PHP somo la 77: aina za http redirect

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

Redirect header

Redirect header hii hutumika kuhamisha response kwendakwenye ukurasa mwingine. Yaani unaweza kuhamishwa kutoka ukurasa ambao upo kwa sasa, na kupelekwa kwenye ukurasa mwingine.

 

Redirect header huwekwa kwa kutumia http header field ya location.ikifuatiwa na link ya ukurasa ambao una response. Sasa redirect header inakuwa pamoja na http status.

 

Http status hii nihali ya ukurasa wa wavuti. Kwa mfano kabla hujafanya redirect kwenda kwenye ukurasa mwingine utatoa taarifa kwenye brower kuwa ukurasa huu umefanyiwa redirect permanent, ama temporary ama vinginevyo. Pia ni vyema kuweka exit() au die() baada ya redirect ili kuzuia kabisa execusion ya code. Ni kwa sababu sheria zinataka kuwa baada ya kutumia http redirect kusifuatiwe na maudhui mengine.



Sasa hizi permanent na temporary na nyininezo ni hal za hiyo http redirect. Tofauti na kutumia haya maneno utatumia code zake kutambulisha browser. Brower itaelewa hizo code. Wacha tuzione.

 

Http status code:-

  1. 301 - moved permanently hii humaanisha kuwa response ya ukurasa wa saa imehamishwa kwenye ukurasa mwingine permanent. Unapoweka hii ya permanent unaiambia search engine kama google ama mtumiaji kuwa huu ukurasa hautatumika tena, hivyo ni vyema kutumia ukurasa ambao utaweka kwenye redirect.

Mfano:

header('HTTP/1.1 301 Moved Permanently');

header('Location: https://example.com/new-url');

exit;

 

  1. 302 Found (temporary redirect) hii ina maana redirect hii ni temporary. Hii ina maana unaiambia search engine ama mtumiaji kuwa maudhui ya ukurasa huu yamehamishwa kwenye ukurasa mwingine temporary lakini anaweza kuaendelea kutumia ukurasa huu.

Mfano:

header('HTTP/1.1 302 Found');

header('Location: https://example.com/temporary-url');

exit;

 

  1. 30">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 704

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 web hosting    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

    Post zinazofanana:

    PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

    Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma

    Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 38: Jinsi ya ku upload mafaili zaidi ya moja kwa kutumia PHP

    katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login

    Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 54: class constant kwenye php

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

    Soma Zaidi...
    PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

    Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 18: Jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 11: Jinsi ya kutuma tarifa zilizojazwa kwenye form

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 80: Authentication header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

    Soma Zaidi...