Kazi za homoni katika Mzunguko hedhi.

Post hii inahusu zaidi kazi za homoni katika Mzunguko wa hedhi, katika kipindi hiki kuna homoni mbalimbali ambazo ufanya kazi kama tutakavyoona.

Kazi za homoni katika Mzunguko wa hedhi.

1.Tunapaswa kujua kuwa homoni ni kemikali ambazo uzalishwa na glandi na kufanya kazi mbalimbali kwenye mwili, kwa hiyo kila homoni huwa ina kazi yake ambayo uifanya kama homoni hiyo haipo hakuna kitu ambacho kinaweza kufanyika, homoni inaweza kukosa kwa sababu mbalimbali kama vile Magonjwa na sababu nyingine nyingi.

 

2.Gonadotrophin homoni.

Hii ni homoni ambayo uzalishwa kwenye ubongo na kazi yake ni kuhakikisha kwamba follicle stimulating hormone na lutenizing homoni zinakuwepo kwa ajili ya kufanya yai likomae na baadae liweze kutolewa kwenda kwenye mrija kwa ajili ya kukutana na mbegu.

 

3.Lutenizing homoni.

Hii ni homoni ambayo kazi yake ni kuhakikisha kuwa yai likishakomaaimaa inalisafilisha kutoka kwenye ovari mpaka kwenye follapian tube au kwenye mirija kwa ajili ya kukutana na mbegu.

 

4.Follicle stimulating hormone.

Hii nayo ni homoni ambayo usaidia yai likue kwenye ganda lake na likishamaliza kukomaa utoa homoni ambayo inaitwa estrogen homoni.

 

5.Estrogen homoni hii ni aina ya homoni ambayo utokea baada ya kukomaa kwa yai na kazi yake uenda kwenye mlango wa kizazi na kujiimarisha na pia ufanya ute kubwa tayari kwa ajili ya kupitisha mbegu.

 

6.Progestron homoni.

Hii ni aina ya homoni ambayo uzaliwa baada ya kupasuka kwa yai kwa hiyo kazi yake ni kuimarisha mlango wa kizazi ili uweze kuwa tayari kwa kumpokea mtoto kama mimba itakuwa imetungwa kama haipo ndoa tunaona damu za kila mwezi.

 

7.Pia kuna homoni nyingine ambayo inawahusu wanaume hii inaitwa progesterone homoni ambayo usaidia  kuwepo kwa sauti ya kiume, uboo kusimama na sifa zote za kiume

 

 

 

 

 

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1331

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua, hili ni tatizo ambalo uwapata akina Mama wengi wanapomaliza kujifungua kwa hiyo tutaweza kuziona sababu zinazosababishwa na tatizo hili.

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza hamu ya tendo la ndoa

Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye

Soma Zaidi...
Nguzo kuu za umama katika umri wa kupata watoto na kulea watoto

Posti hii inahusu zaidi nguzo kuu za umama katika umri wa kujifungua na kulea watoto, ni kipindi ambacho mama anakuwa analea watoto kwa kawaida kadri ya makadirio kipindi hiki uanza kati ya miaka kumi na mitano mpaka arobaini kwa walio wengi na kinaweza k

Soma Zaidi...
Tatizo la kutokwa na utelezi wenye damu baada ya hedhi

Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali za kutokwa na damu baada ya hedhi hili ni tatizo ambalo uwapata wanawake wengi pamoja na akina Mama kwa sababu ya kutokwa na damu yenye utelezi baada ya hedhi.

Soma Zaidi...
Malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama.

Posti huu inahusu zaidi malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama, ni huduma muhimu ambazo zimetolewa kwa akina Mama ili kuweza kuepuka hatari mbalimbali zinazowakumba akina Mama wakati wa ujauzito, kujifu na malezi ya watoto chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito, ni mabadiliko ambayo utokea kwa wajawazito hasa kwenye mfumo wa chakula.

Soma Zaidi...
Je kukosa hedhi kwa mwanmke anayenyonyesha ni dalili ya mimba

Kipimo cha mimba cha mkojo hakiwezi kyonyesha mimva changa sana. Hivyo kama ni mimba baada ya wikibpima tena itaweza kuonekana. Dalili hizobulizotaja pekee haziashirii mimba tu huwenda ni homoni zimebadilika kidogo, ama una uti.

Soma Zaidi...
Njia za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha.

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha kwa sababu kuna familia nyingi zinakosa watoto sio kwa sababu ni tasa ila kuna njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...