SAFARI YA MUUJIZA ( SEHEMU YA PILI)

Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule.

SAFARI YA MUUJIZA

Basi wakafika pale kwenye kituo wakawakuta watoto wengi wa Kila namna ,na waliruhusiwa kucheza nao, Kula nao Kwa sababu walikuwa wamekwenda wameandaa chakula, basi wakaanza kuzunguka sehemu mbali mbali,na Katika kuzunguka ya Mungu mengi alianza kutembelea sehemu mbali akiwa mwenyewe baadae aliona msichana wa Rika lake na Kama vile wanafanana akashutuka sana,akapaswa kumsogelea ili aweze kuongea naye,wakakaribiana wakasalimiana, ya Mungu mengi akauliza unaitwa nani huyu akamjibu naitwa maria na huyu akamjibu naitwa ya Mungu mengi,ya Mungu mengi akapenda kufahamu kuhusu maisha ya yule dada, basi yule dada akaanza kusimulia History yake Kama ifuatavyo.

MI'mi naitwa maria Amani,Nina umri wa miaka kumi na Saba Niko kidato Cha nne kwenye shule ya Kadio Kwa Sasa Niko hapa Kwa sababu Huwa naenda shule na kurudi,ila Mimi nilijikuta hapa Kwa sababu wazazi wangu walitangulia mbele ya haki na pia niliambiwa tulikuwa mapacha wawali mmoja aliitwa Martha Amani ila Kwa sababu alichukuliwa na wazazi ili awe mtoto wao Kwa sababu hawakuwa na mtoto wa kike,ila Mimi Nina hamu ya kumwona ndugu yangu ili kupambana na maisha,

 

 

Baada ya msichana maria kuongea hivyo ya Mungu mengi alifikilia sana na akasema moyoni mwake atanda kumuuliza mama yake mlezi sehemu alipomtoa na walikuwa na hali gani, basi mda wa kuondoka ukafika wale wasichana wakaagana na kwenda Kila mtu sehemu yake ila wakawa na wasi wasi mkubwa, kabla ya ya Mungu mengi hajaondoka mwalimu aliwaita akawaambia Kila mtu anapaswa kuchagua rafiki ,ndipo ya Mungu mengi akakimbia Kwa maria ili wawe marafiki ila waliendelea kutoelewa Kwa sababu walikuwa wanafanana sana.

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jamvini Main: Burudani File: Download PDF Views 1287

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Chemsha bongo na bongoclass

Jipime uwezo wako wa kufikiri pamoja nasi.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Post hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mitihani inaisha na wanaanza kuhukumiwa mmoja baada ya mwingine.

Soma Zaidi...
WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 1

Post hii inahusu zaidi hadithi mpya na nzuri inayoitwa wakati wa Kufumbuka, ni hadithi inayohusu maisha ya kawaida ambapo watu ushindwa kudhamini watu wa karibu nao na kuona watu wa mbali ndio wenye maana ila shida zikifika ndipo wanaona umuhimu wao.

Soma Zaidi...
SAFARI YA MUUJIZA sehemu ya tatu

Post hii inahusu Zaidi hadithi ya safari ya muujiza ambapo ya Mungu mengi anaenda kwao na kuomba kufahamu history yake ili afahamu kuhusu wazazi weo walipo na ndugu zao walipo.

Soma Zaidi...
Hasara za wivu na kutokuwa wazi (sehemu ya 4)

Posti hii inaendelea kuelezea hasara za kuwepo kwa wivu na kutokuwa wazi katika, jamii inafikia wakati baba anapifahamu ukweli anawaita wazazi wawili na kuwaombeza kwa kuwa kimya baada ya kuona matatizo yaliyokuwa yanampata mtoto Lisa.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, baada ya kijana wa kiume wa binti mfalme kuoa yule ndugu yake baba anafanya sherehe kubwa na wake wenza wamepata habari kwamba kijana wa kiume wa mfalme ameoa ndugu yake wakaamuru kunyamaza il

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI (sehemu ya nne)

Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha.

Soma Zaidi...
Hadithi ya Binti mfalme

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya Binti mfalme ni hadithi ya kusisimua, kuhusu hadithi hii ni kwamba mfalme alihitaji mtoto wa kiume ila wanawake wote hawakumpata ila alitokea mke mdogo mmoja wa mfalme akajifungua watoto wawili mapacha mmoja wa kiume na

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili baada ya kuhamia shule mpya.

Soma Zaidi...
Hadithi ya Mama mchoyo na mwehu

Posti hii inahusu zaidi habari za Mama mmoja aliyekuwa mchoyo akampa mkate mwehu na kuutia Sumu ila kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu sana aliutunza mkate na kuwapatia watoto wa yule mama waliokuwa wakitoka shule na njaa kali

Soma Zaidi...