PHP somola 69: jinsi ya kutuma email kwa watu zaidi ya mmoja kwa kutumia PHPMailer

Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy

Kutuma emailkwa watu zaidi ya mmoja:

Kabla hatujatuma barua pepe kw amtu zaidi ya mmoja,ngooja kwanz atuone jinsi ya kuweka, reply,  CC na BCC. kama umeshatumia gmail ama email provider nyingine bila shakaumeshakutana na hizi terminologyCC na BCC.

 

CC ina maana ya Carbon Copy: hii hutumika kutuma copi ya barua pepe ulioituma kwa watuzaidiya mmoja,kwa mhusika. Huyo anayetumiwa hiyo kopi anaweza kuona watu wote ambao barua pepehiyo wanatumiwa. Kuweka CC tutatumia addCC. 

Mfano $mail->addCC('cc1@example.com', 'Elena'); pia unaweza kuweka CC zaidi ya mmoja.

$mail->addCC('cc1@example.com', 'Elena');

$mail->addCC('cc2@example.com', 'Elena');

$mail->addCC('cc3@example.com', 'Elena');

 

BCC ina maana Blind Carbon Copy hii ni kama hiyo hapojuu ilatofautii kuwa mhusika hatoweza kuona majinana email za watu ambao wametumiwa emailhiyo. Kwa hiyo hapa ni sawana kumtarifu kuwa ujumbe fulani umetumwa. Kuweka BCC ttatumia addBCC. Pia unaweza kuweka zaidi ya mmoja

Mfano:

$mail->addBCC('bcc2@example.com', 'Anna');

$mail->addBCC('bcc3@example.com', 'Mark');


 

Sasa pia unapotuma barua kwa watu wengi ni vyema pia kutoa maelekezo kwa server kuwa endapo mtu atahitaku ku reply hiyo email ata reply kwa kutumia email gani. Kufanya hivi tutatumia addRepyTo mfano

$mail->addReplyTo('info@mailtrap.io', 'Mailtrap');

 

Code zote zitakuw ahivi:

<?php

use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;

use PHPMailer\PHPMailer\Exception;

 

require 'vendor/autoload.php';

 

$mail = new PHPMailer(true);

 

try {

   $mail->isSMTP();

   $mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';

   $mail->SMTPAuth = true;

   $mail->Username = 'username';

   $mail->Password = 'password';

   $mail->SMTPSecure = 'tls';

   $mail->Port = 2525;

 

   // Sender and recipient settings

   $mail->setFrom('info@mailtrap.io', 'Mailtrap');

   $mail->addReplyTo('info@mailtrap.io', 'Mailtrap');

   $mail->addAddress('recipient1@mailtrap.io', 'Tim');

   // CC and BCC

   $mail->addCC('cc1@example.com', 'Elena');

   $mail->addBCC('bcc1@example.com', 'Alex');

   // Adding more BCC recipients

   $mail->addBCC('bcc2@example.com', 'Anna');

   $mail->addBCC('bcc3@example.com', 'Mark');

 

   // Email content

   $mail->isHTML(false);

   $mail->Subject = "PHPMailer SMTP test";

   $mail->Body = 'Karibu bongoclass kwenye jumuia yetu';

 

 

   if(!$mail->send()) {

       echo 'Message could not be sent.';

       echo 'Mailer Error: ' . $mail->ErrorInfo;

   } else {

       echo 'Message has been sent';

   }

} catch (Exception $e) {

   echo "Message could not be sent. Mailer Error: {$mail->ErrorInfo}";

}

?>


 

Sasa tuone jinsi ya kutuma kwa watu zaidi ya mmoja:

Hiki ni kipengelemuhimu sana hasa kwa ambao wanafanya email marketing. Unatakiw auwe na uwezo wakutuma maelfu ya email kwa siku. Hapa tutaweka emailkwneye array.

Mfano:

$users = [

  ['email' => 'max@gmail.com', 'name' => 'Max'],

  ['email' => 'box@example.com', 'name' => 'Bob']

];

 

Utaona hapo email zetu zipokwneye varible ambayo ji array. Kila email ina jina la mtumiaji. Sasa hapo unaweza kuitumia aray hiyo kutuma barua pepe. Hapo tutatumia foreach loop kwa ajili ya kuzitumia hizo email zilizopo kwenye array.

 

Sasa kwakuwa mchakato huu unafanyikakwenye loop, hivyoitabidi tuweze kuifanya connection yetuiwe live. $mail->SMTPKeepAlive = true; utaona hapa tumeweka true.kwahivyokila ukitumwa emailkw amtu mmoja connection hifungi mpaka wote wamalizike. Tutakapokuwa tumefika mwisho wa loop basi tutaclear meseji ilikuanza upya. $mail->clearAddresses();kisha tutafunga connection baad ya kumaliza kazi. $mail->smtpClose();

Mfano:

<?php

use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;

require 'vendor/autoload.php';

$mail = new PHPMailer;

$mail->isSMTP();

$mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';

$mail->SMTPAuth = true;

$mail->Username = '1a2b3c4d5e6f7g';

$mail->Password = '1a2b3c4d5e6f7g';

$mail->SMTPSecure = 'tls';

$mail->Port = 2525;

$mail->SMTPKeepAlive = true;

$mail->setFrom('list@example.com', 'List manager');

$mail->Subject = "my email list";

$users = [

   ['email' => 'max@gmail.com', 'name' => 'Max'],

   ['email' => 'box@example.com', 'name' => 'Bob']

];

foreach ($users as $user) {

   $mail->addAddress($user['email'], $user['name']);

   $mail->Body = "Hello, {$user['name']}! tunakukaribisha sana bongoclass";

   try {

       $mail->send();

       echo "Message sent to: ({$user['email']}) {$mail->ErrorInfo}\n";

   } catch (Exception $e) {

       echo "Mailer Error ({$user['email']}) {$mail->ErrorInfo}\n";

   }

   $mail->clearAddresses();

}

$mail->smtpClose();

 

Mwisho:

Katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza jinsi ya kutuma barua pepe ya html.pia tutajifunza jinsi ya kuweka attachment kama picha na pdf.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 562

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address

Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP

Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.

Soma Zaidi...
PHP somo la 80: Authentication header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

Soma Zaidi...
PHP somo la 102: Cron job

atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic

Soma Zaidi...
PHP somo la 82: Content-Disposition

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost

Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse

Soma Zaidi...
PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.

Soma Zaidi...
PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database

Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database

Soma Zaidi...
PHP -somo la 31: Matumizi ya include() na require() function kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()

Soma Zaidi...