Njia za uzazi wa mpango
Posti hii inahusu zaidi kuhusu njia za uzazi wa mpango, uzazi wa mpango ni njia za kupanga uzazi Ili kupata idadi ya watoto unaohitaji
Njia za uzazi wa mpango
1. Kutumia vidonge
_ hii ni njia inayotumiwa na wanawake kwa kutumia vidonge Ili kuzuia mimba isitungwe
2.Njia ya kutumia sindano
_ hii ni njia ya uzazi wa mpango ambapo wanawake uenda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya kudungwa sindano kwa ajili ya kuzuia mimba zisizotarajiwa
3. Kutumia condom
_ hii ni njia ambapo mwanaume na mwanamke utumia mpira Ili kuzuia mbegu za kiume kuingia kwenye uke kwa hiyo mimba haiwezekani kutungwa
4. Kutumia kitanzi
_ hii ni njia ambapo kitanzi hufungwa kwenye mishipa ya damu ya mwanamke kwa hiyo huzuia kushika kwa mimba
5. Kukata milija mwanamke na mwanaume
_ hii njia inapotumika huzuia mayai kupanda kutoka kwenye ovary mpaka kwenye tube kwa ajili ya kurutubishwa na mbegu haziwezi kupanda kwa sababu milija itakuwa imekatwa.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 ai web app 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba
Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba.
Soma Zaidi...Njia za kupunguza tatizo la kutanuka kwa tezi dume.
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo tunaweza kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili la kutanuka kwa tezi dume, kwa hiyo tunaweza kutumia njia zifuatazo ili kuweza kupunguza tatizo hili kwenye jamii kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Ongezeko la homoni ya estrogen
Posti hii inahusu zaidi ongezeko la homoni ya estrogen, kwa kawaida homoni hii ya estrogen inapaswa kulingana ikitokea ikaongezeka uleta madhara mbalimbali kwenye mwili na Kuna dalili ambazo zzz inaweza kujionesha wazi mpaka tukafahamu kuwa ni tatizo la o
Soma Zaidi...Mwana mke wang mwezi wa 8 alipima mimba kwa kipimo cha mkojo ikaleta postive lina mwez wa 8 huo huo mwishoni akaingia period ndo ikawa mwisho had leo hii hajawahi ingia tena na kila mara tumbo linamuuma na akipima anakuta hana mimba
Inaweza kutokea ukapima mimbaikawa ipo, na baada ya wiki kadhaa unapima tena haipo. Hali hii unadhani inaweza kusababishwa na nini?
Soma Zaidi...Nahitaji kufaham siku ya kumpatia mimba make wangu, yeye hedhi yake ilianza talehe22
Je na wewe ni moja kati ya wake ambao wanahitajivkujuwa siku za kupata mimba. Ama siku za competes mwanamke mimba. Post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Je mjamzito Uchungu ukikata inakuwaje
Hutokea uchungu wa kujifunguwa ukakati. Unadhani ni kitugani kinatokea.
Soma Zaidi...