Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nanasi
2. Faida za kula nanasi
1. Nanasi lin virutubisho kama fati, protini, vitamini C, vitamini B6, madini ya chuma, manganeseum na shaba.
2. Hupunguza misongo ya mawazo (stress)
3. Nanasi ni rahisi kumeng’enywa tumboni
4. Hupunguza hatari ya ugonjwa wa saratani
5. Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
6. Hupunguza maumivu ya viungio
7. Husaidia kupona haraka baada ya kufanyiwa upasuaji
8. Ni tunda tamu
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Nashukuru kwa ushauri, Je!
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Embe ni katika matunda atamu na yenye faida kubwa kiafya, soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...Vitamini A ni katika vitamini fat soluble vitamin akama vile retinol, retinal, retinoic acid na beta-carotene.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy
Soma Zaidi...hivi ndio vyakula vya protini kwa wingi, maziwa, mayai, samaki, dagaa, nyama, maini. Endelea na zaidi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye vitamini C kwa wingi
Soma Zaidi...