtpClose();

 

Mwisho:

Katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza jinsi ya kutuma barua pepe ya html.pia tutajifunza jinsi ya kuweka attachment kama picha na pdf.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 906

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog

Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP

katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database

Soma Zaidi...
PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Soma Zaidi...
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog

Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?

Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake

Soma Zaidi...
PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.

Soma Zaidi...