Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.
Kabla ya kuendelea na somo kwanza Kwenye database yetu ya hotel, kwenye table ya menu ongeza data zifuatazo, kwa kuingia kwenye uwanja wa SQL kisha una pest data hizi:-
Rejea mafunzo ya database jinsi ya kuongeza data kwenye Mysql kwa kutumia SQL.
(6, 'supu', 'Pata supu ya smaki, pweza, na nyama ', 1800),
(7, 'Soda', 'Pata soda za aina zote kwa bei ileile', 500),
(8, 'juisi', 'Kunywa juisi za matunda halizi umalize kiu yako', 1200),
(9, 'internet', 'Huduma ya internet ipo kwa bei poa kwa lisaa', 900),
(10, 'Usafiri', 'Tunatoa usafiri wa haraka ', 22000);
(1, 'ugali', 'pata ugali mtamu', 1000),
Kuhesabu idadi ya row kwenye tabl
Kama unataka kujuwa je kuna menu ngapi kwenye orodha, utatakiwa kuhesabu idadi ya row ambazo ndio zinabeba hizo data. kufaya hivi tutatumia function ya kuhesabu row ambayo ni COUNT(). Rejea mafunzo ya database somo la 12 hivyo variable ya $sql itakuwa hivi
$sql = "SELECT COUNT(name) FROM menu";
Pia tutakuwa na variable nyingine kwa ajili ya kuangalia connection hii tutaipa jina la result $result = $conn->query($sql) Pia tutahitajika kuwa na variable nyingine kwa ajili ya ku fetch data hii itakaa nadni ya while ili kuangalia kama connection imefanyika iweze ku fetch data. Variable hiyo itatupa matokeo ya $result ambayo imeangalia connection.Variable hii tutaiita $row ambayo itakuwa hivi $row = mysqli_fetch_array($result)
Kwa pamoja na while tunapata:-
while($row = mysqli_fetch_array($result)){
echo "Jumla ya row ni :". $row['COUNT(price)'];
}
Code nzima ya kuhesabu row itakuwa hivi:
<?php
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
$dbname = "hotel";
// Create connection
$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);
//sql query to count rows
$sql = "SELECT COUNT(name) FROM menu";
$result = $conn->query($sql);
//display data on web page
while($row = mysqli_fetch_array($result)){
echo "Jumla ya row ni :". $row['COUNT(name)'];
}
//close the connection
$conn->close();
?>
Kuangalia Kutafuta average ya price zote kwenye menu
Katika mafunzo ya database tulijifunza kuwa unapotaka kutafuta average tunatumia function hii AVG() na SQL yake inakuwa hivi SELECT AVG(price) FROM menu hivyo kuandaa sql variable itakuwa hivi $sql = "SELECT AVG(price) FROM menu"
Mambo mengine yatabakia kama yalivyo, utatakiwa kwenye echo badala ya $row['count(price)sasa itakuwa $row['AVG(price)
Kama kila kitu kipo sawa. Pest code hizi kwenye ukurasa wako wa php Itakuletea average ya price zote kwenye menu.
<?php
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
$dbname = "hotel";
// Create connection
$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);
//sql query to find average
$sql = "SE">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...