picha

Aina za saratani ( cancer)

Posti hii inahusu zaidi Aina za kansa, Kansa ni Aina ya ugonjwa unaosababishwa na kuzaliana kwa seli ambazo sio za kawaida.

Aina za kansa.

Kansa utegemea na sehemu ambapo ushika na ndo uitwa kwa Jina hilo, zifuatazo ni Aina za kansa.

1. Kansa ya mapafu hii ni Aina ya Kansa ambayo maambukizi utokea kwenye sehemu ya mapafu, ambapo mapafu ujaa maji na pengine uvimbe uweza kutokea kwenye sehemu za mapafu

 

2.Kansa ya koo 

Hii ni Aina ya Kansa ambayo maambukizi yake utokea sana kwenye Koo ambapo sauti ukwama na pengine mtu ushindwa kupitisha chakula kwenye Koo.

 

3. Kansa ya damu ambayo kwa Jina jingine huitwa Lukemia ni Aina ya Kansa ambayo maambukizi yake utokea kwenye damu ambapo mgonjwa uhishiwa damu na Kansa hii isipopata dawa inaweza kupoteza mgonjwa kwa mda wa dakika chache.

 

4. Kansa ya mifupa 

Hii ni Aina ya Kansa ambayo ushambulia sana mifupa Kansa hiii usababisha mifupa kusagika na mgonjwa anaweza kushindwa kutembea na pengine maumivu uwa mengi kwenye mifupa

 

5. Kansa ya ngozi

Hii ni Aina ya kansa ambayo ushambulia sana ngozi ya mgonjwa na pengine mgonjwa uwa namapele yadiyoponeka na mda mwingine kutoa harufu mbaya  ambayo utisha na kumfanya mgonjwa akose amani

 

6. Kansa ya matiti hii ni Aina ya Kansa ambayo maambukizi mengi utokea kwa wanawake ambao hawazai kabisa na ambao hawanyonyeshi au unnyonyesha kidogo. Lakini inaweza kuwapata wanawake wote,  na hata wanaume pia. 

 

7.Kansa ya utumbo mdogo hii ni Aina ya kansa ambayo ushambulia utumbo mdogo na Mara nyingi usababishwa na kuwepo kwa vidonda vilkali vya tumbo na dalili zake ni kutokwa na damu kwenye kinyesi.

 

8.Kansa ya kizazi, hii ni Aina ya Kansa ambapo mashambulizi mengi utokea kwenye kizazi, inawezekana ni kwa sababu ya kutoa mimba kwa kiasi kikubwa kwa njia ambazo sio sahii na pengine ni kwa sababu ya magonjwa ya zinaa.

 

9. Kansa ya kwenye ubongo, hii ni Aina ya Kansa ambapo uvimbe uonekana kwenye sehemu za kichwa, Dalili ambazo utokea ni pale mgonjwa anakuwa anaumwa kichwa sana.

 

10.Kansa ya kibofu Cha mkojo , hii ni Aina ya Kansa ambapo matatizo mengi utokea kwenye mkojo, inawezekana ni kwa sababu ya sumu nyingi wakati wa kuchuja mkojo.

 

 

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1803

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 web hosting    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Madhara ya kutotibu ugonjwa wa makende kushindwa kushuka

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya makende kushindwa t, hiki ni tatizo na huleta madhara

Soma Zaidi...
Homa ya manjano, dalili za homa ya manjano na namna ya kujikinga na homa ya manjano

HOMA YA MANJANO (yellow fever)Homa ya manjano ni maradhi yanayosababishwa na virusi na husambazwa na mbu.

Soma Zaidi...
Ni bakteria gani husababisha ugonjwa wa pumu

Post hii inakwenda kujibu swali linalosema je ni bakteria aina gani husababisha igonjwa wa pumu.

Soma Zaidi...
fangasi, aina zao, dalili zao na matibabu yao

Fangasi na Aina zao Fangasi wa kwenye kucha Fangasi wa Mapunye Fangasi aina ya candida Fangasi wa Mdomoni na kooni Fangasi wa kwenye uke Fangasi wanaoshambulia mfumo wa damu na ogran kama moyo, figo n.

Soma Zaidi...
UGNJWA WA UTI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Dalili za vidonda vya tumbo, matibabu na dawa zake, sababu za kutokea kwake

Utajifunza chanzo cha vidonda vya tumbo, dalili zake, dawa na matibabu yake pamoja na njia za kujilinda na vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Kichwa kinaniuma mbele sielewi nini

Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa.

Soma Zaidi...
nina maambukizi ya zinaha maumivu wakati wa kukojoa na usaha

Mimi nilifanya ngono isiyo salama Tar 14/07 mwaka huu, nilikutana tu na mwanamke ambae sikuwa hata na background yake yoyote hivyo baada ya siku tatu nilijikuta nina maambukizi ya zinaha (maumivu wakati wa kukojoa na usaha), hivyo nilienda hospital na kup

Soma Zaidi...
Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito

Post inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.ugonjwa huu uleta madhara kwa wajawazito kama tutakavyoona

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa uvimbe na mashambulizi ya bacteria kwenye korodani

Posti hii inaonyesha dalili,Sababu,na namna ya kujikinga na ugonjwa wa uvimbe na mashambulizi ya bacteria kwenye korodani ambao kitaalamu hujulikana Kama orchitis.

Soma Zaidi...