Post hii inahusu zaidi kazi za homoni katika Mzunguko wa hedhi, katika kipindi hiki kuna homoni mbalimbali ambazo ufanya kazi kama tutakavyoona.
Kazi za homoni katika Mzunguko wa hedhi.
1.Tunapaswa kujua kuwa homoni ni kemikali ambazo uzalishwa na glandi na kufanya kazi mbalimbali kwenye mwili, kwa hiyo kila homoni huwa ina kazi yake ambayo uifanya kama homoni hiyo haipo hakuna kitu ambacho kinaweza kufanyika, homoni inaweza kukosa kwa sababu mbalimbali kama vile Magonjwa na sababu nyingine nyingi.
2.Gonadotrophin homoni.
Hii ni homoni ambayo uzalishwa kwenye ubongo na kazi yake ni kuhakikisha kwamba follicle stimulating hormone na lutenizing homoni zinakuwepo kwa ajili ya kufanya yai likomae na baadae liweze kutolewa kwenda kwenye mrija kwa ajili ya kukutana na mbegu.
3.Lutenizing homoni.
Hii ni homoni ambayo kazi yake ni kuhakikisha kuwa yai likishakomaaimaa inalisafilisha kutoka kwenye ovari mpaka kwenye follapian tube au kwenye mirija kwa ajili ya kukutana na mbegu.
4.Follicle stimulating hormone.
Hii nayo ni homoni ambayo usaidia yai likue kwenye ganda lake na likishamaliza kukomaa utoa homoni ambayo inaitwa estrogen homoni.
5.Estrogen homoni hii ni aina ya homoni ambayo utokea baada ya kukomaa kwa yai na kazi yake uenda kwenye mlango wa kizazi na kujiimarisha na pia ufanya ute kubwa tayari kwa ajili ya kupitisha mbegu.
6.Progestron homoni.
Hii ni aina ya homoni ambayo uzaliwa baada ya kupasuka kwa yai kwa hiyo kazi yake ni kuimarisha mlango wa kizazi ili uweze kuwa tayari kwa kumpokea mtoto kama mimba itakuwa imetungwa kama haipo ndoa tunaona damu za kila mwezi.
7.Pia kuna homoni nyingine ambayo inawahusu wanaume hii inaitwa progesterone homoni ambayo usaidia kuwepo kwa sauti ya kiume, uboo kusimama na sifa zote za kiume
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua, hili ni tatizo ambalo uwapata akina Mama wengi wanapomaliza kujifungua kwa hiyo tutaweza kuziona sababu zinazosababishwa na tatizo hili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi nguzo kuu za umama katika umri wa kujifungua na kulea watoto, ni kipindi ambacho mama anakuwa analea watoto kwa kawaida kadri ya makadirio kipindi hiki uanza kati ya miaka kumi na mitano mpaka arobaini kwa walio wengi na kinaweza k
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali za kutokwa na damu baada ya hedhi hili ni tatizo ambalo uwapata wanawake wengi pamoja na akina Mama kwa sababu ya kutokwa na damu yenye utelezi baada ya hedhi.
Soma Zaidi...Posti huu inahusu zaidi malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama, ni huduma muhimu ambazo zimetolewa kwa akina Mama ili kuweza kuepuka hatari mbalimbali zinazowakumba akina Mama wakati wa ujauzito, kujifu na malezi ya watoto chini ya miaka mitano.
Soma Zaidi...Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito, ni mabadiliko ambayo utokea kwa wajawazito hasa kwenye mfumo wa chakula.
Soma Zaidi...Kipimo cha mimba cha mkojo hakiwezi kyonyesha mimva changa sana. Hivyo kama ni mimba baada ya wikibpima tena itaweza kuonekana. Dalili hizobulizotaja pekee haziashirii mimba tu huwenda ni homoni zimebadilika kidogo, ama una uti.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha kwa sababu kuna familia nyingi zinakosa watoto sio kwa sababu ni tasa ila kuna njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Habari DoktaNikuulize kituu?
Soma Zaidi...