picha

PHP - somo la 30: Baadhi function za PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php

BUILT IN FUNCTIONS

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu functions ambazo zimetengenezwa moja kwa moja kutoka kwa watengenezaji wa PHP. Hapa nitakuchagulia baadhi tu ya function ambazo hatukuziona kwenye level 1. Hivyo kama utahitaji kujuwa functions zaidi rudi kwenye PHP level 1.

 

pi()

Function hii hutumika kwa ajili ya kupata tyhamani ya pi (pai) kwa wale wa hesabu wanaelewa pi ni nini kwenye kutafuta eneo la duara, nusu duara n.k

 

Mfano 1:

<?php

echo(pi());

?>

 

 

min() na max()

Hizi kwa pamoja hutumika kutafuta namba kubwa na ndogo. max() ni kwa ajili ya kutafuta nmab kubwa kwenye orodha ya namba. Na min() kazi yake ni kutafuta namba ndogo kwenye orodha ya namba.

 

Mfano2:

<?php

echo(min(16, 450, 70, 20, 18, 35) . "<br>");

echo(max(67, 210, 51, 20, -16, -12));

?>

 

 

sqrt()

Function hii hutumika katika kutafuta square root ya namba. Wale wa hesabau wanafaham vyema hii function.

Mfano 4

<?php

echo(sqrt(9) . "<br>");

echo(sqrt(50) . "<br>");

echo(sqrt(16) . "<br>");

echo(sqrt(81));

?>

 

 

5. rand()

Function hii hutumika kwa ajili ya kutengeneza random namba. Hii inaweza kutumika kama kutengeneza unique id. Japo tutaona function nyinginezo zitakazotumika sawa na hii.

 

Mfano 5:

<?php

echo(rand());

?>

 


 

Sasa endapo kwa mfano unahitaji random namba hizi zitokee katika mpangilio fulani. Kwa mfano unataka random namba ziwe kati ya 18 na 67. Yaani namba ndogo iwe ni 18 na namba kubwa iwe ni 67. Hivyo random namba zicheze humo. Kufanya hivi itakubiidi utumie parameter ndani ya functuin. Kwa mfano kwenye maelezo hayo itakuwa hivi:

 

Mfano 6:

<?php

echo(rand(18, 67));

?>



 

6. uniqid()

Function hii hutumika kuzalisha namba ambazo ni unique yaani haziwezi kufanana. Hii ni muhimu katika ktengeneza id za item kwenye database.

 

Mfano 6:

<?php

echo uniqid();

?>


 

7. session_start()

Function hii hutumika kwa ajili ya kuanzisha session ama kupata taarifa...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 1007

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 ai web app     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php

Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php

Soma Zaidi...
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

Soma Zaidi...
PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Soma Zaidi...
PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database

Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database

Soma Zaidi...
PHP somo la 76: Aina za cache header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header

Soma Zaidi...
PHP somo la 77: aina za http redirect

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

Soma Zaidi...