Post hii inahusu zaidi kazi za homoni katika Mzunguko wa hedhi, katika kipindi hiki kuna homoni mbalimbali ambazo ufanya kazi kama tutakavyoona.
Kazi za homoni katika Mzunguko wa hedhi.
1.Tunapaswa kujua kuwa homoni ni kemikali ambazo uzalishwa na glandi na kufanya kazi mbalimbali kwenye mwili, kwa hiyo kila homoni huwa ina kazi yake ambayo uifanya kama homoni hiyo haipo hakuna kitu ambacho kinaweza kufanyika, homoni inaweza kukosa kwa sababu mbalimbali kama vile Magonjwa na sababu nyingine nyingi.
2.Gonadotrophin homoni.
Hii ni homoni ambayo uzalishwa kwenye ubongo na kazi yake ni kuhakikisha kwamba follicle stimulating hormone na lutenizing homoni zinakuwepo kwa ajili ya kufanya yai likomae na baadae liweze kutolewa kwenda kwenye mrija kwa ajili ya kukutana na mbegu.
3.Lutenizing homoni.
Hii ni homoni ambayo kazi yake ni kuhakikisha kuwa yai likishakomaaimaa inalisafilisha kutoka kwenye ovari mpaka kwenye follapian tube au kwenye mirija kwa ajili ya kukutana na mbegu.
4.Follicle stimulating hormone.
Hii nayo ni homoni ambayo usaidia yai likue kwenye ganda lake na likishamaliza kukomaa utoa homoni ambayo inaitwa estrogen homoni.
5.Estrogen homoni hii ni aina ya homoni ambayo utokea baada ya kukomaa kwa yai na kazi yake uenda kwenye mlango wa kizazi na kujiimarisha na pia ufanya ute kubwa tayari kwa ajili ya kupitisha mbegu.
6.Progestron homoni.
Hii ni aina ya homoni ambayo uzaliwa baada ya kupasuka kwa yai kwa hiyo kazi yake ni kuimarisha mlango wa kizazi ili uweze kuwa tayari kwa kumpokea mtoto kama mimba itakuwa imetungwa kama haipo ndoa tunaona damu za kila mwezi.
7.Pia kuna homoni nyingine ambayo inawahusu wanaume hii inaitwa progesterone homoni ambayo usaidia kuwepo kwa sauti ya kiume, uboo kusimama na sifa zote za kiume
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inaelezea namna mwanamke anavyoweza kupata Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi.
Soma Zaidi...Hizi ni siku hatari kwa mwanamke ambazo ni ahisi kwake kubeba mimba, siku nitakueleza ni zipi na ni zipi sifa zake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi msaada au namna ya kuwahudumia wale wasioona hedhi na wamefikiwa kwenye umri wa kuweza kuona hedhi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo tunaweza kuzitumia ili kuwakinga watoto dhidi ya saratani, kama tulivyotangulia kusema kwamba saratani ya watoto mara nyingi Usababishwa na akina Mama hasa kwa sababu ya mtindo wa maisha wakati wa ujauzito kwa hiyo tun
Soma Zaidi...Je kupata maumivu sehemu zinazoota mavuzi na kuwa namaumiv wakat wa haja ndogo na pia kwenye kichwa cha uume kunakua kama kunavimb hizo syo dalili moja wapi?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kutangulia kwa kitovu wakati wa mtoto anapozaliwa.
Soma Zaidi...Je unaweza kunielezaKwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo Mama mjamzito anaweza kuulizwa pindi anapokuja kwenye kliniki ya uzazi ,ni mambo muhimu na ya lazima yanayopaswa kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kuona maendeleo yake kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Miongoni mwa dalili zamwanzo za ujauzito ni maumivu ya tumbo ama kupatwa na damu kidogo. Mabadiliko ya ute ute sehemu za siri ni katika baadhi ya dalili. Endelea na makala hii utajifunza zaidi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya shida ya upumuaji, ni madhara madogo madogo ambayo utokea kwa watumiaji wa matatizo ya kupumua.
Soma Zaidi...