PHP somo la 77: aina za http redirect
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header
Redirect header
Redirect header hii hutumika kuhamisha response kwendakwenye ukurasa mwingine. Yaani unaweza kuhamishwa kutoka ukurasa ambao upo kwa sasa, na kupelekwa kwenye ukurasa mwingine.
Redirect header huwekwa kwa kutumia http header field ya location.ikifuatiwa na link ya ukurasa ambao una response. Sasa redirect header inakuwa pamoja na http status.
Http status hii nihali ya ukurasa wa wavuti. Kwa mfano kabla hujafanya redirect kwenda kwenye ukurasa mwingine utatoa taarifa kwenye brower kuwa ukurasa huu umefanyiwa redirect permanent, ama temporary ama vinginevyo. Pia ni vyema kuweka exit() au die() baada ya redirect ili kuzuia kabisa execusion ya code. Ni kwa sababu sheria zinataka kuwa baada ya kutumia http redirect kusifuatiwe na maudhui mengine.
Sasa hizi permanent na temporary na nyininezo ni hal za hiyo http redirect. Tofauti na kutumia haya maneno utatumia code zake kutambulisha browser. Brower itaelewa hizo code. Wacha tuzione.
Http status code:-
-
301 - moved permanently hii humaanisha kuwa response ya ukurasa wa saa imehamishwa kwenye ukurasa mwingine permanent. Unapoweka hii ya permanent unaiambia search engine kama google ama mtumiaji kuwa huu ukurasa hautatumika tena, hivyo ni vyema kutumia ukurasa ambao utaweka kwenye redirect.
Mfano:
header('HTTP/1.1 301 Moved Permanently');
header('Location: https://example.com/new-url');
exit;
-
302 Found (temporary redirect) hii ina maana redirect hii ni temporary. Hii ina maana unaiambia search engine ama mtumiaji kuwa maudhui ya ukurasa huu yamehamishwa kwenye ukurasa mwingine temporary lakini anaweza kuaendelea kutumia ukurasa huu.
Mfano:
header('HTTP/1.1 302 Found');
header('Location: https://example.com/temporary-url');
exit;
-
303 see other hii ina maana response ya ukurasa huu inaweza kupatikana kwenye kurasa nyin...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 ai web app 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement
Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog
Soma Zaidi...PHP - somo la 11: Jinsi ya kutuma tarifa zilizojazwa kwenye form
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.
Soma Zaidi...PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi
Soma Zaidi...PHP somo la 79: Custom header
Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake
Soma Zaidi...PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.
Soma Zaidi...PHP somo la 59: static property kwenye PHP
Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika
Soma Zaidi...