Dalili za kuvimba kwa ovari.
 Posti hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa ovari kunakosababishwa na maambukizo ya bakteria na kawaida huweza kusababishwa na magonjwa sugu katika Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke.
Dalili na ishara za Mgonjwa aliye vimba ovari
1.maumivu katika tumbo la chini. Kutokana na uvimbe uliojitokeza kwenye ovari.
2.damu ya hedhi ambayo ni nzito kuliko kawaida kutokana na viuvimbe vidogovidogo vilivyopo kwenye Njia ya Uzazi
3.kutokwa na damu kati ya mzunguko wa hedhi.Na hedhi hii huwa na maumivu makali kuliko Kawaida .
4. maumivu au kutokwa na damu wakati wa kujamiiana.hii Ni mbaya kwasababu hupelekea maumivu wakati wa tendo la ndoa pia na Damu kutoka.
5.kutokwa na uchafu mwingi wa uke, ambao unaweza kuwa na harufu mbaya.na uchafu huu huaribu mfumo mzima wa Uzazi pia kupelekea kansa ya kizazi.
6.kuungua au maumivu wakati wa kukojoa,mkojo kutoka na Moto (burning urination) ambapo hupelekea maamivu makali wakati tu wa kukojoa
7. ugumu wa kukojoa. Muda mwingine hupelekea kushindwa kukojoa kabisa au mkojo kutoka kidogo Sana au kutokutoka kabisa.
8. homa, baridi kichefuchefu na kutapika, kutoka na maumivu makali ya tumbo.
Mwisho,kwa mwenye Dalili za ovari anatakiwa kupata huduma ya haraka, pia anashauriwa aache kufanya tendo la ndoa mara atakapogundua anaugonjwa huu na anashauriwa asishikiri tendo la ndoa wakati wa matibabu mpaka atakapopona.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 web hosting 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Je matiti kujaa na chuchu kuuma inakua ni dalili za hedhi?
Kuunda na kujaa kwa matiti ni miongoni mwa dalili za ujauzito lakini pia ni dalili za kukaribia hedhi kwa baadhi ya wanawake. Posti hii itakwenda kufafanuabutofauti wa dalili hizi na kipi ni sahihibkatibya hedhi ama ujauzito.
Soma Zaidi...Sababu za kutangulia kwa kitovu wakati Mtoto anazaliwa
Posti hii inahusu zaidi sababu za kutangulia kwa kitovu wakati wa mtoto anapozaliwa.
Soma Zaidi...Njia za kuzuia Malaria kwa wajawazito
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia Malaria kwa wajawazito na watoto wao wakiwa bado tumboni, tunajuwa wazi kuwa wajawazito wakipata Malaria inaweza kupelekea mimba kutoka kwa hiyo ili kuzuia tatizo hili zifuatazo ni njia zilizowekwa ili kuz
Soma Zaidi...Dalili za saratani kwa watoto.
Posti hii inahusu zaidi Dalili za saratani kwa watoto, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto na ikiwa mlezi au mzazi akiziona tu anaweza kutambua mara moja kwamba hii ni saratani au la na kama bado ana wasiwasi anaweza kupata msaada zaidi kutoka kwa wataa
Soma Zaidi...Mimba iliyotungia nje, sababu zake na dalili zake. Nini kifanyike kuizuia?
Mimba hatari iliyotungia nje ya mji wa mimba, ni zipi dalili zake na ni kivipo mimba inatungia nje?
Soma Zaidi...Mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito.
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito, tunajua wazi kuwa wajawazito pindi ujauzito ukiingia tu, kila kitu kwenye mwili ubadilika vile vile na mzunguko wa damu ubadilika.
Soma Zaidi...