PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP

PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP

Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.

Download Post hii hapa

Kabla ya kuendelea na somo kwanza Kwenye database yetu ya hotel, kwenye table ya menu ongeza data zifuatazo, kwa kuingia kwenye uwanja wa SQL kisha una pest data hizi:-

Rejea mafunzo ya database jinsi ya kuongeza data kwenye Mysql kwa kutumia SQL.

 

(6, 'supu', 'Pata supu ya smaki, pweza, na nyama ', 1800),

(7, 'Soda', 'Pata soda za aina zote kwa bei ileile', 500),

(8, 'juisi', 'Kunywa juisi za matunda halizi umalize kiu yako', 1200),

(9, 'internet', 'Huduma ya internet ipo kwa bei poa kwa lisaa', 900),

(10, 'Usafiri', 'Tunatoa usafiri wa haraka ', 22000);

(1, 'ugali', 'pata ugali mtamu', 1000),

 

 

  1. Kuhesabu idadi ya row kwenye tabl

Kama unataka kujuwa je kuna menu ngapi kwenye orodha, utatakiwa kuhesabu idadi ya row ambazo ndio zinabeba hizo data. kufaya hivi tutatumia function ya kuhesabu row ambayo ni COUNT(). Rejea mafunzo ya database somo la 12  hivyo variable ya $sql itakuwa hivi

 $sql = "SELECT COUNT(name) FROM menu";

 

Pia tutakuwa na variable nyingine kwa ajili ya kuangalia connection hii tutaipa jina la result $result = $conn->query($sql) Pia tutahitajika kuwa na variable nyingine kwa ajili ya ku fetch data hii itakaa nadni ya while ili kuangalia kama connection imefanyika iweze ku fetch data. Variable hiyo itatupa matokeo ya $result ambayo imeangalia connection.Variable hii tutaiita $row ambayo itakuwa hivi $row = mysqli_fetch_array($result)     

Kwa pamoja na while tunapata:-

 while($row = mysqli_fetch_array($result)){

   echo "Jumla ya row ni :". $row['COUNT(price)'];

}

Code nzima ya kuhesabu row itakuwa hivi:

 

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

// Create connection

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

 

//sql query to count rows

$sql = "SELECT COUNT(name) FROM menu";

$result = $conn->query($sql);

//display data on web page

while($row = mysqli_fetch_array($result)){

   echo "Jumla ya row ni :". $row['COUNT(name)'];

}

 

//close the connection

 

$conn->close();

?>

 

  1. Kuangalia Kutafuta average ya price zote kwenye menu

Katika mafunzo ya database tulijifunza kuwa unapotaka kutafuta average tunatumia function hii AVG() na SQL yake inakuwa hivi SELECT AVG(price) FROM menu hivyo kuandaa sql variable itakuwa hivi $sql = "SELECT AVG(price) FROM menu"

Mambo mengine yatabakia kama yalivyo, utatakiwa kwenye echo   badala ya  $row['count(price)sasa itakuwa $row['AVG(price)

            

Kama kila kitu kipo sawa. Pest code hizi kwenye ukurasa wako wa php Itakuletea average ya price zote kwenye menu.

 

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

// Create connection

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

 

//sql query to find average...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 390

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP
PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 59: static property kwenye PHP
PHP somo la 59: static property kwenye PHP

Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika

Soma Zaidi...
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

Soma Zaidi...
PHP somo la 73: Maana ya http header
PHP somo la 73: Maana ya http header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.

Soma Zaidi...
PHP somo la 74: aina za http headerna server variable
PHP somo la 74: aina za http headerna server variable

Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.

Soma Zaidi...
PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer
PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.

Soma Zaidi...
PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header
PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

Soma Zaidi...
PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.
PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO
PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP
PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable

Soma Zaidi...