picha

PHP somo la 72: Jinsi ya kuandaa PDF kutoana na data zilizopo kwenye database

hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.

JINSI YA KUTUMIA DATABASE KUTENGENEZA PDF

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo tutatengeneza PDF kutokana na data ambazo zipo kwenye PDF. 

 

Katika somo hili tutatumia data za faili la html ambalo tumelitumia katika somo lililopita. Hivyo basi tutatengeneza database yenye jina la pdf kisha tutaweka table yenye jina content, ambayo ina field 5 ambazo ni id, summary, content, autor, title. Baada ya hapo ndipo tutaweka data zetu.

 

Hatuwa ya kwanza:

Tengeneza database yenye jina pdf. Kisha tengeneza table iite content kisha weka filed hizo nilizotaja hapo juu. Unaweza kutuia code hizo hapo chini kutengeneza table hiyo.

CREATE TABLE `content` (

 `id` int(11) NOT NULL,

 `title` varchar(255) NOT NULL,

 `summary` varchar(255) NOT NULL,

 `content` text NOT NULL,

 `author` varchar(255) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;

 

ALTER TABLE `content`

 ADD PRIMARY KEY (`id`);

ALTER TABLE `content`

 MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT;

 

Hatuwa ya pili

Baada ya hapo tutaingiza data zetu za html ambazo tumezitumia katika somo lililopita. Unaweza kingiza tu kawaida ama ukatumia code nitakazokupa hapo jini.

INSERT INTO `content` (`id`, `title`, `summary`, `content`, `author`)

VALUES 

   (NULL, 'Mafunzo ya PDF',

       'Hapa utajifunza jinsi y akutengeneza PDF kwa kutumia data zilizopo kwenye database',

       '<!DOCTYPE html>

       <html lang="en">

       <head>

           <meta charset="UTF-8">

           <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

           <title>Short Story</title>

           <style>

               body {

                   font-family: Arial, sans-serif;

                   line-height: 1.6;

                   margin: 0;

                   padding: 20px;

                   background-color: #f4f4f4;

               }

               h1 {

                   text-align: center;

                   color: #333;

               }

               p {

                   max-width: 800px;

                   margin: 0 auto 20px;

                   color: #555;

               }

           </style>

       </head>

       <body>

           <h1>The Enchanted Forest</h1>

           <p>Once upon a time, in a land far away, there was an enchanted forest where magical creatures lived in harmony. The forest was filled with towering trees, whose leaves shimmered with a golden hue. Every morning, the forest would come alive with the songs of birds and the chatter of woodland creatures.</p>

           <p>In the heart of this forest lived a young elf named Elara. Elara was known throughout the land for her kind heart and her ability to communicate with animals. She spent her days exploring the forest, helping any creature in need, and learning the secrets of the ancient woods.</p>

           <p>One day, while wandering through a particularly dense part of the forest, Elara stumbled upon a hidden glade. In the center of the glade was a crystal-clear pond, and next to the pond stood a majestic unicorn with a mane that sparkled like diamonds. The unicorn introduced himself as Orion, the guardian of the forest.</p>

           <p>Orion told Elara about a great danger that was approaching the forest. A dark sorcerer had discovered the forest\'s location and intended to drain its magic for his own evil purposes. The only way to save the forest was to find the ancient Tree of Life and awaken its power.</p>

           <p>Determined to save her home, Elara set off on a perilous journey. She faced many challenges along the way, including crossing a treacherous river, outsmarting a cunning fox, and navigating through a maze of thorns. But with the help of her animal friends, she overcame every obstacle.</p>

           <p>Finally, after days of travel, Elara found the Tree of Life. It was a magnificent tree with branches that reached the sky and roots that dug deep into the earth. Elara placed her hands on the trunk and spoke the ancient words of awakening. The tree began to glow with a brilliant light, and its magic spread throughout the forest, banishing the sorcerer\'s dark influence.</p>

           <p>The forest was saved, and its inhabitants rejoiced. Elara became a hero, and her bond ...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-06-27 22:29:21 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 1002

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 web hosting     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP

Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

Soma Zaidi...
PHP somo la 92: Jinsi ya kuunganisha php na database ya sqlite

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya sqlite kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog

Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.

Soma Zaidi...
PHP somo la 75: Content-Type Header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi

Soma Zaidi...