picha

Madhara ya minyoo

Somo hili linakwenda kukuletea madhara ya minyoo

MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO

Tofauti na madhara ambayo tumeyaona huko juu kwenye dalili kama maumivu ya kicha, tumbo na miwasho, kichefuchefu na kutapika. Lakini minyoo ikizidi madhara haya huwenda yakawa makubwa zaidi.

 

 

 

mgonjwa anaweza kutapika damu

Miwasho mikali kwenye puru na sehemu za siri kwa wanawake

Inaweza kuathiri ini na tishu nyingine

Inaweza kupelekea kupata ugonjwa wa anaemia

Uchpvu, kupungua uzito na homa

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 3042

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 ai web app     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Saratani ya matiti: Jinsi ya kujipima na kupata vipimo.

​Saratani ya matiti ni miongoni mwa aina za saratani zinazoongoza kwa kuathiri wanawake duniani kote. Hata hivyo, kutokana na maendeleo ya tiba, saratani hii inaweza kutibika vyema ikiwa itagundulika katika hatua za awali. Makala hii inatoa mwongozo wa kitaalamu kuhusu umuhimu wa uchunguzi wa awali, hatua kwa hatua za jinsi ya kujipima mwenyewe nyumbani, na taratibu za kliniki kama mammography. Tunasisitiza kuwa elimu na ufahamu ndio silaha kuu ya kupambana na ugonjwa huu.

Soma Zaidi...
Sababu za vidonda sugu vya tumbo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za vidonda vya tumbo sugu

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa Saratani ya uke

Saratani ya uke ni Saratani adimu inayotokea kwenye uke wako mrija wa misuli unaounganisha uterasi na sehemu zako za siri. Saratani ya uke mara nyingi hutokea katika seli zilizo kwenye uso wa uke wako, ambao wakati mwingine huitwa njia ya uzazi. Wan

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

Soma Zaidi...
Aina za kifua kikuu.

Posti hii inahusu zaidi aina mbili za kifua kikuu, aina ya kwanza ni ile ya kawaida ambayo ushambulia mapafu na aina ya pili ni ile ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye limfu node, kwenye sehemu za moyo, kwenye uti wa mgongo, kwen

Soma Zaidi...
Fahamu ajali ambazo utokea kwenye kifua

Post hii inahusu Zaidi ajalia ambazo utokea kwenye kifua Kwa kitaalamu huitwa chest injury,Kwa kawaida kwenye kifua kua sehemu mbalimbali kama vile mapafu,moyo,koo na sehemu mbalimbali, sehemu hizi uweza kupata ajali na kusababisha madhara makubwa,Kwa hiy

Soma Zaidi...