picha

PHP somo la 77: aina za http redirect

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

Redirect header

Redirect header hii hutumika kuhamisha response kwendakwenye ukurasa mwingine. Yaani unaweza kuhamishwa kutoka ukurasa ambao upo kwa sasa, na kupelekwa kwenye ukurasa mwingine.

 

Redirect header huwekwa kwa kutumia http header field ya location.ikifuatiwa na link ya ukurasa ambao una response. Sasa redirect header inakuwa pamoja na http status.

 

Http status hii nihali ya ukurasa wa wavuti. Kwa mfano kabla hujafanya redirect kwenda kwenye ukurasa mwingine utatoa taarifa kwenye brower kuwa ukurasa huu umefanyiwa redirect permanent, ama temporary ama vinginevyo. Pia ni vyema kuweka exit() au die() baada ya redirect ili kuzuia kabisa execusion ya code. Ni kwa sababu sheria zinataka kuwa baada ya kutumia http redirect kusifuatiwe na maudhui mengine.



Sasa hizi permanent na temporary na nyininezo ni hal za hiyo http redirect. Tofauti na kutumia haya maneno utatumia code zake kutambulisha browser. Brower itaelewa hizo code. Wacha tuzione.

 

Http status code:-

  1. 301 - moved permanently hii humaanisha kuwa response ya ukurasa wa saa imehamishwa kwenye ukurasa mwingine permanent. Unapoweka hii ya permanent unaiambia search engine kama google ama mtumiaji kuwa huu ukurasa hautatumika tena, hivyo ni vyema kutumia ukurasa ambao utaweka kwenye redirect.

Mfano:

header('HTTP/1.1 301 Moved Permanently');

header('Location: https://example.com/new-url');

exit;

 

  1. 302 Found (temporary redirect) hii ina maana redirect hii ni temporary. Hii ina maana unaiambia search engine ama mtumiaji kuwa maudhui ya ukurasa huu yamehamishwa kwenye ukurasa mwingine temporary lakini anaweza kuaendelea kutumia ukurasa huu.

Mfano:

header('HTTP/1.1 302 Found');

header('Location: https://example.com/temporary-url');

exit;

 

  1. 303 see other hii ina maana response ya ukurasa huu inaweza kupatikana kwenye kurasa nyin...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-07-10 22:16:22 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 1118

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 ai web app     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Viazi mbatata

Viazi mbatata ni katika vyakula ambavyo hupatikana karibia dunia yote. Viazi hivi vimekuwa ni lishe kubwa sana. Ila je unajuwa hasa ni faida gani za kiafya hupatikana kwenye viazi hivi?

Soma Zaidi...
PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

Soma Zaidi...
PHP somo la 100: Jinsi ya kutumia sql moja kwa moja kwenye ORM ya RedBeanPHP

Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kuandika query ndani ya ORM. Hii inakupa uhuru wa kufanya kileunachotaka bila ya kuathiri usalama wa project

Soma Zaidi...
PHP somo la 96: Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation

Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation.

Soma Zaidi...