Mtu mwenye maumivu ya tumbo upande wa kushoto anaweza kutumia tiba gani ya asili ambayo inaweza kumsaidia kupunguza maumivu?
je na wewe ni mmoja katika wenye maumivu ya tumbo upande mmoja?. Basi post hii ni kwa ajili yako.
Swali:
Mtu mwenye maumivu ya tumbo upande wa kushoto anaweza kutumia tiba gani ya asili ambayo inaweza kumsaidia kupunguza maumivu?
Kabla ya kuangalia ni dawa gani ya kuponesha vyema kujuwa kwanza ni tatizo gani. Na ni kipi chanzo cha tatizo.
Chanzo cha maumivu:
Bila ya vipimo ni ngumi kujuwa chanzo halisi cha maumivu. Hata hivyo huwenda ikawa moja ya vifuatavyo: -
Tumbo la chango
PID
Typhod
Ngiri
UTI
Kukosa choo
Tumbo kujaa gesi
Minyoo
Shida kwenyr figo
Huwenda zokawepo sababu nyingine zaido.
Ni ipi tiba:
Tiba ya maumivu hayo hutolewa kulingana na chanzo. Vyema kwanza kupata vipimo ndipp upate tiba kulingana na chanzo cha tatizo.
Kupata tiba asili jambo jema ni kuenda kwa mtoaji wa tiba za asili. Katika hali za kawaida majani ya mpera yanaweza kuwa dawa nzuri ya tumbo. Hata hivyo vyema kupata maelekezo sahihi kutoka kwa mtaalam wa tiba hizo.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Walio katika hatari ya kupata magonjwa ya ngono
Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye liski ya kupata magonjwa ya ngono, ni watu wanaofanya mambo yanayosababisha kupata magonjwa ya ngono.
Soma Zaidi...Dalili za ugonjwa wa vericose veini
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa vericose veini
Soma Zaidi...Zifahmu Dalili za homa ya ini Kali ya pombe.
Posti hii inaonyesha dalili na Mambo Hatari yanayosababisha homa ya ini Kali ya pombe.
Soma Zaidi...tatizo la kushindwa kujaza misuli ya mwilini na kusinyaa kwa misuli mwilini
Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kusinyaa kwa Misuli. Ni maradhi yanayopelekea uzalishwaji hafifu wa misuli, hivyo kupelekea misuli kukosa protini, kushunwa kukuwa na kusinyaa.
Soma Zaidi...Vijuwe vidonda vya tumbo na madhara yake.
Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo
Soma Zaidi...Dalilili za maumivu ya kifua
Maumivu ya kifua huja kwa aina nyingi, kuanzia kuchomwa na kisu hadi kuuma kidogo. Baadhi ya Maumivu ya kifua yanafafanuliwa kama kuponda kuungua. Katika baadhi ya matukio, maumivu husafiri juu ya shingo, hadi kwenye taya.
Soma Zaidi...