Kwenye kipengele hichi tutajifunza mitazamo ya kikafiri juu ya dini.
3.MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA DINI
3.1 Mtazamo wa Kikafiri juu ya Dini.
- Kafiri Mutlaq ni yule anayekanusha moja kwa moja kinadharia na kivitendo kuwepo kwa Allah (s.w), maamrisho yake, vitabu vyake na mitume wake.
- Kwa mtazamo wa Kikafiri, neno ‘Dini’ lina maana zifuatazo;
“Belief in the existence of a supernatural ruling power…” (English Dictionary)
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Allah hutumia maandishi kuwafundisha wanadamu. Mfano mzuri ni nabii Musa ambaye alipewa vibao vya maandishi.
Soma Zaidi...Mtu hawi Muumini wa kweli mpaka awe na yakini juu ya Mitume wa Allah (s.
Soma Zaidi...