picha

PHP somo la 72: Jinsi ya kuandaa PDF kutoana na data zilizopo kwenye database

hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.

JINSI YA KUTUMIA DATABASE KUTENGENEZA PDF

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo tutatengeneza PDF kutokana na data ambazo zipo kwenye PDF. 

 

Katika somo hili tutatumia data za faili la html ambalo tumelitumia katika somo lililopita. Hivyo basi tutatengeneza database yenye jina la pdf kisha tutaweka table yenye jina content, ambayo ina field 5 ambazo ni id, summary, content, autor, title. Baada ya hapo ndipo tutaweka data zetu.

 

Hatuwa ya kwanza:

Tengeneza database yenye jina pdf. Kisha tengeneza table iite content kisha weka filed hizo nilizotaja hapo juu. Unaweza kutuia code hizo hapo chini kutengeneza table hiyo.

CREATE TABLE `content` (

 `id` int(11) NOT NULL,

 `title` varchar(255) NOT NULL,

 `summary` varchar(255) NOT NULL,

 `content` text NOT NULL,

 `author` varchar(255) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;

 

ALTER TABLE `content`

 ADD PRIMARY KEY (`id`);

ALTER TABLE `content`

 MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT;

 

Hatuwa ya pili

Baada ya hapo tutaingiza data zetu za html ambazo tumezitumia katika somo lililopita. Unaweza kingiza tu kawaida ama ukatumia code nitakazokupa hapo jini.

INSERT INTO `content` (`id`, `title`, `summary`, `content`, `author`)

VALUES 

   (NULL, 'Mafunzo ya PDF',

       'Hapa utajifunza jinsi y akutengeneza PDF kwa kutumia data zilizopo kwenye database',

       '<!DOCTYPE html>

       <html lang="en">

       <head>

           <meta charset="UTF-8">

           <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

           <title>Short Story</title>

           <style>

               body {

                   font-family: Arial, sans-serif;

                   line-height: 1.6;

                   margin: 0;

                   padding: 20px;

                   background-color: #f4f4f4;

               }

               h1 {

                   text-align: center;

                   color: #333;

               }

               p {

                   max-width: 800px;

                   margin: 0 auto 20px;

                   color: #555;

               }

           </style>

       </head>

       <body>

           <h1>The Enchanted Forest</h1>

           <p>Once upon a time, in a land far away, there was an enchanted forest where magical creatures lived in harmony. The forest was filled with towering trees, whose leaves shimmered with a golden hue. Every morning, the forest would come alive with the songs of birds and the chatter of woodland creatures.</p>

           <p>In the heart of this forest lived a young elf named Elara. Elara was known throughout the land for her kind heart and her ability to communicate with animals. She spent her days exploring the forest, helping any creature in need, and learning the secrets of the ancient woods.</p>

           <p>One day, while wandering through a particularly dense part of the forest, Elara stumbled upon a hidden glade. In the center of the glade was a crystal-clear pond, and next to the pond stood a majestic unicorn with a mane that sparkled like diamonds. The unicorn introduced himself as Orion, the guardian of the forest.</p>

           <p>Orion told Elara about a great danger that was approaching the forest. A dark sorcerer had discovered the forest\'s location and intended to drain its magic for his own evil purposes. The only way to save the forest was to find the ancient Tree of Life and awaken its power.</p>

           <p>Determined to save her home, Elara set off on a perilous journey. She faced many challenges along the way, including crossing a treacherous river, outsmarting a cunning fox, and navigating through a maze of thorns. But with the help of her animal friends, she overcame every obstacle.</p>

           <p>Finally, after days of travel, Elara found the Tree of Life. It was a magnificent tree with branches that reached the sky and roots that dug deep into the earth. Elara placed her hands on the trunk and spoke the ancient words of awakening. The tree began to glow with a brilliant light, and its magic spread throughout the forest, banishing the sorcerer\'s dark influence.</p>

           <p>The forest was saved, and its inhabitants rejoiced. Elara became a hero, and her bond with the forest grew even stronger. From that day on, the enchanted forest thrived, and its magic remained protected for generations to come.</p>

       </body>

       </html>',

       'Bongoclass'

   );

 

Hatuwa ya tatu

Baada ya hapo hatuwa hyo sasa ni kusoma hizo data kwenye faililetu la php. Tutatumia fail lil">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-06-27 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 988

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 web hosting    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

PHP BLOG - somo la 1: Utangulizi na jinsi ya kuandaa kwa ajili ya somo

Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.

Soma Zaidi...
PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop

Soma Zaidi...
PHP - somo la 23: Jinsi ya kutumia condition statement kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 73: Maana ya http header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.

Soma Zaidi...
PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 102: Cron job

atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic

Soma Zaidi...
PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function

Soma Zaidi...
PHP somo la 87: Jinsi ya kuangalia error wakati wa ku decode na ku encode json data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data

Soma Zaidi...
PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function

Soma Zaidi...
PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.

Soma Zaidi...