picha

Njia za uzazi wa mpango

Posti hii inahusu zaidi kuhusu njia za uzazi wa mpango, uzazi wa mpango ni njia za kupanga uzazi Ili kupata idadi ya watoto unaohitaji

Njia za uzazi wa mpango

1. Kutumia vidonge

_ hii ni njia inayotumiwa na wanawake kwa kutumia vidonge Ili kuzuia mimba isitungwe

2.Njia ya kutumia sindano

_ hii ni njia ya uzazi wa mpango ambapo wanawake uenda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya kudungwa sindano kwa ajili ya kuzuia mimba zisizotarajiwa

3. Kutumia condom

_ hii ni njia ambapo mwanaume na mwanamke utumia mpira Ili kuzuia mbegu za kiume kuingia kwenye uke kwa hiyo mimba haiwezekani kutungwa

4. Kutumia kitanzi 

_ hii ni njia ambapo kitanzi hufungwa kwenye mishipa ya damu ya mwanamke kwa hiyo huzuia kushika kwa mimba

5. Kukata milija mwanamke na mwanaume 

_ hii njia inapotumika huzuia mayai kupanda kutoka kwenye ovary mpaka kwenye tube kwa ajili ya kurutubishwa na mbegu haziwezi kupanda kwa sababu milija itakuwa imekatwa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 1903

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 ai web app     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Mimba kutoka kabla ya umri wake

Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane.

Soma Zaidi...
Kazi na mdalasini katika kutibu matatizo ya homoni.

Posti hii inahusu zaidi kazi ya mdalasini katika matibabu ya homoni kwa wanawake.

Soma Zaidi...
Kaka nasumbuliwa saan na tatizo la kuwasha kwenye kichwa Cha uume Sijui nifanyaje

Je kichwa cha uume wako kinawasha, na je kinatoa majimaji kwenye njia ya mkojo, una muda ganinavtatizo hili. Na je ulishiriki ngono zembe siku za hivi karibuni?

Soma Zaidi...
Madhara ya kufanya tendo la ndoa na mwanamke akiwa katika siku zake.

Tendo la ndoa wakati wa siku za hedhi ni halia mbayo jamii nying zinakataza. Katika vitabu vya dini pia haviruhusu, hata ki saikolojia utaona kuwa sio jambo jema. Hata hivyo hapa ninakuletea madhara yake kiafya

Soma Zaidi...
Dalili za mimba kutoka.

Post hii inahusu zaidi dalili za mimba kutoka, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mimba zote ambazo utaka kutoka kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...