je na wewe ni mmoja katika wenye maumivu ya tumbo upande mmoja?. Basi post hii ni kwa ajili yako.
Swali:
Mtu mwenye maumivu ya tumbo upande wa kushoto anaweza kutumia tiba gani ya asili ambayo inaweza kumsaidia kupunguza maumivu?
Kabla ya kuangalia ni dawa gani ya kuponesha vyema kujuwa kwanza ni tatizo gani. Na ni kipi chanzo cha tatizo.
Chanzo cha maumivu:
Bila ya vipimo ni ngumi kujuwa chanzo halisi cha maumivu. Hata hivyo huwenda ikawa moja ya vifuatavyo: -
Tumbo la chango
PID
Typhod
Ngiri
UTI
Kukosa choo
Tumbo kujaa gesi
Minyoo
Shida kwenyr figo
Huwenda zokawepo sababu nyingine zaido.
Ni ipi tiba:
Tiba ya maumivu hayo hutolewa kulingana na chanzo. Vyema kwanza kupata vipimo ndipp upate tiba kulingana na chanzo cha tatizo.
Kupata tiba asili jambo jema ni kuenda kwa mtoaji wa tiba za asili. Katika hali za kawaida majani ya mpera yanaweza kuwa dawa nzuri ya tumbo. Hata hivyo vyema kupata maelekezo sahihi kutoka kwa mtaalam wa tiba hizo.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Hapa utajifunza sababu zinzopelekea mdomo kubadilika ladha na kuwa mchungu, ama mchachu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa upele, ni dalili au mwonekano wa mgonjwa wa upele.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Sababu za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, hali hii uwatokea sana wanawake zaidi ya wanaume, kwa kitaalamu hali hii ya kuwa na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo huitwa cystitis.
Soma Zaidi...mm nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ?
Soma Zaidi...Tonsillitis kwa kiswahili hujulikana kama mafundomafundo ambayo hutokea pande mbili karibu na Koo na huwa na uvimbe na zikikaa kwa muda bila matibabu hutoa usaha.Dalili na dalili za ugonjwa wa tonsillitis ni pamoja na
Soma Zaidi...Posti hii inahusu athari za maambukizi ya magonjwa ya ngonoย ambapo magonjwa ya ngono isipokuwa UKIMWIย yanatibika .mgonjwa anashauriwa kuwahi hospitali au kituo chochote cha afya kupata matibabu mara anapoona dalili za magonjwa haya.
Soma Zaidi...FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO Vidonda vya tumbo huja na maoni mengi potofu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye epididimisi, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye epididimisi na kusababisha matatizo mengi.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukuletea somo linalozungumzia maumivu ya tumbo chini ya kitomvu. Ni katika maumivu amaboyo kwa wanaume mara nyingi huhusishwa an ngiri na kwa upande wa wanawake huhusishwa na chango hasa pale wanapokaribia kuingia katika siku zao. Ma
Soma Zaidi...