PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP
Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.
Kabla ya kuendelea na somo kwanza Kwenye database yetu ya hotel, kwenye table ya menu ongeza data zifuatazo, kwa kuingia kwenye uwanja wa SQL kisha una pest data hizi:-
Rejea mafunzo ya database jinsi ya kuongeza data kwenye Mysql kwa kutumia SQL.
(6, 'supu', 'Pata supu ya smaki, pweza, na nyama ', 1800),
(7, 'Soda', 'Pata soda za aina zote kwa bei ileile', 500),
(8, 'juisi', 'Kunywa juisi za matunda halizi umalize kiu yako', 1200),
(9, 'internet', 'Huduma ya internet ipo kwa bei poa kwa lisaa', 900),
(10, 'Usafiri', 'Tunatoa usafiri wa haraka ', 22000);
(1, 'ugali', 'pata ugali mtamu', 1000),
-
Kuhesabu idadi ya row kwenye tabl
Kama unataka kujuwa je kuna menu ngapi kwenye orodha, utatakiwa kuhesabu idadi ya row ambazo ndio zinabeba hizo data. kufaya hivi tutatumia function ya kuhesabu row ambayo ni COUNT(). Rejea mafunzo ya database somo la 12 hivyo variable ya $sql itakuwa hivi
$sql = "SELECT COUNT(name) FROM menu";
Pia tutakuwa na variable nyingine kwa ajili ya kuangalia connection hii tutaipa jina la result $result = $conn->query($sql) Pia tutahitajika kuwa na variable nyingine kwa ajili ya ku fetch data hii itakaa nadni ya while ili kuangalia kama connection imefanyika iweze ku fetch data. Variable hiyo itatupa matokeo ya $result ambayo imeangalia connection.Variable hii tutaiita $row ambayo itakuwa hivi $row = mysqli_fetch_array($result)
Kwa pamoja na while tunapata:-
while($row = mysqli_fetch_array($result)){
echo "Jumla ya row ni :". $row['COUNT(price)'];
}
Code nzima ya kuhesabu row itakuwa hivi:
<?php
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
$dbname = "hotel";
// Create connection
$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);
//sql query to count rows
$sql = "SELECT COUNT(name) FROM menu";
$result = $conn->query($sql);
//display data on web page
while($row = mysqli_fetch_array($result)){
echo "Jumla ya row ni :". $row['COUNT(name)'];
}
//close the connection
$conn->close();
?>
-
Kuangalia Kutafuta average ya price zote kwenye menu
Katika mafunzo ya database tulijifunza kuwa unapotaka kutafuta average tunatumia function hii AVG() na SQL yake inakuwa hivi SELECT AVG(price) FROM menu hivyo kuandaa sql variable itakuwa hivi $sql = "SELECT AVG(price) FROM menu"
Mambo mengine yatabakia kama yalivyo, utatakiwa kwenye echo badala ya $row['count(price)sasa itakuwa $row['AVG(price)
Kama kila kitu kipo sawa. Pest code hizi kwenye ukurasa wako wa php Itakuletea average ya price zote kwenye menu.
<?php
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
$dbname = "hotel";
// Create connection
$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);
//sql query to find average
$sql = "SELECT AVG(price) FROM menu";
$result&nb...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
PHP somo la 92: Jinsi ya kuunganisha php na database ya sqlite
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya sqlite kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost
Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse
Soma Zaidi...PHP BLOG - somo la 2: Jinsi ya kutengeneza database na kuiunganisha kwenye blog
Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.
Soma Zaidi...PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database
Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database
Soma Zaidi...PHP - somo la 38: Jinsi ya ku upload mafaili zaidi ya moja kwa kutumia PHP
katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.
Soma Zaidi...