Menu



Aina za saratani ( cancer)

Posti hii inahusu zaidi Aina za kansa, Kansa ni Aina ya ugonjwa unaosababishwa na kuzaliana kwa seli ambazo sio za kawaida.

Aina za kansa.

Kansa utegemea na sehemu ambapo ushika na ndo uitwa kwa Jina hilo, zifuatazo ni Aina za kansa.

1. Kansa ya mapafu hii ni Aina ya Kansa ambayo maambukizi utokea kwenye sehemu ya mapafu, ambapo mapafu ujaa maji na pengine uvimbe uweza kutokea kwenye sehemu za mapafu

 

2.Kansa ya koo 

Hii ni Aina ya Kansa ambayo maambukizi yake utokea sana kwenye Koo ambapo sauti ukwama na pengine mtu ushindwa kupitisha chakula kwenye Koo.

 

3. Kansa ya damu ambayo kwa Jina jingine huitwa Lukemia ni Aina ya Kansa ambayo maambukizi yake utokea kwenye damu ambapo mgonjwa uhishiwa damu na Kansa hii isipopata dawa inaweza kupoteza mgonjwa kwa mda wa dakika chache.

 

4. Kansa ya mifupa 

Hii ni Aina ya Kansa ambayo ushambulia sana mifupa Kansa hiii usababisha mifupa kusagika na mgonjwa anaweza kushindwa kutembea na pengine maumivu uwa mengi kwenye mifupa

 

5. Kansa ya ngozi

Hii ni Aina ya kansa ambayo ushambulia sana ngozi ya mgonjwa na pengine mgonjwa uwa namapele yadiyoponeka na mda mwingine kutoa harufu mbaya  ambayo utisha na kumfanya mgonjwa akose amani

 

6. Kansa ya matiti hii ni Aina ya Kansa ambayo maambukizi mengi utokea kwa wanawake ambao hawazai kabisa na ambao hawanyonyeshi au unnyonyesha kidogo. Lakini inaweza kuwapata wanawake wote,  na hata wanaume pia. 

 

7.Kansa ya utumbo mdogo hii ni Aina ya kansa ambayo ushambulia utumbo mdogo na Mara nyingi usababishwa na kuwepo kwa vidonda vilkali vya tumbo na dalili zake ni kutokwa na damu kwenye kinyesi.

 

8.Kansa ya kizazi, hii ni Aina ya Kansa ambapo mashambulizi mengi utokea kwenye kizazi, inawezekana ni kwa sababu ya kutoa mimba kwa kiasi kikubwa kwa njia ambazo sio sahii na pengine ni kwa sababu ya magonjwa ya zinaa.

 

9. Kansa ya kwenye ubongo, hii ni Aina ya Kansa ambapo uvimbe uonekana kwenye sehemu za kichwa, Dalili ambazo utokea ni pale mgonjwa anakuwa anaumwa kichwa sana.

 

10.Kansa ya kibofu Cha mkojo , hii ni Aina ya Kansa ambapo matatizo mengi utokea kwenye mkojo, inawezekana ni kwa sababu ya sumu nyingi wakati wa kuchuja mkojo.

 

 

 

 

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 1307


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Fahamu ugonjwa wa Varicose vein
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa vericose veini, hili ni tatizo ambalo utokea katika mzunguko wa damu hasa kwenye miguu. Soma Zaidi...

Sababu za maumivu ya viungo na viungo kuwaka moto nini sababu zake
Soma Zaidi...

DALILI ZA MINYOO: maumivu ya tumbo, kichwa, kuwashwa, kutapika damu, moyo kuumwa, ukuaji hafifu, udhaifu na kuchoka
DALILI ZA MINYOO Wakati mwingine ni vigumu sana kujua kama una minyoo, kwani minyoo wanaweza kukaa ndani ya mwili kwa muda mrefu bila ya kuonesha dalili yeyote, ama madhara yeyote. Soma Zaidi...

Dalili za Ugonjwa wa pombe wakati Mtoto akiwa tumboni
Ugonjwa wa ulevi wakati Mtoto akiwa tumboni (fetasi) ni hali ya mtoto inayotokana na unywaji pombe wakati wa ujauzito wa mama. Ugonjwa wa pombe wa fetasi husababisha uharibifu wa ubongo na matatizo ya ukuaji. Soma Zaidi...

Njia za kupunguza ugonjwa wa zinaa
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika Ili kuweza kupunguza kuwepo kwa magonjwa ya zinaa Soma Zaidi...

Ni bakteria gani husababisha ugonjwa wa pumu
Post hii inakwenda kujibu swali linalosema je ni bakteria aina gani husababisha igonjwa wa pumu. Soma Zaidi...

Matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu
Posti hii inaonyesha matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu . Soma Zaidi...

VIPIMO VYA MINYOO (UTAJUAJE KAMA UNA MINYOO)? fecal test, blood test, colonoscopy tape test X-ray, MRI na CT scan.
VIPIMO VYA MINYOO Haitoshelezi kuwa na dalili pekee ukathibitisha kuwa una minyoo. Soma Zaidi...

Walio kwenye hatari ya kupata UTI
Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye hatari ya kupata UTI, ni watu ambao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu ya mazingira mbalimbali kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa sugu wa Figo.
Ugonjwa sugu wa figo, pia huitwa kushindwa kwa figo sugu, huelezea upotevu wa taratibu wa utendakazi wa figo. Figo zako huchuja taka na Majimaji kupita kiasi kutoka kwa damu yako, ambayo hutolewa kwenye mkojo wako. Ugonjwa sugu wa figo unapofikia hatua Soma Zaidi...