Dalili za kuvimba kwa ovari.

  Posti hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa ovari kunakosababishwa na maambukizo ya bakteria na kawaida huweza kusababishwa na magonjwa sugu katika Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke.

Dalili na ishara za Mgonjwa  aliye vimba ovari
 

 1.maumivu katika tumbo la chini. Kutokana na uvimbe uliojitokeza  kwenye ovari.

 2.damu ya hedhi ambayo ni nzito kuliko kawaida kutokana na viuvimbe vidogovidogo vilivyopo kwenye Njia ya Uzazi 

 3.kutokwa na damu kati ya mzunguko wa hedhi.Na hedhi hii huwa na maumivu makali kuliko Kawaida .


4. maumivu au kutokwa na damu wakati wa kujamiiana.hii Ni mbaya kwasababu hupelekea maumivu wakati wa tendo la ndoa pia na Damu kutoka.


 5.kutokwa na uchafu mwingi wa uke, ambao unaweza kuwa na harufu mbaya.na uchafu huu huaribu mfumo mzima wa Uzazi pia kupelekea kansa ya kizazi.


 6.kuungua au maumivu wakati wa kukojoa,mkojo kutoka na Moto (burning urination) ambapo hupelekea maamivu makali wakati tu wa kukojoa


7. ugumu wa kukojoa. Muda mwingine hupelekea kushindwa kukojoa kabisa au mkojo kutoka kidogo Sana au kutokutoka kabisa.


8. homa, baridi kichefuchefu na kutapika, kutoka na maumivu makali ya tumbo.

Mwisho,kwa mwenye Dalili za ovari anatakiwa kupata huduma ya haraka, pia anashauriwa aache kufanya tendo la ndoa mara atakapogundua anaugonjwa huu na anashauriwa asishikiri tendo la ndoa wakati wa matibabu mpaka atakapopona.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1871

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Upungufu wa homoni ya estrogen

Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili.

Soma Zaidi...
Madhara ya sindano za kuzuia mimba kwa vijana.

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya matumizi ya sindano za kuzuia mimba kwa vijana ambao hawajafikilia mpango wa kuanza kujifungua watoto.

Soma Zaidi...
Mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito, ni mabadiliko ambayo utokea kwa wajawazito hasa kwenye mfumo wa chakula.

Soma Zaidi...
Zijue mbegu za kiume zilizo bora.

Posti hii inahusu zaidi mbegu ambazo ni nzima na ambazo zina sifa ya kutungisha mimba kwa hiyo mbegu hizi utazigundua kwa kuwa na sifa zifuatazo.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba ya watoto mapacha

Makala hii itakwenda kukupa dalili ambazo zinaonyesha kuwa mimba ni ya mapacha. Dalili hizi zitahitajika kuthibitishwa na kipimo cha daktari ili kujuwa kuwa ni kweli.

Soma Zaidi...
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa wanawake.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kufunga kizazi kwa wanawake.

Soma Zaidi...
NAMNA YA KUBORESHA MBEGU ZA KIUME, NA VYAKULA VYA KUBORESHA NGUVU ZA KIUME

Njoo ujifunze vyakula vya kuboresha mbegu za kiume na nguvu za kiume.

Soma Zaidi...
Ni ipi siku ya kupata ujauzito, na nitajuwaje kama nimepata ujauzito?

Hapa utajifunza siku nzuri kushoriki tendo la ndoa kupata ujauzito, dalili za siku hiyo na kuitafuta kwa mahesabu

Soma Zaidi...
Sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa

Post hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, mara nyingi tatizo hili uwakumba akina mama mbalimbali ambapo mtoto uzaliwa akiwa na uzito mkubwa

Soma Zaidi...
Njia za kumsafisha Mama aliyetoa mimba.

Post hii inahusu njia safi za kumsafisha Mama ambaye ametoa mimba au mtoto amefia tumboni.

Soma Zaidi...