Posti hii inahusu zaidi Aina za kansa, Kansa ni Aina ya ugonjwa unaosababishwa na kuzaliana kwa seli ambazo sio za kawaida.
Aina za kansa.
Kansa utegemea na sehemu ambapo ushika na ndo uitwa kwa Jina hilo, zifuatazo ni Aina za kansa.
1. Kansa ya mapafu hii ni Aina ya Kansa ambayo maambukizi utokea kwenye sehemu ya mapafu, ambapo mapafu ujaa maji na pengine uvimbe uweza kutokea kwenye sehemu za mapafu
2.Kansa ya koo
Hii ni Aina ya Kansa ambayo maambukizi yake utokea sana kwenye Koo ambapo sauti ukwama na pengine mtu ushindwa kupitisha chakula kwenye Koo.
3. Kansa ya damu ambayo kwa Jina jingine huitwa Lukemia ni Aina ya Kansa ambayo maambukizi yake utokea kwenye damu ambapo mgonjwa uhishiwa damu na Kansa hii isipopata dawa inaweza kupoteza mgonjwa kwa mda wa dakika chache.
4. Kansa ya mifupa
Hii ni Aina ya Kansa ambayo ushambulia sana mifupa Kansa hiii usababisha mifupa kusagika na mgonjwa anaweza kushindwa kutembea na pengine maumivu uwa mengi kwenye mifupa
5. Kansa ya ngozi
Hii ni Aina ya kansa ambayo ushambulia sana ngozi ya mgonjwa na pengine mgonjwa uwa namapele yadiyoponeka na mda mwingine kutoa harufu mbaya ambayo utisha na kumfanya mgonjwa akose amani
6. Kansa ya matiti hii ni Aina ya Kansa ambayo maambukizi mengi utokea kwa wanawake ambao hawazai kabisa na ambao hawanyonyeshi au unnyonyesha kidogo. Lakini inaweza kuwapata wanawake wote, na hata wanaume pia.
7.Kansa ya utumbo mdogo hii ni Aina ya kansa ambayo ushambulia utumbo mdogo na Mara nyingi usababishwa na kuwepo kwa vidonda vilkali vya tumbo na dalili zake ni kutokwa na damu kwenye kinyesi.
8.Kansa ya kizazi, hii ni Aina ya Kansa ambapo mashambulizi mengi utokea kwenye kizazi, inawezekana ni kwa sababu ya kutoa mimba kwa kiasi kikubwa kwa njia ambazo sio sahii na pengine ni kwa sababu ya magonjwa ya zinaa.
9. Kansa ya kwenye ubongo, hii ni Aina ya Kansa ambapo uvimbe uonekana kwenye sehemu za kichwa, Dalili ambazo utokea ni pale mgonjwa anakuwa anaumwa kichwa sana.
10.Kansa ya kibofu Cha mkojo , hii ni Aina ya Kansa ambapo matatizo mengi utokea kwenye mkojo, inawezekana ni kwa sababu ya sumu nyingi wakati wa kuchuja mkojo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Ini Ni kiungo kikubwa Sana mwili na hutumika kuondoa sumu mwili ambayo hujulikana Kama detoxification
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Dr huwa nasikia maumivu makali sana juu ya tumbo yn kama kuna moto hivi na mgongon kama unadungwa sindano hivi je hizo ni dalili za vidonda vya tumbo?
Soma Zaidi...Post hii itakwena kukufundisha kuhusu historia fupi ya Ukimwi na matibabu yake. Ni wapi wapo hatarini kupata maambukizi na ni kitu gani wafanye?
Soma Zaidi...Kipindupindu ni ugonjwa wa bakteria ambao kawaida huenezwa kupitia maji machafu. Kipindupindu husababisha Kuhara na Upungufu wa maji mwilini.
Soma Zaidi...Kabla ya kubanwa zaidi na pumu, kuna dalili za awali zinzznza kujitokeza, na hapo ndipo utakapoanza kuchukuwa tahadhari. Makala hii itakwenda kukujulisha zaidi kuhusu dalili hizo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha
Soma Zaidi...Posti hii inahusu huduma kwa wanawake wenye mahitaji maalum, ni wanawake ambao wana shida ya akili, walionyanyaswa kijinsia, wakimbizi na wote wenye matatizo mbalimbali.
Soma Zaidi...tambuwa chanzo na dalili za UTI na tiba yake, pamoja na njia za kupambana na UTI
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa macho, ni ugonjwa ambao ushambulia zaidi sehemu za nje za macho ambazo kwa kawaida uitwa conjunctiva na cornea hizi sehemu zikipata maambukizi zisipotibiwa mapema uweza kusababisha upofu kwa mgonjwa.
Soma Zaidi...