Post hii ni mwendelezo wa hadithi iliyopita ambapo Frank aliwakuta Amina ambaye ni mpenzi wake ameumbatiana na James ambaye ni rafiki yake ,kwa hiyo tuendelee kusikia yaliyotokea baada ya Amina na James kukutwa na Franki.
1. Basi kwa kuwa frank siku zote alijiona mnyonge na ambaye alikuwa mstaarabu aliamua kufunga tena mlango na kuwaacha Amina na James wakiendelea na shughuli zao ila James aliumia sana kuona anamsaliti rafiki yake akaanza kumlaumu Amina na kumlalamikia kuhusu uhusiano wao kwa sababu Amina ndiye aliyemshawishi James.
2. Basi frank alipoendelea kuwaza kuhusu Amina na James ghafla simu ikalia kutoka kwa yule dada aliyempa lift ,akamuuliza hali halisi na jinsi rafiki yake alivyomshauri lakini frank aliishia kuangua kilio kwenye simu ,yule dada aliumia sana akaamua kuendesha gari mpaka kwenye nyumba ya akina james akamkuta frank amekaa chini ya mti na akina James na Amina wamo ndani wakizozana na kulaumiana, basi yule dada akamsihi frank apande kwenye gari na akakubali wakaenda sehemu iliyotulia wakaongea.
3. Basi frank akamuuliza yule dada jina akamjibu na kusema kwamba anaitwa Amisa , ndipo frank akajaribu kumweleza kila kitu ila kwa uchungu mkali na kilio ila Amisa akamsihii ajitahidi basi frank akafanikiwa kumweleza kila kitu kilivyokuwa basi Amisa akamsihii frank ajitahidi na akahaidi kumsai dia kwa kila kitu atakachohitaji, basi Ili Amisa kumfurahisha Frank aliamua kumpeleka beach Ili afurahie na kupoteza mawazo, basi frank Ms Amisa wakaongozana mapaka beach.
4. Basi wakiwa huko beach Amisa alinunua kila kitu ambacho frank alihitaji na walifurahi na Amisa alifurahi kuona frank anapoteza mawazo, basi na akina James na Amina nao walifika pale beach wakiwa wameshikana mikono wakitembea ufukweni mwa bahari, basi katika pita pita zao Amina akamwona frank na Amisa wanakunywa na kula kwenye meza yao na kila kitu kilikuwepo ambacho kilivutia kwa macho.
5. Basi Amina akamwachia James mkono kwa nguvu na kuanza kumlalamikia na kusema wewe uliaribu penzi letu ona sasa frank ana msichana mwingine wanakula na kunywa na wewe hauna hata miatano ya kununua soda, wakazozana hapo na James akamwambia Amina kwamba ni wewe uliyearibu urafiki wangu na James,hali haikuwa nzuri kila mtu akapitia Njia Yake ila macho ya Amina ni kuangalia Frank atapitia njia ipi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi hadithi ya Binti mfalme ni hadithi ya kusisimua, kuhusu hadithi hii ni kwamba mfalme alihitaji mtoto wa kiume ila wanawake wote hawakumpata ila alitokea mke mdogo mmoja wa mfalme akajifungua watoto wawili mapacha mmoja wa kiume na
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu na kutokuwa wazi sehemu ya pili, sehemu hii inahusu mama Lisa anaenda kwa mama lina ili kuuliza kinachoendelea kwa mtoto wake , kwa hiyo tuona atapata jibu gani.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu, kwa sababu ya kuwepo kwa marafiki wasio waaminifu wanasababisha kuharibiana maisha bila kujua kwa sababu ya kuonekana wivu na kutokuwa wazi.
Soma Zaidi...Β Posti hii inahusu zaidi jinsi ya watu walivyoishi katika kijiji cha burugo .tunajuwa hadithi ni sehemu mojawapo ya kubirudisha na kujifunza kitu flani kutoka kwenye jamii .
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu, kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu alichukua ule mkate akawapstia watoto wa yule mama wakiwa wanatoka shule kwa hiyo tutaona kilichotokea kwa wale watoto.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi hadithi mpya na nzuri inayoitwa wakati wa Kufumbuka, ni hadithi inayohusu maisha ya kawaida ambapo watu ushindwa kudhamini watu wa karibu nao na kuona watu wa mbali ndio wenye maana ila shida zikifika ndipo wanaona umuhimu wao.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki.
Soma Zaidi...Post hii inahusu hadithi moja iliyotokea Kwa mama mmoja mwenye familia ya watoto watano.ambapo mama aliolewa na mwanaume mwenye maambukizi ya virus vya ukimwi na kupata watoto bila maambukizi kusambaa kutoka Kwa baba kwenda Kwa mama.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha.
Soma Zaidi...