PHP - somo la 30: Baadhi function za PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php

BUILT IN FUNCTIONS

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu functions ambazo zimetengenezwa moja kwa moja kutoka kwa watengenezaji wa PHP. Hapa nitakuchagulia baadhi tu ya function ambazo hatukuziona kwenye level 1. Hivyo kama utahitaji kujuwa functions zaidi rudi kwenye PHP level 1.

 

pi()

Function hii hutumika kwa ajili ya kupata tyhamani ya pi (pai) kwa wale wa hesabu wanaelewa pi ni nini kwenye kutafuta eneo la duara, nusu duara n.k

 

Mfano 1:

<?php

echo(pi());

?>

 

 

min() na max()

Hizi kwa pamoja hutumika kutafuta namba kubwa na ndogo. max() ni kwa ajili ya kutafuta nmab kubwa kwenye orodha ya namba. Na min() kazi yake ni kutafuta namba ndogo kwenye orodha ya namba.

 

Mfano2:

<?php

echo(min(16, 450, 70, 20, 18, 35) . "<br>");

echo(max(67, 210, 51, 20, -16, -12));

?>

 

 

sqrt()

Function hii hutumika katika kutafuta square root ya namba. Wale wa hesabau wanafaham vyema hii function.

Mfano 4

<?php

echo(sqrt(9) . "<br>");

echo(sqrt(50) . "<br>");

echo(sqrt(16) . "<br>");

echo(sqrt(81));

?>

 

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 677

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 web hosting    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog

katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post

Soma Zaidi...
PHP - somo la 34: Jinsi ya kutumia do loop, while loop na foreach kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php

Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php

Soma Zaidi...
PHP somo la 73: Maana ya http header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function

Soma Zaidi...
PHP - somo la 5: Maana ya function na jinsi inavyotengenezwa kwa ktumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia

Soma Zaidi...
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link

Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.

Soma Zaidi...