picha

PHP somo la 77: aina za http redirect

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

Redirect header

Redirect header hii hutumika kuhamisha response kwendakwenye ukurasa mwingine. Yaani unaweza kuhamishwa kutoka ukurasa ambao upo kwa sasa, na kupelekwa kwenye ukurasa mwingine.

 

Redirect header huwekwa kwa kutumia http header field ya location.ikifuatiwa na link ya ukurasa ambao una response. Sasa redirect header inakuwa pamoja na http status.

 

Http status hii nihali ya ukurasa wa wavuti. Kwa mfano kabla hujafanya redirect kwenda kwenye ukurasa mwingine utatoa taarifa kwenye brower kuwa ukurasa huu umefanyiwa redirect permanent, ama temporary ama vinginevyo. Pia ni vyema kuweka exit() au die() baada ya redirect ili kuzuia kabisa execusion ya code. Ni kwa sababu sheria zinataka kuwa baada ya kutumia http redirect kusifuatiwe na maudhui mengine.



Sasa hizi permanent na temporary na nyininezo ni hal za hiyo http redirect. Tofauti na kutumia haya maneno utatumia code zake kutambulisha browser. Brower itaelewa hizo code. Wacha tuzione.

 

Http status code:-

  1. 301 - moved permanently hii humaanisha kuwa response ya ukurasa wa saa imehamishwa kwenye ukurasa mwingine permanent. Unapoweka hii ya permanent unaiambia search engine kama google ama mtumiaji kuwa huu ukurasa hautatumika tena, hivyo ni vyema kutumia ukurasa ambao utaweka kwenye redirect.

Mfano:

header('HTTP/1.1 301 Moved Permanently');

header('Location: https://example.com/new-url');

exit;

 

  1. 302 Found (temporary redirect) hii ina maana redirect hii ni temporary. Hii ina maana unaiambia search engine ama mtumiaji kuwa maudhui ya ukurasa huu yamehamishwa kwenye ukurasa mwingine temporary lakini anaweza kuaendelea kutumia ukurasa huu.

Mfano:

header('HTTP/1.1 302 Found');

header('Location: https://example.com/temporary-url');

exit;

 

  1. 30">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 2024-07-10 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 907

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

    Post zinazofanana:

    PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

    Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

    Soma Zaidi...
    PHP -somo la 31: Matumizi ya include() na require() function kwenye php

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()

    Soma Zaidi...
    PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 34: Jinsi ya kutumia do loop, while loop na foreach kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php

    Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.

    Soma Zaidi...
    PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 59: static property kwenye PHP

    Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html

    Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako

    Soma Zaidi...