Nataka nijue Kuwa njia yakuzuia mimba wakati Wakufany tendo La ndoa

Je ungependa kuijuwa Njia ya kuzuia mimba wakati wa tendo la ndoa?. Posti hii itakwenda kukufundisha ujanja huu.

Swali: 

Nataka nijue Kuwa njia yakuzuia mimba wakati Wakufany tendo La ndoa

 

Jibu:

Kwanza itambulike kuwa wakati wa kufanya tendo la ndoa mimba itaingia endapo mwanaume atamwaga mbegu zake na kuingia kwenye njia ya uzazi ya mwanamke. Na si hivyo tu ni mpaka mbegu zile ziwe na uwezo wa kutungisha mimba, pia lazima zikutane na yai zikiwa na afya imara. Hivyo basi kutungwa kwa mimba kunategemeana na hali nyingi. 

 

Hivyo basi endapo utaweza kuzuia mbgu kuingia kwene njia ya uzazi, utakuwa umeweza kuzuia uwezekano wa kupata mimba. Hivyo basi wacha tuzione njia hizo:-

1. Kumwaga nje. Njia hii kitaalamu inatambulika kama withdraw yaani kabla ya mwnaume umwaga mbegu anatakiwa achomoe uume na kumalizia kumwaga mbegu nje. Hii ni nia ya ki asilia ambayo haina shida. Ijapokuwa inaweza kuathiri saikolojia na kushindwa kufurahia tendo.

 

2. kutumia kinga. Endapo kitendo kitafanyika kwa ktumia kinga basi itakuwa rahisi kuzuia mbegu za mwanaume kuingia kwenye njia ya uzazi ya mwanamke.

 

Njia hizo zinahitaji umakini wa hali ya juu. kwani endapo hamtakuwa makini kondom inaweza kupasuka na kupelekea kuvuja wa mbegu na kuingia kwenye njia ya uzazi ya kike. Ama mwanaume akashindwa kuchomoa na kumwagia nje.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1919

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Faida za uzazi wa mpango kwa watu wenye ugonjwa wa Ukimwi

Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, ni faida wanazozipata waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi.

Soma Zaidi...
Utaratibu kwa wajawazito na wanaonyonshesha wakiwa na virusi vya ukimwi na ukimwi

Je kuna madhara kwa mwenye virusi vya ukimwi kunyonyesha ama kubeba mimba, na nini afyanye kama ameshabeba mimba ama kama ananyonyesha

Soma Zaidi...
Je nitahakikisha vipi Kama Nina ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuhakiki Kama u-mjamzito

Soma Zaidi...
Dalili za maumivu ya hedhi

Maumivu ya hedhi (dysmenorrhea) ni maumivu makali au ya kubana sehemu ya chini ya tumbo. Wanawake wengi hupatwa na Maumivu ya hedhi kabla tu na wakati wa hedhi zao. Kwa wanawake wengine, usumbufu huo ni wa kuudhi tu. Kwa wengine,&nbsp

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango zinazomhusisha mwanaume

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume kushiriki, ni njia ambayo umfanye mwanaume awe mhusika hasa wakati wa kujamiiana.

Soma Zaidi...
Sababu za Kukoma hedhi (perimenopause)

Kukoma hedhi hufafanuliwa kuwa hutokea miezi 12 baada ya kipindi chako cha mwisho cha hedhi na huashiria mwisho wa mizunguko ya hedhi. Kukoma hedhi kunaweza kutokea katika miaka ya 40 au 50. Kukoma hedhi ni mchakato wa asili wa kibaolojia. Ingawa pia in

Soma Zaidi...
Mambo yanayopunguza nguvu za kiume

Posti hii inaelezea kuhusiana na nguvu za kiume zinavyopungua na Ni Mambo gani yanayofanya zipungue

Soma Zaidi...
Siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba

Soma Zaidi...
Namna ya kutunza uke

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza uke, tunajua wazi kuna magonjwa mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo uke hautaweza kutunzwa vizuri na pia uke ukitunzwa vizuri kuna faida ya kuepuka maradhi ya wanawake kwa njia ya kutunza uke.

Soma Zaidi...
Mambo yanayopelekea Mjamzito kutokwa na damu

Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali ambayo yanapelekea Mjamzito kutokwa na damu, hizi ni baadhi ya sababu ambazo usababisha Mjamzito kutokwa na damu.

Soma Zaidi...