Post hii ni mwendelezo wa hadithi iliyopita ambapo Frank aliwakuta Amina ambaye ni mpenzi wake ameumbatiana na James ambaye ni rafiki yake ,kwa hiyo tuendelee kusikia yaliyotokea baada ya Amina na James kukutwa na Franki.
1. Basi kwa kuwa frank siku zote alijiona mnyonge na ambaye alikuwa mstaarabu aliamua kufunga tena mlango na kuwaacha Amina na James wakiendelea na shughuli zao ila James aliumia sana kuona anamsaliti rafiki yake akaanza kumlaumu Amina na kumlalamikia kuhusu uhusiano wao kwa sababu Amina ndiye aliyemshawishi James.
2. Basi frank alipoendelea kuwaza kuhusu Amina na James ghafla simu ikalia kutoka kwa yule dada aliyempa lift ,akamuuliza hali halisi na jinsi rafiki yake alivyomshauri lakini frank aliishia kuangua kilio kwenye simu ,yule dada aliumia sana akaamua kuendesha gari mpaka kwenye nyumba ya akina james akamkuta frank amekaa chini ya mti na akina James na Amina wamo ndani wakizozana na kulaumiana, basi yule dada akamsihi frank apande kwenye gari na akakubali wakaenda sehemu iliyotulia wakaongea.
3. Basi frank akamuuliza yule dada jina akamjibu na kusema kwamba anaitwa Amisa , ndipo frank akajaribu kumweleza kila kitu ila kwa uchungu mkali na kilio ila Amisa akamsihii ajitahidi basi frank akafanikiwa kumweleza kila kitu kilivyokuwa basi Amisa akamsihii frank ajitahidi na akahaidi kumsai dia kwa kila kitu atakachohitaji, basi Ili Amisa kumfurahisha Frank aliamua kumpeleka beach Ili afurahie na kupoteza mawazo, basi frank Ms Amisa wakaongozana mapaka beach.
4. Basi wakiwa huko beach Amisa alinunua kila kitu ambacho frank alihitaji na walifurahi na Amisa alifurahi kuona frank anapoteza mawazo, basi na akina James na Amina nao walifika pale beach wakiwa wameshikana mikono wakitembea ufukweni mwa bahari, basi katika pita pita zao Amina akamwona frank na Amisa wanakunywa na kula kwenye meza yao na kila kitu kilikuwepo ambacho kilivutia kwa macho.
5. Basi Amina akamwachia James mkono kwa nguvu na kuanza kumlalamikia na kusema wewe uliaribu penzi letu ona sasa frank ana msichana mwingine wanakula na kunywa na wewe hauna hata miatano ya kununua soda, wakazozana hapo na James akamwambia Amina kwamba ni wewe uliyearibu urafiki wangu na James,hali haikuwa nzuri kila mtu akapitia Njia Yake ila macho ya Amina ni kuangalia Frank atapitia njia ipi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi watoto wa wawili ambapo mmoja ni mtoto wa tajiri na mwingine ni mtoto wa maskini.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi hadithi mpya na nzuri inayoitwa wakati wa Kufumbuka, ni hadithi inayohusu maisha ya kawaida ambapo watu ushindwa kudhamini watu wa karibu nao na kuona watu wa mbali ndio wenye maana ila shida zikifika ndipo wanaona umuhimu wao.
Soma Zaidi...Hii ni siri kubwa kuhusu wanawake. Hapa utajifunza jinsi ya kumfanya mwanamke asikuache.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili baada ya kuhamia shule mpya.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sehemu ya sita.sehemu hii inaonyesha jinsi bibi alivyo ndumila kuwili na hapendi kuonekana mbaya.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, tunajua kuwa mama yake na binti alimtorisha yule binti mbali kabisa ila kijana naye aliamua kutoroka na kumfuata binti mfalme na hatimaye akampata alipo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, baada ya kijana wa kiume wa binti mfalme kuoa yule ndugu yake baba anafanya sherehe kubwa na wake wenza wamepata habari kwamba kijana wa kiume wa mfalme ameoa ndugu yake wakaamuru kunyamaza il
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu na kutokuwa wazi sehemu ya pili, sehemu hii inahusu mama Lisa anaenda kwa mama lina ili kuuliza kinachoendelea kwa mtoto wake , kwa hiyo tuona atapata jibu gani.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi watoto Hawa wawili wakiwa kwenye kituo cha mapumziko ambapo mtoto wa tajiri anabugia soda aliyopewa na yule mwalimu pia tumbo linaanza tena na anaanza kuendesha
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelezo wa hadithi inayohusu Kufumbuka ambapo , John anaonekana kama sio mtoto wa Mzee maganga kwa sababu na miungu imekili kwa sababu chakula chote kimeliwa na kuisha.
Soma Zaidi...