picha

Mtu mwenye maumivu ya tumbo upande wa kushoto anaweza kutumia tiba gani ya asili ambayo inaweza kumsaidia kupunguza maumivu?

je na wewe ni mmoja katika wenye maumivu ya tumbo upande mmoja?. Basi post hii ni kwa ajili yako.

Swali: 

Mtu mwenye maumivu ya tumbo upande wa kushoto anaweza kutumia tiba gani ya asili ambayo inaweza kumsaidia kupunguza maumivu?

 

Kabla ya kuangalia ni dawa gani ya kuponesha vyema kujuwa kwanza ni tatizo gani.  Na ni kipi chanzo cha tatizo. 

 

Chanzo cha maumivu: 

Bila ya vipimo ni ngumi kujuwa chanzo halisi cha maumivu. Hata hivyo huwenda ikawa moja ya vifuatavyo: -

Tumbo la chango

PID

Typhod

Ngiri

UTI

Kukosa choo

Tumbo kujaa gesi

Minyoo

Shida kwenyr figo

Huwenda zokawepo sababu nyingine zaido. 

 

Ni ipi tiba: 

Tiba ya maumivu hayo hutolewa kulingana na chanzo.  Vyema kwanza kupata vipimo ndipp upate tiba kulingana na chanzo cha tatizo. 

 

Kupata tiba asili jambo jema ni kuenda kwa mtoaji wa tiba za asili. Katika hali za kawaida majani ya mpera yanaweza kuwa dawa nzuri ya tumbo. Hata hivyo vyema kupata maelekezo sahihi kutoka kwa mtaalam wa tiba hizo. 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1635

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 ai web app     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Homa ya ini Nini Nini, na husababishwa na nini

Katika post hii utajifunza maana ya homa ya ini. Pia utajifunza chanzo kinachosababisha homa ya ini. Makala hii itakuwa endelevu hivyo usikose muendelezo wake.

Soma Zaidi...
Dalili za minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo

Soma Zaidi...
Jifunze zaidi mzunguko wa mfumo wa damu kwa binadamu

Posti hii inahusu zaidi mfumo wa mwili ambao huhusika na kusafirisha damu ,virutubisho na takamwili.mfumo huu unajumuisha damu,mishipa ya damu na moyo.moyo husukuma damu kupitia mishipa ya damu na kufika maeneo yote ya mwili.

Soma Zaidi...
Ishara na dalili za saratani ya mdomo.

Posti hii inaonyesha dalili na mabo ya hatari kwenye ugonjwa wa saratani ya mdomon.Saratani ya mdomo inarejelea Kansa inayotokea katika sehemu zozote zinazounda mdomo. Saratani ya mdomo inaweza kutokea kwa: Midomo, Fizi, Lugha, Nd

Soma Zaidi...
Jinsi ya kujikinga na mafua (common cold)

Posti hii inazungumzia dalili na namna ya kujikinga tusipate mafua .mafua kwa jina lingine hujulikana Kama baridi ya kawaida (common cold).baridi ya kawaida husababishwa na virusi kwenye pua na hutoa makamasi.

Soma Zaidi...