Mtazamo wa uislamu juu ya dini
Kwenye kipengele hichi tutajifunza mitazamo ya kikafiri juu ya dini.
3.MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA DINI
3.1 Mtazamo wa Kikafiri juu ya Dini.
- Kafiri Mutlaq ni yule anayekanusha moja kwa moja kinadharia na kivitendo kuwepo kwa Allah (s.w), maamrisho yake, vitabu vyake na mitume wake.
- Kwa mtazamo wa Kikafiri, neno ‘Dini’ lina maana zifuatazo;
- Ni imani juu ya kuwepo Mungu Muumba.
“Belief in the existence of a supernatural ruling power…” (English Dictionary)
- Ni imani inayohusiana na mambo ya kiroho baina ya binaadamu na Mwenyezi Mungu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Bongolite - Game zone - Play free game π2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π3 ai web app π4 Kitabu cha Afya π5 web hosting π6 kitabu cha Simulizi
π1 Bongolite - Game zone - Play free game π2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π3 ai web app π4 Kitabu cha Afya π5 web hosting π6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
NJIA ZA KUMJUA MWENYEZI MUNGU (S.W)
Zifuatazo ni njia nyingi za kumjua Mwenyezi Mungu (EDK form 2:dhana ya elimu katika uislamu)
Soma Zaidi...