PHP somo la 72: Jinsi ya kuandaa PDF kutoana na data zilizopo kwenye database

hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.

JINSI YA KUTUMIA DATABASE KUTENGENEZA PDF

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo tutatengeneza PDF kutokana na data ambazo zipo kwenye PDF. 

 

Katika somo hili tutatumia data za faili la html ambalo tumelitumia katika somo lililopita. Hivyo basi tutatengeneza database yenye jina la pdf kisha tutaweka table yenye jina content, ambayo ina field 5 ambazo ni id, summary, content, autor, title. Baada ya hapo ndipo tutaweka data zetu.

 

Hatuwa ya kwanza:

Tengeneza database yenye jina pdf. Kisha tengeneza table iite content kisha weka filed hizo nilizotaja hapo juu. Unaweza kutuia code hizo hapo chini kutengeneza table hiyo.

CREATE TABLE `content` (

 `id` int(11) NOT NULL,

 `title` varchar(255) NOT NULL,

 `summary` varchar(255) NOT NULL,

 `content` text NOT NULL,

 `author` varchar(255) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;

 

ALTER TABLE `content`

 ADD PRIMARY KEY (`id`);

ALTER TABLE `content`

 MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT;

 

Hatuwa ya pili

Baada ya hapo tutaingiza data zetu za html ambazo tumezitumia katika somo lililopita. Unaweza kingiza tu kawaida ama ukatumia code nitakazokupa hapo jini.

INSERT INTO `content` (`id`, `title`, `summary`, `content`, `author`)

VALUES 

   (NULL, 'Mafunzo ya PDF',

       'Hapa utajifunza jinsi y akutengeneza PDF kwa kutumia data zilizopo kwenye database',

       '<!DOCTYPE html>

       <html lang="en">

       <head>

           <meta charset="UTF-8">

           <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

           <title>Short Story</title>

           <style>

               body {

                   font-family: Arial, sans-serif;

                   line-height: 1.6;

                   margin: 0;

                   padding: 20px;

                   background-color: #f4f4f4;

               }

               h1 {

                   text-align: center;

                   color: #333;

               }

               p {

                   max-width: 800px;

                   margin: 0 auto 20px;

                   color: #555;

               }

           </style>

       </head>

       <body>

           <h1>The Enchanted Forest</h1>

           <p>Once upon a time, in a land far away, there was an enchanted forest where magical creatures lived in harmony. The forest was filled with towering trees, whose leaves shimmered with a golden hue. Every morning, the forest would come alive with the songs of birds and the chatter of woodland creatures.</p>

           <p>In the heart of this forest lived a young elf named Elara. Elara was known throughout the land for her kind heart and her ability to communicate with animals. She spent her days exploring the forest, helping any creature in need, and learning the secrets of the ancient woods.</p>

           <p>One day, while wandering through a particularly dense part of the forest, Elara stumbled upon a hidden glade. In the center of the glade was a crystal-clear pond, and next to the pond stood a majestic unicorn with a mane that sparkled like diamonds. The unicorn introduced himself as Orion, the guardian of the forest.</p>

           <p>Orion told Elara about a great danger that was approaching the forest. A dark sorcerer had discovered the forest\'s location and intended to drain its magic for his own evil purposes. The only way to save the forest was to find the ancient Tree of Life and awaken its power.</p>

           <p>Determined to save her home, Elara set off on a perilous journey. She faced many challenges along the way, including crossing a treacherous river, outsmarting a cunning fox, and navigating through a maze of thorns. But with the help of her animal friends, she overcame every obstacle.</p>

           <p>Finally, after days of travel, Elara found the Tree of Life. It was a magnificent tree with branches that reached the sky and roots that dug deep into the earth. Elara placed her hands on the trunk and spoke the ancient words of awakening. The tree began to glow with a brilliant light, and its magic spread throughout the forest, banishing the sorcerer\'s dark influence.</p>

           <p>The forest was saved, and its inhabitants rejoiced. Elara became a hero, and her bond with the forest grew even stronger. From that day on, the enchanted forest thrived, and its magic remained protected for generations to come.</p>

       </body>

       </html>',

       'Bongoclass'

   );

 

Hatuwa ya tatu

Baada ya hapo hatuwa hyo sasa ni kusoma hizo data kwenye faililetu la php. Tutatumia fail lil">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 506

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

PHP BLOG - somo la 1: Utangulizi na jinsi ya kuandaa kwa ajili ya somo

Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement

Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog

Soma Zaidi...
PHP somo la 74: aina za http headerna server variable

Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.

Soma Zaidi...
PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.

Soma Zaidi...
PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 8: Jinsi ya kufuta post kwenye database

katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server

Soma Zaidi...
PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.

Soma Zaidi...
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 23: Jinsi ya kutumia condition statement kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 34: Jinsi ya kutumia do loop, while loop na foreach kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP

Soma Zaidi...