Nataka nijue Kuwa njia yakuzuia mimba wakati Wakufany tendo La ndoa

Nataka nijue Kuwa njia yakuzuia mimba wakati Wakufany tendo La ndoa

Je ungependa kuijuwa Njia ya kuzuia mimba wakati wa tendo la ndoa?. Posti hii itakwenda kukufundisha ujanja huu.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Swali: 

Nataka nijue Kuwa njia yakuzuia mimba wakati Wakufany tendo La ndoa

 

Jibu:

Kwanza itambulike kuwa wakati wa kufanya tendo la ndoa mimba itaingia endapo mwanaume atamwaga mbegu zake na kuingia kwenye njia ya uzazi ya mwanamke. Na si hivyo tu ni mpaka mbegu zile ziwe na uwezo wa kutungisha mimba, pia lazima zikutane na yai zikiwa na afya imara. Hivyo basi kutungwa kwa mimba kunategemeana na hali nyingi. 

 

Hivyo basi endapo utaweza kuzuia mbgu kuingia kwene njia ya uzazi, utakuwa umeweza kuzuia uwezekano wa kupata mimba. Hivyo basi wacha tuzione njia hizo:-

1. Kumwaga nje. Njia hii kitaalamu inatambulika kama withdraw yaani kabla ya mwnaume umwaga mbegu anatakiwa achomoe uume na kumalizia kumwaga mbegu nje. Hii ni nia ya ki asilia ambayo haina shida. Ijapokuwa inaweza kuathiri saikolojia na kushindwa kufurahia tendo.

 

2. kutumia kinga. Endapo kitendo kitafanyika kwa ktumia kinga basi itakuwa rahisi kuzuia mbegu za mwanaume kuingia kwenye njia ya uzazi ya mwanamke.

 

Njia hizo zinahitaji umakini wa hali ya juu. kwani endapo hamtakuwa makini kondom inaweza kupasuka na kupelekea kuvuja wa mbegu na kuingia kwenye njia ya uzazi ya kike. Ama mwanaume akashindwa kuchomoa na kumwagia nje.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1763

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Mbinu za kupunguza Kichefuchefu
Mbinu za kupunguza Kichefuchefu

Point hii inahusu zaidi mbinu za kupunguza Kichefuchefu hasa kwa wagonjwa na watumiaji wa madawa mbalimbali yanayoweza kusababisha kichefuchefu.

Soma Zaidi...
MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA
MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA

Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia.

Soma Zaidi...
Fahamu Ute unaotoka wakati wa ujauzito
Fahamu Ute unaotoka wakati wa ujauzito

Posti hii inahusu zaidi Ute unaotoka wakati wa ujauzito, kwa kawaida wakati wa ujauzito Kuna Ute ambao utoka na ni tofauti na kawaida pale mwanamke akiwa Hana mimba.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi
Dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi

Soma Zaidi...
Namna ya kumtunza mtoto aliyezaliwa
Namna ya kumtunza mtoto aliyezaliwa

Post hii inahusu zaidi namna ya kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa, ni njia zitoleeazo na wakunga Ili kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa.

Soma Zaidi...
Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume
Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume

Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake

Soma Zaidi...
Changamoto za kwenye ndoa kwa waliotoa mimba mara Kwa mara
Changamoto za kwenye ndoa kwa waliotoa mimba mara Kwa mara

Posti hii inahusu zaidi changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara,hizi ni changamoto za wakati wa kufanya tendo na mme wake au mtu mwingine kwa ajili ya kupata mtoto.

Soma Zaidi...
Huduma kwa mama ambaye mimba imetoka moja kwa moja.
Huduma kwa mama ambaye mimba imetoka moja kwa moja.

Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba imetoka moja kwa moja, aina hiyo ya mimba kwa kitaalamu huitwa complete abortion.

Soma Zaidi...
Samahani nauliza mjamzito akiwa na presha140/90  Kuna madhara?
Samahani nauliza mjamzito akiwa na presha140/90 Kuna madhara?

Presha ya kupanda hypertension huweza kuzumbuwa watu kwa jinsia zote, na umri wote. Wajawazito pia wamekuwa wakisumbuliwa na presha hii mara kwa mara.

Soma Zaidi...
Ukifanya mapenzi siku hatari na ukameza P2 unaweza pata mimba?
Ukifanya mapenzi siku hatari na ukameza P2 unaweza pata mimba?

Je umeshawahi kujiukiza kuwa, dawa ya P2 ni kweli inaweza kuzuia mimba, ukifanya mapenzi siku hatari?

Soma Zaidi...