Njia za kuongeza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuongeza nguvu za kiume

NJIA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME:

Tofauti na vyakula lakini pia zipo njia nyingine kama kupata ushauri kwa wataalamu wa afya ya mahusiano. Hapa nitakuletea orodha ya njia za kuongeza nguvu zakiume. Njia hizo ni kama:-

 

Kufanya mazoezi: mazoezi yamegawanyika katika mafungu mengi. Ila tambuwa kuwa yapo mazoezi ambayo ni mujarabu sana katika kuongeza nguvu za kiume. Swali la msingi hapa je ni mazoezi gani yanayoongeza nguvu za kiume?

 

1. Kukimbia mwendo mdogo maarufu kama joging. Mazoezi haya husaidia katika kuboresha mzunguko wa damu, pia kiboresha mishipa inayozuia uume kuwa imara. Joging inatakiwa ifanyike kistaarabu. Joging pia itakusaidia kuongeza pumzi na kuweza kuhimili vyema tendo.

 

2. Kutembea kwa miguu; vyema ukaupa mazoezi mwili wako, mazoezi ya kutembea pia yanatosha. Angalau upate kama nusu saa ya kutembea kwa mguu. Hii inaweza kusaidia katika kuboresha mzunguko wa damu vyema, kwenye maeneo yote yammwili na kubust mishipa ya uume kufikiwa na damu vyema

 

3. Pushapu; hii ni muhimu hasa kwa wale wanaohitaji kuwa na misuli imara. Pushapu inahusisha viungo vingi kuanzia miguuni hdi shingini. Pushapu inaweza kusaidia katika kuboresha mzunguko wa damu ambao ni muhimu katika afya ya nguvu za kiume. Pushapu pia itakuongezea pumzi ambayo utaitumia wakati wa kushiriki.

 

4. Kama utakuwa na kamba ya kuruka, itumie vyema. Kamba ni katika mazoezi ambayo yanahusisha takribani mwili mzima. Hivyo inaweza kusaidia katika kuufanya mwili kuwa imara na kuufanya mwili uweze kuhimili vyema tendo la ndoa.

5. Fanyika mazoezi mshipa wa uume. Mshipa huu ni ule ambao unapokojoa unapotaka kuukata mkojo kuna mshipa utahisi unevutika unapokata mkojo. Mshipa huu unapatikana sehemu iliyo kati ya tundu la haja kubwa kuelekea kwenye shina la uume. Mshipa huu utaufanyisha mazoezi kwa kuukaza na kuuachia kama vile unavyokata mkojo na kuuashia. Hakikisha unapofanya zoezi hili huna mkojo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 8019

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Ni ili sababu ya kutokea kwa tezi dume

Tezidume ni moja ya magonjwa hayari yanayotokea katika mwili wa mwanaume.Hapa nimekuandalia sababu za kutokea kwa tezi dume.

Soma Zaidi...
Kutoka kwa mimba, sababu za kutoka kwa mimba, dalili za kutoka mimba na kuzuia mimba kuoka

Mimba inapotoka ina dalili, na zipo sababu kadhaa za kutoka kwa mimba. Je utazuiaje mimba kutoka. Soma makala hii

Soma Zaidi...
Zijue sababu za kutobeba mimba

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali ambazo zinamfanya mama au dada kutobeba mimba. Kwa hiyo tutaziona hapo chini kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Mwanamke anatema mate mara kwa mara je inaweza kuwa ni ujauzito?

Ni kweli kuwa kutema mate mara kwa mara inaweza kuwa ni dlili za ujauzito. Lakini itambulije kuwa pekee sio kithibitishi cha ujauzito.

Soma Zaidi...
Hatua za ukuwaji was mimba na dalili zake

Somo hili linakwenda kukuletea hatua za ukuaji mimba na dalili zake

Soma Zaidi...
Kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa.

Post hii inahusu zaidi kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, hali hii utokea kwa watoto wadogo wakati wa kuzaliwa kwa sababu maalum kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Hatua za Kuzuia Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na mirija ya uzazi

Posti hii inazungumzia kuhusiana na hatua za kujikinga na Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na kwenye mirija ya uzazi

Soma Zaidi...
Chanzo cha tatizo la mvurugiko wa hedhi.

Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut

Soma Zaidi...
faida za tendo ka ndoa wakati wa ujauzito

Kufanya tendo la ndoa wakati wa ujauzito kina faida nyingi kwa mama na mtoto. Miongni mwa faida hizo ni kuimarisha mfumo wa kinga wa mama, kumuondolea stress na ukuajinmzuri wa mimba

Soma Zaidi...
Ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito, ni ugonjwa unaowapata sana akina mama wajawazito na uisha tu pale Mama anapojifungua kwa hiyo tunapaswa kujua wazi sababu za ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito.

Soma Zaidi...