image

PHP somo la 77: aina za http redirect

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

Redirect header

Redirect header hii hutumika kuhamisha response kwendakwenye ukurasa mwingine. Yaani unaweza kuhamishwa kutoka ukurasa ambao upo kwa sasa, na kupelekwa kwenye ukurasa mwingine.

 

Redirect header huwekwa kwa kutumia http header field ya location.ikifuatiwa na link ya ukurasa ambao una response. Sasa redirect header inakuwa pamoja na http status.

 

Http status hii nihali ya ukurasa wa wavuti. Kwa mfano kabla hujafanya redirect kwenda kwenye ukurasa mwingine utatoa taarifa kwenye brower kuwa ukurasa huu umefanyiwa redirect permanent, ama temporary ama vinginevyo. Pia ni vyema kuweka exit() au die() baada ya redirect ili kuzuia kabisa execusion ya code. Ni kwa sababu sheria zinataka kuwa baada ya kutumia http redirect kusifuatiwe na maudhui mengine.



Sasa hizi permanent na temporary na nyininezo ni hal za hiyo http redirect. Tofauti na kutumia haya maneno utatumia code zake kutambulisha browser. Brower itaelewa hizo code. Wacha tuzione.

 

Http status code:-

  1. 301 - moved permanently hii humaanisha kuwa response ya ukurasa wa saa imehamishwa kwenye ukurasa mwingine permanent. Unapoweka hii ya permanent unaiambia search engine kama google ama mtumiaji kuwa huu ukurasa hautatumika tena, hivyo ni vyema kutumia ukurasa ambao utaweka kwenye redirect.

Mfano:

header('HTTP/1.1 301 Moved Permanently');

header('Location: https://example.com/new-url');

exit;

 

  1. 302 Found (temporary redirect) hii ina maana redirect hii ni temporary. Hii ina maana unaiambia search engine ama mtumiaji kuwa maudhui ya ukurasa huu yamehamishwa kwenye ukurasa mwingine temporary lakini anaweza kuaendelea kutumia ukurasa huu.

Mfano:

header('HTTP/1.1 302 Found');

header('Location: https://example.com/temporary-url');

exit;

 

  1. 303 see other hii ina maana res">...



    Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





               

    Je! umeipenda hii post?
    Ndio            Hapana            Save post

    Rajabu Tarehe 2024-07-10 22:16:22 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 144


    Sponsored links
    👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

    Post zifazofanana:-

    PHP somo la 54: class constant kwenye php
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class. Soma Zaidi...

    PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json Soma Zaidi...

    PHP - somo la 34: Jinsi ya kutumia do loop, while loop na foreach kwenye PHP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP Soma Zaidi...

    PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost
    Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse Soma Zaidi...

    PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP. Soma Zaidi...

    PHP - somo la 21: Jinsi ya kutafuta kitu kwenye database kwa mutumia PHP
    Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

    PHP somo la 87: Jinsi ya kuangalia error wakati wa ku decode na ku encode json data
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data Soma Zaidi...

    PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP
    Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP Soma Zaidi...

    PHP somo la 49: utangulizi wa Object Oriented Programming katika PHP
    Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP. Soma Zaidi...

    PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database
    Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database. Soma Zaidi...

    PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html
    Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako Soma Zaidi...

    PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website
    Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php Soma Zaidi...