PHP somo la 77: aina za http redirect

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

Redirect header

Redirect header hii hutumika kuhamisha response kwendakwenye ukurasa mwingine. Yaani unaweza kuhamishwa kutoka ukurasa ambao upo kwa sasa, na kupelekwa kwenye ukurasa mwingine.

 

Redirect header huwekwa kwa kutumia http header field ya location.ikifuatiwa na link ya ukurasa ambao una response. Sasa redirect header inakuwa pamoja na http status.

 

Http status hii nihali ya ukurasa wa wavuti. Kwa mfano kabla hujafanya redirect kwenda kwenye ukurasa mwingine utatoa taarifa kwenye brower kuwa ukurasa huu umefanyiwa redirect permanent, ama temporary ama vinginevyo. Pia ni vyema kuweka exit() au die() baada ya redirect ili kuzuia kabisa execusion ya code. Ni kwa sababu sheria zinataka kuwa baada ya kutumia http redirect kusifuatiwe na maudhui mengine.



Sasa hizi permanent na temporary na nyininezo ni hal za hiyo http redirect. Tofauti na kutumia haya maneno utatumia code zake kutambulisha browser. Brower itaelewa hizo code. Wacha tuzione.

 

Http status code:-

  1. 301 - moved permanently hii humaanisha kuwa response ya ukurasa wa saa imehamishwa kwenye ukurasa mwingine permanent. Unapoweka hii ya permanent unaiambia search engine kama google ama mtumiaji kuwa huu ukurasa hautatumika tena, hivyo ni vyema kutumia ukurasa ambao utaweka kwenye redirect.

Mfano:

header('HTTP/1.1 301 Moved Permanently');

header('Location: https://example.com/new-url');

exit;

 

  1. 302 Found (temporary redirect) hii ina maana redirect hii ni temporary. Hii ina maana unaiambia search engine ama mtumiaji kuwa maudhui ya ukurasa huu yamehamishwa kwenye ukurasa mwingine temporary lakini anaweza kuaendelea kutumia ukurasa huu.

Mfano:

header('HTTP/1.1 302 Found');

header('Location: https://example.com/temporary-url');

exit;

 

  1. 30">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 651

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

    Post zinazofanana:

    PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?

    Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 18: Jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog

    katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM

    Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.

    Soma Zaidi...