image

PHP somola 69: jinsi ya kutuma email kwa watu zaidi ya mmoja kwa kutumia PHPMailer

Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy

Kutuma emailkwa watu zaidi ya mmoja:

Kabla hatujatuma barua pepe kw amtu zaidi ya mmoja,ngooja kwanz atuone jinsi ya kuweka, reply,  CC na BCC. kama umeshatumia gmail ama email provider nyingine bila shakaumeshakutana na hizi terminologyCC na BCC.

 

CC ina maana ya Carbon Copy: hii hutumika kutuma copi ya barua pepe ulioituma kwa watuzaidiya mmoja,kwa mhusika. Huyo anayetumiwa hiyo kopi anaweza kuona watu wote ambao barua pepehiyo wanatumiwa. Kuweka CC tutatumia addCC. 

Mfano $mail->addCC('cc1@example.com', 'Elena'); pia unaweza kuweka CC zaidi ya mmoja.

$mail->addCC('cc1@example.com', 'Elena');

$mail->addCC('cc2@example.com', 'Elena');

$mail->addCC('cc3@example.com', 'Elena');

 

BCC ina maana Blind Carbon Copy hii ni kama hiyo hapojuu ilatofautii kuwa mhusika hatoweza kuona majinana email za watu ambao wametumiwa emailhiyo. Kwa hiyo hapa ni sawana kumtarifu kuwa ujumbe fulani umetumwa. Kuweka BCC ttatumia addBCC. Pia unaweza kuweka zaidi ya mmoja

Mfano:

$mail->addBCC('bcc2@example.com', 'Anna');

$mail->addBCC('bcc3@example.com', 'Mark');


 

Sasa pia unapotuma barua kwa watu wengi ni vyema pia kutoa maelekezo kwa server kuwa endapo mtu atahitaku ku reply hiyo email ata reply kwa kutumia email gani. Kufanya hivi tutatumia addRepyTo mfano

$mail->addReplyTo('info@mailtrap.io', 'Mailtrap');

 

Code zote zitakuw ahivi:

<?php

use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;

use PHPMailer\PHPMailer\Exception;

 

require 'vendor/autoload.php';

 

$mail = new PHPMailer(true);

 

try {

   $mail->isSMTP();

   $mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';

   $mail->SMTPAuth = true;

   $mail->Username = 'username';

   $mail->Password = 'password';

   $mail->SMTPSecure = 'tls';

   $mail->Port = 2525;

 

   // Sender and recipient settings

   $mail->setFrom('info@mailtrap.io', 'Mailtrap');

   $mail->addReplyTo('info@mailtrap.io', 'Mailtrap');

   $mail->addAddress('recipient1@mailtrap.io', 'Tim');

   // CC and BCC

   $mail->addCC('cc1@example.com', 'Elena');

   $mail->addBCC('bcc1@example.com', 'Alex');

   // Adding more BCC recipients

   $mail->addBCC('bcc2@example.com', 'Anna');

   $mail->addBCC('bcc3@example.com', 'Mark');

 

   // Email content

   $mail->isHTML(false);

   $mail->Subject = "PHPMailer SMTP test";

   $mail->Body = 'Karibu bongoclass kwenye jumuia yetu';

 

 

   if(!$mail->send()) {

       echo 'Message could not be sent.';

       echo 'Mailer Error: ' . $mail->ErrorInfo;

   } else {

       echo 'Message has been sent';

   }

} catch (Exception $e) {

   echo "Message could not be sent. Mailer Error: {$mail->ErrorInfo}";

}

?>


 

Sasa tuone jinsi ya kutuma kwa watu zaidi ya mmoja:

Hiki ni kipengelemuhimu sana hasa kwa ambao wanafanya email marketing. Unatakiw auwe na uwezo wakutuma maelfu ya email kwa siku. Hapa tutaweka emailkwneye array.

Mfano:

$users = [

  ['email' => 'max@gmail.com', 'name' => 'Max'],

  ['email' => 'box@example.com', 'name' => 'Bob']

];

 

Utaona hapo email zetu zipokwneye varible ambayo ji array. Kila email ina jina la mtumiaji. Sasa hapo unaweza kuitumia aray hiyo kutuma barua pepe. Hapo tutatumia foreach loop kwa ajili ya kuzitumia hizo email zilizopo kwenye array.

 

Sasa kwakuwa mchakato huu unafanyikakwenye loop, hivyoitabidi tuweze kuifanya connection yetuiwe live. $mail->SMTPKeepAlive = true; utaona hapa tumeweka true.kwahivyokila ukitumwa emailkw amtu mmoja connection hifungi mpaka wote wamalizike. Tutakapokuwa tumefika mwisho wa loop basi tutaclear meseji ilikuanza upya. $mail->clearAddresses();kisha tutafunga connection baad ya kumaliza kazi. $mail->smtpClose();

Mfano:

<?php

use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;

require 'vendor/autoload.php';

$mail = new PHPMailer;

$mail->isSMTP();

$mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';

$mail->SMTPAuth = true;

$mail->Username = '1a2b3c4d5e6f7g';

$mail->Password = '1a2b3c4d5e6f7g';

$mail->SMTPSecure = 'tls';

$mail->Port = 2525;

$mail->SMTPKeepAlive = true;

$mail->setFrom('list@example.com', 'List manager');

$mail->Subject = "my email list";

$users = [

   ['email' => 'max@gmail.com', 'name' => 'Max'],

   ['email' => 'box@example.com', 'name' => 'Bob']

];

foreach ($users as $user) {

   $mail->addAddress($user['email'], $user['name']);

   $mail->Body = "Hello, {$user['name']}! tunakukaribisha sana bongoclass";

   try {

       $mail->send();

       echo "Message sent to: ({$user['email']}) {$mail->ErrorInfo}\n";

   } catch (Exception $e) {

       echo "Mailer Error ({$user['email']}) {$mail->ErrorInfo}\n";

   }

   $mail->clearAddresses();

}

$mail->smtpClose();

 

Mwisho:

Katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza jinsi ya kutuma barua pepe ya html.pia tutajifunza jinsi ya kuweka attachment kama picha na pdf.

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-06-03 19:27:43 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 246


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog
Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu Soma Zaidi...

Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address
Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake. Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost
Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse Soma Zaidi...

PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa. Soma Zaidi...

PHP somo la 49: utangulizi wa Object Oriented Programming katika PHP
Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP. Soma Zaidi...

PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

PHP somola 78: Cookie Headers
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers Soma Zaidi...

PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php
Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function Soma Zaidi...

PHP somo la 75: Content-Type Header
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header. Soma Zaidi...

PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP. Soma Zaidi...

PHP somo la 73: Maana ya http header
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header. Soma Zaidi...