Kwenye kipengele hichi tutajifunza mitazamo ya kikafiri juu ya dini.
3.MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA DINI
3.1 Mtazamo wa Kikafiri juu ya Dini.
- Kafiri Mutlaq ni yule anayekanusha moja kwa moja kinadharia na kivitendo kuwepo kwa Allah (s.w), maamrisho yake, vitabu vyake na mitume wake.
- Kwa mtazamo wa Kikafiri, neno ‘Dini’ lina maana zifuatazo;
“Belief in the existence of a supernatural ruling power…” (English Dictionary)
Umeionaje Makala hii.. ?
“Basi vyote hivi mlivyopewa ni starehe ya maisha ya dunia tu, lakini kilicho kwa Mwenyezi Mungu ni bora na cha kudumu (milele).
Soma Zaidi...Ni upi mgawanyo sahihi wa elimu katika uislamu? Nini naana ya elimu ya muongizo. Je elimu ya mazingiravmaana yakeni nini. Ni upi utofauti wa elimu ya muongozo na elimu ya mazingira?
Soma Zaidi...Kumzulia mtu mtwahirifu kuwa amefanya tendo la zinaa pasina kuleta ushahidi stahiki ni tendo ovu mno mbele ya Allah (s.
Soma Zaidi...Kwa mtazamo wa kikafiri elimu imegawanyika katika makundi mawili ambayo ni Elimu ya dunia na Elimu ya akhera.
Soma Zaidi...Mwanaadamu ametunukiwa neema mbali mbali na Mola wake kuliko viumbe wengine wote kama tuanvyojifunza katika aya mbali mbali za Qur'an.
Soma Zaidi...Ukweli ni katika sifa za waumini. Siku zote hakuna hasara katika kusema ukweli. Kinyume chake uongo ni katika madhambi makubwa sana.
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...