hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.
JINSI YA KUTUMIA DATABASE KUTENGENEZA PDF
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo tutatengeneza PDF kutokana na data ambazo zipo kwenye PDF.
Katika somo hili tutatumia data za faili la html ambalo tumelitumia katika somo lililopita. Hivyo basi tutatengeneza database yenye jina la pdf kisha tutaweka table yenye jina content, ambayo ina field 5 ambazo ni id, summary, content, autor, title. Baada ya hapo ndipo tutaweka data zetu.
Hatuwa ya kwanza:
Tengeneza database yenye jina pdf. Kisha tengeneza table iite content kisha weka filed hizo nilizotaja hapo juu. Unaweza kutuia code hizo hapo chini kutengeneza table hiyo.
CREATE TABLE `content` (
`id` int(11) NOT NULL,
`title` varchar(255) NOT NULL,
`summary` varchar(255) NOT NULL,
`content` text NOT NULL,
`author` varchar(255) NOT NULL
) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4 COLLATE=utf8mb4_general_ci;
ALTER TABLE `content`
ADD PRIMARY KEY (`id`);
ALTER TABLE `content`
MODIFY `id` int(11) NOT NULL AUTO_INCREMENT;
Hatuwa ya pili
Baada ya hapo tutaingiza data zetu za html ambazo tumezitumia katika somo lililopita. Unaweza kingiza tu kawaida ama ukatumia code nitakazokupa hapo jini.
INSERT INTO `content` (`id`, `title`, `summary`, `content`, `author`)
VALUES
(NULL, 'Mafunzo ya PDF',
'Hapa utajifunza jinsi y akutengeneza PDF kwa kutumia data zilizopo kwenye database',
'<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta charset="UTF-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">
<title>Short Story</title>
<style>
body {
font-family: Arial, sans-serif;
line-height: 1.6;
margin: 0;
padding: 20px;
background-color: #f4f4f4;
}
h1 {
text-align: center;
color: #333;
}
p {
max-width: 800px;
margin: 0 auto 20px;
color: #555;
}
</style>
</head>
<body>
<h1>The Enchanted Forest</h1>
<p>Once upon a time, in a land far away, there was an enchanted forest where magical creatures lived in harmony. The forest was filled with towering trees, whose leaves shimmered with a golden hue. Every morning, the forest would come alive with the songs of birds and the chatter of woodland creatures.</p>
<p>In the heart of this forest lived a young elf named Elara. Elara was known throughout the land for her kind heart and her ability to communicate with animals. She spent her days exploring the forest, helping any creature in need, and learning the secrets of the ancient woods.</p>
<p>One day, while wandering through a particularly dense part of the forest, Elara stumbled upon a hidden glade. In the center of the glade was a crystal-clear pond, and next to the pond stood a majestic unicorn with a mane that sparkled like diamonds. The unicorn introduced himself as Orion, the guardian of the forest.</p>
<p>Orion told Elara about a great danger that was approaching the forest. A dark sorcerer had discovered the forest\'s location and intended to drain its magic for his own evil purposes. The only way to save the forest was to find the ancient Tree of Life and awaken its power.</p>
<p>Determined to save her home, Elara set off on a perilous journey. She faced many challenges along the way, including crossing a treacherous river, outsmarting a cunning fox, and navigating through a maze of thorns. But with the help of her animal friends, she overcame every obstacle.</p>
<p>Finally, after days of travel, Elara found the Tree of Life. It was a magnificent tree with branches that reached the sky and roots that dug deep into the earth. Elara placed her hands on the trunk and spoke the ancient words of awakening. The tree began to glow with a brilliant light, and its magic spread throughout the forest, banishing the sorcerer\'s dark influence.</p>
<p>The forest was saved, and its inhabitants rejoiced. Elara became a hero, and her bond with the forest grew even stronger. From that day on, the enchanted forest thrived, and its magic remained protected for generations to come.</p>
</body>
</html>',
'Bongoclass'
);
Hatuwa ya tatu
Baada ya hapo hatuwa hyo sasa ni kusoma hizo data kwenye faililetu la php. Tutatumia fail lilelile la indexphp. Kwanza tutaanz">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Soma Zaidi...katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post
Soma Zaidi...