Posti hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa ovari kunakosababishwa na maambukizo ya bakteria na kawaida huweza kusababishwa na magonjwa sugu katika Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke.
Dalili na ishara za Mgonjwa aliye vimba ovari
1.maumivu katika tumbo la chini. Kutokana na uvimbe uliojitokeza kwenye ovari.
2.damu ya hedhi ambayo ni nzito kuliko kawaida kutokana na viuvimbe vidogovidogo vilivyopo kwenye Njia ya Uzazi
3.kutokwa na damu kati ya mzunguko wa hedhi.Na hedhi hii huwa na maumivu makali kuliko Kawaida .
4. maumivu au kutokwa na damu wakati wa kujamiiana.hii Ni mbaya kwasababu hupelekea maumivu wakati wa tendo la ndoa pia na Damu kutoka.
5.kutokwa na uchafu mwingi wa uke, ambao unaweza kuwa na harufu mbaya.na uchafu huu huaribu mfumo mzima wa Uzazi pia kupelekea kansa ya kizazi.
6.kuungua au maumivu wakati wa kukojoa,mkojo kutoka na Moto (burning urination) ambapo hupelekea maamivu makali wakati tu wa kukojoa
7. ugumu wa kukojoa. Muda mwingine hupelekea kushindwa kukojoa kabisa au mkojo kutoka kidogo Sana au kutokutoka kabisa.
8. homa, baridi kichefuchefu na kutapika, kutoka na maumivu makali ya tumbo.
Mwisho,kwa mwenye Dalili za ovari anatakiwa kupata huduma ya haraka, pia anashauriwa aache kufanya tendo la ndoa mara atakapogundua anaugonjwa huu na anashauriwa asishikiri tendo la ndoa wakati wa matibabu mpaka atakapopona.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama, kwa kawaida uchungu unapaswa kuwa ndani ya masaa Kumi na mawili ila Kuna wakati mwingine uchungu unaweza kuwa zaidi ya masaa Kumi na mawili na kusababisha madhara yasiyo ya kawaida kwa Mama n
Soma Zaidi...Jifunze namna ya kuthibitisha dalili za ujauzito kuwa ni za kweli. Tambuwa namna ya kupima mimba na muda mujarabu wa kupima
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na miezi Saba na nane kwa kawaida mtoto wa hivi anakuwa hajafikisha mda wake kwa hiyo uzaliwa akiwa na miezi saba na nane, kwa hiyo kuna sababu mbalimbali kama tutakavyoona
Soma Zaidi...Post huu inahusu zaidi mambo yanayopelekea ugumba kwa wanaume, ni mambo ambayo uchangia au upelekea mwanaume kukosa uzazi.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kupasuka kwa kondo la nyuma (plasenta) (abruptio placentae) ni tatizo lisilo la kawaida lakini kubwa la ujauzito.Kondo la nyuma (Placenta) ni muundo ambao hukua ndani ya uterasi wakati wa ujauzito ili kumlisha mtoto ana
Soma Zaidi...Nitajuwaje kama mjamzito amekaribia kujifunguwa, ni dalili gani anaonyesha, dalili za uchungu wa kujifunguwa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba,ni vipimo vya moja kwa moja kutoka maabara na vingine sio vya maabara.
Soma Zaidi...Je anapatwa maumivu 😠makali wakati wa tendo la ndoa ama ukiwa katika hedhi? Soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua, hili ni tatizo ambalo uwapata akina Mama wengi wanapomaliza kujifungua kwa hiyo tutaweza kuziona sababu zinazosababishwa na tatizo hili.
Soma Zaidi...