Aina za saratani ( cancer)

Posti hii inahusu zaidi Aina za kansa, Kansa ni Aina ya ugonjwa unaosababishwa na kuzaliana kwa seli ambazo sio za kawaida.

Aina za kansa.

Kansa utegemea na sehemu ambapo ushika na ndo uitwa kwa Jina hilo, zifuatazo ni Aina za kansa.

1. Kansa ya mapafu hii ni Aina ya Kansa ambayo maambukizi utokea kwenye sehemu ya mapafu, ambapo mapafu ujaa maji na pengine uvimbe uweza kutokea kwenye sehemu za mapafu

 

2.Kansa ya koo 

Hii ni Aina ya Kansa ambayo maambukizi yake utokea sana kwenye Koo ambapo sauti ukwama na pengine mtu ushindwa kupitisha chakula kwenye Koo.

 

3. Kansa ya damu ambayo kwa Jina jingine huitwa Lukemia ni Aina ya Kansa ambayo maambukizi yake utokea kwenye damu ambapo mgonjwa uhishiwa damu na Kansa hii isipopata dawa inaweza kupoteza mgonjwa kwa mda wa dakika chache.

 

4. Kansa ya mifupa 

Hii ni Aina ya Kansa ambayo ushambulia sana mifupa Kansa hiii usababisha mifupa kusagika na mgonjwa anaweza kushindwa kutembea na pengine maumivu uwa mengi kwenye mifupa

 

5. Kansa ya ngozi

Hii ni Aina ya kansa ambayo ushambulia sana ngozi ya mgonjwa na pengine mgonjwa uwa namapele yadiyoponeka na mda mwingine kutoa harufu mbaya  ambayo utisha na kumfanya mgonjwa akose amani

 

6. Kansa ya matiti hii ni Aina ya Kansa ambayo maambukizi mengi utokea kwa wanawake ambao hawazai kabisa na ambao hawanyonyeshi au unnyonyesha kidogo. Lakini inaweza kuwapata wanawake wote,  na hata wanaume pia. 

 

7.Kansa ya utumbo mdogo hii ni Aina ya kansa ambayo ushambulia utumbo mdogo na Mara nyingi usababishwa na kuwepo kwa vidonda vilkali vya tumbo na dalili zake ni kutokwa na damu kwenye kinyesi.

 

8.Kansa ya kizazi, hii ni Aina ya Kansa ambapo mashambulizi mengi utokea kwenye kizazi, inawezekana ni kwa sababu ya kutoa mimba kwa kiasi kikubwa kwa njia ambazo sio sahii na pengine ni kwa sababu ya magonjwa ya zinaa.

 

9. Kansa ya kwenye ubongo, hii ni Aina ya Kansa ambapo uvimbe uonekana kwenye sehemu za kichwa, Dalili ambazo utokea ni pale mgonjwa anakuwa anaumwa kichwa sana.

 

10.Kansa ya kibofu Cha mkojo , hii ni Aina ya Kansa ambapo matatizo mengi utokea kwenye mkojo, inawezekana ni kwa sababu ya sumu nyingi wakati wa kuchuja mkojo.

 

 

 

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1347

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Dalili za ugonjwa wa uvimbe na mashambulizi ya bacteria kwenye korodani

Posti hii inaonyesha dalili,Sababu,na namna ya kujikinga na ugonjwa wa uvimbe na mashambulizi ya bacteria kwenye korodani ambao kitaalamu hujulikana Kama orchitis.

Soma Zaidi...
KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI

KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI Fanya miadi na daktari wako wa kawaida ikiwa una ishara au dalili zinazokupa wasiwasi.

Soma Zaidi...
Dalili za homa ya ini

Kaika post hii utakwenda kujifunz akuhusu dalili za homa ya ini. Dalili hizi sio lazima zitokee zote. Zinaweza zikatokea baadhi tu na ikatosha kuonjesha kuw auna homa ya ini.

Soma Zaidi...
Ujue ugonjwa wa kuishiwa na damu

post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuishiwa damu kwa kitaalamu huitwa(Anemia) ni ugonjwa wa kuishiwa na damu mwilini na kusababisha maisha ya mtu kuwa hatarini

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa upungufu wa maji mwilini.

Upungufu wa maji mwilini hutokea unapotumia au kupoteza Majimaji mengi zaidi ya unayonywa, na mwili wako hauna maji ya kutosha na Majimaji mengine ya kufanya kazi zake za kawaida. Usipochukua nafasi ya Vimiminika vilivyopotea, utapungukiwa na maji.

Soma Zaidi...
Maambukizi ya tishu ya Matiti.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na maambukizi ya tishu ya matiti ambayo husababisha maumivu ya matiti, uvimbe, joto na uwekundu. Pia unaweza kuwa na Homa na baridi. Ugonjwa huu huwapata zaidi wanawake wanaonyonyesha ingawa wakati mwingine hali hi

Soma Zaidi...
Maumivu, kizunguzungu, kichefuchefu na kutoka na damu ni dalili zamimba?

Je unapata dalili zisizoeleweka ni ni za mimba ama laa. Hapa nitakujuza hali baadhi ya wanawake zinazowatokea.

Soma Zaidi...
ninaisi kma kunakitu kwenye koo alafu kuna ali ya weupe kwenye ulimi na Mashavu kwa ndan

Weupe kwenye ulimi unaweza kuwa ni hali ya kawaida. Weupe huu ukichanganyika na utandu huwenda ikaashiria uwepo wa hali fulani za kiafya.

Soma Zaidi...
JE?WAJUA NJIA SAFI NA KANUNI ZA KUWEKA MWILI WAKO KWENYE AFYA NZURI?

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa usafi katika maisha ya mwanadamu au mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
FAIDA ZA KIAFYA ZA MINYOO: kupunguza aleji, kuchochea utungaji wa mimba, kupona kwa vidonda vya ndani

FAIDA ZA KIAFYA ZA MINYOO Wakati mwingine kuwa na aina flani ya minyoo kunaweza kuwa na faida katika afya.

Soma Zaidi...