Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header
Redirect header hii hutumika kuhamisha response kwendakwenye ukurasa mwingine. Yaani unaweza kuhamishwa kutoka ukurasa ambao upo kwa sasa, na kupelekwa kwenye ukurasa mwingine.
Redirect header huwekwa kwa kutumia http header field ya location.ikifuatiwa na link ya ukurasa ambao una response. Sasa redirect header inakuwa pamoja na http status.
Http status hii nihali ya ukurasa wa wavuti. Kwa mfano kabla hujafanya redirect kwenda kwenye ukurasa mwingine utatoa taarifa kwenye brower kuwa ukurasa huu umefanyiwa redirect permanent, ama temporary ama vinginevyo. Pia ni vyema kuweka exit() au die() baada ya redirect ili kuzuia kabisa execusion ya code. Ni kwa sababu sheria zinataka kuwa baada ya kutumia http redirect kusifuatiwe na maudhui mengine.
Sasa hizi permanent na temporary na nyininezo ni hal za hiyo http redirect. Tofauti na kutumia haya maneno utatumia code zake kutambulisha browser. Brower itaelewa hizo code. Wacha tuzione.
Http status code:-
301 - moved permanently hii humaanisha kuwa response ya ukurasa wa saa imehamishwa kwenye ukurasa mwingine permanent. Unapoweka hii ya permanent unaiambia search engine kama google ama mtumiaji kuwa huu ukurasa hautatumika tena, hivyo ni vyema kutumia ukurasa ambao utaweka kwenye redirect.
Mfano:
header('HTTP/1.1 301 Moved Permanently');
header('Location: https://example.com/new-url');
exit;
302 Found (temporary redirect) hii ina maana redirect hii ni temporary. Hii ina maana unaiambia search engine ama mtumiaji kuwa maudhui ya ukurasa huu yamehamishwa kwenye ukurasa mwingine temporary lakini anaweza kuaendelea kutumia ukurasa huu.
Mfano:
header('HTTP/1.1 302 Found');
header('Location: https://example.com/temporary-url');
exit;
30">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database. Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake. Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php Download App Yetu
👉1
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2
kitabu cha Simulizi
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
Bongolite - Game zone - Play free game
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
PHP - somo la 12: Jinsi ya kufanyia kazi taarifa zilizokusanywa kutoka kwa mtumiaji
PHP - somo la 23: Jinsi ya kutumia condition statement kwenye database kwa kutumia PHP
PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization
PHP somo la 74: aina za http headerna server variable
PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database
PHP somo la 95: Jinsi ya kutengeneza customer ORM
PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php
PHP somo la 94: Maana ya ORM na kazi zake
PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia
PHP - somo la 30: Baadhi function za PHP