Samahan naomb kujua staili za tendo la ndoa

Samahan naomb kujua staili za tendo la ndoa

Post hii inakwenda kujibu swali la muulizaji. Kuhusu syyle za tendo la ndoa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

😍Samahan naomb kujua staili za tendo la ndoa

 

👙 Jibu

Kuhusu style za tendo la ndoa zipo nyingi zaidi ya 15. Hata hivyo staili nzuri ni ile ambauo itakayowafikisha watu wawili hao kileleni. 

 

Staili zinatofautiana na si zote ambazo mshiriki wa tendo atazifurahiya. Staili nyingine zinakuwa na maumivu zonapotumika kwa muda mrefu.  Pia zipo ambazo zinahitajia mazoezi. 

 

Sasa ni ipo style bora: 

Jibu style bora inategemeana na utayari wa wahusika.  Tafitivzonaonyesha kifo cha mende au missionar style ni nzuri zaidi kwa kuwa inawezesha uume kupita vyema endapo itatumika kwa ufasaha. 

 

Hatavhivyo kwa baadhi ya wanawake inawezabkusababisha maumivu ta tumbo wakati wa tendo au baada.  Hii inawezabkutokea endapo uume utakwenda ndani zaidi,  au endapo mwanamke atamezavhewa nyingi. 

 

Style nyingine zitakuwa bora zaidi kulingana na tendo litakavyofanyika.  Kwa mfano hakuna haja ya kufanya kwa kasi sana. Kwani hali hii inaweza kusababisha michubuko hatimaye maumivu zaido. 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 5241

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

ninatatizo la miguu kuuma nimepima wanasema seli nyeupe za damu ipo chini Sana sasa nauliza dawa hizi za vitamin k na sindano vinaweza nisaidia?
ninatatizo la miguu kuuma nimepima wanasema seli nyeupe za damu ipo chini Sana sasa nauliza dawa hizi za vitamin k na sindano vinaweza nisaidia?

Upungufu wa damu ni tatizo la kiafya, lakini kupunguwa seli nyeupe za damu ni tatizo zaidi, nikwa sabaabu seli hizi ndizo ambazo hupambana na wadudu shambulizi wanapoingia mwilini.

Soma Zaidi...
Ni nini husababisha mate kujaa mdomoni, na ni yapi matibabu yake
Ni nini husababisha mate kujaa mdomoni, na ni yapi matibabu yake

Hapa tutaangalia baadhi ya sababu zinazopelekea mdomo kujaa mate na namna ya kutibu tatizo la kujaa kwa mate mdomoni

Soma Zaidi...
Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa watoto wadogo.
Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa watoto wadogo.

Posti hii inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa watoto wadogo, tunajua kubwa mama kama ana ugonjwa huu anaweza kumwambikiza mtoto na mtoto akazaliwa na Ugonjwa huu.

Soma Zaidi...
Njia za maambukizi ya Homa ya inni
Njia za maambukizi ya Homa ya inni

Posti hii inahusu zaidi njia za maambukizi ya Homa ya inni, Homa ya inni usababishwa na virusi viitwavyo Hepatitis B, huwapata watu wote hasa wale wenye umri chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Sababu za mngurumo wa moyo
Sababu za mngurumo wa moyo

Mngurumo wa moyo ni sauti wakati wa mzunguko wa mapigo ya moyo wako kama vile kutetemeka inayotolewa na damu yenye msukosuko ndani au karibu na moyo wako. Sauti hizi zinaweza kusikika na kifaa kinachojulikana kama stethoscope. Mapigo ya moyo ya kawaida

Soma Zaidi...
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.

Soma Zaidi...
Je vvu inaweza sababisha mate kujaa mdomoni
Je vvu inaweza sababisha mate kujaa mdomoni

Je kujaa kwa mate mdomoni ni dalili ya kuwa na VVU, na je ni zipi dalili za Virusi Vya Ukimwi (VVU) mdomoni?

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo
Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo

Posti hii inaonyesha namna ya kujizuia,Mambo ya Hatari,na na Mambo yanayopelekea Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo

Soma Zaidi...
Dalili za macho kuwa makavu
Dalili za macho kuwa makavu

posti hii inaelezea kuhusiana na dalilili na Mambo ya hatari ya Macho makavu  hutokea wakati machozi yako hayawezi kutoa unyevu wa kutosha kwa macho yako. Machozi yanaweza kuwa duni kwa sababu nyingi. Kwa mfano, Macho makavu  yanaweza ku

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa Saratani ya uke
Fahamu Ugonjwa wa Saratani ya uke

Saratani ya uke ni Saratani adimu inayotokea kwenye uke wako mrija wa misuli unaounganisha uterasi na sehemu zako za siri. Saratani ya uke mara nyingi hutokea katika seli zilizo kwenye uso wa uke wako, ambao wakati mwingine huitwa njia ya uzazi. Wan

Soma Zaidi...